Mkuu wa wilaya umeongea mambo ya muhimu sana mtoto akilelewa katika misingi ya kidini haijalish ni dini gan lazima tuu anavyokua anakua na hofu ya Mungu kabisa tumeona mifano mingi.Asante kwa kutukumbusha katika malezi asante sana na unastahil kwenye iyo position.
@billgussy6099
Жыл бұрын
Hongereni wanawake wa Kiislam mi ni Mkristo lakin mnacho kifanya ni muhimu sana kwa faida ya watoto na jamii kwa ujumla
@abdulazizsharif2984
Жыл бұрын
Masha Allah ❤ Hakika mumependeza sana nyuso zimejaa Nur ❤
@hanifatanzania7258
Жыл бұрын
Sana maashaallah
@pendokissatu937
Жыл бұрын
Mimi sio Muislam Ila Nimemuelewa sana Zainab
@KMatrix628
Жыл бұрын
Ata mm nmemuelewaa sna huyu dada kzitem.info/news/bejne/zquaqZOun3Z8oo4 ila kuna uyu pia
@aishamsofe3274
Жыл бұрын
Bi, Zainabu Abdallah anatafika mmbalii saana In Shaa Allah 🙏🏽
@aminamoshi547
Жыл бұрын
Asante kwa ujumbe da zainabu mungu akuzidishie Kila la kheri
@jumamussantuiche
Жыл бұрын
Asante mama mariamu
@maulidmnukwa3171
Жыл бұрын
Maashallah.. this is the practical example of the Islamic point of view..
@hajatihabiba12
Жыл бұрын
Hongera da zainab Allah akuhifadhini
@frankhaule6802
Жыл бұрын
Nakupenda sana dada kwa jiri ya Mungu
@abdulhida8291
Жыл бұрын
Barak Allah feeq, Jazzaka Allah kheri. Masha Allah kizazi cha elimu namuomba mola na mimi nipate mke mfano wako, natafuta sipati
@mussasuleiman8609
Жыл бұрын
utampata wa kufanana nawewe
@saadenassor4830
Жыл бұрын
Amka usiku Swali Muombe Mungu Na Usichoke utampata tu
Hongra sana zainab yani kzitem.info/news/bejne/zquaqZOun3Z8oo4 uko kama uyu
@rajabmohammed234
Жыл бұрын
Ma-shaa-llah Dada Zainab,Allah atakulipa ww pamoja n familia yk,Wazee wako walijitoa cz yenu nawe unajitoa cz yao.
@KassimUmeya
Жыл бұрын
Alhamdulilah Mashaallah Allah Subhana Wataala Awajaalie Kula la Kheri, Afya Nzuri na Saum Makbul, Ameen Yaarabbil Alameen.Shukran.
@shafiishabani849
Жыл бұрын
MashAllah huyu ndo mke sasa
@allyfutto8763
Жыл бұрын
MashaAllah Mungu awarahisihie kila kitu Aamin
@Emedroadtocanada
Жыл бұрын
Mmefanya vyema sana wamama wetu na dada zetu wa kiislam allah akubariki sana na awajaalie kila la kher
@valenakomba9218
Жыл бұрын
Hongera Sana Mkuù. Hata hivi ni Mungu tuu.
@ankojayjay7195
Жыл бұрын
Daaah Allah atujalie tuwe wazazi wema
@abubakaryduma5374
Жыл бұрын
Subhaana llah Allahumma Amiin Yaa Rabbi,Mwenyezi Mungu Amlipe Pepo Ya firdaus bi Mariam na Mzee Abdallah.
@ROBERT75376
Жыл бұрын
Hili ni jambo muhimu sana kwenye jamii yetu. Hongereni sana Women in Islam. Kupitia hili, nchi itapona. Wenzutu wa upande mwingine tujifunze hapa.
@dorislema2465
Жыл бұрын
Cyo wenzenu wa upande wapil,sema watu wote wajifunze kukua katika dini maana ata ao wenzako wa upande wapil wapo pia waliokua katika din,cyo waislamu wote ni wasafi au wakristo wote niwasafi apo wote tuige kukua katika maadili ayo yakumpendeza mungu sis na familia zetu
@zainishamohammed6752
Жыл бұрын
MashaaAllah MashaaAllah 🥰
@mwanakheri2880
Жыл бұрын
Maa shaa allah Tabaarakarrahmaan Mngu akuzidishie ilmu yako na mamako mzazi amzidishe kheir na kumlipa mazuri
@salmaibada1575
Жыл бұрын
Mashaa Allah
@ZainabuMlyatangu
9 ай бұрын
Nakukubali wajina mwenyezi mungu alinde muheshimiwa.
@hasaniabdalah6148
Жыл бұрын
Maashaalaah huo ndo uislam mungu atusitir na atupe wepesi kuiendea dini kwaukamilifu pongezi kwako dada yangu
Big up mkuu wa wilaya yetu Allah akuongoze leo mpk kesho
@glorymsopa4221
Жыл бұрын
Mashalaah jmn mungu atuongoze tulee watoto wetu vema
@raymondmunis3553
Жыл бұрын
Hawa ndio viongozi sasa wanahofu ya dini
@hanifatanzania7258
Жыл бұрын
Ongela mama umejitahidi kulea na Allah kakupokelea maombi yako. ALHAMDULILLAH. NAMINAMUOMBA ALLAH ANIONGEZEE WATOTOWANGU 🤲
@rizikiabdalla2501
Жыл бұрын
Allah anijaliee watt wangu Allah zidi kuniongolea watt wangu natamani watt wangu wawe kama hao
@haidarimfinanga9755
Жыл бұрын
Allah Akutimiziye hitaji lako. Aamiyn
@ummumuuminsalim4330
Жыл бұрын
Ma shaa Allah habibty Allah atuongoze ss na vizazi vyetu Aallahumma Aamiyn
@michaelndilima6210
Жыл бұрын
Maelezo yako mkuu wa wilaya muhimu sana na ya maana. Sana.
@vifarangakuku9098
Жыл бұрын
Mashallah nimejifunza kitu kwa wanangu inshallah.
@fettyrashid9042
Жыл бұрын
Yaaani umenigusa sana 😭
@amiribakari2528
Жыл бұрын
Yaani wew unapaswa umlipe maana alishawekaza kwako..mungu ananafasi yake nawe yakoo
@LukmanMaulid-ne5gr
Жыл бұрын
Mashaallah
@amirisenkopwa2163
Жыл бұрын
Mashaalah
@johnmalembo6464
Жыл бұрын
Viongozi kama DC Zainab wenye hofu ya Mwenyezi Mungu ndio wanaoweza badirisha nchi hii
@halimamfaume1925
Жыл бұрын
Bismillah MashaAllah ❤❤❤❤❤❤
@michaelndilima6210
Жыл бұрын
Safi sana
@benjo_brighter
Жыл бұрын
Mh. Yupo sahihi 🙌🙌🙌
@mbwanarajab4756
Жыл бұрын
Uislamu ulikua na nia njema na hata mavazi yao ni ya heshima. Waliopinga na kukwamisha leo wanajuta kwa jinsi maporomoko ya maadili yalivyozidi na wale wanaofuta uislamu ndio walionusurika tu
@reginaldhhayuma6907
Жыл бұрын
Saf sana.
@BIGBOSS-hl3bu
Жыл бұрын
Hongera sana mama ,Hongera pia bi zainab
@rukiamwinyihija7849
Жыл бұрын
MashaAllah .mungu awape heri .amiin
@rukiyyarukiyya6317
Жыл бұрын
Mashaallaah❤❤❤
@imamuhamisi4421
Жыл бұрын
Mashalaah ila muheshimiw kwakua umehifadh kitabu cha Allah basi uache na kurap,( kuimba,) maana shaona crip zako nyingi mpaka jukwaani unaimba , Allah atuongoze sote.
@Lo-33
Жыл бұрын
Mungu akubariki san zainabu
@3nllymhamad784
Жыл бұрын
Mashallah dada zainab allah azidi kukuongoza inshallah 🙏
@MohammedAli-rh5si
Жыл бұрын
Masha Allah Mungu atuongoze ktk malezi ya wtt wetu
@nassorkikumbih9025
Жыл бұрын
subhannah Allah
@GoboAhmed-mf4qo
Жыл бұрын
Wallahi bi zainab umenitoa machizi inshaalah mamayako bi marram allah ampe siha njema nilipenda kumuita dada kipindi kile tupo yemen school
@maryamtanzania9743
Жыл бұрын
Mkuu wilaya umenigusa kuna kitu nimekipata nalia nikikumbuka wallah lakini inshaalah kwa kuwa dua ndo kila kitu allah atanisaidia kwa hilo kwa kuwa ni kitu kinsniumiza kichwa
@haidarimfinanga9755
Жыл бұрын
Allah Atakusaidia katika hilo ambalo bila shaka ni la kheri. Aamin
@zumbeshauri8114
Жыл бұрын
Allah awajalie kheri inshaallah jamaa umepata mke bora wallah lakini imetupa funzo kuwa kumbe shule zetu za selekeri hazifai?
@salimmseza9588
Жыл бұрын
Daaaaaaa hatar
@kassimmanaramalika8592
Жыл бұрын
Subhaana llah Allahumma Amiin Yaa Rabbi,Mwenyezi Mungu Amlipe Pepo Ya firdaus bi Mariam,na awaifadhi wanae Allahumma Amiin,na atujaalie Na Sisi wote tuweze kuwalea watoto wetu katika maadili mema , Bismillah maishaallah dada angu WA kiislam umenigusa Shukran
@RashidAbbas-zy6xx
2 ай бұрын
Waambie NA wakuu wenzio NA wao wamuogope Mungu
@madamaisha1641
Жыл бұрын
Upo vizuri ila usijipambe mbele za watu jipambe ndani kwako kwa ajili ya mumeo,
@piliramadan875
Жыл бұрын
Sana muwashukuru wazazi
@dottohami
Жыл бұрын
Masha Allha
@saidybhokey5744
Жыл бұрын
mashallah allah akbar allah akbar allah akbar allah akbar allah akbar
@adidjaramadhan8668
Жыл бұрын
😭Masha’Allah jmni
@hussainmasoudsubhannallah3786
Жыл бұрын
Mashaallah tabarakallah
@omarkhatib4738
Жыл бұрын
Imenigusa sana Allah atusaidie
@nestor384
Жыл бұрын
story nyepesi sana hii
@khadijahali4837
Жыл бұрын
Hongera mama
@ramashauritanga8966
Жыл бұрын
TAQBIIIR
@yahyahamad1802
Жыл бұрын
maahallah
@piliramadan875
Жыл бұрын
Maashaallah maashaallah
@pinielloilole4340
Жыл бұрын
Mh kuna mafundisho makubwa/ushuhuda umetoa hasa kwa watoto wote bila kuangalia jinc. Mungu akubariki na wazazi tujifunze kupitia ushuhuda huu. Mungu akubariki sana. Ameeen
@rashidalmas3792
Жыл бұрын
MashAllah Allah atupe mazingatio wazazi wote
@husna34562
Жыл бұрын
Mashallah mama salma azeeki😊😊
@andrewkissavah8272
Жыл бұрын
Pamoja na hayo unamhitaji YESU uokoke maana hakuna mwokozi mwingine au njia ya kuingia peponi au mbinguni bila kumpa YESU maisha yako
@alimussa2655
Жыл бұрын
@@andrewkissavah8272 we kuma yesu ndio nani
@salmaalimusa6809
Жыл бұрын
@@alimussa2655 ucmtukane
@dorisfabian4776
Жыл бұрын
@@alimussa2655 Ndo hapo mnapochoshaga muda wote matusi tuuu afu sijui kwanini mnapendaga kutukanna kwa kutaja kiungo cha mwili kilichokutoaaaa
@kadrimwingamno258
Жыл бұрын
Ebu Jaribu kutu fafanulia unampa yesu maisha yako kivipi? Alafu yesu anamiliki pepo tangu lini....??.
@muna1165
Жыл бұрын
😢😢😢maneno yame nigusa sana
@bahatirobert1009
Жыл бұрын
Nimejifunza kitu sana MUNGU nipe uhai nilee wanangu
@salmaUthman-wo1ic
Жыл бұрын
Allahumma aaamin
@madamaisha1641
Жыл бұрын
Hata bado hujalia
@fredyosokoni7672
Жыл бұрын
Kumbatia wasazi wako plz plz 😭
@abdallahmohammed6079
Жыл бұрын
Salaam alykum warahmatullah wabarakatuh. Nasaha zangu kwenu kinamama na kinadada, tujifunze kuijua hijabu ya kisheria kwa sababu hijabu zipo za aina 2 moja ni hijabu jina na nyengine ni ya kisheria ambayo kwayo mtu akiivaa atapata thawabu kwakua amefuata amrita miongoni mwa amri za Allah.
@hussainmasoudsubhannallah3786
Жыл бұрын
Last hawawezi kuwa sawa
@salomewandya7257
Жыл бұрын
Dah nimejikuta nalia jmn😭😭😭
@annamussa185
8 ай бұрын
Pua sasa
@publicrelations4600
Жыл бұрын
Miaka 30 ushatoboa,Mungu ni mwema.
@estermathias8354
Жыл бұрын
Yan duh.lkn ni kwel maana anaonekana ni mdogo tu ata usoni afu mpole
@ashuuuaisha9122
Жыл бұрын
Nakumbuka wakati magufuli anamteuwa alikuwaga na 26 sikosei na ndio alikuwa kiongozi mdogo kuliko wote. Na pia aliolewa akiwa mdogo pia
@abelfrancis4327
Жыл бұрын
Mimi nimekubaliana na mheshimiwa mkuu was wilaya Mungu wetu hapa duniani ni wazazi
@zakiamseka9698
Жыл бұрын
First here
@abdillahrashidnassor7973
Жыл бұрын
😢
@salimmseza9588
Жыл бұрын
Umeongea kitu fact
@w4058
Жыл бұрын
Mkuu wa wilaya wa pangani alivyovaa itakiwavyo kapendeza
@shaabankona4150
Жыл бұрын
Mkuu wa wilaya gani ???
@hichayasin7244
Жыл бұрын
KUMBE ELIMU BORA IPO PRIVETI KUMBE HAWA WANAOSOMA SHULE ZA SERIKALI ELIMU SIO BORA! 😭,
@damariszuckschwert9489
Жыл бұрын
Kumbe elimu bora zipo shule binafsi za serikali bora elimu? Na mna vyeo humo lakini hambadili mfumo wa elimu.
@hajimuhidini1903
Жыл бұрын
Kitu hiki ndio kinachotakiwa kila mtu apewe mafunzo ya dini ili awe na khofu hapo ndio utumishi wenye maadili ndio utastawi katika ngazizote za utumishi
Пікірлер: 162