Faida ya mpango wa africaconnect
1.kupata mkopo wa pembejeo kama mbegu, mbolea na viwatilifu
2.kuunganishwa na bima ya mazao
3.kuunganishwa na masoko ya uhakika na bei shindani
4.kupata huduma ya ugani kutoka kwa bibi na bwana shamba wetu.
Je unahitaji kujiunga na mpango huu tafadhali wasiliana nasi piga 0800750188 huduma hii ni bure.
#knowledgegrows #YaraTanzania #africaconnect #MboleaNiYara
Негізгі бет Mwanamke Aliyenufaika na Mpango wa AfricaConnect kutoka Yara.
Пікірлер: 1