Melody melody melody merci merci merci, unaimba vizuri sana najua changamoto ni nyingi sana katika muziki ila big up pambana utafika mbali zaidi may u be blessed tunakupa sapport keep going up🎉🎉🎉
@samwelmohonge4573
16 күн бұрын
Good song
@richardsteven5020
2 жыл бұрын
napenda hii, kutoka kenya, eza bien
@samwelmohonge4573
16 күн бұрын
Apewe maua yake jamani tumpe likes nyingi sauti nzuri na kazi nzuri sana
@ambokilevisit8773
4 жыл бұрын
Uko vizuri mnoo... Nakusikiliza kwa hisia balaaa
@AtupokleLusago
4 ай бұрын
Nakukubali mbasa
@aloycelazaro7971
3 жыл бұрын
Ebhana ni hatar sana sana
@dullamakuburi965
5 жыл бұрын
Dah Kweli ww mellody unaimba sana jamaa nishakuwa shabiki wako kazi nzuri sanaaa Ahsante kwa ngoma nzuri
@mercylyimo1915
3 жыл бұрын
Nipo nawe 2021
@samwelmohonge4573
13 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉 ×89 listening 2024🎉🎉🎉
@philljombs1151
2 жыл бұрын
Uko sawa mno
@jumaally4263
6 жыл бұрын
huyu kijana sauti nzur/ujumbe mzuri. Yaani nimeusikiliza huu mwimbo mara 80. Big Up kijana mwanzo mzuri hongera sana
@rtv6317
3 жыл бұрын
Nyimbo yangu pendwa naisikilizaga Mara tano kwa siku
@josephmponda2711
4 жыл бұрын
ngoma kali sana
@simonshija2476
5 жыл бұрын
Melody Mbassa unaimba vizuri sana tena mno, lkn huna producer mzuri jaribu kupata producer mzuri level zako za uimbaji ma-producer wa bongo flavor wana kuharibia sana achana nao, nakushauri mtafute Alain Mapigo huyo ndo yupo level za kwako wewe ni artist mwenye uwezo sana, utoe wimbo mmoja tu utaniambia!!!
Пікірлер: 26