Sauti hii iwe kiriwaza katika kaburi yake in shaa allah😥mwenyezi mungu atujaalie mwisho mwema
@ayshamahariq6665
3 жыл бұрын
🤗🤗🤗😥😥😥😥😥😥
@aminaibrahim4148
3 жыл бұрын
Innalilah Wainna lilah rajioun Allah ampe kauli thabit 😭😭
@lucasgeorge9212
2 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/xG-s1IuaoIijYHo
@noffelsalim3268
2 жыл бұрын
Aaamiin
@muniraahmed624
4 жыл бұрын
Ooh jaman Innalillah wainaillah rajuun😭🙌. Allah akupunguzie adhab ya kabri Amiin
@ismailhassan5662
4 жыл бұрын
Munira Ahmed mashallah ila sema amuepushe na adhabu za kaburi sio ampunguzie
@wazirimbaruku7679
4 жыл бұрын
Wewe nani alikuambia atapata adhabu ya kaburi hadi unamuombea apunguziwe🤔
@halfanabdalla8949
4 жыл бұрын
Kila mwanadamu ni mwenye kukosea, Allah atusamehe makosa yetu
@saidsaleh4086
4 жыл бұрын
@@wazirimbaruku7679 Hahahahahah!! Muelimishe huyo. Watu hukusoa halafu mtu Kama hajui cjui kwann hakai kimya. Malaika huwa wana note kinachosemwa na walio hai zidi ya mtu aliyefariki. Mtu anashindwa kusema amuondoshee au amuepushe. Eti ampunguzie. Adhabu za Allah hazina punguzo na hatuziwezi.. Allahumma Ghfrilahu Warahamhu Waskanahu Fel Gannat Na3eem.
@musahmusa2776
4 жыл бұрын
Munira Ahmed:sio ampunguzie amsamehe madhambi yake.
@ashamwandu6572
3 жыл бұрын
Allah akupe pepo iwe mafikio yako.amin
@nassirray7096
4 жыл бұрын
Allah akujalie mwisho mwema,mbele yako nyuma yetu ila umepotea mtu mmoja muhimu katika jamii yetu ya sasa nenda brw nasi tunakufuata😖😞😭
@khadijakhadija6212
4 жыл бұрын
Innalilah wainnarajun Mungu ampe kaul thabit Insha'Allah pia ampunguzie Adhabu za kabur 😭😭😭😭😭 aisee nimeishia kuduwaa kifo jamani
@jumaboy6734
4 жыл бұрын
0659886672
@ismailhassan5662
4 жыл бұрын
Khadija khadija mashallah bi khadija dua njema kabisa ila unatakiwa usemeiv Allah amuepushie adhabu za kaburi sio ampunguzie
@zahorsaleh2505
4 жыл бұрын
Amin.
@omarmhmammed216
4 жыл бұрын
Napia aseme innalillah wainna ilayhi rrajioun
@zakialustan722
4 жыл бұрын
Adhabu ndogo ya Allah binaadamu haiwezi ,dua ni aondeshewe adhabu
@ibrahimbakar622
4 жыл бұрын
Allah alaze roho za marehem mahala pema peponi" Amiin
@bbykiss6365
4 жыл бұрын
Amiin
@salahnabhaan4083
4 жыл бұрын
Mungu amjaliye ndugu yetu aliye tangulia katika njia ya hakhi.amfanyiye wepesi na suali za MUNKAR na NAKIIR. Amlinde na adhabu ya kaburi.tusambaze video zake alizo soma Qurani ili iwe sadaka kwake.mungu awape subra ndugu na jama.na walio naye karibu.AMIIN
@abemamedia
4 жыл бұрын
Mungu amjalie kila jema na hizi ndio sifa ambazo mwanadamu anatakiwa awe nazo na sio kusifiwa kwa kadhia mbaya tu. Tumuombe Allah na sisi atufishe tukiwa bado Waislamu wenye kauli thabiti na tuingie peponi. Amin Amin Amin
@sofyamohd3435
4 жыл бұрын
إنا لله وإنا إليه راجعون ا Allah akupe kauli thabiti mbele yetu nyuma yako na alifanye kaburi lako kuwa bustan miongoni mwa mabustan ya peponi na akukutanishe na wema waliotangulia kabla yako😢😭😭
@MohamedMohamed-ng2rm
3 жыл бұрын
Aameen
@saknajumapili8282
3 жыл бұрын
😭😭
@abdourazakboinaali8331
4 жыл бұрын
Mungu atujalie tu kifa historique zetu ziwe ni hizi kusoma kitabu chamungu 🙏
@rukiamohammed5031
4 жыл бұрын
😲😲🙆🏾♀️🙆🏾♀️Inalilah wainailah rajoun 😭😭😭ameondoka huyu mkaka jmn 😭😭Mungu ampe kauli thabit kaburin mwake mungu pia amuangazie mwanga kaburin mwake na ck ya qiama ampe kitabu chake kwa mkono wa kulia Inshallh 😭😭Mungu atupe mwisho mwema pia cc tuliobaki dunian amiin😭😭
@ibrahimrukundo3064
4 жыл бұрын
ALLAH amjalilie pepu ya ALFIRDAUUSS nawoooote mauuti wakiislam.
@korogwetanga810
4 жыл бұрын
Allahumma Aamiin yaa rabbi
@issakawaya8315
4 жыл бұрын
Allah mpe pepo
@najimshaib9306
4 жыл бұрын
@@korogwetanga810 Ameen
@sofiaschumer2810
4 жыл бұрын
Mwenyezi mungu ni mwingi wa rehema
@fatmasaid5864
4 жыл бұрын
Amin yarab
@alimohamedalisaid7040
4 жыл бұрын
Allah amuweke pema peponi my brother ameen thuma ameen
@shuubinty1447
4 жыл бұрын
😢😭😭Allah amuangazie nuru ktk kaburi lake 😭
@bernadoadriano922
3 жыл бұрын
Hakuna cha nuru maana aliikataa duniani ambae ni Yesu
@linnamlay3643
4 жыл бұрын
Ilipendeza sana kumtumikia ,kumtegemea,na kumkimbilia Mungu hata katika mazingira ya kazi.Mwenyezi Mungu akailaze pema roho yako afande wetu.Amina
@rajansharky3386
4 жыл бұрын
Innalillah wainaillah rajyon Allah msamehe madhambi yake mjaalie kauli thabiti na kaburi lake likawe miongoni mwa bustani za pepo zako In shaa Allah. Hakika sisi sote ni wa Allah na kwake tutarejea.
@halimahashim9094
4 жыл бұрын
Allah amrehem na ss tulio hai atupe khatma njema
@SaidyJanuzaj
4 жыл бұрын
Kwa mazuri yake tunamdhania mema, inshaallah iwe hvyo kwa Allah, amjaalie awe n miongoni mwa waja wema 🤲
@ammygalby9921
4 жыл бұрын
amiin
@ammygalby9921
4 жыл бұрын
saeed nitafte 0674219889 ammy said ARAFAH BOYS
@issakawaya8315
4 жыл бұрын
Allah ampe pepo
@SaidyJanuzaj
4 жыл бұрын
@@issakawaya8315 amiin
@samwa9496
4 жыл бұрын
Aamiin
@tumabhay8576
4 жыл бұрын
Inna lilahy wainna ilayhi rajiuun 😭 😭 mungu akueke kwenye nuru kwenye kabri lako na akusameh dhambi zako. Qur-an uliyokua ukiisoma ikuombee. Mungu akukutanishe na malaika wema na wawe ndio rafiki zako na wazungumzaji wako. AMYYN.🤲
@smaihsmaih2815
4 жыл бұрын
ALLAH MPE REHMA ZAKO
@collegedropout5525
4 жыл бұрын
mimi pia nahitaji kuwa kama askari mwenye kutamka shahada kabla ya umauti wangu in sha allah, allahuma aamin.
@ashoramwanja3131
4 жыл бұрын
Inalillah wainailah rajiun😭😭😭😭😭😭sote Ni wa Allah kwake tutarejea Allah ukutunuku pepo lnshaa Allah
@mustafamabrouk6852
4 жыл бұрын
0689510885
@saidmabrouknassor4229
4 жыл бұрын
Mpenzi wa Quran ameiaga dunia may 7. ALLAH akuruzuku pepo ya firdaus. Aamiin🤲
@pilhasan1939
4 жыл бұрын
Amiina Allahumma Amiina
@shabaniguma8696
4 жыл бұрын
Amiin Thuma amiin
@helenawilliam2201
3 жыл бұрын
Kazak llah lkhaira mwenyez mung amsamee amkinge na adhabu ya kabuli pia atujaalie mwisho mwema inshalla
@jumambuma1101
4 жыл бұрын
Katika dua zetu tunazoziomba ni muhimu Sana kumuomba Mwenyezi MUNGU mwisho mwema
@saumsaid7813
4 жыл бұрын
Jamani imeniuma sana kifokweli hakikimbiliki nilimpenda sana huyu kaka mungu ailaze roho yake mahar pema peponi amina
@jumanguyai186
4 жыл бұрын
RIP brother hakika ulikuwa ukiisoma vyema Qur'an 🙏 mungu ni wetu sote na kila nafc itaonja umaut
@nasridaudi4550
3 жыл бұрын
Allah ilipe sauti hii tukufu kwanihakika utajo wako in barakkah kwa kila muisilamu
@nasirayoze862
3 жыл бұрын
Mashallah mungu mjaalie her katk safr yke na cc pia kwa sote amin
@safiaothman1098
3 жыл бұрын
Maa Shaa Allah for the best Qur'an Recitation. May Allah Subhannahu Wata'ala grant him Jannattul Firdaws, Aamiin.
@fatmaamoor9591
4 жыл бұрын
Innalillah wainalilarajun allaah amuepushe na adhabu ya kaburi na amjalie mlango wa pepo katika milango yke
@josephoyaro5127
4 жыл бұрын
Daaa! Allah ampumzishe kwa amani na awajalie wepesi familia, ndg, jamaa na marafki
@madarakamarumbo6102
3 жыл бұрын
Allah akuhifadhi pema peponi Aamiin
@rukiyamohammed2945
3 жыл бұрын
Innalillah wainnaillah raji'uun , M/mungu akujaalie kauli thabit na akuepushe na adhabu za kaburi ..amiin
@aminahhuawei1133
4 жыл бұрын
Allah amsamehe makosa yetu na cc piaa atujaalia hatma njema🙏🙏😭
@mustafamabrouk6852
4 жыл бұрын
0689510885
@stevensanga9968
4 жыл бұрын
Amiin
@abdulaziz703
4 жыл бұрын
Aaamiin yaarrab. Allah atujaalie sote kuwa katika watakaopewa kitabu chao cha ammal kwa mkono wa kulia. "Allahumaghfirlahu warhamhum waskinhum fil jannah"
@ismailabbas2675
3 жыл бұрын
Allahumma aamiiin
@shabanimbenu2163
3 жыл бұрын
ALLAH akupe kauli thabiti
@wardajoseph6909
3 жыл бұрын
Mashaallah mwenyezi mungu akujalie pepo
@queenbaby4077
4 жыл бұрын
Inalillah waina illah rajiun ALLAH Amuondoshee kila aina ya Adhabu insha Allah😭😭😭
@mustafamabrouk6852
4 жыл бұрын
0689510885
@suphiankabiriga8517
4 жыл бұрын
Qadallah mashallah innalillah wainaillahlajiuna
@mhandoirigo848
3 жыл бұрын
Qadarullaha wamashaa faal
@mhandoirigo848
3 жыл бұрын
Inna Lilahi wainna ileyhi rajioon.
@aymankhadija619
3 жыл бұрын
Mashallah..ALLAH ampedaftari lake Kwa mkono wa kulia na amuingize kwenye pepo take tukufu INSHAALLAH AMIN
@kidungweshaaban9317
3 жыл бұрын
Mungu amlaze mahalo pema peponi! Aamin
@oman7710
4 жыл бұрын
Innalillaah wainna ilayh rajiuun,Polen sana wanafamilia Allah awape subir na Allah amuepushe marehem na adhabu ya kabri na ajalie kaburi lake liwe bustani miongoni mwa mabustani ya pepo amiiin.
@abdulhamidhaji5056
4 жыл бұрын
انا لله و إنا اليه راجعون Allah ampe safari njema
@sein.208
3 жыл бұрын
Innah LILLAH Wainnah iley Rajioon😭😭. Allah akuhifadhi palipo na wema🤲🏻
@yuzotv458
4 жыл бұрын
Kwa uwezo na rehma za mwenyez mungu huyu ni peponi yaani amekufa ndani yamwez watoba na bila shaka alikua ktk swaum mashallah mungu ampe kauli thabiti amina.
@mohaltv5402
4 жыл бұрын
Inna LILLAHI WA INNA ILLEIHIM rajuun Yaa rabbi mjalie Mja wako pepo yako na umfanye Kati ya watu wema na kabur lake liwe ni bustani lake la peponi
@ashatasaidi6481
4 жыл бұрын
Ameen. Ameen. Ameen yaa Rabbil Alameen
@rehemamuhengi7101
4 жыл бұрын
Inshallah mja mpe kauri thabiti na ampunguzie adhabu ya kaburi
@ashaibrahimothman6611
4 жыл бұрын
Amiin
@a.a.a.s8322
4 жыл бұрын
Amin
@mulhatmohamed1246
4 жыл бұрын
Amin Allah akufanyie wepes katika safr yko
@azizahamed4037
4 жыл бұрын
inna lillahi wainna ilayhi rajiuun ..Allah akujaalie pepo yenye darja...amin
@khalfankarim627
4 жыл бұрын
Kwahakika mungu ampe kauli thabitiiii,kaburi lake alifanye liwe miongoni mwa mabustani ya peponiiiii, ALLAHUMMA AAAMIN...!!!!
@rehemaothman2185
4 жыл бұрын
Allah amjaalie kauli thabiti amiin
@zahorrashid5459
4 жыл бұрын
Allah akufanyie wepesi
@halimaally4769
3 жыл бұрын
Namuomba allah amulipe kwa mema yake amsamehee alipoteleza nashaallah
@tatoorashedi1787
3 жыл бұрын
Mashalla mungu alikujalia duniani na kesho ahera ishalla
@sheikhanasser4714
4 жыл бұрын
INNA LILAH WA INNA LILAH RAJIOUN ALLAH AMPE MALZI JANNAT FIRDOUS AAMEEN🤲
@wahidashabaz5982
4 жыл бұрын
Innalillah wainnairah rajiun Allah akupe kauri thabit
@mubaraknyamihasi8607
3 жыл бұрын
Allah amghofirie na kwa mapenzi yake ya Quran amuweke Jannah.
@safiyaalrawahi7526
3 жыл бұрын
انا لله وانا اليه راجعون...Mungu amrehemu na amlaze pahala pema peponi Amin
@mwatumsaidi5104
4 жыл бұрын
Innalillah wainna illahi rajuon poleni Allah ampe kauli thabit ameen
@immah_deo19
4 жыл бұрын
Kuna Vifo Vingine Hata Havihuzunishi Ila Vinatamanisha Tu ....Inna Lillah Wa Inna Lillah Rajuu
@bmwonlinetv7306
4 жыл бұрын
Kweli kabisa daah
@himidjuma1050
4 жыл бұрын
Kbisa
@hanifamohammed2701
4 жыл бұрын
Kwely dah Adi raha
@eyeonnature4022
4 жыл бұрын
Simjui ila nmemlilia kama ndugu yngu tena wakribu mno
@choggyslyymrisho5931
3 жыл бұрын
kwakweli Allahuma jaaln husnul khaatima
@saidomar6806
4 жыл бұрын
Mola ampe Kauli thabit Ustadh Masoud Muhammed na ampe pepo yenye Darja pepo ya Firdaus ambayo wote ndio matarajio yetu. Hakika tulikupenda sn ila Allah alikupenda zaid pole kw wafiwa pole pia kw wapiganaji wote wa vyombo vya kiusalama. 🇹🇿⭐🌙🕌🕋Rest Peace wote tucoment Aamin
@scayroad8500
4 жыл бұрын
MASHAALLAH HATAHIVYO ALLAH KAKUPA MWISHO MWEMA ALLAH AKUPE KAULI THABIT UPOKEE KITABU CHAKO KWA MKONO WA KULIA TULIKUPENDA ALLAH KAKUPENDA ZAIDI
@katotalifestylemedia1789
4 жыл бұрын
Allah amuhifadhi
@ibrahimabdallah6159
4 жыл бұрын
Imeniuma Sana ila wote tuko njia moja r,I,p Afande!
@khitamiabdulmaliki9268
4 жыл бұрын
إنا لله وإنا إليه اللهم اغفر له و ارحمه و اسكنه في الجنة
@topfreelancer5151
4 жыл бұрын
khitami abdulmaliki آمين
@seifjuma7318
4 жыл бұрын
اللهم امين يارب العالمين 🤲😭
@faridaothman
4 жыл бұрын
Innalillah waina illlah rajiun
@shakilamasoud2983
4 жыл бұрын
Subhanallah'''Mwenyezi Mungu ampe kauli thabiti
@habibabulle1613
4 жыл бұрын
Ma Allah grant him the highest rank in jannah.......janatul firdous
@hafsawelldonemaashaallahab6219
4 жыл бұрын
Ya Allah mrehemu mghufirie dhambi zake mtilie nuru kaburi lake mfufue na waja wema mtie peponi kwenye pepo ya firdaus Amiin
@zabibumwashitete9203
4 жыл бұрын
Innalillah wainnalillah rajun
@zabibumwashitete9203
4 жыл бұрын
Duh jamani
@muksinismail1747
4 жыл бұрын
Mollah amjalie awe na safar njema kwenda pepon "aminn"
@muhdumar5517
4 жыл бұрын
إنا لله وإنا إليه راجعون اللهم اغفرله وارحمه واجعل قبره روضة من رياض الجنة ..أميين
@ramadhanihudhaifani4376
4 жыл бұрын
Inna Lillah Wa Inna Illayh Raj'uun...! Tunamuomba Allah Ampe kauli thabiti yeye,jamaa wengine pamoja na wazazi wetu waliyotangulia mbele ya haki.Amiin!
@ostadhabdihaji2734
4 жыл бұрын
Amiin
@khadijaismail5911
4 жыл бұрын
Amiin
@utulivujuma7546
4 жыл бұрын
Allahumma amiyn
@shamimhassan4385
4 жыл бұрын
Innalillahi wainna ilahi rajiun, Allah ampe kauli thabit InshaAllh
@mzalendotz6097
3 жыл бұрын
Mungu amlaze pema peponi Amina
@princemaster8779
4 жыл бұрын
inna lilahi wainna ileyhi rajiun, Allah ampe kawli thabit na amuepshe na adhab zake na amchanganye na walio wema ya rabbil Alamin😢😢😢
@sirvergans4542
4 жыл бұрын
Hatari sana Manyota Mungu amlaze mahali pema pepon Afande Tajiwid
@yusufkechbow8153
4 жыл бұрын
Alhahu akbar.... Mungu ailaze roho yako mahali pema peponi
@ummyhassan383
4 жыл бұрын
INNALILLAH WAINNA ILLAHI RAJIUN ALLAH AKUPE KAULI THABIT peponi iwe MAKAZI yako
@sherryadee2638
3 жыл бұрын
Allah amsamehe makosa yake na pepo iwe ndo makazi yake
@abdulahihassankadir9770
4 жыл бұрын
Inalillahi wa inaillahi rajauun Allah amjalie janatul firdous mm natka 254 ila nimeona clip yake may Allah grant him janna in this holy of ramadhan
@proteliuskalugendo2785
4 жыл бұрын
Asee, nimefurahishwa na jinsi alivyokuwa anamtumainia Mora. Madhabau imempoteza mtu muhimu mnooo. Mwanga wa milele umwangazie ee bwana na apimzike kwa amani. Amina
@ahlamually7569
4 жыл бұрын
Allah amfanyie wepesi ktk safari inshaallah
@zubeiramlanzi2480
4 жыл бұрын
إنا لله و إنا إليه راجعون نسأل الله أن يرحمه
@alifaki1980
4 жыл бұрын
Masha Allah
@ibrahimjuma9974
4 жыл бұрын
Allah akibaro
@sakinaabas6668
3 жыл бұрын
Allah akussmehe Makosa yako na akuingize katika pepo yako
@sayfllahsayf7513
4 жыл бұрын
Innalillahi wainnailayhi .. Hakika cc ni wa Allah na kwake tutarejea. Nac tupo nyuma yake. Tujitaidi kukithilisha ibada. Hususan kipindi hiki cha Ramadhan..........
@tumsifufrenck8654
4 жыл бұрын
Sayfllah Sayf Allah amsibitishe
@abrahaam.marcelo.4627
4 жыл бұрын
†.Eeeh Mwenyenzi Mungu Tujarie mwixho wenye heri. -Coz up hyu afande anamjua Allah Vyema ila Ametutoka Je Sisi wengne ni kina nani mpaka tupo had sasa plz ndgu zangu Tumrudie MORAAH wetu.🙇🏽
@shabilurajab6563
3 жыл бұрын
Allah atujalie mwisho mwema na sisi pia na atuingize peponi sote kwa pamoja inshaalah
@deega1234
4 жыл бұрын
Allah grant him Jannat el firdaous Amin.
@raisamaalimhaji9092
4 жыл бұрын
May his soul rest in peace hakika kuzur hakidum
@nunununumuscat4960
4 жыл бұрын
Allah Akbar yarabii ifanye kaburi yake nuru ametuachia athari njema kusikiliza Quran akisoma😭😭nasi tupo nyuma yako mja wa allah masuod
@mabyserolouchcraig2431
4 жыл бұрын
Mashallah ameniliza jamani 😢😢 ..Allahmdhulilah kazi ya mola haina makosa..
Inn lilahi wainna ilaihi rajiunni. Ujumbe watumishi wa umma hususani vyombo vyetu vya ulinzi na usalama cheo ni dhamana kutoka kwa ALLAH usikitumie kwa kibri na kudhalilisha wengine mauti hayana miadi maisha ya kaburi mda wake ni mrefu sana maneno ya wakrsto kila mtu atabeba mzigo wako muwe makini na kazi zenu
@mwanaharusizubeir9746
4 жыл бұрын
M.Mungu amjalie amuweke mahala pema peponi .Amiin. Na sisi atupe mwisho mwema
@mrtweve202
4 жыл бұрын
innalilah wainalilah rajun allah ampe mwisho mwema
@jamillahshabani2500
4 жыл бұрын
Sio kuruani bwana ni Quraani tukufu!Mwenyezi Mungu ampe kauli thabit
@asias8724
3 жыл бұрын
Anasauti nzuri sana innalillah wainnalillah rajiun mungu ampe shifaa
Пікірлер: 1,1 М.