ngoma kali sanaaa🔥🔥🔥🔥🔥, nashangaa kwann ina views chache ivi, gonga like kama unakubalina na mm
@RamazaniMulongeca
6 жыл бұрын
Van Cgga KunaKijana alihiba hii video aka post kwake, ikapelekea kupoteza viewers kibao... ilatayari ameishusha...
@bekajunior6371
6 жыл бұрын
AY AMETISHA KINOMA KAMA UMEKUBALI GONGA LIKE
@deekiwonyi4395
6 жыл бұрын
Kwel hii ni movie hongereni @mwana fa @fid q @ay hii ndo maana ya legend
@gilbertsalvatory9590
6 жыл бұрын
Milady ayo kuzaliwa Tanzania tu nmtaji hii imekuwa proved
@OG_The_King
6 жыл бұрын
it's true brother
@claudcharles4343
6 жыл бұрын
Milady ayo mambo vipi supar staa
@abbasboniphace5444
6 жыл бұрын
You calling this a movie wakati huu ndo mtindo wa video za siku hizi.
@RamazaniMulongeca
6 жыл бұрын
POA SANA #AYO, HII KAMA STYLE YA #SEDUCE_ME YA #ALIKIBA.. Au unasemaj?
@taifastephano3394
6 жыл бұрын
Khaaa.... Haki ya mungu hii ngoma kali kuliko ngoma zoote Bongo na EA.. Kama umejifunza kitu toka kwa wahenga wetu gonga LIKE Hapaaaaa....(AY AF KUBANDA)
@moxmoxi7971
6 жыл бұрын
nice
@christopherkyejo3514
6 күн бұрын
2024💯💯
@michanomichano4931
6 жыл бұрын
Hapo angekuwepo na mnyamwezi #JAY MOE ndyo mngeipata habari yake
@Namanda425
4 жыл бұрын
Au young killer
@abdukarimhussein4215
6 жыл бұрын
Fa punguza sifa bhana anajua had unakera sana Sema ww ndio Rapa Namba moja bongo kwang mm God bless you
@dgt6303
6 жыл бұрын
Nafahamu sana uswahiba mkubwa uliopo kati ya FA , AY na FID Q na nimekuwa nasubiri kwa hamu kubwa sana kuona hii combination ikidondosha kitu...hatimaye imekuwa.....!! HAMJAWAH KUNIANGUSHA KATIKA MAISHA YANGU YA KUWASHABIKIA
@alphoncekagoshi1754
3 жыл бұрын
nyimbo iko mbele ya muda may be 2040 tutaelewana.
@jamesmwawanamuemahsc1204
6 жыл бұрын
"Najua corner zote kama ufagio wa zamani vichaka na chocho zote macho tu bila ramani" - MwanaFA Umetisha Choirmaster
@ramascoop8752
6 жыл бұрын
izi ndizo ngoma kali tunazo taka . ongela sana mabigwa wangu . piga comment au like kama unaamini
@nathanstephen4432
6 жыл бұрын
Inashangaza sana watu kushabikia wasanii(Wa muziki), Wakati ukweli halisi ni kwamba Mpenzi wa kweli wa Muziki anapenda Muziki kutokana na Muziki(nyimbo/tungo)Unavyoweza kuteka hisia za msikilizaji/mchezaji. NA WALA SIYO MUZIKI HUO NI WA NANI. Kuna watu wanapenda Nyimbo fulani' wakati Hata hawajui Kaimba nani.
@a.skatuga2956
6 жыл бұрын
Hii ngoma bila verse ni Hit tayari, wasanii jueni kuchagua hata midundo...yaaani dundo la kudanja mtu!moja kati ya kazi bora za mwaka huu.. video mpaka audio!!
Daaaaa......ni pale mafundi wanapokaa pamoja na kufanya kazi.Duuuuu.....kweli nyie ni noma zaidi ya njaa.Mmetishaaaaaaa
@Nduki47
6 жыл бұрын
A Million Dollar Video, Wazee Mmetisha,. Kama #UpoHapo Nyoosha Kidole Juu...
@zaijack4719
4 жыл бұрын
🙋🙋👍
@wyclifekalama4397
6 жыл бұрын
Nanukia vizur kama duka la perfume ♨️♨️♨️🕺🕺🕺🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇩🇪🇩🇪🇩🇪🇩🇪Sunday yangu inaniendea vizur sana bila sterss hapa Ujerumani,nice song,big up guys 👍👍🕺🕺🕺
@husseinshabanhusseinshaban1705
6 жыл бұрын
Hawa watu kiukweli wameniweza ninomaA sana away fd hatare sana
@galusjerome4553
6 жыл бұрын
Wanamuitaga master mind Upo hapo Tishaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!! Wakubwaaa
@TanganyikaProductions
6 жыл бұрын
KAZI NI NZURI-japo narudi rudia mara nyingi na si elewi
@albertchuwa9055
6 жыл бұрын
wamemaliza aiseee cyo poa.. like nyingi
@Chrisblaze-beats
6 жыл бұрын
Daaaah hiii ngoma ni wayaaa kwa wapenda hip hop kama mimi,,,,Ay nikumis sana mzee baba,,,FA &Fid shotout
@deogratiuskamagi4017
6 жыл бұрын
AY katisha sana sio kwa michano hiyo mzee mzima, all in all ngoma kali sana asee vichwa vitatu hatari sana
@TheAllan112
Жыл бұрын
AY king of versatility 🙌
@muhibumchenje9407
6 жыл бұрын
Kwangu FA kanimaliza...
@abbasrashidi5978
6 жыл бұрын
Bonge moko la dude la kikubwa sàana......kiutuuzima zaidi.....💯💯💯💯
@marcojonline7847
6 жыл бұрын
Bonge la ngoma namkubali sana NGOSHA,Siku zote huwaga hakosei huyu jamaaa dah,Fid upo vzr
@ayuenjok6130
6 жыл бұрын
A lethal Combination of the most dangerous rap legends. Salute
@qayssalykisra1516
6 жыл бұрын
Jamani waheshimiwa tunawaomba mludishe heshima ya muziki wa hip hop ndani ya nnchi ya tz.
@mohdalliy656
3 күн бұрын
My best hip hop in EAST AFRICA UPO HAPO? FA unajua mpka unkera i still heard in 2024🎉🎉🎉❤
@abdallahjuma4397
6 жыл бұрын
najua kona xote kama ufagio wa Zamani #falsafa umeimadda
@mkaliwenuoriginalpleasesub9297
6 жыл бұрын
Aidia ya nyimb mzur san gonga like yak hap plz
@ebenezerdayan3797
6 жыл бұрын
Aisee nyie wahenga mna sifa sana hadi mnabore!Kwa mara ya kwanza nimeona na kusikia muziki!Perfect
@graysonboniface5768
6 жыл бұрын
kama unaamini AY kawafunika wote like hapa #upo hapo
@joekitaa8998
6 жыл бұрын
kwa macho na masikio yangu Fa amewakimbiza kuanzia kwene video adi audio FA mutu mubaya✌
@karimpado4256
6 жыл бұрын
It's lit ....production iko Excellent...Lyrics ziko Excellent... wajomba mmeua hii track iko moto balaa ....
@tinachiamba3382
6 жыл бұрын
Fireeeeee
@chenzhen7772
6 жыл бұрын
Ngoma Kali wazito wangu watatu ngosha wana
@TopTenKaliTV
6 жыл бұрын
Nimeipenda. welcome all to TOP TEN KALI CHANNEL
@omarimuhidini8483
5 жыл бұрын
I ssa 350000
@mesiahwcandun5990
6 жыл бұрын
".....Najua kona zote kama fagio wa zamani...." noma
@amoseliud6515
6 жыл бұрын
Bonge la ngoma like twende sawa
@chibudonmoneychaser2243
6 жыл бұрын
Ngoma kali ila tatizo.. imechezwa kwenye account za watu wengi KZitem.. sijui kwanini ma legendary mnashindwa kusimamia kazi zenu..
@OmunguJR
6 жыл бұрын
Dammit AY verse yako ni moto 🔥🔥
@TamuzaKale
6 жыл бұрын
The beginning of the new era on hip hop and commercial scene!
@jacksongideon8291
6 жыл бұрын
bonge LA ngoma mmetisha wakongwe acha waitwe wakongwe
@TamuzaKale
6 жыл бұрын
Sio uwongo babu. Wamelikamia balaa!
@Nduki47
6 жыл бұрын
Absolutely
@johnkainkwa667
6 жыл бұрын
i think they are using mafia mob concept on this
@moureensab2335
6 жыл бұрын
mwana fa na Ay are legends👑 straight outta kenya
@omarimuhidini8483
5 жыл бұрын
ssa cgtyi
@ismailallymgaya3099
2 жыл бұрын
Hawa jamaa hawawezekani Bongo legend
@tseinlee6727
6 жыл бұрын
Hujawai kuniangusha kwenye industry ya music 🙋🙋nakuelewa xana Binamu
@robibrucelee34
6 жыл бұрын
Kumanina bonge la ngoma ay kamaliza !
@godfreyflorence4224
6 жыл бұрын
Ay katishaa
@gasperpatrick8919
6 жыл бұрын
Nyimbo kali Sana mpaka natamaani kujua imefanyiwa studio gani.
@kayangebaraka4658
6 жыл бұрын
FDQ Mwana FA Na AY Bonge la Nyimbo Nawakubali sana Pigeni kazi ma Broo
@angelolunyungu9415
6 жыл бұрын
Ngoma kali sana sema fan base yao bado iko nyuma siku ya tane leo viewers 500k bado
@husseinsalum5908
6 жыл бұрын
Wakubwa ni wakubwa tu hajatumia nguvu nyiiingiiiiii...............
@marckamary1303
6 жыл бұрын
Kuona fidQ kwa verse ya commercial kweli true hiphop imefifia
@AmosMachen-bi7kq
Жыл бұрын
Mm mpaka naxhindwa kuchagu alifunikwa Nina👊🔥🤝🇹🇿
@charlesased
6 жыл бұрын
Wakubwa wa kazi!!! Basi sawaaaaaa sisi wacha tuendelee kusupport mziki mzuri. UPO hapoooo 🔥🔥🔥
@abdulahmustafakadila4992
6 жыл бұрын
Duh manina fid fafanya ufuska humu ndani jama
@irushmitchblac9984
6 жыл бұрын
from Kenya..ngoma ni naree,Motooo,hip hop bado ipo..tz,bongo mko juu..
@abubakarmohammed5994
6 жыл бұрын
This is the top hip hop of TZ in 2017 hivi ndo vitu tunavitaka sio kuimba nyimbo za mapenzi tu
@ictdiploma8416
6 жыл бұрын
fid q aisee unajua mpka unaboa.............wazeeeee baba mupo apo
@rubetejacobo4681
6 жыл бұрын
Upo hapoooo, kaa mkao wa kulaa kama umevunaaaaaaaa waooooooo
@hadassperez494
6 жыл бұрын
3 kings ,3 legends Eiiiiish hatwariii 🔥 🔥 🔥 mwana fa 's verse is my favorite 💃
@starshinemussa8326
6 жыл бұрын
Safii sana wakubwa bonge la chupa, wonderful #Upohapo
@BenCheck-jx9lo
6 жыл бұрын
Upo hapo? ! viwango vya kimataifa ,safi sana
@Omary_Mjema
6 жыл бұрын
Kwangu Naona Bonge La Evolution Sana sema Naona Watoto Bado awajaelewa NgumU ...3kings in One truck that's lucky to here Salute BROTHER Kwa Video Kali
@tariqkessy1006
6 жыл бұрын
nice music wakali wa hii game...kali mnoo,beat,verses mpak vid...kakosekana Juma Mchopanga tuu apo #salute
@frankjully5457
6 жыл бұрын
nimeiangalia Ngoma kwasababu ya ay na fid q huyo mwana fa au mwanafatuma simpendi
@G.rammtuta
6 жыл бұрын
Naiyona inavyokuja kusumbua DUNIA funika wooooooooooooooooooooote Kaa juu upo hapo
@davidchilumo6246
6 ай бұрын
2024 kura kwa FIDY
@jacksonmaningu541
6 жыл бұрын
Wahenga wameuwa balaaaaaa mipango Baba sihitaji shida na wana
@bonistylez
6 жыл бұрын
Hii ngoma ni qwiqwi ,,, nipo hapo
@naseebkanick4116
6 жыл бұрын
hili ngoma ninoma wamekutana wote wanajua mpaka bas
@alfredchunga9141
6 жыл бұрын
Hawa jamaa hatari sana!! bonge la Hit!
@denyoentertainmentcompany1559
6 жыл бұрын
hongereni mtu tatu ndani ya track moja, daah so international
@rodgersmichael5015
6 жыл бұрын
mmetisha sana wakubwa
@lilakhhassan9864
6 жыл бұрын
fid hii ngoma unge jua usinge weka sauti kabisa kwani nyinyi hamis ana washinda wapi fa ww ni fundi
@jumanyule7677
6 жыл бұрын
ngoma kali toka kwa wakongwe big up guys bonge la hip hop
@kiddatu7
6 жыл бұрын
Hamjawai kuniboesha wasee.nyaani mnajua hadi mnaboa..bonge la chupa wana .nhalichuji milele
@symonwycliff8049
6 жыл бұрын
ATIRIRI ndo nini....kikuyu going international.
@livinArrow
6 жыл бұрын
Hii ngoma ni kali adi inatisha nafkir kweny upande wa hip hop bongo hii ni ngoma ya karne nashindwa ata kumtaja aliye funika na aliye funikwa💪💪👍
@maundumwingizi8027
6 жыл бұрын
booooonge moja la ngoma, booonge moja la video. Ninarudia kuitazama kwa mara ya kumi sasa. ....
@paschalmayala2533
6 жыл бұрын
fid hawa ndiyo wasanii ambao unastahiri kushirikiano ktk ngoma co wasenge wabana puwa wanakufanya mpaka unatukanwa siyo fresh
@christiangodfrey8884
4 жыл бұрын
Ina faaa kuwa movie. Video kali kulillko zote.ay uhalisia ni OG
@yassinmohamed8241
6 жыл бұрын
kiba ndio kanifany nchek hii video bra kuipost yeye nsinge ichek bt ntaichek mala kumi kw saport ya k #kingkiba
@RamazaniMulongeca
6 жыл бұрын
Yassin Mohamed #HassanovorJr kasema #Alikiba haja post hii ngoma kwakutaka kumtetea #Mondi.. watu wengine wanafki sana... Big up bro kwakusema ukweli...
@dottoathuman7488
6 жыл бұрын
nakubali
@clappertoncharo8602
6 жыл бұрын
Mziki wa kiutu uzima,watoto wakae kuleeeee!!!
@georgemsami1957
6 жыл бұрын
mmetisha mazee nimewabless
@mhlegusekambona2818
6 жыл бұрын
Hii ni ngoma yetu wakubwa. Asanteni sana jamani
@saidmttenda1892
6 жыл бұрын
Mmetisha sana Wazee
@shaphyvuai6805
6 жыл бұрын
Gudaaah mzeaa fa unanukia kama....... LA perfume Fa mmeua wazee this great song
@djacekenya001
6 жыл бұрын
Kaliiiii Good stuff Mwana Fa, fid & AY 100% √√√
@davidsamwel5008
6 жыл бұрын
TIGO Mpo hapooooooo
@yulithakashegu7028
6 жыл бұрын
AY nimekupenda bureeee kabisa umetisha bro kwel mmefumua big up kwa FA
@dominicmwale85
6 жыл бұрын
majamaa wanajua hadi wanaboa
@johnjohnson9374
6 жыл бұрын
Nomaa sanaaaaaaaaaaaaaa mipango baba sitaki shida na wana
@mgabejames6365
6 жыл бұрын
Nilitegemea kukuta 6 k lakini Tanzania wabinafisi kinoma
@davidmihambo3051
6 жыл бұрын
video nzuri sana hii. bongo movie tumieni pesa mtengeneze movie nzuri ili ziuze mpaka nje ya afrika huko
@johnthobius6543
6 жыл бұрын
High creativity, hawa jamaa ni nomaaàaaaaaaaaaa saaaaaanaaaaaa.Mult tallended
@yukax6240
6 жыл бұрын
Tz has never seen this type of creativity mzee baba
@mickskillstechnology7511
6 жыл бұрын
Noma sanaaa, legends kwenye chupa moko, ubunifu wa hali ya juuuu
@madragoeckoniah8150
6 жыл бұрын
Vichwa 3 ndan ya hiphop...Hakuna makosa ila n utamu tuu...Fantastic
@rafaelwambulawambula173
6 жыл бұрын
kiukwel mabroo mmeukonga moyo wangu kwahili goma
@cherietigress3109
6 жыл бұрын
Natokea Rwanda sielewi kiswahi ila dude ni konyo wajameni
@daudrevocatus4952
6 жыл бұрын
Cherie tigress hahaha hukijui lakini kukiandika unajua?
Pale fagio za zaman zinapokutana mzuka unaamka inakuwa tyt zaid ya chabunene ndan ya skin jeans.....Unyonge mwisho mwaka janaaaa!!
@makasy1776
5 жыл бұрын
ngoma kali sana,, fram ke nangoja remix ikuwe na mtoto wa faridi na yule kijana hana swaga kabisa mchanganye legends watatu na current watatu.. imetisha sana.. kutoka enzi za habari ndo hiyo
Пікірлер: 618