Ushauri mzuri sana...Mungu awafariji nabii na kuwapooza mioyo yenu...R.I.P Nisher🙏
@richardmshiu5118
10 ай бұрын
Pole sana nabii kwa msiba,munguu akawe faraja katika familia Yako.Mwenyenz munguu ndio anayejua hatima na Mwisho WA Kila kiumbe alichokiumba.Hakika tuzidi kusali tuwe na Mwisho mwema,umri Sio kigezo,muda wowote na umri wowote munguu akikuchukua ni halali yake.so let us be brave and ready for coming of Almighty God.
@NeemaKimario-ui3ir
10 ай бұрын
Pole sana baba Mungu akutie nguvu Kwa kipindi hiki kingumu Cha kuondokewa na kijana wako mpendwa,,,Raha ya milele umpe ee bwana na mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa amani Aaamen
@JescaMwakipesile
10 ай бұрын
Zaburi 89:48 POLENI. MUNGU AWE NANYI.
@FarajaMwamengele
10 ай бұрын
Pole baba mungu akutie nguvu
@mariamjustine-ve4fv
10 ай бұрын
Pole sanaa
@JescaMwakipesile
10 ай бұрын
Mungu awatie nguvu.
@laborapetro5117
10 ай бұрын
Poleni Baba...Mungu azidi kuwapa faraway...poleni
@shuwehaharuna6309
10 ай бұрын
Nabii mkuu leo kajifunza kitu 😂😂watu ni hazina kuliko pesa
@frankmlalila1705
10 ай бұрын
Hyu monica mchawi bila shaka sio kwa ukavu huu😢😢😢😢
@kakanicodemus3632
10 ай бұрын
Achen basi msiba uishe kwanza jaman
@loycengasashija2018
10 ай бұрын
Pole kwa family 😢
@sofiamsusa9448
10 ай бұрын
Pole nabii mkuu
@gosbertmuta5421
10 ай бұрын
Huyu babanisha ana upako mwingi
@DeboraTweve-vp8yz
10 ай бұрын
Pole sn Nabii Mkuu
@Tanganyikatv965
10 ай бұрын
Pole family
@OthumaniSaid
10 ай бұрын
Pole baba yngu MUNGU akutie nguvu
@livingstoneshakur5970
10 ай бұрын
Pole kwa majonzi baba ety na familia
@fatmaabdallah7709
10 ай бұрын
Hivi mi nakuaga dunia ya wapi najuaga watu wengine maarufu wakishakufa! Huyu ni mtu wa 3 namjua km ni maarufu akishakufa!
@Ram_1893
10 ай бұрын
Huyu alikua maarufu miaka mitano hivi iliyopita sio sasa hivi
@livingstoneshakur5970
10 ай бұрын
Uyuu jamaa ni mwamba
@janetchinga695
10 ай бұрын
Umeongea point baba ❤
@فاطمهفاطمه-ش2ز9ج
10 ай бұрын
Ivi huyu monica kala kiapo gan!?? Mbn mgumu kulia dahhh chek mamake anavyolia yeye mkavu km kifo cha jiran kumbe n kakayake.
@rosemuhandoofficial5676
10 ай бұрын
Hata Mimi nimeshangaa yaani kama hayamuhusu,mmhhhh
@monikamasasi7582
10 ай бұрын
Amelia Sana tangu akiwa anamuuguza lakini baada ya kifo Amelia Sana kwahiyo sio kulia Sana hapo ndio kuonesha uchungu
@emes602
10 ай бұрын
Acha unafiki. Kuna aina nyingi za maumivu huwez jua moyo wake
@lightnessgamasa6039
10 ай бұрын
Mmmmh, nawewe uache umbea , unataka alieeee azimie iliuseme Tena kinyume jamani acheni kuchaji komenti zakuharibu nafsi zawatu ,au basi ,msaidie ili uwe namsaada kwenye hili tukio,aaaaaa!!
@lightnessgamasa6039
10 ай бұрын
Mtu akizoea umbea bwana 😮
@اللهأكبر-ذ7ث3س
10 ай бұрын
Kumbe mazikoni Kuna kupiga makofi😂😂😂😂
@fakihajji5749
10 ай бұрын
😂😂😂😂😂 aisee
@SamwelMaginga-lr1sn
10 ай бұрын
😅😢
@Hajer-be2kh
10 ай бұрын
😂😂😂ndio haswa akiongea tajiri
@rukaiya86
10 ай бұрын
Poleni wafiwa
@AthumaniSimba-m3y
10 ай бұрын
Ple sana mutani Kwa musiba wa mtoto wako
@pascalyalema6925
10 ай бұрын
R.I.P Nisher
@sirabalichako5997
10 ай бұрын
R.l.p
@raymondkaswaga5055
10 ай бұрын
Tutafute el hata tusipoenda kanisani tutaagwa kanisani tukifa.
@monicakiwia5649
10 ай бұрын
Ukimaanisha nini?
@draye3357
10 ай бұрын
Hakikisha unatambulika kama muumini na utoe ushirikiano wa sadaka inshaallah,. Lazima ukumbukwe Watu ni hazina
@ALIKHAMIS-un4fv
10 ай бұрын
Walinganiaji wa ulimwengu wa giza
@leaherasto929
10 ай бұрын
Pumzika kwaamani
@Hajer-be2kh
10 ай бұрын
Baba kakonda ghafla 😢
@drgeofreykupaza7707
10 ай бұрын
Kinachowaliza nn sasa kufeni nyinyi aamke
@Rahima-kv6mn
10 ай бұрын
Duh
@lighnessmrisho1525
10 ай бұрын
Ipo siku utakapo ondokewa na mtu aliyekugusa ktk maisha yako yale ya ndani ndio utajua safari bado inaendelea
@haroldtarimo3115
10 ай бұрын
Mungu haongopi ipo siku wala si nyingi Mungu atakuonyesha kwanini wanalia
@ahmadsalim4417
10 ай бұрын
Nimewaza tuyh wale jamaa wanao fufua wako wapi saa hii
@KhadijaLife-i8e
10 ай бұрын
Tunewaza wote hapo ndio ujue hii dini yawenzetu uwongo mwingi upo
@justinmbangukira7034
10 ай бұрын
@@KhadijaLife-i8eUsitukane dini ya wenzako plz...
Пікірлер: 54