Mzee Hashim Juma Issa, Mwenyekiti wa Baraza la Wazee CHADEMA Taifa ameomba radhi kwa Watanzania baada ya kutoa kauli iliyoashiria udini, ukabila na utengano kwa wakazi wa Tanzania Bara na Visiwani Zanzibar tarehe 1 Oktoba, 2024.
Mzee Hashim ameomba radhi hiyo kupitia video fupi iliyochapishwa leo Oktoba 4, 2024 kwenye akaunti ya chama hicho katika mtandao wa X.
Негізгі бет MZEE HASHIM WA CHADEMA AOMBA RADHI JUU YA KAULI WALIZOTOA KWA WATANZANIA.
Пікірлер: 5