Mungu wamababu yuko kweli Na hanaendelea kufanya kazi kwa watu wote, maana kila kanisa inafata wafu. Ubarikiwe sana mzee nabii wakizazi cheusi baba BOMBET SIMBA YALEMBO MATANGO
@etoolebene7486
3 жыл бұрын
Mzee ana hongea kweli, ina bidi turudilie ma babu zetu
@JulienneNabonyemu_
3 жыл бұрын
Wow everyday we learn something new from this channel ✊🏾✊🏾
@dominiquedunia253
3 жыл бұрын
Mzee bombe mungu anakuona 😁😁😁🐆
@wilsonmsenga6447
3 жыл бұрын
Mzee uko vzr sana, maana hata kristo tulikaa naye bado watu hawakumwamini na hadi leo watu hawaamini kuwa kristo alikuwa mweusi.
@Bantuisrael
2 жыл бұрын
Hii ni kweli bote ba mu Bibila balikua ba Congomani ba Bantu. Inchi ya Israel ya kweli eko mu Congo
@mr.ppatrick4245
3 жыл бұрын
Hii ni kweli ambayo inahishi na watu weusi hakupendi kusikia
@immaculeeshaka8710
3 жыл бұрын
Aca uuongo kwenu kunani simnauwa bila huruma!
@ismasnoa5989
3 жыл бұрын
Ndio mmbembe tayari amesha poteza asili yake nasio yeye tu ata Africa kwaujumla
@sungesonji4412
3 жыл бұрын
Mungu wa kweli yupo naye ni Mungu ambaye wengi wa Waafrika wanaita leo miungu. Tuachane na imani ya makanisa ya wazungu haina msaada kwetu, tangu tulipookoka hadi sasa miungu tuliyofundishwa na wazungu inazidi kututesa. Tunateseka sana. Kweli halisi, nimewahi kuhambiwa kwamba mahelo (kutambikiwa) iliyokuwa inafanyika Ubembe na kile wazee waliomba kilifanyika papo hapo. Leo watu hujitahidi kuomba bila mafanikio. La kushangaza ni kwamba kwa nini kila kitu kuhusu Mungu kinatoka ku wazungu? Ama hii siyo ukoloni wa kiakili? 1. Kanisa Je wazungu peke yao tu ndio wanajuwa Mungu wa kweli dunia mzima ili kwamba waje kutufundisha na ingawa wao wenyewe hawana Mungu? Na ikiwa huyu Mungu tuliofundishwa ni wa kweli kazi yake hasa kwa Waafrika ni nini? Mbona nchi inayojiheshimu inalinda raia wake nao wanakaa salama. Lakini huyu Mungu tuliyefundishwa umwombe wala usimwombe hakuna kinabadilika. Mungu wa wazungu alipigana na shetani, wala hakumsamehe, hata akamtupa chini kulingana na kitabu walichoandika wazungu. Yesu naye akaja akasema tuwapende adui zetu, mbona Mungu hakumpenda shetani mara tu alipomkosea? Mbona kile kitabu cha wazungu kinasema Mungu ni wa huruma, neema, upendo na fadhili na zaidi ya yote anasamehe! Mbona hakumsamehe shatani? Kwa nini sisi tuwasamehe watu wa matendo yale yale ya shetani wanapo tutesa, wanapo tuhumiza, wanapo tufanyia mabaya na hata kifo? Ya kwamba mtu akikupiga Kofi mpe lingine, je mbona Yesu mwenyewe alilalamika alipopigwa kofi na akida wa Kuhani mkuu? Kwa nini hakunyamaza na kumgeuzia chafu lingine? Bali alisema kwa nini umenipiga, nimefanya kosa gani? Watu hujifunza busara siyo tu kufuatafuata mambo ambayo hayana msingi alafu inatuletea shida nyingi. Wazungu hujiuliza kila mara mbona Waafrika wanaomba sana, wana Mungu lakini shida haziishi kwao?
@wilsonmsenga6447
3 жыл бұрын
Hakika umejua kunena maana wa Afrika hatujitambui kutokana na dini hizi za wazungu, barikiwa sana.
@shantyik7789
2 жыл бұрын
Ume ongea ukweli ndugu yangu kbs 💯
@wilsonmsenga6447
2 жыл бұрын
Hakika umesema ukweli, ila sisi waAfrika tunamatatizo sana tunamwamini sana mzungu wakati ndiye shetani wa kwanza tunayeishi naye.
@imash04tv20
2 жыл бұрын
hakika wajinga wapo kabisa yani wanaloona wanaamini ivi dini ya mababu zao hao unazijua hao ulikua ni ushirikina na uchawi mweusi zamani ndio wakiendejeza waafrika sasa mchawi na jini ataumba ardhi na mbingu na kuleta mvua na kuleta maradi na mimweso hem amkeni ndugu zangu wekeni imani yenu kwa mungu wa kweli na haya utayapata katika uislamu ambayo ndio dini iliyokuja kukhitimisha dini zote ambazo zilikua ya kikristo na kiyahudi hapo zamani
@bihimomasemo4482
3 жыл бұрын
Mzee huyu anasema ukweli wazungu wanawaletea hela nasilaa za kuwauwa anasema ukweli mzee wa fizi rdc
Mimi nimekosa neno ila ningependa uendeleye kuwa film Wana kwaya hao tuwaone vuzuri wanavyo cheza
@jolemerci2155
2 жыл бұрын
Asanteni tanganika TV kutujulisga kinacho endelea nyarugusu
@fahilanendjo2841
3 жыл бұрын
😭😭😂 bulange
@lilgola8605
3 жыл бұрын
😂😂😂kmanina uyuu
@hanifatanzania7258
3 жыл бұрын
Duniani kunavituko sana Allah atuongoze wajawake maana Bila Mungu vigumu kuelewa Dini ya kiislam mpaka upate Bahati sana ya kuwa Muislam inabidi kushukuru saana
@kaskileotb6857
3 жыл бұрын
Du! Ni atari
@dorahisinika7576
3 жыл бұрын
Ushindwe katika Jina la Yesu Kristo wa Nazaret..Mungu Jehova atabaki kuwa Mungu milele na milele...aliyekufa amekufa...kumbukumbu lake limesahaulika...
@dorahisinika7576
3 жыл бұрын
MUHUBIRI 9:5
@wilsonmsenga6447
3 жыл бұрын
Dada umefeli kinoma hakuna yesu dunia hii, nasa madini hayo kwa mzee, kama huchukui kitu hapo umekwisha.
@oredibolenge
2 жыл бұрын
Doraha, huruma sana kwako, mana hadi sasa hujajuwa kama yesu hajawai kuwepo hapa Duniani, na huyo Jehovah unaye mtaja, ni shetani! Wazungu wame wa haminisha uongo ili wawa teke ki akili,. Hamuka we mtu mweusi . Kweli ipo tiari
@Antipasmsabaha123
3 жыл бұрын
Wewe ndiye mwanzilishi wa kanisa la Edak hiyo ni makubwa, ukitumwa na mababu nikama bure tu, utumwe na Mungu wako ndo cha msingi, mzee bombe, acha mambo yenye aina maana, Mungu na moja ulimwengu mzima, mzee Bombe wewe kubali yesu pekeyake.
@deborahrehema5819
3 жыл бұрын
God have mercy on on you God Yehuah Messiah atabaki Mungu na hakuna kama yeye ndomana Congo 🇨🇩 inarudi kuwa chini , tubu mzee
@deborahrehema5819
3 жыл бұрын
@Yusuph Asenga my brain will never be washed because who created the earth and heaven has the right to be worship and get his glory back , all who says we have our own god hell is waiting them , we just talking like we know everything kumbe zero mind , alot will enjoy hell fire the hour is near
@deborahrehema5819
3 жыл бұрын
@Yusuph Asenga hakuna Ichihara kitu Watu weupe nao walipata Neema ya kujuwa Mungu ,maana ni gentiles nao , Kuko miungu mingi but Yesu Kristo pekee ndie njia ya kweli na uzima na hakuna Mungu mwengine ,akili ya kibinadamu itabaki hivyo hivyo na ndomana Mungu akomboei inchi ya Congo sababu wanaabudu miungu ambayo haija waumba wala kuwapa pumzi wanao jivunia
@wilsonmsenga6447
3 жыл бұрын
@@deborahrehema5819 Dada kaa ukiijua kuwa huyo unayemsema yesu hajawahi tokea ktk dunia hii na haitakuwepo.
@oredibolenge
2 жыл бұрын
Deborah rehema, Yesu hana Msahada wowote kwako mana hajawai kuwepo. Hamuka, na usidanganywe
@deborahrehema5819
2 жыл бұрын
@@oredibolenge Pole sana maana Yesu kwangu ni msaada sana ujinga wenu mnao shindwa kuona makuu ya Yehua Messiah
@estatekisombola9251
2 жыл бұрын
Huyu bombe matango kutokea kalundja na mjuwa kabisa
@superk1186
3 жыл бұрын
Hakuna kitu hapo
@balangareymond1641
3 жыл бұрын
Post video za kwaya
@dorcaskarago2876
3 жыл бұрын
Uchawi wa saa nane mchana
@hajatihajati5357
3 жыл бұрын
Ba Firaunu niwengi duniani Anti Christ
@sungesonji4412
3 жыл бұрын
Natafuta wazee kama hao tafafhali nitumie namba ya simu yake kwenye email hii "meekwane@gmail.com"
@razosashirafu2217
3 жыл бұрын
Nashkuru kuzaliwa mwislam kutoka katika ujinga kama huyu laana tullah
Пікірлер: 48