KIMEWEKA EP 04 👇 kzitem.info/news/bejne/rGOc0Z2KmoOCfm0si=UQq_nwuMaafrfeyi
@saraphinaJohn-k2m
14 күн бұрын
Naomba hako kawimbo jaman ka mama pls
@SdFft-j5g
15 күн бұрын
Kumbe Chiko we ndo chanzo cha mamako kua chizi 😢😢😢tamaa za Mali ni mbaya, Ina maana gni kua tajiri na hauna amani ya moyo wko,, na hivi hyo ndoto Ina maana kua zatiti na chiko ni mtu na dadake na hawajuani au
@Swabrina-
15 күн бұрын
Aky inauma.. heri nibaki masikini lakini nko na amani ya roho😢😢😢😢
@DominPallangyo
15 күн бұрын
Kibaya zaidi analala chini et utajiri
@SelinaDorcas
15 күн бұрын
Ata mm dhan ivyo
@JescaYusuph-m4y
15 күн бұрын
Mmmmmmh😢
@CarolyneNyanchama-yk1gf
15 күн бұрын
😢😢😢
@lizelizabeth6467
14 күн бұрын
Nisipo lisema hili nitakua mchoyo wa fadhira, mamake Kai you are indeed mother of wisdom
@افااقع
14 күн бұрын
Mamake kai ambae ni mamake tasha kule house girl nakupa hongera sana kwa mafundisho yako utajiri mafanikio humfata upendo hapo ni kweli kabisa👏👏👏👏🇰🇪
@RrShd-vq1xy
15 күн бұрын
Jamani hata hamjatazama movie mnaomba tayari likes😢😢😢 haya na mm nipewe likes 😂😂😂😂
@EveKaari-r7r
15 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@HoHo-l1r
15 күн бұрын
Huyu mama yake kai anaushauri mzuri sana Jamn..wacha nimpe maua yake 🌹🌹🌹🌹
@khafidamkambeKhafidamk-dq7nj
15 күн бұрын
Mm huyu mama nampenda sana pia mau🎉🎉🎉 yke hayo
@ShamieWise
14 күн бұрын
Yaani nampenda sana
@cartoonpati2914
14 күн бұрын
🎉
@mariambakari-h9n
14 күн бұрын
Hadi nmemtaman awe mavyaa 😂
@ZeinabBakar-je4nr
15 күн бұрын
Wanaona penda Wana busat naombeni like kwa ajili yao
@kamarhelo
15 күн бұрын
Pamoja na my madher lakin tunaomba sizon ya tatu house gerr
@RehemaSalim-m8s
14 күн бұрын
Haki mko vizuri sana but huyo nyoka musimueke ntashindwa kulala ntaota naogopa😢
@ElizabethBanda-p4i
11 күн бұрын
Nawapenda mna mafundisho mazur xna
@YusraSiyaleo-yk2fz
15 күн бұрын
Mm wa 645 🎉🎉🎉🎉🎉 najiona nmewah sana
@Aminah-r4s
15 күн бұрын
Subhanallah chiko chiko chiko😭😭😭😭😭😭😭
@mummyjei5634
14 күн бұрын
Chiko chiko chiko kumbe ww ndio chanzo cha ukichaa wa mamako haya kula chuma icho
@McT-m1m
15 күн бұрын
Sitaki riziki ya kumshirikisha mngu hata kwa hirizi
@cathywalwit5437
14 күн бұрын
Na majoka tena mnatutisha
@Asma-hn1jk
15 күн бұрын
Kwakweli tamaa mbaya 😢😢😢😢 Alhamdulillah kwa haya maisha nilio nayo
@MariamMchomvu-q3s
15 күн бұрын
Haya chiko utajua hujui umejiingiza kwa mapepo hayo😢
@maimuna9132
15 күн бұрын
Mimi nachanganikiwa nikiona ndevu za chiko😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@AntyBy
14 күн бұрын
Nice❤❤
@Fayzer-yb4ic
15 күн бұрын
Wakwanza naomba like zangu ❤❤❤
@RehemaMwakisyala-k9u
15 күн бұрын
Kumbe mama Tasha hekima ndo huruka yake na kumpenda zatt hakujaishia house girl jamani nakupenda mama kaiii❤❤❤❤❤
@Kai_busati
15 күн бұрын
❤
@ggfwtgg1652
14 күн бұрын
Nakupenda sana mma tasha unastahili kuitwa mma yangu
@rosechepkorir4998
14 күн бұрын
Mama Tasha wewe Ni mama mzuri Mungu akupariki
@khafidamkambeKhafidamk-dq7nj
15 күн бұрын
Mm nkiagalia hii move nkiona mama tasha huwa naskia raha sana like kma wapenda mama tasha na kai mau🎉🎉🎉🎉🎉 yake hayo
@FaisalAlrefai-u2y
15 күн бұрын
Nakwambia huyu mama yuko sawa sana nakupenda sana mama kai chukua maua yako 🎉🎉🎉🎉🎉
@irinemmasy8387
14 күн бұрын
Anajua kuigiza
@CynthiaNizigiyimana-w9h
14 күн бұрын
Nampenda mno mama huyu
@AnnoyedCircuitBoard-mp8vn
14 күн бұрын
Nawapenda Sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@biashaSalem
14 күн бұрын
Walai pia mmi nampenda sana more ❤ mama tasha
@FatumaWazir
13 күн бұрын
Nakupenda sana mm tasha nataman sana kua na mm kama ww ila wengine tushawapoteza❤❤❤
Batuli we AC Jaman itoe wapi na umepitiliza eeh, Ila Kai hapo alitaka akutambulishe kama mchumba Kwa mama lkn mmh @@busatitv
@RizikiZiki
15 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂umeona etiee cefu
@Oman-m8r
14 күн бұрын
mama kai nakupenda bure❤❤❤
@didaAli-p9w
15 күн бұрын
Mgeni taratibu mama Tasha habaatishi 🎉 like kidogo basi
@khafidamkambeKhafidamk-dq7nj
15 күн бұрын
We kabsa ushasema huyu mama kiboko sana kwai hayo marigo yake hayafiki popote like kwa mama tasha na kai
@busatitv
15 күн бұрын
💪💪
@zahraali5113
15 күн бұрын
❤❤❤❤@@busatitv
@Zuonist-y3q
15 күн бұрын
Nawakumbusha tu, huku ni mama Kai sio mama Tasha tena
@HudhaimaYussuf
15 күн бұрын
Mama kai chukua mauwa yako 🌹🌹🌹❤ una hekma san
@cartoonpati2914
14 күн бұрын
🌹🌹🌹🌹🌹
@GalaxyA-ve8tu
14 күн бұрын
Mie uyu mama nampenda sana kwa msimamo wake angekua mama mwingine angepokea ivo vipesa
@Aminah-r4s
15 күн бұрын
Maashallah mama Kai Allah akuzidishie Kwa mafunzo mema nakupenda 💕💕🤲🤲
@RahmaSaido
14 күн бұрын
Mm pia nampenda mama kai ako n maneno y kujifunza kma waenda kukosea❤
@zuleykhasaid967
14 күн бұрын
Mungesema Basi kama kuna manyoka 😢😢 me Mpaka nimepasua Simu Yangu 😭 😭 namwogopa sanaa huyo mnyama jaman 😥🎉
@ashahassanhiribae1527
14 күн бұрын
Anatishia kwa kweli nimeogopa pia😢inakaa real
@AgnessYohana-rd8ny
9 күн бұрын
😁😁😁
@AmosYohana-c5s
4 күн бұрын
Poleeeee
@Hapie3374
15 күн бұрын
Mama tasha aka mama kai nakupenda san mamaangu
@JullianaEmmanuel-tm5xg
15 күн бұрын
Mama Kai anabusara sana daaah Alf ana maneno mnzr hatar,
@JanetRiziki-ut2is
13 күн бұрын
Jamani mama kai nakupenda sana naomba mungu akuzidishie maisha marefu mamangu❤❤❤❤
@fatumamkuzi8051
14 күн бұрын
Chiko ulienda mtkana mjomba kumbe ww ndo chanzo cha mamko
@ZainabuKakozi
15 күн бұрын
Duuuh mbona zarau zimezidi mpaka ukweni😢😢
@AminaMutisia
15 күн бұрын
Mm pia nimekaa wa mwisho,nionjesheni hzo like nihis ladha yake maana naona ziko tamu
@SamiraseifAlfan-ph4ke
15 күн бұрын
Big up mm Kai umekataa pesa za manyanyaso nimekupenda bure😂
@Realme-xm3sh
14 күн бұрын
😂😂😂sisikii la mnadiswala walanini😂😂😂
@AminaMusa-v9h
15 күн бұрын
jamani hili la chiko limeniumiza sana na inafunza kitu 😢😢😢😢😢
@DianaNelima-i5i
15 күн бұрын
Kweli hadi mimi nimeshtuka
@JescaYusuph-m4y
15 күн бұрын
dah! Acha tu ndugu yangu bora tu nipambane kwa kidogo ninachokipata kupitia jasho langu kinanitosha pia kumsaidia mama angu kuliko kupokea vingi vyenye mateso na havina amani hata kidogo mmmmh😢
@RehemeAlfonce
15 күн бұрын
Usisahau kuombea nchi yetu ya tanzania amani iweze kudumu japo mauaji yamezidi sana lakin maombi yako,yangu ndo silaha pekee ya kuilinda amani yetu😢😢😢🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@SarahCharls
14 күн бұрын
Mungu atuhurumie TU siku zote
@PendoSeleman-gy3wx
13 күн бұрын
Eee mwenyez mungu tuhurumieee
@RehemeAlfonce
13 күн бұрын
Amina yarabi🙏🏾🙏🏾
@mwanakombopopo5117
15 күн бұрын
😢mbona manyoka tena mm uwa naogopa🐉🙆♂️🙆♂️🙆♂️
@JulianMuthoni-r1s
14 күн бұрын
😂😂😂pia mm huogopa aki
@SharonChepngeno-d7e
15 күн бұрын
Kama unaona choki na zatt ni madugu weka like apa❤
@DominPallangyo
15 күн бұрын
Huyu Batuli anaejifanya hali majani ya viazi ndo wale wanaojifanya maslay queen kumbe kwao wanakula ugali wa nyanya shenzi 😏😏😏😏 usinisumbulie mama mkwe wangu
@anyona711
14 күн бұрын
Na mlitoa wapi chatu 😢😢😢
@فاطمه-ج6ن7س
15 күн бұрын
Pia mi leo nimekua wa 27 bas nionjesheni hizo like mana naona kila mtu ataka ❤❤
@CelestineNyongesah
14 күн бұрын
Tushaa peana mpenzi
@sayunimnguruta98
15 күн бұрын
Batuli nakuita batuli 😂tuachie mama yetu ana busara sana❤
@DoreenWanyonyi-x8y
14 күн бұрын
Inawezekana❤
@Mery-st4nu
15 күн бұрын
Kai leo kaongea kama ex wangu alivomjibugi mamangu pale tulipoachana akasa eti marry ndo kaniacha😂😂 ndo ya Kai leo😂😂😂
@Kai_busati
15 күн бұрын
Nomaaa😃
@clariszawadi2010
13 күн бұрын
Movie yenu nzuri ila haya mambo ya majoka joka mm sjapenda kabisa😢
@FainesGeofrey-h6d
14 күн бұрын
Yaan sehm moja2. Mtanfanya nisiendelee kuangalia hii move hyo manyoka2 me naogopa usk
@Marlenapilikitsao-gk9je
15 күн бұрын
Nimejifunza wakati mwengine tuwe Makini Kwa uamzi tulio nao Je Ni sahii au tuna potea? movie Safi sn Ni mehamia huku SS mzimamzima house girl Kwa hiri umenichosha
@busatitv
15 күн бұрын
🙏🙏
@matthewmichaelsylvester5612
14 күн бұрын
safi sana pesa sio kila kitu dunian
@HidayaMbodze
15 күн бұрын
Nilijua tu chiko aliingia chama pale mamake kamfata
@VaneMoraa-tv8rm
14 күн бұрын
Busati jamani mna moto🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@DominPallangyo
15 күн бұрын
Nikwel kabisa lazima batuli hawezi kuwa sawa maana anaonekana kabisa kichwa cha kusoma hana
@SitiSaid-ol9rm
14 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@lilianmbwilo7039
13 күн бұрын
Mwezenu mama tasha ananifundisha mengi sana nampenda mnooo mungu amjalie anamaneno mazur mnooo❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
@Lonamkopi
2 күн бұрын
Jamani nyoka tena wametoka wapi kama mnaogopa gonga like ❤❤❤
@Realme-xm3sh
14 күн бұрын
Mmmmmmm jmn mbona hapa ndommenikimbiza nisfatilie tena movie hi 😢manyoka tena duh aya bana kwaherin😢😢wengine waoga km nn😢
@MariamMchomvu-q3s
15 күн бұрын
Tunaomba season 3 house girl jaman nitamu sana❤
@Thuma-g8o
14 күн бұрын
Furaha ya Mali nikusherekea ww na family Yako ususani baba mama na watoto Leo hii bwege chiko wafuraisha watu kando mamako yuwala mavi siniuboya huo tu
@aishaomar2287
14 күн бұрын
Bora nioshe mavi ya warabu ila sio kumtoa kafara mama yangu wala watoto wangu😢😢😢...pepo yangu niiteketeze!
@ibumajaamillah3195
14 күн бұрын
Msiwekee nyoka bhn wengin ni waoga mno tunawaomba lkn
@TamariLucas
14 күн бұрын
kama mnaweka minyoka me sj kutazama tenaa😢😢
@ErastoMsemwa
15 күн бұрын
Batuli ni nawasi wasi hta kwenye house grli kuwa mfanya kz waa zuuu😢
@kamarhelo
15 күн бұрын
Kwani hukuona finar ya Jana house gerr baturi alitumwa na sania kuhalibu ndoa ya zuu
@esterkimalio8846
15 күн бұрын
Kwani hujaona jana kama,,,ametumwa na akina candy
@MercyNabwire-n4g
14 күн бұрын
Kumbe chiko ndo chazo cha mamake kuwa kichaa maskini wa mungu ,,,,,, ila inatufunza tamaa mbele mauti nyuma chiko usijutie hayo ndo maisha ulichagua bt it's so sad kufanya mamako kuwa sehemu ya utajiri,,,, heri ugali dagaa kwa amani kulipa nyama wali vitani hii ni kwa kai
@nahimanabella2478
5 күн бұрын
Naskiaaa kumucukia chiko kumbe niyeye aliy mtowa maman yake Kweri nimeamini ile hadithi eti mama hauwi ila mtoto anauwa kabsaaa
@Kinyua-ye8kk
14 күн бұрын
Kai mwambie kweli mamako wewe ndo umemuacha zatiti
@RahmatOffciol
15 күн бұрын
Tuwatunze mama ZETU kwa vidogo VYETU tuache tamaa jamani 😊😅
@JustinaWilliam-nq8ft
15 күн бұрын
Kumbe huyo madevu utajili wake niwakafara😢😢😢😢sijapenda jitoe ww mbwa ww
@SaumuJumwa-u4v
14 күн бұрын
Ndo alimfanya mama yake uchizi 😢😢chiko 😭😭😭
@InnocentDrone-iw5hw
14 күн бұрын
Sikuzote unaambiwa tamaa mbya
@carolineachieng554
15 күн бұрын
Batuli kitakuramba hapo kwa mama tasha jamani hachekeshi huyo
@JosephDevis-s6o
13 күн бұрын
Hyu mbuzi ndo kafanya mama yake kuwa chizi
@moonGirl-t1i
14 күн бұрын
Live from Kenya kumbe Chiko we ndio kafanya mama chizi😢😢😢😢😢
@DelvinChepkorir-t1d
14 күн бұрын
Alafu anamlaumu mjomba wake😢😢
@JustinaWilliam-nq8ft
15 күн бұрын
Mama Tashia unahekima sana mungu akulinde ❤❤❤❤
@JohnThomas-mq5fw
15 күн бұрын
Batuli hata kama inatakiwa uonje hata kidogo siyo chakula kiandaliwe wee ukione kama takataka
@everlinenjuguna2281
15 күн бұрын
Jamani kila ninapoendelea kuitazama hii story,,,the more inazidi kuwa tamu na mafundisho ndani yake,,,,naipenda sana❤❤❤❤
@CarolineSaumu-ng3zk
15 күн бұрын
Mama Kai Kwa hakika mama nakupenda Bure mama busara..
Batuli kaua...Yani kachoma picha n negative yke....lakin mama kamjibu vizur.... mboga tunazo mwanangu....eti hayo majani...eeeeh hayo majani mwanangu😅...lakin mbn hewa nzito xna humu ndn?
@PhilbertHabonimana-o1z
15 күн бұрын
Mama nampendasana kwakwel amekataahela zamanyanyaso
@JanethLeonard
14 күн бұрын
Yaan wimbo wakwenye hii simuliz unagusa kweli 😢
@busatitv
14 күн бұрын
😭😭
@officialphoebe2
15 күн бұрын
Me pia leo nimewai nipee ata like 10 tu jamani kazi nzuri❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@CarolyneNyanchama-yk1gf
15 күн бұрын
Chiko really???😢😢why did you do that?? kumbe wewe ndo chanzo mama mzuri jamani halaf kuna Batuli,,batuli ni magari yanatoka wapi yakielekea wapi maana yanakuja upesi😂😂😂😂usichukie maisha ya watu ama kwa kweli kuigiza lazima uvumilie anyway feel loved from 🇰🇪
@HalimaBaidu
15 күн бұрын
Mimi wamwisho😅😅😅
@TuliyaNdahiza
15 күн бұрын
Wakwanza leo
@MaziamJororo
15 күн бұрын
Chik kumbe mchawi😂😂😂😂😂😂😂
@Ummyrahy6666
15 күн бұрын
Batuli kujifnya ujui matembele heeee😂😂😂
@annnafula7476
9 күн бұрын
Hiii movie ni chonjo lakini kukikosekana zuu,, Sania na wapumbavu haitakua tamu kama house girl
@Hamisahamisar79
8 күн бұрын
Mama Tasha nakupenda sana ❤❤❤ Yani nikilundi Tanzania nitakuletea zawadi 🫶💕🫂💕💕
@Luvunokkabi
13 күн бұрын
Kwenye hii move nimependa zatiti sana kwa heshima yake na upole ❤🎉❤🎉 l love from kenya
@EvethaSimba-i1c
15 күн бұрын
Cand anachotaka ni hela tu lakini kumbe ukweli anaujua mwanamke huna huruma wewe ingekuwa mama yako ungekubali afanyiwe hayo halafu unaenda kuhonga
@florencekavira-uy1lw
12 күн бұрын
Nafuraii sana kuona Kazi zenu, Ila uyu kendi ananiuzi sana . Badilika kendi roho mbaya ww
@jubaidamiss2409
14 күн бұрын
Next ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@Realme-xm3sh
14 күн бұрын
Khaki kai jmn 😂😂et sisikii la mnadiswala walanini 😂😂😂😂mama katoa mawaidha hamna alichafaulu😂😂😂
@MariaHussein-f5w
14 күн бұрын
Chiko na zatit nn knaendlea kuhus hyo mama jaman au wte kwa pamoja mama yao ni hyo chiz kwel hili fumbo lkn mwsho wa my mother tutajua kila kitu
Пікірлер: 329