MTOTO WA MAREHEMU BILIONEA MSUYA AMLILIA MAGUFULI, MALI ZAMTESA!
Watoto watatu wa marehemu bilionea, Erasto Msuya, aliyeuawa kwa kupigwa risasi, mwaka 2013, wamemuomba Rais John Magufuli, kuwasaidia kuokoa mali za mabilioni za baba yao, ambazo wanahofu ya kunyang’anywa na ndugu wa baba yao na sasa wamekosa mahala pa kuishi licha ya baba yao kuacha mali za mabilioni.
Akizungumza na waandishi wa habari, mtoto mkubwa wa Erasto, Kelvin Msuya alisema tangu baba yao kuuawa mwaka 2013 na baadaye Mama yao mzazi, Miriam Steven Mrita, kukamatwa kwa tuhuma za kuhusika na kifo cha shangazi yao, Anethe Msuya, maisha yao yamekuwa ya taabu.
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
---------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY: kzitem.info?list...
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:kzitem.info?list...
GLOBAL RADIO TV:kzitem.info?list...
EXCLUSIVE INTERVIEWS:kzitem.info?li
Негізгі бет MTOTO WA MAREHEMU BILIONEA MSUYA AMLILIA MAGUFULI, MALI ZAMTESA!
Пікірлер: 1 М.