Nilichijifunza hapa jamaniiiii tuheshimu watu jamaniii leo waliobeba jeneza la sauli ni watu wa hali ya chiniii kabisaaa wako wapi matajiriii daaaaaaaaa
@estermathias8354
2 ай бұрын
We nae tafuta helaaa.hata masikini ata zikwa na masikin.sio wote wenye dharau
@Dipeson700
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉@@estermathias8354
@simonsadala2386
2 ай бұрын
Hakika umenena vyema tena hao watu wa chini huwa tunazaraulika
@Boniphaceshayo5
2 ай бұрын
@@judiththobias5132 siku zote tunao walisha kuku hawata tusaidia ila tunao wapa 500 za sigara ndo watabeba majeneza yetu
@henryj3304
2 ай бұрын
Nashindwa hata nikomenti nini... Nilicho jifunza ni kuwa maisha ya mwanaume tajiri yanafupishwa na kujichanganya na kila mwanamke. Kuna wanawake wanabeba mikosi mingi sana, kitendo cha mwanaume kutaka kulala na kila mwanamke matokeo yake ni kuharibu na kufupisha maisha kiujumla. Zinaa ndiyo inayo maliza wanaume wengi.
@PitapitaMacha
2 ай бұрын
Ujanikosea kabisa
@godfreymgaya2025
2 ай бұрын
Akili yako ni fupi sana. Hapo wanawake wanahusika vipi na ajali aliyoipata marehemu?
@henryj3304
2 ай бұрын
@@godfreymgaya2025 Wewe ndo mwenye akili fupi zaidi kwasababu hujaelewa hoja yangu, soma vizuri utaelewa hoja yangu
@JaneyChigga
2 ай бұрын
@ godfrey. Umepanik tu but alichokisema mtoa comment ni sahihi kabsa. Hujamwelewa tu ila kuna cku utakuja wlewa alichokimaanisha.
@fifo262
2 ай бұрын
Mungu anajua tasmini ya maisha ya mja wake kua na wake wengi haikuongezei wala haikupunguzii muda wa kuishi , kiufupi zinaa sio jambo jema . Ila mwanamke hausiki na umauti wa mume
@AbdalahMfaume-u3y
Ай бұрын
Mungu amuweke mahalo pema peponi
@verombwambo3703
2 ай бұрын
Kuna la kujifunza hapa wekeza. Mbinguni vya dunia ni vya muda tu
@paulmsape163
Ай бұрын
Mungu awatie nguvu
@MaulidMrisho-hk2vi
2 ай бұрын
Mungu alaze mahali pema peponi mtuu anakufa na mali zake 😢😢😢😢
@MustafaChinanda
2 ай бұрын
Pesa zote zole ndio kanyumba chenyew cha nyumban tujenge vzur jaman
@EstherKaliho
2 ай бұрын
Mungu pekee awe faraja yenu
@patriciacarlo7236
2 ай бұрын
Mungu awape wepesi,🙏
@Aminmwansile-we8vn
2 ай бұрын
Pole Sana familia ya sauli wanambeya tumepoteza jembe lililokuwa linatuwakirisha vizuri sana
@ANGELUSLIJUJA
2 ай бұрын
UKIWA NA UWEZO KIDOGO WANAWAKE UJIPOTISHA MIMBA KWA MAKUSUDI ILI AKUCHUME KWA KISINGIZIO CHA MTOTO NIMEJIFUNZA KITU APO
@salomewandya7257
2 ай бұрын
Kabisaa
@ibnbaazalrufiji1468
2 ай бұрын
Fact
@Faustinapre
2 ай бұрын
Kabisa umeongea point
@JaneyChigga
2 ай бұрын
Bora umejifunza kitu.
@ANGELUSLIJUJA
2 ай бұрын
@@JaneyChigga janey
@Boniphaceshayo5
2 ай бұрын
Mwamba uyo watt 16
@shukranmhagama3622
2 ай бұрын
Heshimu watu waliobeba jeneza hapo ni wakawaida kabisaaa
@alfamgayatv872
2 ай бұрын
😢
@christaoman8890
2 ай бұрын
Apumzike kwa amani😢😢
@StumaiAbdallah
2 ай бұрын
Poleni sana
@NaftaryMgoye
2 ай бұрын
Kwa matajiri wanaotembea sana kibiashara kuwa na watoto zaidi ya 10 si jambo la ajabu na hao 16 ndo wanaojulikana nashauri ndg wasiogope kupokea wengine watakaojitokeza
@MurunguwetoshaDeheaven
2 ай бұрын
Hakuna mtt wa nje wote niwa sauli
@mariamjames854
2 ай бұрын
Haaaa nje ya ndoa
@OnesmoEmmanuel-xr2rf
2 ай бұрын
Kwamaelezo ya kaka yake nikama mke wakwanza waliachana mbona anasema wa pili ndio alikua anaishi nae
@sir_ENOCKMACHA
2 ай бұрын
Mke Wa tatu ndio alikuwa anaishi nae
@monicameena8632
2 ай бұрын
Pole sn kwa rafkiangu aden kupoteza baba
@OlafLondon-mb6cr
2 ай бұрын
Polen sana ndugu.iyo ndio nyumba ya tajiri
@anthonikabuye6819
2 ай бұрын
Inawezekana ni moja ya nyumba zake mana kwa maelezo inaonesha aliishi dar na mbeya piah
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg
2 ай бұрын
Hakuna mtoto wa nje wote ni watoto wa Sauli
@christinamwangoc4779
2 ай бұрын
Upo sahihi kabisa.
@ShabanMainde
2 ай бұрын
Kwel washaanza ao😊
@yustakipenya6231
2 ай бұрын
Watoto wa nje ni wamichepuko acheni makasiriko ndo kiswahili
@Ayuminchasi
2 ай бұрын
Halafu utasikia mwanaume ananipenda angalia watoto wa nje na wa ndani😅😅😅😅😅😅😅😅@@yustakipenya6231
@karolinamasawe8978
2 ай бұрын
Acha kusema watoto wa nje watoto wote wana haki
@patrickmaturo7756
2 ай бұрын
Hakuna tajir alifika sekondar ni elimu yamsingi tu😂😂
@NuruKanyenye
2 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ila umeongea kweli sijui ni kwanini.
@FahadAbubakari
2 ай бұрын
Wapo wengi tu mengi alifika chuo, MO kafika chuo, dangote kafika chuo , Elon musk Tajiri wa dunia a anadegree mbili, wapo walosoma labda wengi hawajasoma ila usiseme hamna Tajiri aliefika sekondari
@FrolaMrema
2 ай бұрын
Waliosoma uatjir wao ni urith
@StevenHinjo
2 ай бұрын
Umesema ukweli kabisa@@FahadAbubakari
@FredMwamgogwa-td6ni
2 ай бұрын
@@FahadAbubakarihao wameridhi
@RithaMushi-r5c
2 ай бұрын
Upumzike kwa aman amina
@AziziMapunda-vt4nv
2 ай бұрын
Stakes mungu kilamwanamuke apambane na watoto wake
@salomewandya7257
2 ай бұрын
Wote ni watoto wake 16 hakuna cha mtoto wa nje
@FranceMwaijande
2 ай бұрын
Mama apo jumla ni watt 17
@claraedwardmalingumu3565
2 ай бұрын
Cyo TANZANIA nzima wanamlilia bali ni wanachunya wanao mlilia kwa kuwa wanajua misahada yake
@BenedictaMagantg
2 ай бұрын
Hata wa nje tunamlilia mtu wa watu.
@Kabwela776
2 ай бұрын
Haya maisha sijui watu wengine uwa wanafikiria nini sasa hao watoto 16 watalelewaje sasa yaani dunia ya Leo mtu anazaa watoto 16 na hata kuoa mke zaidi ya mmoja ni matatizo tu
@rajabukipara3008
2 ай бұрын
We KABWELA Mambo Ya ndoa Unayajiwaje Bhana😂
@Kabwela776
2 ай бұрын
@@rajabukipara3008 ndoa wapi upuuzi tu wanazaaje kama panya
@melkiormnamba3166
2 ай бұрын
Lala salama mwamba Sauli
@willaimkirika4407
2 ай бұрын
wake watatu 😮
@OmaryMohamed-lj8ek
2 ай бұрын
Mmh mbona familia inaongea vitu tofauti kuhusu wake na watoto. Wake watatu mmoja alifariki na mwingne ndo aliekuwa nae hadi anafariki, dada anasema watoto 16, 8 wa kike na wakiume 9 ukijumlisha hapo watoto 17. Wake zake wote watatu alikuwa nao l. Mmmh kazi
@pantaleomcha1795
2 ай бұрын
Mwenyewe nimegundua
@masukekihanda
2 ай бұрын
Kuna kitu hakijakaa sawa wake sawa ni watatu ila mke wa pili alishafariki sasa wale watatu walioko hai wote ipoje
@GoodluckAmos
2 ай бұрын
Uwe unasikiliza kwa makini kabla hujakoment....Umeambiwa watoto waliobakia ni wa nje ya ndoa kwa maana kila mmoja ana mama yake nje huko na watoto wote wako tofaut.Bila shaka umeelewa.
@LatifaMatayo-sz2cb
2 ай бұрын
Dume ilo @@GoodluckAmos
@SamsonEzekiel-or9xc
2 ай бұрын
Kumi na sita neti eeeeh alikuwa mayele
@monicamassawe3435
2 ай бұрын
Duh sauli na nyumba hiiyooo acheni utaniii
@agnesspaul1866
2 ай бұрын
Alikuwa na wake 3 watoto wa inje ya ndoa wapo 9
@JuniorPaul-l7j
2 ай бұрын
Polen San
@JeannetteManirambona-o6m
2 ай бұрын
Rip😢😢
@FranceMwaijande
2 ай бұрын
❤❤❤❤
@sophiakimaro5174
2 ай бұрын
Hata hao watoto wa mke wa 2 na 3 ni nje ya ndoa.mkristo gani anaoa wake 3?
@hatibumohamedi3471
2 ай бұрын
Dini ya haki ni uisramu tu zingine ni mihangaiko
@RebecaMackenzi
2 ай бұрын
@@hatibumohamedi3471kajifunze kwanza kuandika ndo urudi hapa
@YamunguMatamya
2 ай бұрын
Kafie mbali@@hatibumohamedi3471
@patriciacarlo7236
2 ай бұрын
@@hatibumohamedi3471mdomo Moana kama beseni.ishi kwenye Imani yako usipangie watu maisha
@Lizzy1999-c9g
2 ай бұрын
Unauhakika na uliloongea@@hatibumohamedi3471
@janethpPoul
2 ай бұрын
Kizuri hakidumu😢
@joebinarysignals
2 ай бұрын
Kufa na Kuacha watoto 16, we bado unaishi na huo ndo utajiri mkubwa
@KisaMwakyagi
2 ай бұрын
Mmmh yesu pekee
@nancecharles2744
2 ай бұрын
😢watoto 16
@jerryanton9224
2 ай бұрын
Pesa za maelekezo hazidumu 😢
@bujashidaniel5537
2 ай бұрын
Tafuta hela vngnevyo utaona kila tajir ni mshirikina
@amedeusurassa6213
2 ай бұрын
Na wew tafuta za maelekezo kama utapata acha ujinga fanya kazi...
@SelinaChares
2 ай бұрын
Jamni wakrito nao wanaoa wake wa3 jaman
@ce-08
2 ай бұрын
Shida mnaangalia dini tu Kuna Mila na destur pia ujawah ona ndoa za kikabila ww
@m.mmarckus6298
2 ай бұрын
Kabisa😂😂😂@@ce-08
@samwa9496
2 ай бұрын
@@ce-08hoyooo imepenya iyoo
@modekaijames
2 ай бұрын
Ile kauli nendeni mkajaze Dunia unazani ni nini
@modekaijames
2 ай бұрын
Solomon ni (Suleiman) nazani historia inaongea mpaka kwenye Bible na quran imeandikwa kuhusu nabii suleiman au solomon kwa wakristo
@AnatoriaRwabatwa
2 ай бұрын
Pole
@SalimAthuman-xh7ci
2 ай бұрын
Nyumba mbovu kama cyo tajili zamadawa atari
@NORAIZYASHAL
2 ай бұрын
😢
@MurunguwetoshaDeheaven
2 ай бұрын
Hakuna msomi Tajiri Watoto 16 huyu ni mwanaume Waliobeba jeneza ni masela tu matajiri hawapo,, Tuheshimu watu
@sleeprelaxation8431
2 ай бұрын
acha ujinga,matajiri wakubwa duniani wana jiendeleza kusoma hata kama waliacha wakapata utajiri badae wanarudi kusoma, na watoto wao wanawasomesha vizuri haswa,na vijukuu na vitukuu, na utajiri wao una dumu vizazi na vizazi. sasa huyo unae msifia ndugu wa shaanza kulia njaa, hawajui watoto watawalea vipi, sawa ndio aliku tajiri, akagawa kwa wengine, je alifanya nini kuhakikisha akifa bado watoto wake, wake zake wana endelea kuishi maisha aliwapa akiwa hai? ndo elimu inapo kuja hapo.
@Halimazuberi-v8k
2 ай бұрын
Dah bosi wa DPN
@agnesspaul1866
2 ай бұрын
Mtaleaje mtu ameacha mihel a yote hiyo hao watasoma na hela zitabaki
@LatifaMatayo-sz2cb
2 ай бұрын
Anazingua uyu mama😊
@AziziMapunda-vt4nv
2 ай бұрын
Akika ujafa ajaumbika
@aman.weusUS
2 ай бұрын
Mbona kwake pa kawaida hivyo hayo mabasi alikuwa anamiliki vipi?
@donathamwangobe2776
2 ай бұрын
Mwenyewe nimeshangaa
@leonardchoma3765
2 ай бұрын
Hapo ndipo alipoanzia maisha.
@monicamassawe3435
2 ай бұрын
Sindiyooi
@IsayaJohnMapande
2 ай бұрын
Halikuwa na pesa za manyoka sio za halali sauli unahera unajenga kipagala
@verombwambo3703
2 ай бұрын
Sijasikia risala ya marehemu wala mchungaji sijamuona pamekaaje hapo
@JenniferTemba-t9i
2 ай бұрын
Coz ya mitaala alio nao dini airuhusu
@mariammilanzi9161
2 ай бұрын
Sijaelewa alikuwa mkiristo au muislam
@DaheerK
2 ай бұрын
Ameacha Mali somesĥen watoto
@christophermsekena616
2 ай бұрын
Ukipewa uwezo zalisha vya kutosha tu
@OnesmoEphrata
2 ай бұрын
Ukweeli ila huduma ya mavazi ya watoto chakula nk ndyo changa moto
@christophermsekena616
2 ай бұрын
@@OnesmoEphrata Yes ndio maana nimesema hapa kama una 'uwezo'
@ElishaSolomoni-kc4zk
2 ай бұрын
ONA XX WATOTO WA WAKE TOFAUTI UNAFIKILI NINI CHAJA HAPO
@gfydfdf8869
2 ай бұрын
jamani hata Ibadan ya masishi hakuna,hakika nikweri uishivyo Dunia maisha ndivyo utakazikwa,pole kwa mziba,nazi tupo nyumba Yako ,
@ElishaSolomoni-kc4zk
2 ай бұрын
@@gfydfdf8869 Hata ckuelewi umeandika nini.
@farajakayoki8104
2 ай бұрын
Mbona hakuna mchungaji Wala Sala yoyote
@FredMwamgogwa-td6ni
2 ай бұрын
Ya nini sasa
@easternyerembe7271
2 ай бұрын
Inaonekana aliacha Imani na ndo sbb ana wake wa3
@AziziMapunda-vt4nv
2 ай бұрын
Stakes mungu kilamwanamuke apambane na watoto wake
Пікірлер: 141