Asante kwa neno hata kwenye biashara nilijaribu biashara na wa imani nyingine tulipata hasara tu na nilifunga ma mkatoliki mimi mu Aic kabula sijaokoka ndoa ilikuwa ugomvi na vipigo? Napokea Baraka za BWANA wetu Yesu Kristo Amen.
@andrewkasongo1368
Жыл бұрын
Ameeen, tunabarikiwa sana baba❤️❤️❤️❤️ Bwana ahendelee kukutumia kwa viwango vya Juu sanaa 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼 TUNAJIFUNZA NENO LA KWELI HAPA KABISA 🙏🏼
@naomidickson4748
Жыл бұрын
AMINA mtumishi wa MUNGU kwa upendo wako kutuletea maneno ya utukufu ubarikiwe sana nakufatiria ila mtumishi wa MUNGU ukanyoe ndevu pia wewe ni mchungaji usifuge ndevu
@Hancymtembo
Жыл бұрын
Ndevu hasipaswi kuzilemba au kuchonga ila kuacha ndeve siyo tatizo mambo ya walawi 19 na 21
@carolinederi5690
Жыл бұрын
Kwa kweli ndevu si mbaya dada Naum
@theclazambo5098
Жыл бұрын
Amen. Mungu akulinde
@naomidickson4748
Жыл бұрын
Haya basi SAWA kwa sababu umechagua ni saw Mimi nilikuwa naona sio vizuri mataifa nao wanafuga madevu na watumishi wa MUNGU nao kumbe
Amina mwana wa Mungu nitakutafuta Nina mzigo wa kuwa karibu Na huduma yako
@chengeson
Жыл бұрын
Amina Mungu ndie kila kitu kwa akilizetu atuwzi ila kwa yeye atutiae nguvu tutashinda
@AnordBarack
Жыл бұрын
Mungu. akulinde , atulinde tuzidi kuombeana
@annamsami2425
Жыл бұрын
❤️Nabarikiwa Sana namafundisho unayoyatoaMungu akutunze🙏🙏🙏🙏
@barakaelias1116
Жыл бұрын
Nafatilia sn mahubir yako barikiw mno maan twajua unasem ukwel kuhusu matakwa ya MUNGU
@marymwapiya1274
Жыл бұрын
Amen ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu , Mungu atusaidie
@estonmnthali3719
Жыл бұрын
Watching from Bryston Johannesburg, Amina
@magygulaine4166
Жыл бұрын
Watching from Sweden, Amen 🙏🙏
@ester7689
Жыл бұрын
Amina baba mungu akupe maisha marefu uendelee kuzifunua Siri za shetani ili tupone pia naomba utuandalie Somo la mwanamke aliyeokoka na mapambo
@geofleyfreenwelluka
Жыл бұрын
Mtumishi inatia huluma sana watu wanapo chikia na ukweli huu basi mungu asamehe kila anaye chukia neno kama hili nimebalikiwa sana mtumishi wa bwana mungu akubaliki sana amen
@dianamvuzwa-eh9ov
Жыл бұрын
Kwa hari hiyo umefundisha ndowa pasipo ubaguzi ubarikiwe sana,maana katika makanisa ni kweli tu wakristo ila Mila zaibada zetu ni tofauti na mavazi yetu ni tofauti.
@helenkahema2636
Жыл бұрын
Mungu wa Mbinguni akubariki Mtumishi akuinue Kwa viwango vya juu , nakupenda mnoo nakuombea pia
@monicaakinyi7603
Жыл бұрын
Amen 🙏 mtumishi wa Bwana kwa kuendelea kutufungua kwa kupitia Neno la Mungu , Mungu akuinue. na kuzidi kusimama nawe thank. you so much
@quintaanyango9114
Жыл бұрын
You are so powerful man of God. We love you so much. And I pray that GOD of mighty will More power to do this preaching. Am from Kenya
@millicentywauii2307
Жыл бұрын
Amen nimebarikiwa mungu wa mbinguni akutie nguvu uwe na Moyo huyo wa kujitoa
@onesmosizinga7413
Жыл бұрын
Umelahaniwa ww kama kristu ni mmoja na sisi ni viungo vyake kwann unahubiri ubinafsi
@liesharehema5193
Жыл бұрын
Kaa pembeni ili sisi atueleweshe
@leki6781
Жыл бұрын
Mungu akuwezeshe amena
@liesharehema5193
Жыл бұрын
Watching from South Africa
@Okkkkkgttgde
Жыл бұрын
Ubarikiwe milele
@hildandeda3348
Жыл бұрын
Watching from Kenya
@obadiadaniel7274
Жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu napenda huduma yako inanibariki sana tena sana
@johnsebastian-bx6qn
Жыл бұрын
Kweri mtumishi nimekuelewa vizuri
@leontinamujinga8937
Жыл бұрын
Amen Mungu akubarikisana
@vitalisherman2016
Жыл бұрын
Aaaaa amen. Hii ndiyo injili yenye Akili Huwa ninaipenda sana sana
@issacksanga9617
Жыл бұрын
Amen mungu akubalik mutumish
@SafiAkinyi8361
Жыл бұрын
HAPO NI UKWELI KABISAA UNAVYOSEMA AMENA 🙏 MWINJILISTI WA MUNGU 🙏🙏 MUNGU AKULINDE ZAIDI LAKINI UJUE NABII HANA HESHIMA KWAO NDO MAANA WATU WA TAIFA LAKO HAWAWEZI KUKUSIKIA BALI SISI WA NJE YA NCHI TUNAKUELEWA ZAIDI AMEN 🙏🙏
@jeremiahkausi2987
Жыл бұрын
Powerful man of GOD be strong and blessed
@jeremiahkausi2987
Жыл бұрын
Tunakuombea Mtumishi wa MUNGU
@ShedrackLema-te2mu
Жыл бұрын
Ameen barikiwa sana
@Deboraclementgm
Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mutumishi mm Niko pamoja nawe mungu akulinde
@lilianwanjala8728
Жыл бұрын
Amina mungu akubariki nimesoma kitu barikiwa sana
@nehemiamkute7121
Жыл бұрын
Hakika tunakuelewa mtumishi wa Bwana kweli tunamuitaji Mungu atupe macho ya kuona ya rohoni
@sophiamakani6133
Жыл бұрын
AMEN AMEN MUTUMISHI WA MUNGU BARIKIWA SANA
@HappynessSteven-tx6wc
Жыл бұрын
Kama kweli mungu alie hai ndio anaekutumia na aeendelee kukutumia
@martinahlighare6495
Жыл бұрын
Amina, ndoa ilibakia wenyewe. Mungu akutie nguvu mtumishi.
@dadafrida9202
Жыл бұрын
Amina mtumishi
@rogerbisusa643
Жыл бұрын
Hata mishale gani, Mungu hatakusahau hâta kamwe. Mungu akuchunge n'a akusimamishe imara
@estonmnthali3719
Жыл бұрын
Kweri kabisa Amina
@fabianshigela9315
Жыл бұрын
Ameni Mtumishi wa MUNGU aliye hali nakupenda sana 🙏🙏🙏
@hildandeda3348
Жыл бұрын
May you covered with the blood of Jesus christ 🔥🔥🔥
@asminmakoha6889
11 ай бұрын
Amen Hallelujah 🙏
@amosijosaphati4921
Жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@seperatusthomas6543
Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi
@Estherm309
Жыл бұрын
Watching in the mighty name of Jesus Christ of Nazareth
@clementinecibalonza1324
Жыл бұрын
Amen amen
@gm-2023
Жыл бұрын
Wala mimi simo tena ulimwenguni, lakini hawa wamo ulimwenguni, nami naja kwako. Baba mtakatifu, kwa jina lako ulilonipa uwalinde hawa, ili wawe na umoja kama sisi tulivyo. Yohana 17:11 Wote wawe na umoja; kama wewe, Baba, ulivyo ndani yangu, nami ndani yako; hao nao wawe ndani yetu; ili ulimwengu upate kusadiki ya kwamba wewe ndiwe uliyenituma. Yohana 17:21 Nami utukufu ule ulionipa nimewapa wao; ili wawe na umoja kama sisi tulivyo umoja. Yohana 17:22 Mimi ndani yao, nawe ndani yangu, ili wawe wamekamilika katika umoja; ili ulimwengu ujue ya kuwa ndiwe uliyenituma, ukawapenda wao kama ulivyonipenda mimi. Yohana 17:23 na kujitahidi kuuhifadhi umoja wa Roho katika kifungo cha amani. Waefeso 4:3
@irenemuia2718
Жыл бұрын
Kweli kabisa Amina 🙏
@humphreymollel2394
Жыл бұрын
Pamoja sana
@doricemrema2177
Жыл бұрын
Sitochoka kukuombea na Mungu azidi kukulinda na MALAIKA ZAKE wakuzingire Kila wakati, uingiapo na utokapo, ninabarikiwa saana na mafundisho YAKO ya kuokoa wengi.
@sospetermukala3408
Жыл бұрын
May God shield you ev
@umutesizainabu4828
Жыл бұрын
Amen iyo kweli kbs
@AtulindaRafaelNyamkocha
Жыл бұрын
🙏amen
@vitalisherman2016
Жыл бұрын
Kuna kanisa la uwongo na kanisa la kweli. Kanisa halali nilile aliloacha Yesu kristo pekee hayo yote yasiyotimizwa msingi wa maagizo ya Yesu hao siyo wa wakrito.
@jacoboboniface9996
Жыл бұрын
MUNGU akubaliki sana
@alicebeautiful4114
Жыл бұрын
May the BLOOD OF JESUS COVERED YOU
@doricemrema2177
Жыл бұрын
Mwalimu wangu mwingine wewe, 📌nikweli kabisaa, kama ni mwanaume oa mwanamke anayeamini unachokiamini, na kama mwanamke olewa na mwanaume anayeamini ukiaminicho.
@trophywilson7211
Жыл бұрын
Lakini Wanaume Akili ziko kwenye Sketi hawaangalii Imani ya mwanamke,
@doricemrema2177
Жыл бұрын
@@trophywilson7211 Kwa Mungu yote yanawezekana, na kila uombacho ukiomba Kwa Imani utapewa,. Maana mme mwema anatoka kwake, mke mwema anatoka kwake. Amen
@conjetamhagama8428
Жыл бұрын
Be Blessed.
@josephmutemi7494
Жыл бұрын
Ameeeeeeeeeen
@failaprince9250
Жыл бұрын
Amina
@estonmnthali3719
Жыл бұрын
Amina sana
@Sokise
Жыл бұрын
We need songs father
@jacoboboniface9996
Жыл бұрын
Ubalikiwe mtumishi wa KUNGU
@servantmichael73
Жыл бұрын
Piga kaz Huku KATAVI RUKWA TUNAKUFATILIA.
@marymatandala-dt8st
Жыл бұрын
Samahani mtumwa wa bwana tumeoana hatuja amini Mimi nimeaminisasa nisaidie kwenyeeneo hilo
@williamchihami4763
Жыл бұрын
Amen
@fadhilimollel6295
Жыл бұрын
Saaawasawa
@rizikiantwanette6081
Жыл бұрын
Kati ya mshika sabato na yule wa juma pili nani anaye timiza ibada kamili
@abigakatikiro9963
Жыл бұрын
Hapo siku ya ibada ni ya saba.kwani hakuna andiko linalo tuambia Kuna amri hii ya milele ilibadilishwa nakama ilibadishwa amri alizotupa Mwenyezi Mungu zingebadilishwa .
@preciousmunuo142
Жыл бұрын
Sasa mimi nachanganyikiwa euwii
@brianshomi722
Жыл бұрын
😂shamba la babu la katani,vaa ndala vaa ndala 😂😂😂😂
@mahershalalhashbazi2189
Жыл бұрын
Kanisa na madhehebu yake na Huduma zote ni umoja wa mwili wa KRISTO. [1Korintho 12:12-27 & Rumi 12:4-5] Kanisa (Madhehebu na Ministry)ni Mwili wa KRISTO{Kolosai 1:24 } Usilamu na Ukristo ndiyo haifai kabisa kuwa na maagano kwa mujibu wa Maandiko ya BIBLIA na QURAN [Surat Alkafirun/Quran 109:1-6] V/S [2Korintho 6:14-15]. Kuoana Wakristo dhehebu lolote haina mbaya,
@gm-2023
Жыл бұрын
Lakini watu wengine nawaambia mimi, wala si Bwana, ya kwamba iwapo ndugu mmoja ana mke asiyeamini, na mke huyo anakubali kukaa naye asimwache. 1 Wakorintho 7:12 Na mwanamke, ambaye ana mume asiyeamini, na mume huyo anakubali kukaa naye, asimwache mumewe. 1 Wakorintho 7:13 Kwa maana yule mume asiyeamini hutakaswa katika mkewe; na yule mke asiyeamini hutakaswa katika mumewe; kama isingekuwa hivyo, watoto wenu wangekuwa si safi; bali sasa ni watakatifu. 1 Wakorintho 7:14 Lakini yule asiyeamini akiondoka, na aondoke. Hapo huyo ndugu mume au ndugu mke hafungiki. Lakini Mungu ametuita katika amani. 1 Wakorintho 7:15
@williammasesya2363
Жыл бұрын
Amina mwana wa Mungu nitakutafuta Nina mzigo wa kuwa karibu Na huduma yako
Пікірлер: 88