huu wimbo ni mzuri sana sema wabongo hawajui vitu vizuri........on my side ni best song tangu mwaka huu uanze
@ymusic803
5 жыл бұрын
tupo pamoja
@phabianmanyilizu176
5 жыл бұрын
Wimbo mzuri unagusa maisha ya watu na magumu jamaa aliopitia
@teolihise5914
5 жыл бұрын
hood yunusy true man
@momomella9845
Жыл бұрын
mzuri sana mpanka aimbe diamond ndio watasifia sana ila kwa kweli wimbo mzuri sana hata vyombo vimepangiliwa ki ustadi
@jumakasanda1699
5 жыл бұрын
Sijachelewa kufika kwenye ngoma kali ya kibabe kama hiii watu wa 254 nipeni like xenu niende nazo 🇺🇸 🇺🇸🇺🇸🇺🇸
@ashaalli6363
4 жыл бұрын
Nyimbo kalii.nasikiliza kila siku
@hoodyunusy2373
5 жыл бұрын
natamani ku like mara 900000000000000000000000000000000 huu wimbo
@anithapastory5756
5 жыл бұрын
Hii nyimbo naipenda sana mambo ya dunia sio yako hayakuhusu aiseee tangu nizaliwe hi ndo namba 1 Song
@issaaally9179
5 жыл бұрын
Tokooos nimeikubali bro
@JpsProduction2019
5 жыл бұрын
Kama umekubali hii ngoma Au kama unakubali #MellodyMbassa&PapyKocha Shusha like 120 hapa tu 😉😉😉
@innocentdex124
5 жыл бұрын
JPS TVONLINE naikubali sana broo
@JpsProduction2019
5 жыл бұрын
INNOCENT DEX Pamoja sana kaka mkubwa
@claramatias141
5 жыл бұрын
Mzuri sana wimbo huoo
@husseinmshiragi1787
5 жыл бұрын
Good music 👍
@hamidajumaa2400
3 жыл бұрын
Bonge moja la wimbo...safi sana
@islabocco478
5 жыл бұрын
Yani huu wimbo ni mzuri sana sema hatujuwi vitu vizuri. Ni wimbo wangu bora wa mwaka 😘😘😘
@geofreymgeni2668
5 жыл бұрын
Nyimbo nzuri Kama hizo hazipigwi dahhh
@jaysonbdst_4685
5 жыл бұрын
Noma san
@estarkapinga6126
3 жыл бұрын
Dah ! Bonge la nyimbo aiseh
@geofreymgeni2668
5 жыл бұрын
Nimeiona Leo nyimbo INA miezi miwiki dah
@michaelsylvestre8475
5 жыл бұрын
Kiumbe kimetumwa kufanya kazi kwa misukosuko yote lakini kichwa bado kiko pale pale big up saaana mziki hata mama mkwe anasikiliza tyu saaaaaafi saaaaana 🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝
@MelodyMbassa
4 жыл бұрын
🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@alflednestoli3601
5 жыл бұрын
Naitwa nyota mkalii ,melody hiyo Ngoma kali sanaaaaa
@johnsonantony4903
5 жыл бұрын
Aloooooo katika maisha kwanini nyimbo kama hizi hazipewi air time sana daaaa kweli wameimba aloooo
@erickbirro4696
5 жыл бұрын
⚡️⚡️⚡️
@MAJIPUTV
5 жыл бұрын
Bro unaimba sana ila huna management nzuri!!!!!! Damn
@martinthe3rd315
5 жыл бұрын
hii ngoma hatari sana# nimependa hii alto hatari. kaka muziki mzuri , ishangaze Tanzania, Ishangaze Africa, Ishangaze dunia
@Queenp-pp3ve
4 жыл бұрын
My best song ever
@Kangurajr
3 жыл бұрын
Hii nyimbo nlkua kila nkishtuka usku naiskia inapigwa kwenye redio,ever since ikawa my best song
@SIMIYU_RS
5 жыл бұрын
Hapa jamaa mwanzoni mwa huu wimbo amenikumbusha marehemu Papa Wemba Kipaji sana Papii
@amanzimshamu3088
5 жыл бұрын
Huu wimbo ni moto kinyama mistari imeshiba sio myepesi kabisa wacha dunia iongee peke yake wewe hauiwezi hata kidogo nasikiriza kila siku japo mara mbili
@shabaniahmedi4359
5 жыл бұрын
Nasikiliza tena na tena, nasikitika ni kizazi kisichojua mziki mzuri sauti ambazo producer hakua na kazi ngumu sana sababu tayari zimeisha ji tune. Kipaji kinachokosa msimamizi.
@elmasroj9712
5 жыл бұрын
Aisee tutolee hii ngoma mzee baba
@ellymichael672
5 жыл бұрын
@Heaven voices Tunakupongeza Sana MelodyMbasa,kwa mziki Mzuri,Mpangilio Mzuri wa Sauti katika verse,na chorus pia,Umejua kutukuna blood, Pongezi nyingi ziende pia kwa papii kocha,kweli anajua,anaweza na hakika kawakilisha Sana kwenye part ilomhitaji kufanya🙏
@rasphodmercy2877
5 жыл бұрын
Melody mbasa is another fire .sijui kwa nini hawi kileleni.kaza tu kaka IPO siku
@obadiambilinyi27
4 жыл бұрын
hili swali hata mm nimejiuliza, kwanini hayuko juuuuu kileleni, voacl za ukweli sana.
@fidelismapendo3683
5 жыл бұрын
deep sana Melody
@sz2231
5 жыл бұрын
Safi Sana ngoma Kali sana
@priscadadry8368
5 жыл бұрын
Inapendeza sana sanaaaa
@priscadadry8368
5 жыл бұрын
Naipendaa sana hii ngomaa kweli ameitendea haki zote kweye huu mzikii
@saidmanganda1760
5 жыл бұрын
Jamaa anatisha kwa kuimba nampa bigapu
@gabrielbenard8774
5 жыл бұрын
magic voice! bigup sana
@rebeccajacob4109
4 жыл бұрын
Nice
@ramdhanichasigwe4473
5 жыл бұрын
mambo ya dunia si ya kwangu hayanihusu........ naacha mapenzi yaongee peke yake................ nakumbuka ndoto yetu ya awali................. haya mafumbo au?
@MwarabuTz
5 жыл бұрын
Ngoma moja poa sana naipiga mda wote geto
@eliacjonac16
5 жыл бұрын
✅✅✅✅
@sizakitego4374
5 жыл бұрын
Hii ni Hatari saaaaana
@gift49
5 жыл бұрын
Good job bro nimeshindwa kujua saut yako ni ipi na ya papii ni ipi great song, vocal good choice man respect
@philipomistone9599
5 жыл бұрын
Mbasa daah hatr mnoooo,hakikaaa unawezaaa ..pia tunamba utusaidia namn ya kupta hii audio. Lov your music
@tatuhamza8299
5 жыл бұрын
daaah naisubiri video tu nomaaaa mmeua hatari
@kelvinjonathan4772
5 жыл бұрын
Nimeipenda hii👏👏👏🎵🎼
@raylovemichael3088
5 жыл бұрын
Nice song
@The_DigitaPLAY
5 жыл бұрын
Such a hit...🎶💥
@ramadhanisaidi260
5 жыл бұрын
nakubali Broo , haijawai kosea huwa nakubali kazi zako kupita maelezo, congratulations endelea kupambana ipo siku utatoboa huuuu namini ivo
@geraldchatta9055
5 жыл бұрын
Bonge moja la rhumba Papii na Melody nyie ndio mmerithi mikoba ya wazee wetu...kwa nyimbo za namna hii ni wazi muziki wa dansi unaenda kushika hatamu.
@husseinomari5972
5 жыл бұрын
Kazi nzuri sana Yani haya mashairi ya hii nyimbo ni mazur sana. keep it up mkuu
@ymusic803
5 жыл бұрын
natamani kusikia vitu kama hv kwenye maisha yangu na muda vtu hv cjavisikia kwenye maisha
@laizsuke8265
5 жыл бұрын
Nyimbo nzuri sana utatamani kulia
@issamachashi5078
5 жыл бұрын
kazi mzuri mdogo wangu nmekubal sana mdogo wangu jah aku bless sana
@omaryngoto9811
5 жыл бұрын
good work
@evalinemallya1848
5 жыл бұрын
melody nakukubali sana kaka.uko vizur sana k
@abdulllahothmani2204
5 жыл бұрын
Melody mbassa umetisha....Wapi Hellena Mushi
@seanmarley5418
5 жыл бұрын
Papa Wemba??
@mrkiatu2755
5 жыл бұрын
Kazi nzuri hii vyimbo nambo video vix wavae vizuri sio nguo za kutazama mala moja una acha mvishe kia africa ili tuweze kutazama na wazee tukiwa tuna jadilli maisha yetu ya kila siku
@robertodavid0307
5 жыл бұрын
ngoma nimeikbl kmmk🔥
@hoodyunusy2373
5 жыл бұрын
jamani huu wimbo mzuri lakini video yake haana .....please rudieni video
@robbiemartin3603
5 жыл бұрын
Hatari merody nimekubali hii ngoma
@josafko2259
5 жыл бұрын
nyimbo nzuri ,inapendeza sana, big up mbasa
@issasaid5972
5 жыл бұрын
melody ngoma ni kali ila tatizo ni moja tu nyimbo ya mapenzi ukiimba mafumbo ivyo uongo dunia nzima hamna nyimbo za mapenzi mafumbo kwani ndio ulimwengu tunaoishi
@ramadhanally3964
5 жыл бұрын
And also keyboard sing along
@janetheben5819
5 жыл бұрын
Hii nyimbo ni moto ni 💊 ya dengue
@abbykamchoro461
5 жыл бұрын
Utabaki kileleniiiiii Melody utabaki mawinguniiii
@kissomundende3696
5 жыл бұрын
Mdogo wangu kipaji unacho nakukubali sana.. Kaza mwendo utaka sehemu nzuri
@victormbassa5611
5 жыл бұрын
nyimbo ya dunia hiyo ndugu yangu
@hellenmushi5701
5 жыл бұрын
Mellody kaka Duh...Hatari hatari kaka##Mimi ndio Mzimu wako kifo cha Nyimbo zako...Nyimbo mmmmh mbona unaniliza(MAPENZI Acha yaseme yenyewe(UPEPO).
@joycetheonas2157
5 жыл бұрын
Wow melody wangu 😘😘😘😘
@JOHNB-wm2fj
5 жыл бұрын
Hongera sana bro
@sz2231
5 жыл бұрын
🔥🔥🔥🤺🤺👯 ngoma Kali
@uncledavitv6481
5 жыл бұрын
Acha mapenzi yaongee peke yake dadadeeeeqiiiii
@evejohaness8882
5 жыл бұрын
Good music
@humphrelemaa7630
5 жыл бұрын
Aya Sasa wale waalimu wa sauti wamekutana
@paulophilipo5560
5 жыл бұрын
good song big up @mellody mbasa and papii kocha
@thabitngaziwa2452
5 жыл бұрын
#Good Music
@racheljaphe8977
5 жыл бұрын
Upep upo adi geto Kwang japo sijachelew san
@materekajunior4339
5 жыл бұрын
Good joint.. two fantasy vocalist
@chrystalsimon1062
5 жыл бұрын
Fire
@rashidipembe4300
5 жыл бұрын
Hongera sana
@alexkihongola798
5 жыл бұрын
Hakiyamungu hii ngoma nimpini wa hatari, Dahaa nimeusikiliza EMF kwa kina baby Mama, ikabidi niutafute KZitem, Melody mbassa katisha Sana, Ngoma kali hakuna tena.
@sz2231
5 жыл бұрын
Atari Sana ,you did it you killed izo backing voco daah
@mohamedythabit4035
5 жыл бұрын
Naona mambo yako hayo ndugu yangu
@omaxomaxx5107
5 жыл бұрын
Kichupa lini
@mohamedfortnatus3463
3 жыл бұрын
Mohamed Kaniansy
@mbassaemilian3565
5 жыл бұрын
Which Mbassa 😀😀😀? Yawezekana ukawa ndugu yangu
@gidoshallo5385
5 жыл бұрын
I'm
@nasriaroyce7841
5 жыл бұрын
kaka unajua sana ucjal tupo pamoja tutakusopport tu
@jaquubjummah7538
3 жыл бұрын
Tupe lyrics basi
@traverseammathowzy6931
5 жыл бұрын
Hahahahahahahah.........
@jastinmatoz7570
5 жыл бұрын
Good
@everiusmulama6937
5 жыл бұрын
Nice song
@aggreyjoseph2966
5 жыл бұрын
Hatari Sana mapinduzi ya rumba Kaz nzuri Sana naisikiliza nikiwa kwenye spika kumbwa majirani kaimba Nani nawambia anaitwa Melody
Пікірлер: 106