“Nimekuja kushiriki sherehe za miaka 58 ya #Uhuru kama uthibitisho wa ulazima wa kuwepo maridhiano, kuwepo upendo, kuwepo mshikamano katika taifa letu…na namuomba Mungu siku ya leo ikafungue milango tuweze kuishi kama taifa linalopendana,” - Freeman Mbowe.
#IndependenceDay
Негізгі бет Спорт MIAKA 58 YA UHURU: Alichokisema Freeman Mbowe mbele ya Rais Magufuli
Пікірлер