Nafikiri angeweza kueleza namna ambavyo amerweza kupambana kuliko kuelezea maisha aliyonayo. Watu wanapenda kusikia steps za kufuata ili na wao wajifunze.
@michaelngadi8178
Жыл бұрын
Congratulations dada masipetii uko vzr # ni maamuzi magumu xana kuacha kazi na kujiajiri ukiamn ndo Moja ya njia ya kutoboa kupitia biashara # keep going # uthubutu, kujituma, na nidhamu ya pesa ndo imekufanya uwe hapo pia baraka za mungu kupitia wazazi # kuhusu biashara ameshasema yey amejikita kwenye kuuza bidhaa za kuwasaidia wanawake Kwa wanaume katika mambo ya uzazi na amesomea pharmacy # hayo mengne ni additional au feeling zake
@winniecharles8883
Жыл бұрын
Congratulation dear nami napenda kufanya biashara
@enelybukuku6902
Жыл бұрын
Hongera Sana mdogo wangu,hakika umepambanana.wanawake tunaweza Tena tukijiamini tunafanya Mambo makubwa
@jojigeorige1056
Жыл бұрын
Bahati nzuri nimeangalia hii interview kupitia WI-FI, Naweza sema ni mojawapo ya interviews mbaya kuwahi ziona. Mbali na majigambo sijaona content ambayo inaelezea footprints zake, hicho ndicho audiences walikitaka. Bora angesema ka trade forex au crypto currency tujue moja, au alipata mentor aliyempa connection za uhakika za import products za China...
@jovanafidelis2802
Жыл бұрын
Majigambo sana
@mwitaagness455
Жыл бұрын
Mpk nimeacha kuangalia
@masalakulwa7601
Жыл бұрын
Naunga hoja
@kanyanga0852
Жыл бұрын
Maisha ni Siri nzito, mwingine anasema aliuza mihogo, mwingine vitumbua na mwingine mambo mengine ukiyafuata utajikuta upo somaria, anyway ni ya kuangalia tu hayo mambo ya familia masikini aka fukara
@joelsamwel2580
Жыл бұрын
Uyo dada namjuaaa ni tapeli anakuzia dawa kwa laki 3 ukauze anakwambia utapata faida ya laki 6 muongoooo sana
@marymwamwezi4837
Жыл бұрын
Hongera sana mdogo wangu nimekupenda na mungu akubariki Sana Sana Sana. Naitaji ushauri wako
@rebekamutta3033
Жыл бұрын
Hongera sana dada. Mungu azidi kukupandisha
@lyidiakaburure8129
Жыл бұрын
Hongera sana Dada ukweli umenifurahisha sana natamani nionane na were uniambukize upako wa kutafuta pesa Mungu aendelee kukutunza.
@favourfranciss2111
Жыл бұрын
Tumekuwa inspired 🙏Thank you Millard 🙏You are the best
@m.m.tvmbebamaono
Жыл бұрын
Safi sana mass peti mwewe ni mfano wa kuigwa nimeelewa zaka na sadaka
@mcback4384
Жыл бұрын
positive chanya ndio vizuri, negative ni hasi naona unayachanganya, kikubwa ninachokuunga mkono ni fungu la 10, nimefanya kazi mwaka mzima sikujua mshahara wangu ulipokua unaenda wote ila baada ya kutoa fungu la 10 miezi miwili tu nimeona mafanikio makubwa, hilo nakuunga mkono
@josephlorri431
Жыл бұрын
Hahaha, positive nyingine nzuri hasa kucheki afya mf HIV test, na magonjwa mengine
Cha msingi hapa ni kila mtu apambane tuu, mafanikio ya mtu yakupe wivu wa kupambana ili kuyafikia malengo yako. Na watu mjifunze pia sadaka huwa inanena !! Kama Mungu ndiye aliyemuwezesha na akuwezeshe wewe na mimi pia !! Tupambane tumheshimu Mungu na tutafute hela !!
@nassirmohamed8492
Жыл бұрын
Kweli kabisa
@angelavayinga914
Жыл бұрын
Kweli kbs tutafute hela
@floraflora5964
Жыл бұрын
Kweli
@evalinmsengi4327
Жыл бұрын
Samahan Dada naomba mawasiliano yako ili unisaidie kitu tushee mawazo naomba sana
@philipphanuel9558
Жыл бұрын
Biashara mtandao ndio nini
@user-im3nb1ed2e
6 күн бұрын
Mimi nataka hunisaidie nipo mozambique nakupenda sana
@GladnessMarandu-qp3oz
Жыл бұрын
Mwenyez Mungu na akujalie hitaji la moyo wako dada,pia nahitaji ushauri kutoka kwako ,
@jacklinemassawe-cz8it
Жыл бұрын
Usingetaja zaka ningeona fremason na mm😂😂😂😂😂 zaka ndo kila kitu. Zaka kamili baraka kamili. Ngoja niendelee kuangalia sasa naomba umeze mate kidogo shoga angu❤❤❤❤❤❤❤❤
@innocentcareen818
Жыл бұрын
Toa zaka mama kikamilifu utaongezewa na kuongezeka
@castorymhoja6050
Жыл бұрын
Muongopeni mungu sema ukweli kujenga sawa umuli na mda wa kazi hauendani agekuwepo magufuli ulitakiwa ukanguliwe biashara yako acha uongo .unabiashara nyingine umeificha
@imankyamba4424
Жыл бұрын
Ina maana Magufuli alikuwa anakomoa watu au sio ndio maana hayupo leo
@claramrosso2566
Жыл бұрын
Dada muongooo
@dorcassoza6416
5 ай бұрын
Ni roho Mbaya, ukichukua maamuzi magumu kila kitu kinawezekana, ni akili tu
@dorcassoza6416
5 ай бұрын
Achane roho Mbaya, kwenye biashara inawezekana kabisa, mshahara ni pesa ya kutunza familia
@dottohami
Жыл бұрын
Masha Allha hongera sana dada umeweza mpenzi 👌😘🔥wacha na mm nipambane huku🇴🇲
@precioussilungwe7365
Жыл бұрын
Umenitia hasira ya maisha...umri wako na mambo yako tofauti it's like u re my daughter...hongera sana sana.
@hamadgimat5669
Жыл бұрын
Hongera Sana na mungu azidi kukulinda hasa katika swala zima. Lamapenzi kwa wazazi na mtoto
@rahimaaaaa5682
Жыл бұрын
Amiina
@ernestamnyanyi9603
Жыл бұрын
Your inspiring me
@christinachazy8644
Жыл бұрын
Hongera sana natamani kufika hapo ulipo ngoja nipambane nakosea San kutokuto fungu la kumi
@manjaugodwin7834
Жыл бұрын
Jaman hongera sana mdg wangu
@kulwanzobe7657
Жыл бұрын
Hongera Sana Dada kwa kupambana
@lucymrosso6930
Жыл бұрын
Nmekupenda sn. Asante
@mwanatz5980
Жыл бұрын
Hongera sana 😍💪
@minjesha
Жыл бұрын
Hongera sana masipeti..ila kitu kinachonikwaza ni kuweka account private ya instagram..ni bora ungefungua ndio ungepata watu wengi zaidi..Anyway kuhusu jiko la nyumba unasema ni quality sana yes ni zuri ila jiko dogo sana..jiko langu ukiona mamy..its very big..kubwa la kutosha..kibongo bongo umeweza sana..hongera..
@salymkitumbika8644
Жыл бұрын
Kweli NGUVU za kiume ni janga aisee namimi soon ntaanza kuuza by the way hongera sana
@jitabojilala6162
Жыл бұрын
Barikiwe sana
@NeemaMuna-eq2cg
Жыл бұрын
Safi sana unaweza kunielekeza na mm dada
@joyceabeli3787
Жыл бұрын
Nimekupenda sana dada pia napenda sana watu wapambanaji na wanaotia nguvu nasio wanaokatisha tamaa sijui kwanini mtu akishindwa anakatisha tamaa
Ndo miaka 29 mitaa ipewe jina lako na serikali ilikataa na wanaona ujinga huu, halafu ukiona una pesa unajisifu jua kuna walakini
@gasgartv6931
Жыл бұрын
Dada angu masipety Mzungu sana Ana roho safi sana
@annaluciahillary5107
Жыл бұрын
Nimekupenda San dada🥰🥰🥰
@nawandafamito500
Жыл бұрын
Yani nimempenda mpaka raha, na mwenyewe yupo na furaha ya ushindi, hongera sana
@DanielJames-of7yr
Жыл бұрын
Uko vizuri Sana dada, naomba tuwasiliane unisaidie kitu
@joelsamwel2580
Жыл бұрын
Wohii huyu dada ni tapeli alituita makumbusho melinium tower atupe mchongo wa kujiajiri akatuambia tununue dawa kwa laki 3 tukauze tutapata faida ya laki sita na atatusapoti kupata wateja mweee mweeee sio poa mjoja wetu alitoa hela yake hakupaata wateja wala hakuuza chochote na pale alipo kuwa anasema ndo offisi yake hakumkuta jamani ninacho wambia ninakijua msije mkamtafuta huyu dada ni mwiziiiiii
@veronikamwampashe984
Жыл бұрын
Axante sana dunia imeisha
@shamimushittindi1418
Жыл бұрын
Waambie
@nambuacassandramlaki3516
Жыл бұрын
Hongera sana,umeweza.
@ShamsiaShamsia-qr4lh
Жыл бұрын
Mashallah ❣️♥️ asante Sana
@boashamah3642
10 ай бұрын
Money Talks my dear friends And well done my big sister ❤
@user-fq7rq3sb9c
7 ай бұрын
Nimekupenda mnoo mdogoang hongera sana
@siriyangu4724
Жыл бұрын
Izo comments noma 🤣🤣🤣mashallah lkn dda kila atakula kwa urefu wa kamba yke alaaah 💃
@immabahatiimmabahati2373
9 ай бұрын
Huyu dada alitaka kunitapeli 1 million ila nilimshitukia huyu ni tapeli kila siku akaunti mpya kumbe ndo pesa zetu unajengea nyumba ukishatuma tu pesa unabrokiwa😂😂😂😂
@maryamkhamis724
Жыл бұрын
Asalaam aleykum huyu dada muongo sana na ni mwizi wallah katuibia pesa huyu dada karibia milioni mbili tulitaka dawa za uzazi na matatizo mengine nasi tukamtumia pesa wallah naapa na Mie muislam huyu dada hatujamsamehe ataenda kutulipa kesho AKHERA in sha Allah Yaani Ata siamini Kama kachukua pesa ekesha haja tutumie dawa kila nikikumbuka roho inaniuma sana Allah atatulipia kwa huyu dada mwizi anaibia watu pesa kuhusu dawa munaongea na Sim uzuri unatuma pesa ekesha hatumi dawa wala nn izo Mali za utapeli nenda uko bonge unanenepa kwa Nguvu za watu looo 😢😢
@jasminmayumba9421
Жыл бұрын
Pole sana dada, hakika Allah atakulipia
@shamimushittindi1418
Жыл бұрын
Ni ukweli tapeli mzoefu huyu Kuna rafiki yangu pia alimtumia pesa ya dawa za uzazi kamkalia kimyaaa muongo sana
@maryamkhamis724
Жыл бұрын
@@jasminmayumba9421 Ahsante sana ndugu yangu hakika malipo yapo kwa Allah
@maryamkhamis724
Жыл бұрын
@@shamimushittindi1418 tena muongo sana huyu dada kwa Kweli Allah yupo atatulipia haki ya mtu haipotei
@innocentjoseph805
Жыл бұрын
Dada mdogo mwenyewe pesa nyingi + chief God love tafuta pesa💪
@hidayamotto7210
Жыл бұрын
Seema biashara gan unafanya bas🤣unajisifia mnoo
@MyMercy84
Жыл бұрын
Big up Masipeti
@hubman6780
4 ай бұрын
Hongera dada iwe iwavyo hongera dada yangu🎉🎉🎉🎉
@roseombay2086
Жыл бұрын
Zaka na sadaka,asante dada
@uviko8848
Жыл бұрын
Biashara yake Ni ya mtaji mkubwa Ana pharmacy anauza madawa, madawa yanalipa sana faida Ni nusu kwa nusu. Ukieka mia unapata Mia mbili.
@zaitunirajabu1317
Жыл бұрын
True kabis 🤸🤣🤣inapesa chafy
@uviko8848
Жыл бұрын
@@zaitunirajabu1317 sanaaa
@kelvinnjawike1808
Жыл бұрын
Very inspiring hiz kaz za medical za kidwanz sana unasoma kwa garama na mda mrefu unakuja kulipwa lak 3😂😂😂😂😂 usipokua makin utaishia kununua kadeti na iPhone tu
@samorasanga2230
Жыл бұрын
Hongera sana mfamasia wenzangu naomba Namba yako Kwa mawasiliano
@kamogesamuel2461
Жыл бұрын
Mimi ninaheshimu watu proactive. Ninaomba kuongea nawe zaidi ili kujifunza jambo.
@timoliiisaya3824
Жыл бұрын
@@kamogesamuel2461 we baki na njaa zako ustegemee utakua Kama yeye😆
@florabuzoya3948
Жыл бұрын
Woow congratulations
@user-uw9rz5zo7j
7 ай бұрын
Hongera dada na mm nitafuata nyayo zako
@imagepower3641
Жыл бұрын
Uko vizuri
@esterdoriye8377
Жыл бұрын
Milard ayo umekosea kumpa mic 🎤 aongee mwanzo mwisho ungemuhoji wenye mafanikio wanataja hiyo biashara anayoficha
@jenifagerald1822
Жыл бұрын
Ndio hapo,,,,mbn hataji hiyo kazi ili na sisi tujifunze
@Nairathotmail
Жыл бұрын
@@jenifagerald1822 mwizi ndo maana saivi kaja na huku apate kuibiya watu zaidi
@pendo8082
Жыл бұрын
Hongera sana ila ninachojua mm mafanikio ni siri ya mtu
@gracekenan4665
Жыл бұрын
Umesema kweli unaweza ukaanza biashara iyo wewe usitoboe ....watu Huwa hawasemi behind hizo biashara
@pendo8082
Жыл бұрын
@@gracekenan4665 ni kweli watu wengi hawasemagi ukweli
@lemalema3613
Жыл бұрын
Well done. So inspiring. Keep it up.
@petermuhoro2236
Жыл бұрын
napenda unicanue kama ifo, napenda kuwa kama wewe tafadhali
@petermuhoro2236
Жыл бұрын
nakusikilisa sawasawa
@rehemamfugale4388
Жыл бұрын
Hongera sana, naomba na mm unishike mkono mm ni dereva wa maloli, sema trela
@melch3097
6 күн бұрын
Umeshapata kazi, tutafutane
@gaomariwa7637
11 ай бұрын
Classmate🎉🎉 hongera
@FeywisNoel
2 ай бұрын
Mm nimesikiliza mpk mwisho ila hata cjaelew n biashara gan anafanya
@hope-eversam1278
10 ай бұрын
Nimekupenda, 1 kuwapenda wazazi na mimi nakupa baraka pokea mwanangu
@leilamsafiri8320
Жыл бұрын
Jinsi anavyojisifia ukitaka kuliwa vipesa vyako kidogo ulivyo navyo.basi mtafute huyu dada akuonyeshe biashara ndio utajua kulanguliwa ni nini
@neemagellop2532
Жыл бұрын
Nimecheka
@winniecharles8883
Жыл бұрын
Napenda kufanya biashara lkn cjui pakianzia❤
@MaryNgoi-
Жыл бұрын
😂😂😂😂
@veronicatemba7683
Жыл бұрын
Huyu ni muhun niliwahi kumtafuta nikaongea naye mwisho nikagundua ni tapel nikamkacha
@marthasomi
Жыл бұрын
Hongera mdogo wangu
@maryamsaleh8438
Жыл бұрын
Ma sha Allah lkn tambo nyingi kama Haji Manara
@hyacintagugu7
Жыл бұрын
Jamani huyu binti namjua wakati anaishi boko ni mpambanaji mnooo...hongera my dear..
@NataliaKenny-vb6os
10 ай бұрын
Anafanya biashara gani?😢
@khafsayahya4066
Жыл бұрын
Masipety❤️❤️❤️
@floralyimo1609
Жыл бұрын
Hongera sana dada
@ndohoriomsacky445
Жыл бұрын
Jamani watu wa mkoa wa Kilimanjaro wanajenga hatari jamani wanajenga majumba y hatari wanashindana tokeni mikoani mingine nendeni mkoa w Kilimanjaro mjifunze huko
@Burner_Acc
Жыл бұрын
Unafanya biashara gani ndo jambo la msingi, maneno mengi bado sijui unafanya nini zaidi ya kusema wewe ni single mother na nyumba zako. Hongera anyhow
@Jackmushil
Жыл бұрын
Neolife/GNLD ni network marketing
@husseingabo5497
Жыл бұрын
@@Jackmushil hakuna biashara ya namna hiyo hao ni matapeli fungukeni
@Jackmushil
Жыл бұрын
@@husseingabo5497 kwani nimeandika nini hapo
@Burner_Acc
Жыл бұрын
@@Jackmushil kumbe matapeli wa network marketing
@Nairathotmail
Жыл бұрын
@@Burner_Acc nitapeli kweli mie kanitapeli pesa nyingi sana naona saivi kaja hapa
@achouraachoura5763
Жыл бұрын
Masha'allah
@getrudahiasint3198
Жыл бұрын
Dadaaaa nimeipenda sana ulivyofanyikiwa lakini unajisifia sana
@thadeynyenza4948
Жыл бұрын
Mafanikio ni Mungu, huwezi kuyapata kwa kusikiliza waliofanikiwa. Baki na Mungu akupe na wewe
@charlesrongo3615
Жыл бұрын
follow the process of success✊
@evnctmb1824
Жыл бұрын
Ongera Sana dadaa
@selestinantandu6530
Жыл бұрын
Hongera mpenz
@johansenrauben6166
Жыл бұрын
Bina fusi na pambana kuzitafuta fulusa ila sielewi mambo ni mengi na sielewi cha kufanya Kama kuna mtu anaweza nisaidia network karibu
@chifuthedoni8889
Жыл бұрын
Kupata ni siri ya mtu! Haijalishi una umri gani! Kama umepata ni siri yako! Ulivyo fanya unajua wewe na mungu wako!
@dicksonkilupa2258
Жыл бұрын
TUSIMVUNJE MOYO HATA SISI TUNAWEZA MAADAM HATUJAFA BADO ILA TUCHAPE KAZI.
@Jackmushil
Жыл бұрын
Lazima atangaze maana ndoa anavyotangazia biashara yake ukajiunge Neolife/GNLD ni network marketing.
@MoureenMushiMushi
Жыл бұрын
Umesema
@user-ub6ej6er3d
5 ай бұрын
Hongera nime tamani kuwa kama wewe dada je nakupataje
@SaumaBakari-ld2dy
10 ай бұрын
Asate dada naomba no zako ❤❤❤
@godfreycharlessrarariae3619
Жыл бұрын
Sawaa hongera--ila bado uhalisia wamaelezo haujakaa sawa
@winnieexavery3304
Жыл бұрын
Sikujua kumbe ARUSHA ni kijijini 😂😂🙌🏽🙌🏽
@gentlethegentle9607
Жыл бұрын
Mbona sijaelewa lengo la hii clip. Ni biashara ya nyumba? au yeye mwenywe?😄 mara anasema yey ni single mother lkn hawez sema kma yupo single.😄
@hapinessobeth4131
Жыл бұрын
Ujiunge na neolife ndo wanachotaka
@fikamanciya8190
Жыл бұрын
wow wow what a beautiful
@fikamanciya8190
Жыл бұрын
I'm coming to buy a property in your country
@dicksonkilupa2258
Жыл бұрын
KAMA HUJAELEWA AYO TV ANATAKA NA SISI WAZEMBE TUAMKE NA KUTIA BIDII ILI TUJIKWAMUE KIMAISHA.
@athumanimhanga2053
Жыл бұрын
Mbona simuelewi kwaza biashala gani anafanya
@user-bd6if2vn8s
9 ай бұрын
Nimekupenda dada naomba namba tuongee
@RayaRashid-dc2hn
2 ай бұрын
Hongera sana
@Official83640
Жыл бұрын
Nyumba 4 ndani ya miaka 3 aah dada ulikuwa unazichota bank au mbona wenye kz zao miaka 10 nyumba 1 inawagalagaza tuambie ukweli bwana hiyo biashara uliyoifanya hd utoe nyumba 4 kwa muda mfupi
@stellahlinusi8215
Жыл бұрын
mbona biashala aisemi uyo janja janja
@Official83640
Жыл бұрын
@@stellahlinusi8215 Ndy nashangaa miaka 3 nyumba za M.280 tena 4 aah asitudanganye bwana ht hao wauza unga hawawezi jenga hivyo
@malak-lz6kx
Жыл бұрын
@@Official83640 ndio hpo
@stellahlinusi8215
Жыл бұрын
@@Official83640 muongo kwa nn asemi biashala muongo uyo kuna mtu yupo nyuma yake anae muezesha pesa lakini sio biashala tu ndo nyumbani nne miaka 3 apana kila mtu ana mpinga kwamba muongo eti kisa mchaga hahaha asitudanganye
@gracekenan4665
Жыл бұрын
Wanataka kufanya watu wengine hawahustle watu wapo makazini miaka nenda Rudi kujenga nyumba Moja tu inawatoa jasho
@estherlyanga834
8 ай бұрын
Hongera dada
@user-hh3hu4eg1z
8 ай бұрын
Apart from weakness zake nmependa suala la zaka na sadaka i believe for that na naungana nae kwenye hicho
@marycelinapaschal8710
Жыл бұрын
Mambo ya neo Life ,,,,hizi biashara kilakona wanao fanikiwa niwachachee
@ankaramanka464
Жыл бұрын
Kama mchezo wa pata potea zinataka moyo
@neema_mollel
Жыл бұрын
Huyu asiejua hata positive ni nini ?? Dada usitubebe ufala wewe ,una secret bness Tena illegal ila unajiuma uma .acha porojo pls .
@dicksonkilupa2258
Жыл бұрын
KWANI HILO DUKA LA MADAWA HAMLIONI? NA SISI TUTIE BIDII KUSOMA KAZI ZIPO NYINGI ILA SIYO ZA KUAJIRIWA. AMERUHUSU KUMTAFUTA ILI ATUSHAURI , SASA TUNATAKAJE? MBONA VIJANA WENYE PESA WAKO WENGI TU, HAPO HAKUNA UBAYA WOWOTE.
@lyidiakaburure8129
Жыл бұрын
Naomba naomba yako kwa ajili ya oshauri mwangu
@maryamtanzania9743
Жыл бұрын
Napenda mtoto anaejua thamani ya wazazi
@mohammedkhimji7505
Жыл бұрын
Kesho mende nae mutamuita Mrembo... Semeni Binti...
@sifatiiman
Жыл бұрын
sio binti ni mwanamke binti mwisho miaka 19
@JOHNJOHN-pu7wb
Жыл бұрын
Ajifunze kwanza kingereza 🤣
@yordanyona1234
Жыл бұрын
Na mimi nina fanya mtandao na hayo nimefanya lakini Nimekukubali sana wewe ni mwanamke shujaa ...na una hekima sana sio kuwa na pesa ndio uishi ovyo...hawo mentor wako utakuwa bora zaidi yao ...Nature yao wewe utafanya zaidi
@almostaphiqarlown158
Жыл бұрын
Big Deal Sana NAPENDA SANA mpambanaji katika MAISHA YANGU
@neemamasudi7988
Жыл бұрын
Ongera sana nime furahia naintervju yako
@saidimsuya853
Жыл бұрын
Ongera aisee
@RoseMshana-pm8op
25 күн бұрын
chuo,kazi, biashara,bado miaka 29, tu, majigambo kibao,ila hongera dada
@athumanijuma8899
Жыл бұрын
Kumbe Mrembo wa kiharusha Hawa wana Mbinu nyingi Sana Za kutafuta tuendeleeni Kujifukizaaa 🤣🤣🤣🤣 ukitakaa kuita Maji MMA uoe Pande hizo 🤣🤣🤣
@solomonnkiggi5019
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@estherkimario7940
Жыл бұрын
Dada naomba unishike mkono unipe njia jaman natamani na me nifikie malengo
Пікірлер: 516