Am great full to heir your knowledgeable of debating, Godless you in Jesus Name Anen!!
@husseinibrahim5438
Жыл бұрын
Sheikh Uthman Mazinge May ALLAH Protect You from evil eye ALLAHUMMA AMEEN
@KhadijaMohamed-mc7hs
Жыл бұрын
Yani ukiwa kafiri hata akili inazibwa kabisa Yani huyu mchungaji anasema Aya inasema waambie Mimi ni mtu kama nyinyi ameshindwa kuelewa kua jibril anaishusha Quran inayo Toka Kwa Allah anashushiwa mtume Muhammad s.a.w anaambiwa mtume awaambie kua yeye mtume ni mtu kama wao Kwa hivo anachowaambia anaambiwa na Allah awaambie na wakifate kama anavokifata yeye binadamu kama nyinyi
@ashirafumsafiri3615
Жыл бұрын
Mungu akupe umri mrefu shehk Habib mazinge
@ameldakavishe4892
Жыл бұрын
Nawambieni wakristo waisilam acheni siasa mungu yupo
@munawwarbashir2680
Жыл бұрын
Mungu yupo ni mmoja tu hakuzaa wala hakuzaliwa
@olaislukumay2208
Ай бұрын
Yesu Ni Mungu hilo halina ubishi
@HabeebiHabeebi-rr6rk
9 күн бұрын
Waislamu tunamkubali yesu km Nabii wengine..
@ucjvvjcjjvih9934
Жыл бұрын
Am tz🇹🇿TAKBIR ALLAH AKBAR tuashie MAZINGE wetu kila mmoja na kabir lake alikushika mkono muingie wrote moyoni 🤐ALLAH YAALAM
@georgechiwango7381
Жыл бұрын
Fainali ni Yesu atakakapo rudi yeye atajisemea mwenyewe.
@najimsuleiman3690
Жыл бұрын
Sasa mbona ewe wamsemea.
@user-ef9kv6io6j
4 ай бұрын
Huyo yesu hana uungu wowote
@mathayomedia2090
Жыл бұрын
Kusamehe ni sifa ya Mungu tu. Mwanadamu husamehe kosa na sio viñgiñevyo!
@SalmaMohamed-ck3og
Жыл бұрын
Allahu Akbar
@donclassicMOZ
Жыл бұрын
Allah karim
@RehemaSaidi-ve1ib
4 ай бұрын
Mungu yupo anatosha ndo nnamuamin yote atayarekebisha itafika subirini.Mazinge wasikukaushe koo hao waloumbika vichwa koko hawanyooki hata kwa mboko
@nalingarowl7048
Жыл бұрын
Umri wa Ukristu ni 2023. Haujawahi kushindwa,ila umeshinda na unaendelea kushindwa katika mengi. * Yesu ni Mkuu kuliko manabii wote, Yesu ni Mtu na ni Mungu pia. Yesu kuhusu kusema Mungu,soma Yohana 14:1-11
@sabihaibrahim143
Жыл бұрын
Ukisikia kaweka mguu maana yake ni kizuizi na kuweka mkono maana yake ni msaada ndio maana watu wanasema nilikuwa nishafanikiwa lakini fulani ametia mguu mana amezuia kiswahili kinawenyewe
@khadijakayuzi8471
Жыл бұрын
Takbiriiiiiiiiiiiiii
@user-sp6gb6mf5y
4 ай бұрын
Takbiriiiiiiii Allah Akibar
@mathayomedia2090
Жыл бұрын
Sababu nyingine Yesu alisamehe dhambi moja kwa moja eg: utakachokuwa nami pepon(mnyanga'nyi anambiwa
@user-fe1ny4qc7r
8 ай бұрын
Wacristo shida iko wap yesu ni mungu kwel jmn hata hamfikirii jmn
@KarimMingwalu
10 ай бұрын
Takbir
@evakssegen7526
Жыл бұрын
WEWE NI MSALITI SAAANA MJINGA WEWE MTUKANE SANA YESU LAKINI CHA MOTO UTAKIONA
@user-us1cn9wi7s
3 ай бұрын
😂
@mohralijuma3040
Жыл бұрын
Allah Tabaaraka Wataala kashasema kuwa ndani ya nyoyo zao muna kutu na Allah atawazidishia maradhi ndio kama hawa makafiri wanaopinga ukweli na hawa wanao andika comment za upingaji haki kutoka kwa Allah (S. W)
@nalingarowl7048
Жыл бұрын
Jiulize Kwa Nini kalenda inayoendelea ni ya 2023?. Majibu mnayo ila unafurahisha henge Yesu ni Mungu soma Yoh.14.
@johnbosco2901
11 ай бұрын
Sura za mashee azina nuru
@suleimantsanje2939
Жыл бұрын
yesu sio Mungu bana munawazimu nyinyi aki
@jacques9499
Жыл бұрын
Nina washukuru ninyi wote upande wote miwili kua sababu mwanzo mungu alianza ku umba kilakitu katika roho mtakatifu kwasababu yeye peke yake ni mtakatifu na hanakunja kuwokowa waulimwengu wote katika roho ndani ya Christo. Yesu mwenyezi mungu Tu atche maneno ya mazehebu bila roho mtakatifu akuna mwana damu ata elewa neno la Mungu Amen
@najryaautbya2774
Жыл бұрын
Asanteni.sana
@pungopungo411
Жыл бұрын
Kama yesu sio mungu kinachowaumiza ninini mbona nyinyi washali sana. Hatutaki majini. Yanawatia umaskini. Hadi mnakaa chini viti hamtaki.
@pungopungo411
Жыл бұрын
Nani kakwambia yesu ni mungu?mmengangana hata akiwa mungu au sio mungu kinawakera nini?hebu kawaulizeni wahindi kua ngombe ni mungu
@pungopungo411
Жыл бұрын
Hiyo mijini yenu imezaliwa na nani ?hebu siku moja lijadiliwe hilo .tumuache yesu mkombozi. Kwetu yesu kristo ni hakimu na nguvu za mungu. Ndio maana twampenda. Acheni wivu. Mlango uko wazi. Karibuuu
@pungopungo411
Жыл бұрын
Eti nawashangaa wakriso hata sisi tunawashangaa mnavyofuga mijini. Hadi huruma sio mshangao tu
@frankjohn8706
Жыл бұрын
HAKUNA MTU ANAEPAMBANA NA KISICHO KITU. KAMA ISINGEKUA WALA PASINGEBISHIWA. HABARI ZA YESU NI HABARI ZA UFALMU WA MUNGU ALIEMKUU MUUMBA NYOTE AJUAE LUGHA ZOTE HASHINDWI LOLOTE NA HANA UTAIFA WALA LUGHA MOJA TU.
@zulficarbacarsuale6877
Жыл бұрын
Mashallah
@zuhraajafar
Жыл бұрын
Allaah akibr kwel wakiriso hawaelew wanachokisoma
@nalingarowl7048
Жыл бұрын
Kama Yesu sio Mungu,muonyesheni Mungu. Mungu hawezi kujificha milele
@SwediNurdini
Жыл бұрын
Sasa unatuuliza sisi muulize yesu akuonyeshe mungu wake😅...yohana20;17
@nalingarowl7048
Жыл бұрын
@@SwediNurdini Injili haidanganyi ,nyinyi mnamfuata binadamu 100% Kwa kadiri ya maandiko matakatifu Binadamu wote wametenda dhambi.Hakuna mwenye dhambi anaweza kuwafikisha watu Kwa Mungu.Yesu hakutenda dhambi.Asie na dhambi tu ndiye anaweza kuwafikisha watu Kwa Mungu. " Kama Yesu sio Mungu mbona alipaa,mbona atarudi,mbona ndiye atakakuja kutoa hukumu.Mungu hawezi kuja duniani tayari alishajuja kupitia Yesu soma Injili 14:1-11 * Muaminini Yesu la sivyo mtaangamia,hakuna kama Yesu,Hakuna kama Injili ya Yesu .mengine ni ubinadamu 100% na Yesu anaiita mizigo mizito. Mt.28:11
@SwediNurdini
Жыл бұрын
Em jitahdi uwe unasoma vibatu vizuri bro achana na mambo ya kuambiwa pastors kanisani ukisema hvo et biblia haidanganyi nitakuumbua bure yesu hakupewa biblia ilo la kwanza usije ukalisahau katafute biblia ni nn na ilianzia wapi mpaka watu tofauti wakaandika historia ya masihi na kukusanya vitabu vyengine vya kale zaidi ikapatikana BIBLIOS neno la kigiriki hilo na ndo mana inajigonga sana kuna maneno hayafai ni mazito na ya ajabu ata kukaa na mtoto ukamsomea then umwambie et haya ni maneno yametoka kwa mungu walawi 21;21-23 1wakorintho 1;25 Yesu alipewa injili yenye maneno ya mungu moja kwa moja kwa yesu aliemtuma kwa taifa hilo..Yesu anatuambia tutubu na kuiamini injil, kwa maana alipewa ufunuo wa kitabu kilichoitwa injili kama quran kwa muhammad sasa ww unatuambia biblia ni injili injili gani hiyo inayoelezea mpokeaji wa icho kitabu amekufa?? Ndo mana kwenye quran hakuna historia ya muhammad mule historia ya muhammadi imeandika na watu wake wa karibu tu aliosihi nao lkn sio kwenye quran...sisi tunaamini mitume wa mwenyezi mungu wote hatubagui hata mmoja wote hao unao wataja ni mitume wa mungu....mungu alichagua vizazi baadhi viwe kwa ulimwengu wote bro kuanzia adam mpaka ibrahim na uzao mwengine..Kitabu kisichobadlka wala kubadlsha na mtu yyte kinathibitisha yesu ni mtu wa mungu alitumwa na akawaambia watu wake kuwa wamuambudu mungu mmoja peke yake hakuna hitilafu juu ya hilo...ushahd kuhsu yesu ni mungu na alisema hakuna mwenye bible from gen to rev ni watu tu wameandika wamekudanganya ww kwa matakwa yaona quran inapinga vikali na kuwaelezea watu hao waliofanya hvo..ndo mana leo ukiambiwa hao utoe andiko yesu alisema yy ni mungu au alisema kuwa aabudiwe yeye zaidi ya allah andiko utakuwa huna mpka kiama kitasimama....Cha mwisho Quran ilishushwa na allah kwa muhammad iwe ya mwisho kusawazisha yote yaliotokea na kuonya na allah kuna verse nyingi ananukuu kwenye quran kuwa kitabu hiki hakuna atakaeweza kutia mkono wala kubatilisha ukweli wa humu ndo mana kipo karne na karne na wala hutoskia fununu yyte kuhsuu quran lkn kila kukicha ni wakristo tu limezuka hili mara lile...Yan inshort kitu wanachohimizwa waislam tangu mwanzo ni juu ya swala zima la KUSOMA mtu unatakiwa usome ujue ndo mana ata ww nakwambia usome kwanza kabla hujaanza kujudge ingia kwenye quran soma vzuri af ingia kwenye bible soma tena usikariri maneno ya watu...Quran haina kosa ata moja yenyewe imethibisha...Inakwambia hata wajikusanye ulimwengu mzima mtafute makosa juu ya quran haktokuta zaidi ya kukuta msamiati wa neno makosa ila sio makosa hitilafu yan....JITAHIDI USOME Maana wanaokudanganya kuwa imani hailezeki sio kweli IMANI INAKUJA KWA KUSOMA NA KUELEWA NA KUSIKIA NA KUDADISI juu ya vitu alivyoviumba allah na ndio wanchofundishwa waislamu.
@ramadzuwa9507
Жыл бұрын
Waambie ukwel ustadh
@NimoJama-iw6tg
6 ай бұрын
My brother don't waste your breath
@msellemkassim2515
Жыл бұрын
Luke 2-21 kutahiriwa yesu
@shukulutumaini
Жыл бұрын
Lait mngekuwa na akili ya kujua kuwa dunia IPO mwisho msingefanya ujinga huo
@sadan-cf3nv
Жыл бұрын
Aslm alkm mashaallah mashaallah mazinge Allah akubariki na akujalie umri wakristo kama hao ni wale wale pigwa muhuri laanatullah
@msellemkassim2515
Жыл бұрын
Titos 2-13 Paul asema jesus ni mungu.
@arafatali2796
Жыл бұрын
Ni titos na paula ndo kasem yesu mwenyewe hajasema
@pungopungo411
Жыл бұрын
Tuachieni Yesu kristo. Hebu tulete hoja ya mashetani na uchawi
@brownmtofole
Жыл бұрын
Subirieni siku ya khiama mtaona ni nani atatoa hukumu
@Alislamre
Жыл бұрын
Yeah ndio maana Allah akaweka siku ya qiamah kusudi ila angalieni Sanaa mnatutesa waislam ila kila kitu kinamwishoo na mwisho wake haupo mbali mnatushingizia kila ubaya ili mpate ukubwa wa dunia ila naona karibuni tuu mtaona wenyewe
@lungusii
Жыл бұрын
WAJRUSTO NNATIA AIBU NA GURUMA YAANI MNAZOMEA TUU BILA POINTI
@mahadboy5124
Жыл бұрын
Kisiwe kitabu cha mungu hlf ukute maneno ya mungu kwaio aloandika nan wa kiristo akili 0
@bennymochiwa4800
Жыл бұрын
Wakrsto wamekosa hoja kbs
@KadirMapande
10 ай бұрын
Awa makafiri ilikua ni wa kuchinjwatu mana wamewekwa vizibo
@halimaa9367
Жыл бұрын
Subhanalha Alha nimtu sio kweli hayo
@nalingarowl7048
Жыл бұрын
2.4 bilion.idadi ya Wakristo
@loner_wolf
Жыл бұрын
Hilo andiko la mathayo 22:32 pastor unadanganya umma, jaribu kusoma 22:29-22:32 kama ulivyosema ndio utagundua yesu alikuwa anamnukuu mungu, sio kwamba yeye ni mungu..... Kweli sisi wakristo hatuna hoja ya kubishana na ukweli.
@SaidKhamis-up4np
Жыл бұрын
Kweli kijanawangu na nakusihi ufanye utafiti kwa kukaa na kisoma qur ani na bibilia bila kuegemea upande wowote ili upate ukweli na ufuate usifuate mkumbo na kukaririshwa baadhi ya sehemu za maandiko ila kipende chenye ukweli kikafichwa
@UssenebacarBacarassane
2 ай бұрын
4:12
@markomargwe3923
Жыл бұрын
Wakristo tuwe makini mpinga kristo yupo kazini.
@user-io8hn1jb4d
3 ай бұрын
Kwanza Neno Mungu hujui maana yake nini, mazingaombwe msakatonge mzee wa kiki 😂
@faustinesamani6359
Жыл бұрын
Yaani hawa wote wanaojadili imani yetu wakristo ni kundi ambalo ni familia yashetani kwa vile hawana imani na dini yoyote vinginevyo wangejadili imani yao ni washenzi tu.
@Alislamre
Жыл бұрын
Wait subiri utajuwa ukishafunikwa na udongo ndio utajuwa mungu sahihi na yupi ila nakusihi tafuta research ufanye maana hakuna sehem yesu alisema yy ni mungu isipokuwa maneno yenu mlioandika nyinyi wenyewe
@jumarobertonyancha8605
Жыл бұрын
Wewe kichwa machi
@costacongo7131
Жыл бұрын
Wwe ni comed
@suleimanmrita1992
10 ай бұрын
wee pasta acha kudanganya watu na kuongea uwongo uislam ni dini ya haki na kweli ukiristo sio dini
@officialsaddmfalme5381
Жыл бұрын
14/11/2022
@rahmahersi6584
Жыл бұрын
UBISHI WA.NIMI??? YESU AMEZALIWA NA MWANAMKE.
@user-rt5vq5vc3k
10 ай бұрын
Njoon kwenye Uislamu ndio din ya hakiiii
@msellemkassim2515
Жыл бұрын
Quren 5-85 wakristo wanijuwa haki hufuata.
@athumanmagomba5930
Жыл бұрын
Endeleeni kumziaki yatawakuta ya brazili
@tituscheketa497
Жыл бұрын
Naona umekosaka kazi sasa mazinge
@eliyamgalihya7704
Жыл бұрын
huyo anawapotosha watu wote waende Ahera kwani hujui nia ya mbinguni ni nyembamba? hebu angalia muislamu mwenzao alivyowaambia ISSA NI ROHO YA ALLAH KWA MWISLAMU MCHA MUNGU NA MWENYE ELIMU ATAELEWA NA ANAYEIJUA QURAN JE ROHO YA ALLAH NI YA MILELE? QURAN: (Al-Anbiya 21:19) Inasema Mkumbukeni mwanamke aliyetunza ubikira wake. Tulimpulizia ndani yake Roho yetu, na kumfanya yeye na mwanawe kuwa ishara kwa wanadamu wote. QURAN (Al-Tahrim 66:12) imeandikwa: Na Allah amemtoa kama mfano,Mariamu,binti wa Imran,ambaye alitunza ubikira wake na ambaye ndani yake tulimpulizia Roho yetu;ambaye aliyaamini maneno ya Bwana na maandiko yake na alikua kweli Mcha Mungu Vilevile tunaona katika Sura ya ALnisa 4:171 Quran inasema: Masih, Isa mwana wa Mariam, alikua ni Mtume wa Allah na neno lake alilolirusha (alilolituma) kwa Mariamu ,Roho kutoka kwake ,na si zaidi ya hapo (Al-nisa4:171)Tunachojifunza hapa ni kuwa,kumbe kilichoingia tumboni mwa Mariamu ni Roho ya Allah. Katika Al-Anbiya 21:91 na Al-Tahrim 66:12 tumeona Quran ikisema wazi kabisa kuwa Allah anamwita Isa Roho yetu. SASA MWISLAM PINGA HAPO HIYO QURAN NA ENDELEA KUMDHIAKI ISA NA MARIAMU AU TATIZO HUWA NI KIARABU?
@johnbosco2901
11 ай бұрын
Majini yanawakausha
@HabeebiHabeebi-rr6rk
9 күн бұрын
Tuki ongoka sote ulimwenguni....nani ataingia jehanamu?hiyo ni kazi ya ibilisi anae washikilia team yake ili asiwe pekee..
@edwinnzalanga
Жыл бұрын
Acha uongo
@mathayomedia2090
Жыл бұрын
Sina 3:13
@rehemakudra868
Жыл бұрын
Hapo anamajini kibao
@oredidunia120
Жыл бұрын
Mzee Kabunda Yuko wapi mbona si muoni
@KB-IbnSwahib10
Жыл бұрын
Huyu mchungaji mbona kajibu kijanjajanja tu hajielew
@faustinesamani6359
Жыл бұрын
Sisi wakrito tunaamini hivyo wewe ibilisi usieamini inakuuma nini? Eti mtume atusemee atatusemea nini na hali kafa?
@kassimrajabu56
Жыл бұрын
Ukapimwe mkojo,Suleiman yuko hai?Adam yuko hai?
@ramadhanmshakula459
Жыл бұрын
Aki wakristo mko na shida wallah
@yohanakiyumbi4795
Жыл бұрын
Uislamu umeanzishwa na Mtume Muhammad.....ila Ukristo umeanzishwa na Mwenyezi Mungu ila akaja Duniani kwa mfano wa Binadamu kwaajili ya kuukomboa Ulimwengu Mzima
@kelvinkabuagi7954
Жыл бұрын
Andiko unalo
@madhuru2554
Жыл бұрын
Ukristo si dini bali ni jina yohana 4:21
@Osamaally
4 ай бұрын
Tupe saluki kuwa ukrisko ni dini ya mungu
@sululuzungu9587
Жыл бұрын
iv nyie wakristo mna akili nyie daaa🤣🤣🤣
@issakongolo2832
Жыл бұрын
Mazinge 😂😂😂
@nodisc5534
Жыл бұрын
Unadhalilisha Dini kiukweli😊
@user-jj7qc1we1q
11 ай бұрын
Kivipi,dini inadhalilisha?
@user-po1qk1jf7v
2 ай бұрын
Mshamba mkubwa unaacha kuwahubiria mashoga wengi vijana wa kisiram ivi unajisikiaje na nawaamini wako hao
@shukulutumaini
Жыл бұрын
Wew shekhe huna akil fanya kaz ya MUNGU na sio kiwaona wenzio hawafai hujielewi kabisaaaaaaaa waabudu mapepo hamna hata MUNGU hamumujui jielewen achen ujinga wa kubishania din mtafte MUNGU
@prosperkonokono9385
Жыл бұрын
ilindeni imani yenu kuliko vyoote mlindavyo
@ipyanawatson4222
Жыл бұрын
YESU MWANA WA MUNGU Elewa kiswahili je? kama wewe mtu.mwanao atakuwa nani mnyama au mtu?
@glaury9938
Жыл бұрын
Nakuombea yesu akuokoe ili tuone utavyolia wewe ni paulo aliekuwa anachinja wakristo alipookolewa akamsifu nakujua kweli halafu mbona mzee sana tofauti na miaka yko
@atifdullar6332
Жыл бұрын
Kama mtu unasoma vitabu kwa usahihi utakua haki ipo wap
@yohanakiyumbi4795
Жыл бұрын
Waislaamu huwa tunawaelimisha sn kila Siku kuwa Uislamu Sio Dini Sahihi ya Mwenyezi Mungu...ila Ukristo na Uyahudi tu ndio Dini 2 Pekee za Mwenyezi Mungu
@jamilarahj1593
Жыл бұрын
👅👅👃🖕
@msellemkassim2515
Жыл бұрын
Yohana 8-40 yesu asema mimi ni mtu
@athumanmagomba5930
Жыл бұрын
Ulijua ni mzim
@user-io8hn1jb4d
3 ай бұрын
Sasa ila andiko gani 😂
@esthersawiga9979
6 ай бұрын
WAZEE WA KUEDITI VICHWA VYA HABARI NA KUKATA VIDEO KULINGANA NA MATAMANIO YENU JIANDAENI KUINGIA MOTONI
@lushidulajidanda2321
Жыл бұрын
Wewe Mazinge niuongo wewe nimwafilika utabaki kuwa mwafirika
@davidkmusictv571
Жыл бұрын
Wavinga kristo mnadhiaki hila siku ya kiama mjue kila ngoti litapingwa na kila ulimi utakiri yesu ni mungu
@nassorsharifu9837
Жыл бұрын
Bado hujatumia akili yako vyema,
@mohdahmada1061
Жыл бұрын
Baki n upumbav wko
@habibjuma842
Жыл бұрын
@@nassorsharifu9837 ok
@wanyooshetv9987
Жыл бұрын
Makafiri walikipata cha Moto 😁
@johnsulle4679
Жыл бұрын
Uyu mazinge c alifungwa jela kwasab akili ndogo ndomana kakutana na majinga wenzake kupiga kampeni za watu flani anafikir atatingisha kweli imani za wakristo c tumekomaa kiimani jomba na imani cyo izo kampeni zako kama unatafuta kiki nakufananisha na akina Umber ruty
@jeanberchmansngendakuriyo2814
8 ай бұрын
Waislam, ni wapi ktk Neno la Mungu ambapo Yesu kasema “Mimi si Mungu”?
@AbukariBilali
6 ай бұрын
Luke 18:18
@majidsudi2324
20 күн бұрын
Yohana 8:40 lakini Sasa mnataka kuniuwa mm mtu niletumwa ya kweli 😂
@mahadboy5124
Жыл бұрын
Yesu ni mungu wa Ibrahim na Yakubu na isihaka wakat hao wamekuepo kabila ya yesu
@njiaya6833
Жыл бұрын
acha kuwapotosha watu wewe mazinge mwenye akili ahitaji maelezo mengi kya hivyo sikiliza huyu ufunguke akili yako kzitem.info/news/bejne/zqyq2IKCf2eKpGU
@rebeccaamadi
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂injili iendelee mbele
@zuhraajafar
Жыл бұрын
😂😂😂😂🤣wakirist munashida san
@rebeccaamadi
11 ай бұрын
@@zuhraajafar Shida ipo ila tungojee siku ya kihama siku ambayo kila mmoja ataambatana na matendo yake
@ibraheemqassim3018
Жыл бұрын
Mwenyekit ndugu zake mafir wanatoka nje ya mada anakausha ila hatak mazinge afanye ivyo
@pungopungo411
Жыл бұрын
Siafadhali mumkashifu huyo wakwenu ana baba na mama huyo unaemkashifuunamjua babake. au mnatafuta majanga . Kamulizeni paulo aliekua akiitwa sauli. Yeye hakua akikashifu tu alikua akiua mitume kilichompata anajua yeye hadi kujikojolea.
@pungopungo411
Жыл бұрын
Mnatushawishi tuje huko nunueni viti kwanza hatukai chini kama kuku sisi .
@pungopungo411
Жыл бұрын
Uzushi uongo. Wivu.fujo.ushawishi.ulianza bado dunia ina watu 4.sebuse sasa tumeshonana hahaha
@wanyooshetv9987
Жыл бұрын
@@pungopungo411 hukai chini ila utafukiwa chini silimu kabla ya umauti kukufika umuabudu ALLAAH aliyekuumba
@SaidKhamis-up4np
Жыл бұрын
@@pungopungo411 vitu ni kwaajili ya sehemu ya kufanya biashara na sio kwaajili ya ibada
@rehemakudra868
Жыл бұрын
Ndio soma bilbia utaona
@unjuinkuganda1991
Жыл бұрын
WOTE HAMNA KAZI
@mohdahmada1061
Жыл бұрын
Kafir mkuu ukifa motini ww
@mohdahmada1061
Жыл бұрын
Au unaish milele hufi ww inaonesh at akil huna
@johnsulle4679
Жыл бұрын
Uyu mazinge alifungwa kwasabu akili ndogo sana utawadanganya wasio na akili kama za kwako ukitaka Elim ya biblia nipigie cm ya mkononi usipige kampeni za akina mdee hapo hufundishi ila ni kama unapiga kelele za kampeni
@rehmathatim6715
Жыл бұрын
mungu hawezi kua mwanaadamu na hazai vipi mungubabebwe na mwanaadamu
@johnsulle4679
Жыл бұрын
Jaman hawa jamaa wanaopotosha imani za watu c nikutane nao cku moja hawana akili wamebakia kukarir hii tu wakristo hatusemi yesu ni mungu ambaye una akili punjo kama hawa jamaa masheke Bali tunasema yesu ni mwana wa mungu ambaye alitoa uhai wake kwa ajili yetu ni pamoja na nyie mbumbumbu mnaopotoshwa na hao wanajiita masheke
@protasmathias5064
Жыл бұрын
huyu jamaa kazi yake ni kukosoa tu, hana kazi iingine kwa maneno yako inaonekana umeshindwa wew kufanya, acha wachungaji wafanye kazi za Mungu wamjue yesu wa kwel, huon hata aibu kujiabisha kama umeshindwa, ambao hawajui watakuunga mkono.
@jamalsamma3457
2 жыл бұрын
ya siku nyingi sana hii nilikuwa naitafuta kweli🤣🤣🤣😂
@@athumanmagomba5930 Muhammadi ni mtume wa mwenyezimungu na ni binadamu ndugu yangu
@isayajoseph8344
Жыл бұрын
w aafrika hatujitambui din hiz za mchongotu zinawapotezea muda
@adanabdi3656
Жыл бұрын
Masha Allah sheikh wetu
@pungopungo411
Жыл бұрын
Huyo mazinge anapata wapi pesa za kuendesha maisha yake? Sababu kila hamkapo anawaza kwenda kumkashifu Yesu kristo .iko siku utakutana nae .inaonyesha unampenda sana. Na yeye anakupenda usijali.
@mohdahmada1061
Жыл бұрын
Din mchong n iy yko ww il y kiislam co y mchong
@zainabrashid385
Жыл бұрын
Kama yesu ndo mungu je Adam at ataitwa nan? Na kabla ya yesu kuzaliwa baba yetu Adam na Hawa waliumbwa na nan maana yesu alokuwa hayupo Wala mama yake alokuwa hayupo dunia aliiumba nani
@hanafanysociety7405
Жыл бұрын
Una akili ya mbele nakupataje?
@caringtonbarasa4501
Жыл бұрын
Hamjajibu jee Allah alitoa unyayo wake?
@davis9951
Жыл бұрын
Tunasemewa vipi na Mohamed ambaye Ako kaburini hivyo si msukule
@ilhammaulid892
Жыл бұрын
Kama huelewi usiitukane mitume
@athumanmagomba5930
Жыл бұрын
Endeleeni kuabudu majini itajulikana siku umauti itakapo kufika ukikutana nae uko unae mpinga
@georgechiwango7381
Жыл бұрын
Jamani someni Quran sura 2 aya 97 na 98 mjue kama Quran ni neno la Mungu au la.
Пікірлер: 190