Huyo DC naona amjui Gambo. MWANANGU MAKONDA HOYOOOO❤❤❤❤👍👍👍
@MaryWuantet
Ай бұрын
Gambo na makonda nawapenda bure ....you're great Heros...am a Kenyan bt truth remain as it is.
@MezdDimoso
Ай бұрын
Tanzania 🇹🇿 nchi yangu nakupenda kwa moyo wote🎉
@noelbryson7840
Ай бұрын
Huyu DC kitendo chake cha kumnyoosgea mbunge kidole ni utovu mkubwa sana wa nidhamu.. Hayo siyo maadili ya kiuongozi hata kidogo
@user-jn2qj5wf6c
Ай бұрын
Kabisa mkuu wa wilaya asidanganye mm tangia nimemjua mh Gambo sijawahi kuona akiyumba Wala awez kudhoofisha maendeleo katika Jimbo lake nimpambanaji sana mim nipo bukoba lakin navutiwa na uyu jamaa kwa kaz zake
@petermkumbo5094
8 күн бұрын
Ila Mbunge kumwambia mkuu wa wilaya aache chokochoko ni sahihi siyo? Acha ushabiki mandazi.
@mohamedkimbwembwe-oi1rm
24 күн бұрын
Tunamuona makonda anapambana na dhulma na rusha wakuu wa mikoa mingine wapo kama wameoza hawafanyi hivi au wamefariki😂😂😂waki kimyaaaa
@mandraycompany533
Ай бұрын
DC anamsingizia Gambo aibu hii
@frankraphael7546
Ай бұрын
DC ajitambui zair anaonekana kupuyanga
@abelmkayala1573
Ай бұрын
Siasa na Mungu Sina Imani tusimuhusishe
@ShamsiKasoma-fn4cl
Ай бұрын
Wapelekee Moto Hadi waombe feni hao viongoz
@israelimarco6465
Ай бұрын
nikipata nafasi ya kuonana na wewe natamani kusema Mungu wangu akulinde in Jesus name
@user-mc2fx7oh6r
25 күн бұрын
Namuelewa saana makonda, itikadi zake ni kama hayati magu,, mungu azidi kumrinda,, IPO siku atakalia kiti Cha uraisi wa inchi
@EmanuelyMbagalla-rt2vm
Ай бұрын
Mkuu wa Wilaya analalamika kwamba watu wanazungushwa maofisini, badala ya kutuambia amewafanya nini hao wazungushaji. Yaani anashtakia kana kwamba yeye sehemu ya serikali.
@user-cw8zn2dn6m
Ай бұрын
Safiiii sana mh Gambo, yuko fresh.
@user-rr8cw8yl5o
Ай бұрын
Gambo na Makonda Mungu awajalie fanyeni kaz jmn
@davidkorduni6176
Ай бұрын
Wewe mkuu wa Wilaya unafanya Nini hao watu wasilipwe, mpaka ujeumwambie mkuu wa Mkoa, Makonda baba lao baba lao.
@rogersiddy
Ай бұрын
Huyu Gambo sio mgeni walishagombana sana Rema kwaiyo anapenda sana kujikweza mbele za watu
@machasofficialsite6221
22 күн бұрын
Yeye leo hii akikoromewa kidogo tu na DC anawaka ...hii ndio ile what goes around,comes around
@dilludillu2747
Ай бұрын
Huyu Dc hana kazi tena,Mama lazma atumbue
@monicachacha455
2 күн бұрын
makonda ❤❤❤❤❤❤
@user-nj3df3ed9d
Ай бұрын
Mueshimiwawaa🏄🏄 ❤❤❤❤
@claudbusumilo3979
Ай бұрын
HUYU MKUU WA WILAYA HAUJIELEWI ATA UKIMSKILIZA TU HATOSHI KUWA ARUSHA
@MohamedMkota
27 күн бұрын
Kwaelimu yang ndogo hi mkuu wawilaya sy tupa kule😅
@leonardjohnson2058
Ай бұрын
Mkuu wa wilaya atolewe ndo jipu hapo Arusha
@frankraphael7546
Ай бұрын
DC anashida kubwa anaonekana zair
@user-jn2qj5wf6c
Ай бұрын
Kiukwel mim binafs nakubar sana kaz za mh Gambo Sabaya na Makonda Hawa jamaa ni majembe sana hawaga mambo ya siasa wanapo kuwa kwenye utekelezaj wa majukumu
@shabanponera2895
Ай бұрын
Sabaya!! Nakataaa,
@user-jn2qj5wf6c
Ай бұрын
@@shabanponera2895 Ndg mm sikatai mawazo Yako mm sio masai Wala msukuma Wala sio jamii yake na mh Gambo lakin Hawa jamaa wakiwa kazin hawaekit wapo sawa ata uniwekee panga shingon sitapinga uwezo wao🔥🔥
@user-pi5df7qu3y
Ай бұрын
Naiyona njozi ya 2026 makonda kuwa mtu mkubwa kwenye nchi ya Tanzania mungu akubariki kwenye safari yamafanikio
@juliusjkalela9164
Ай бұрын
Na iwe hivyo tungeomba xana asije badrika
@barakasenyagwa30
Ай бұрын
Ameeeeni
@raphaelkorio2435
Ай бұрын
Nimesikia mbunge akisema Mh Makonda angekuwa Arusha toka mwanzo, na kabla ya makonda nani alikuwa mkuu wa mkoa?
@geey7893
Ай бұрын
Naibu katibu Mkuu CCM Bara (Mongela) boss wao sahiz😅😅Gambo wanakata jina 2025
@kamanapomo7029
Ай бұрын
@@geey7893😅😅😅😅😅
@RichardAfizai
22 күн бұрын
Ikosawa
@paschalpaul3862
Ай бұрын
Mkuu wa wilaya hana uwezo kwenye eneo lake
@BrightVistaMedia
Ай бұрын
Tanzania nakupenda kwa moyo wote!!!
@frenkanjele3281
Ай бұрын
Makonda anakazi kubwa
@user-jo9gp5tb9w
Ай бұрын
Gambo anamatatizo nikweli haelewan nawenzake kuna mungu ndo anajua kwenye roho yako kua unampenda makonda au la
@sapikiwanga6154
Ай бұрын
Mkuu wa wilaya jitadhimini,punguza muhemko ww ni kiongozi.
@RichardAfizai
22 күн бұрын
Makonda unanikumbusha makufuri
@HashimYahya-ic2wn
Ай бұрын
Mimi naona mku wawiraya wa arusha awe mwanajeshi
@Mapenzi2635
Ай бұрын
Siyo changamoto, shule ndogo
@marthaminja309
Ай бұрын
No no Makonda uko sawa uyu gambo sijui
@DamianJustine-hs6dk
Ай бұрын
Tanzania 🇹🇿
@victorjames3730
Ай бұрын
Gambo si alikua Mkuu wa mkoa huyu!!!? Hii nchi Ina wanafiki
@amanpeace5237
Ай бұрын
Huyu ni muasisi wa matatizo yaliyopo,kawa Mkuu wa Wilaya,kawa Mkuu wa mkoa
@derrickmbaku4768
Ай бұрын
Nahisi hamkufuatilia Gambo kipindi hicho Gambo alikuwa moto sana enzi za JPM
@victorjames3730
Ай бұрын
@@derrickmbaku4768 moto wa kuwabana wakosoaji wa JPM? Yeye anamsifia makonda Tena ansisitiza kuwa amechelewa kuja Arusha! Inamaana gambo alipokua RC kwenye maendeleo hakuna alichofanya.
@emmiemmi3861
Ай бұрын
😂😂 chokochoko
@Eliaskasanya-hm5yk
Ай бұрын
Rc Makonda tumia hekima ya kuwakutanisha Dc na Mbunge ili mambo yakae sswa. Usiwaache waendeleze malumbano au Dc ahamishwe
@GibsonNtamamilo
Ай бұрын
Watu hamumjui huyu Mkuu wa Wilaya. Kiufupi anatisha sema kwa mafasi yake Mkurugenzi na Mbunge wanameza. Jamaa yuko vizuri tu.
@hijazhija316
Ай бұрын
Anatishaje
@fdizzo
Ай бұрын
Weee! Usiniambie kwamba ni jini uyu mkuu wa Wilaya yani kama NSYUKA
@michaelmaziku991
Ай бұрын
Kumbe hata ninyi wana ccm manajiuliza kwan hp kabla hapakuwa na mkuu wa mkoa lkn leo huy aliekuwepo ndio kapewa cheo kikubwa kuongoza chama km alishindwa kutatua matatizo ya wana Arusha leo ataweza kwl kuongoza chama kinachoongoza dola hp ndio wanatawala wanapofeli kukumbatiana ht kama si vingoz wazur
@napepaul
Ай бұрын
makondaaa hatariii
@hanifamziray277
Ай бұрын
Tena wakukome na wakuache
@ANETHKANSHWI-op8ow
Ай бұрын
Huyo mkuu wa wilaya aamishwe tu ana kitu.mama samia wanaopendekeza majina ya wakuu wa wilaya wanakukwamisha. Ondoa, hamisha
@Shayojjj
Ай бұрын
Kwani GAMBO MWENYEWE SI ALIKUA MKUU WA MKOA WA ARUSHA KWANI ANATAKA KUTUDANGANYA NNI
@ladyanniemushi4964
Ай бұрын
Hahahhaha
@simongwandu7392
Ай бұрын
Ongea hayo Bungeni
@Kidd11168
Ай бұрын
Swali ndogo tu, kuhusu hawa watendaji WA idara za serikali zetu, Nani anawateuwa, ana tumia vigezo gani na Nani katika ngazi za wilaya anaye wasimamia ni nani?????????. Mizigo sio kidogo. Nchi ina Baki kuwa Shamba la bibi kila Kona.
@AMENMUSHI-wt4li
Ай бұрын
Mmm
@user-tk4es1uw7e
Ай бұрын
Mbona ume kata video
@Damian-tt8fv
Ай бұрын
Kwanza ni aibu viongozi kulumbana mbele ya wananchi. Ni aibu DC kulalamika ameonesha uvulana. Kama kuna tatizo kuna problem solving techniques au hamkupita shule? Kulumbana ni ushamba wa uongozi. Nawaonya mjirekebishe unless other ways vibarua vitaota nyasi
@user-uo6zj2jm3e
26 күн бұрын
Wewe hupatani na watu na wewe lini wewe umeyita wananchi
@ernestmillinga7116
Ай бұрын
Mkuu wa wikaya kilaza kweli..analeta excuse wakati yye ndio mfanyamaamuzi..daahh..mkuu wa wilaya anaongea politics..
@rajabumtuga7372
Ай бұрын
Hapo ndo unapojua kuw mkuu wa wilaya sio mkubwa kweny wilaya. Anaona madudu yanayo sababishwa na wana siasa lakin hawez kuyatatua kabisa. Wanasiasa ni wabaya sana
@stephenndagalla8183
Ай бұрын
Gambo kabla ya kuwa Mbunge alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha. Iweje alishindwa kuondoa Matatizo hadi aje Makonda? Huo ndio UNAFIKI wa baadhi ya Viongozi ndani ya CCM.
@evansmoshi1923
Ай бұрын
Kipindi gambo akiwa mkuu wamkoa Rais alikua magufuli kulikua hakunaga mambo ya kipumbavu.
@rosetreffert4179
Ай бұрын
Kabisaa @@evansmoshi1923
@rosetreffert4179
Ай бұрын
Na changamoto nyingi ni kipindi hiki cha samia watu wamejisahau
@eliudgathuthi8601
Ай бұрын
Why two different scenes
@atupelejohnmwakangale3226
Ай бұрын
Kwa kweli mkuu wa wilaya ni bora akapangiwa kazi NYINGINE KABISA. Haiwezekani mkuu wa wilaya analalamika kuhusu watendaji wa serikali wakati yeye ndiye anamuwakirisha Rais.
@peterlangay6469
Ай бұрын
Kuanzia akiwa dc makonda alikuwa ananyesha kabisa kuwa ni kiongozi shupavu
@user-zu8ou2oe4c
Ай бұрын
Najiuliza kama arusha mjini viongoz mnakir mirad haikamiliki kwa wakat je huko katavi duu huku mnanyoosheeana vidole daa
@PhilipoMwita-wc1ku
Ай бұрын
Kama haya matatizo haya hapo ni arusha tu hii nchi imeoza
@YavanMusa
Ай бұрын
Mheshimiwa Makonda tunakuombea Yeremia 1:18-19
@davidkorduni6176
Ай бұрын
Wewe mkuu wa Wilaya ulivyokuwa Katibu tarafa ulitusababishia mgogoro mkubwasana mtaanikwetu, mpaka kwenye familia yetu.
@juliusjkalela9164
Ай бұрын
Nakubali xana ila mama samia tunamuomba huyu makonda mkoa kagera maana uonevu na unyanyasaji umezidi kpimo
@barakanatus5676
Ай бұрын
Gambo anashida anagombana na kila mkuu wa wilaya
@user-ty2kc5jy7s
Ай бұрын
Hivi mike kwa jina lingine inaitwa fursa
@jumamagoma1743
Ай бұрын
Ccm.kweli.mmefika.mwisho.
@hijazhija316
Ай бұрын
Pumzika
@leokamil6284
Ай бұрын
Alafu kuna wajinga wanadhani sjui nchi ipo mikononi mwa chama kingine na sio CCM. Imeoza itoke tu
@dynamicmwakibinga4371
Ай бұрын
Ameshacalculate aibu katika asilimia!!!!!!
@erastomwambeje9920
Ай бұрын
Sasa ondokeni madarakani,hamuwezi sasa
@user-sy2mp7mm8u
Ай бұрын
Mkuu wilaya Toa hoja achana na story
@mussaelias3535
Ай бұрын
Sasa ww umeshindwa kuchukua hatua unamshitakia mkuu Wa mkoa wakati unamamlaka ya ukuu wa wilaya
@FredMwamgogwa-td6ni
Ай бұрын
Makonda ndio kiongozi hapo arusha huyo mbunge nae hamna kitu mkuu wa wilaya nae halmashauli imemshinda.
@user-jo9gp5tb9w
Ай бұрын
Hakuna kumjua hpo makonda haelewanag na wenzake
@Man_of_valor
Ай бұрын
Hao Viongozi wawili wanaonyosheana vidole hawajaiva kabisa, kiuongozi,,,,,,,hawakutakiwa kufanya hivo mbele ya wananchi,,,,,,ila bora ata wamejionesha si tunasemaga "acha mvua inyeshe tuone panapovuja"😂
@jamesngocho1356
27 күн бұрын
Gambo aliyafanya the same kama mkuu wa wilaya alivyo kuwa mkuu wa mkoa kwa mbunge Lema Shem on CCM, pia kuna kitu kwa gambo ni kawaida yake kugombana na wenzie yeye aonekane bora
@GoodluckMichael-hb1bv
Ай бұрын
Uyu jamaa mbona simuelewi, sialikua mkuu wa mkoa? Jamanii😅😅
@alphoncewilliam4325
Ай бұрын
Mkuu wa wilaya muhuni kiti akimtoshi
@barakanatus5676
Ай бұрын
Gambo kila kiongoz anagombana naye
@pavillioncry5241
Ай бұрын
Kwa nn nyie viongozi hamuheshimiane apo mna nn
@niceTZA
6 күн бұрын
Gambo ww ulikua mkuu wa mkoaa. Umeona mapungufu yako ulokua unafeliii
@msafiriomary893
Ай бұрын
Tutawapiga chini 2025
@ernestmillinga7116
Ай бұрын
Gambo ni andazi kabisaa..
@user-ej5sl9mn5k
Ай бұрын
Gambo ulikuwa wapi muda wote
@hijazhija316
Ай бұрын
Hukua wamskia akigombana na viongozi wa serikali huko Arusha?au umenunua smartphone leo mkuu
@JUU-lw2je
Ай бұрын
Hv wewe gambo si ulikuwa mkuu wa mkoa wa Arusha acha unafiki kenge wewe
@rosetreffert4179
Ай бұрын
Unafiki weewe gambo alikuwa kipndi cha Magufuli huu uchafu haukuwepo !watu mnajisahau
@wilfredywilhelm1426
Ай бұрын
@@rosetreffert4179nini cha maana alichokifanyaga zaidi ya kugombabaga na Lema tuu.. acheni unafki bwana
@ELISHAMANGALA-se3ow
Ай бұрын
makonda wewe umechaguliwa na mungu kwa wakati huu kutengeneza mahali palipo bomoka katika nchi ya tanzania kwaiyo usiogope maana mungu yu pamoja nawe
@StephenMassawe-tx3uv
Ай бұрын
Sasa mnapigana wenyewe baada ya kumalizana na wale jamaa siyo?
@George-jz3jg
Ай бұрын
Mkuu wa wilaya we ni bwege kweli hufai kuwepo kwenye hiyo nafasi
@linogodson6478
Ай бұрын
Huyu mkuu WA wilaya ataondoka Arusha wiki ijayo hatunae.aoini ata aibu kusema mirad hajamalizika wakati yeye ndie msimamizi.ninavyo mjua Baba Kigan Zuhura ameanza KAZI ya kupangapangua
@geey7893
Ай бұрын
Yani Mkeka ujao mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi wake kumekuchaa😂
@dennisezakiel3380
Ай бұрын
Lakini wewe gambo ilikuwa mkuu wa mkoa hapo arusha kwanini hukuweza kutatua hiyo migogolo
@gerardyoung1707
Ай бұрын
Mkuu wa wilaya ni hamna kitu mambo yake mengi ni siasa rais muondoe huyu hafai
@TumtukuzeMbise
Ай бұрын
Walikuwa wamezoea kunyooshea vidole wapinzani kasahau kua huyo ni ccm mwenzake msameheni bure
@loishiyesamwel1374
Ай бұрын
Hakuna mgogoro Arusha usiomhusu huyo Gambo, Tokea Enzi za Magufuli, Maendeleo ya Arusha yamechelewa sana kwa sababu ya huyu Jamaa, uliza Stend kuu Arusha iko wapi? Kumbukeni Gambo alikuwa Mkuu wa mkoa wa Arusha
@leokamil6284
Ай бұрын
Huko Moshi mji ndio umeoza masoko mpaka barabarani hamna pa kupita watembea kwa miguu
@mariamjamali1444
Ай бұрын
Ma RC na DC wengi wao ni kero kwa wananchi japo hata baadhi ya wabunge lkn wabunge ni saizi yetu mitano tunamtoa lkn hili kundi lingine ni shida sana!
@jacobmakono4399
Ай бұрын
Gambo yuko poa,DC fake!
@ramadhaniabdulkadry288
Ай бұрын
Hakuna kitu wote wawili hewa tupa kule. Hii nafasi gmb alikua nayo MBONA alikua anafumbia macho hakuweza kuyatatua .IWEJE Leo ASEME Arusha ni shamba la bibi na YEYE alikua mkulima MMOJA wapo. Akitoka YEYE NDIO LINAKUA shamba la bibi.alipokuepo lilikua shamba la nani.. wote HAWO wawili tupa nje .ni cheche
@user-vv9kk3gz5f
Ай бұрын
Makonda wewe jembee
@aminaomary5567
Ай бұрын
Mwanangu ili kumaliza mambo hayo DC ahamishwe.
@gasperandrew3719
19 күн бұрын
Huyo mkuu wa wilaya huyo simuelewi. Sawa umeona madhaifu ya wilaya yako. Je umechukua hatua gani kuondoa madhaifu hayo? Sasa wewe tena unalalamika kwa mkuu wa mkoa. Sema2 makonda hana mamlaka ya kukutumbua ila angeshakutumbua
@amanpeace5237
Ай бұрын
Gambo wewe unazingua,Ulikua mkuu wa mkoa hujatatua lolote,umeacha matatizo tu
Пікірлер: 126