Na hata waimbaji hawa sio wa Kwetu Nungwi. Muimbaji wa ngoma ya Mkurungu alikuwa anaitwa Mzee Kombo Ali Perez na ndo chimbuko la wimbo wa kombo kanipe mapesa yangu (mzee huyu ni babu yangu mzaa baba) na mwenziwe mzee Dodo n.k
@perezally7014
5 жыл бұрын
Nungwi hakuna ngoma ya kibati. Ngoma ya kibati ni ya kisiwani Pemba. Nungwi tuna ngoma ya "Mkurungu"
Пікірлер: 15