Mungu akupe nguvu zaidi kuipinga nguvu hii ya laana kubwa Dr Sule...Mimi ni mkristo na Mungu akupe nguvu zaidi na akubariki sana.
@nakundwamkubwe7823
10 күн бұрын
Alhamdulilah nimerizika na hiki kidogo Allah alicho nipa. Bora kidogo cha halali kuliko kikubwa cha haramu. Namuomba Allah aendelee kunipa nasfi ya kukinai Amiin.
@abubakaliyahaya2968
9 күн бұрын
Allah atukubali sote inshallah
@elinemakundi5011
9 күн бұрын
Mimi ni m kristo cpingani kbs na ulichosema, mimi nawapenda sana ndugu zangu nyie sio wanafki mkisema jambo la Mungu mnanyooka sana tena mnasema kwa kumanisha Mungu akubariki sana nimekuolewaw sana
@aishabrondi236
9 күн бұрын
❤❤mungu akuongoze amiin
@abubakaliyahaya2968
9 күн бұрын
Karibu ktk dini iliyonyooka inshaallah
@RahimaMct-ik8mr
8 күн бұрын
Mashallah sivibaya kumsifu alio Fanya vizur akuongoze mungu zaid
@hamisiwadesa
8 күн бұрын
Mungu akuongoze
@Abdallah-w2h
8 күн бұрын
Come in Islam before death 🙏
@ramadhanihudhaifani4376
8 күн бұрын
Islam,my RELIGION! Alhamdullilah...! 🙏❤
@myself4128
4 күн бұрын
Ushoga Umeanzia Nchinza kiarabu huko Arabuni na kwa Taarifa yako mikoa yote ya Pwani ambako Uislamu umetawala ndio kuna mashoga wengi zaidi chukulia Mfano Zanzibar na hata Rais wetu hatujui kama ni mzima!!!
@AdatusMashalla
8 күн бұрын
Big up doctor, ingawa imani tofauti, MUNGU NI MMOJA
@NasraNasraiddy-cl6qp
4 күн бұрын
Allah akuongezee umri mrefu Dr, inshaallah🙏
@Theophile-xk2ym
8 күн бұрын
Ubarikiwe dr Sulle, tunakupenda sana, japo mimi ni mkristo. ubarikiwe sana kweli
@abishafiqabishafiq6065
10 күн бұрын
ALLAH AKULINDE NA KILA SHARI NA AKUJAALIE NGUVU YA KUTANGAZA DINI INSHA'ALLAH 🤲
@masoudnzowa4608
10 күн бұрын
alhamdulillahi namshukur ALLAH nashukur kwa kidogo kuliko kikubwa cha mashart
@FestoAndrea-t9l
3 күн бұрын
Safi sana shee mm mkristo lakini kwahili nipe mkono maana nipo pamoja nawewe mungu atutangulie
@AnnaJulius-r5k
9 күн бұрын
Hongera shehe Mungu akuongoze endelea kukemea haya mambo mabaya ya Usodoma na Gomora ubarikiwe sana
@khalsasalim7930
9 күн бұрын
Kwani huyu mungu si aizime tu dunia iishe anajipa stress za nn
@Lulualshagri
9 күн бұрын
SEMA astghfirullah@@khalsasalim7930
@Lulualshagri
9 күн бұрын
@@khalsasalim7930Allah Hana stress na pia hafananishwi na kitu chochote unapoihusisha stress ni Kama vile umemfananisha Allah na binaadamu
@RahimaMct-ik8mr
8 күн бұрын
@@khalsasalim7930 Hataki ubinafsa kiwa yeye mumin hakufunzwa ajipambanie yeye kaimbiwa na wenziwe
@hidayamwinyi974
5 күн бұрын
@@khalsasalim7930halafu mbona Una jina la ki islam halafu unaongea maneno ya kufru hivi daah Allah akuongoze kumbuka kuwa ulicho kiandika utakikuta Kesho kwa Allah
@AkibaruRamadhani
3 күн бұрын
Wallwah quruan tuipende maana intuokoa najivunia kuwa isilamiki allwahuma amina
@RahmaIddi-s2s
9 күн бұрын
Allah akuzidishie umri mwema... tunakupenda kwa ajili ya Allah 🤲
@KelvinMwanzia-hh4rh
8 күн бұрын
Dr sulle nakuomba tafadhali njoo Kenya tanganza please njooo tunakupenda sana🇰🇪🇰🇪
@nyauclassictv805
9 күн бұрын
Mashalah ujumbe mzuri lakini tunaofatiliya mikono ya Shekh sule niwajuwe hapa.
@OscarlucasKagombogombo
Күн бұрын
Mm nmkrsto lkn nasema Alhamdulilah Dr sule namfatilia sana
@juniormembe688
7 күн бұрын
Maa sha Allah, tabaraakallah 🙌
@CKMO
9 күн бұрын
Ahsante doctor sule mola atuhifadhi pamoja na vizazi vyetu AMIN
@dorothysamwel2648
6 күн бұрын
Ubarikiwe Dr. Hiyo sio kwa uisilamu tu hata kwa ukristo ni dhambi
@kassimyusuph9470
6 күн бұрын
Ashukuliwe mungu tupate watu,wengi zaidi watuelimishe zaid inshallah 'NAMINI NENO,LIMEWAFIKIA
@davisadawson14
9 күн бұрын
Mimi ni mkirusto,kwa hili sitaki kuleta kabsa ubishi wa kidini hapa,uko sahihi umesema kweli lazima ukweli tukubali,Dunia Iko mwishoni kabsa so hayo hayana budi kuwepo
@bonifasiemanueli21
6 күн бұрын
Hongera😅
@Omaralawy-x6e
5 күн бұрын
Njoo kwenye uislam
@bonifasiemanueli21
5 күн бұрын
@@Omaralawy-x6e kwenye uislam Ndo kuna Nini kwa Yesu Ndo habali ya mjini
@اللهأكبر-ذ7ث3س
4 күн бұрын
@@bonifasiemanueli21unajua kitu ambacho I think hujakigundua ni kua waislam na wakiristo tunamiini Mungu huyo huyo alieteremsha taurat, injili, zaburi na Quran na ndio Mana wahadhiri wanatumia bibilia na Quran kwenye midahalo mfano inawekwa mada Mungu hana mwana wahadhiri wanaijadili ikisha kila mfuasi anapima maandiko anafata anachokiamini
@aishabrondi236
9 күн бұрын
❤dr sule mimi nakupenda kwaajili ya allhah anae kupinga nae nimwanakundi wa diddy
@RizikiMakame-ec1jv
18 сағат бұрын
mashallah allah akubarik
@خليفهالرحبي-ف4م
5 күн бұрын
Dini ya Uislaam ninampenda kwenye kusema ukweli,, Asante Sheikh Dr. Sule
@johnfelixnatala6777
6 күн бұрын
Well done Dic, hongera
@DaudMasanja-h5q
5 күн бұрын
Shehee hongelaa sana
@Kingstonbagamoyo
9 күн бұрын
Nakukubali dk sule,,,,ooh kumbe wapo mamaalim,allah akuongizi wee ndio shekh wa hip hop
@HadijaJoseph-d1g
7 күн бұрын
Mungu akubaliki sana shekh
@HashimuKarata
3 күн бұрын
Allah akuweke dokter sule
@خليفهالرحبي-ف4م
5 күн бұрын
SubhanaAllah
@RafiikissuMrkissu-ic4le
4 күн бұрын
Gonga like kisha sema chochote kuhusu Dr. Sule
@KalsumAbuya-l3v
9 күн бұрын
Allah atunusuru kwa kawmilut yarabi
@MohdMmaka-g2u
9 күн бұрын
God is with you❤
@OscarJr-yu9so
10 күн бұрын
Allah akubaliki wewe hutafuni maneno nakupenda sana kwajili ya dini lakin uliomba miaka midogo Kwa mungu
@bonintajiri3958
7 күн бұрын
Asante kwa kukemea mabaya
@laylayl5166
3 күн бұрын
Mungu akulinde sheikh wetu bora niishi maskini nakidogo kuliko kikubwa chenye madhara
@OmAn-cz8kt
8 күн бұрын
Nikweli kabisa allahu akulipe❤❤❤
@hamadsaburi3569
5 күн бұрын
MAA shaa allah
@Saum-o1w
7 күн бұрын
Sahihi Allah atusimamie na vizazi vyetu wallah
@MariamngakondaNgakonda
7 күн бұрын
Mungu atunusuru kwakweriii maana sio rahisi kuvuka kwauwezo wetu ulindwe na Mungu doctor sulle
@MuzafarSaid-k8w
9 күн бұрын
SHUKRAN DOCTA UMEELEWEKA SANA
@IbrahimNassoro-y7m
9 күн бұрын
Allah akulinde kiongozi baraka zote
@del-mohaa7527
7 күн бұрын
Sheikh shafi ashamaliza mchezo msikilize sheikh shafi kaelimisha vizuri sanaa na watu wamemuelewa vizuri sanaa
@LumolaSteven
6 күн бұрын
Tuwekee link na sisi tuone
@hassangwerenya7827
9 күн бұрын
Sikiliza mpk mwsho usijiropokee tu kwa comment..Allah akuzidishie sheikh
@mwakajemngumi8436
7 күн бұрын
Mungu akupe umri wenye manufaa.
@KhaleedKhasimu-xs5rv
7 күн бұрын
ALLAH AKUZIDISHIE HEKIMA WEREVU
@RastaFaston
7 күн бұрын
Miminimwislamu nasema DR sulle nikibokoyao asantesana
@fredrickchisanyo6663
9 күн бұрын
Mjomba sure hauna mipango😢😢 hujui dini,,, Bali ni mwanasiasa wa kidini
@noorbazaar9063
9 күн бұрын
Uko kundi gani?
@professorimmah
9 күн бұрын
Burns boy wewe
@LatifaCharles
9 күн бұрын
Ww mke wa pi didi sio bure
@JasminHassan-j4o
8 күн бұрын
Mmh wew
@vivinenibitanga8529
4 күн бұрын
Nawewe umeguswa😂shoga mkubwa umbwa wew😂 sheikh atawaumbua tu mpaka Allah arudhi
@liwazaomary106
7 күн бұрын
Ya Allah nusuru vizazi vyetu inshaallah
@ZamzamaJunior
4 күн бұрын
Namkubali sana Dr sule
@Hamismoe
10 күн бұрын
Allah anusuru vizazi vyetu
@SalmanMughal-lq5lt
9 күн бұрын
Aamina
@Catherine-mh8sw
9 күн бұрын
@@SalmanMughal-lq5ltamiin
@aminahassani-jh5rp
2 сағат бұрын
Allah akbar mola tuepushe na watoto wetu wa kiume
@hawahamza1085
9 күн бұрын
Duh . Innalillah wa inna iayh raajiiuna Allah atuhifaz
@RaibebeBebe
7 күн бұрын
Allah atupe mwisho mwema
@KelvinMwanzia-hh4rh
8 күн бұрын
Dr sulle tunataka number ya ukweli tuko Kenya ❤
@RamadhanAlly-qg9hq
9 күн бұрын
Mimi nakukubaliii sanaaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@lindakapongo8421
10 күн бұрын
MweñyeziMUNGU akubariki nikuelewe
@inearclassictz1233
4 күн бұрын
Unasema ukweli kabisa Usodoma na Gomora upo wazi wazi
@SalamaCharo-q6k
5 күн бұрын
Hpo ni kutubu tu mungu atusamehe ila kwa hili😢😢😢😢
@Edka-kr5ds
6 күн бұрын
Dr Sule umenyooka Kwa hili huyu papa ni WA hovyo kabisa,ni bora kuoa mke zaidi ya mmoja kuliko huu upuuzi wa huyu papa wakala wa kuzimu
@SharifuMustafa-y9q
8 күн бұрын
Mashaallah
@WalterpeterMasawe
4 күн бұрын
Shee uko deep Sana
@NeyMrina
6 күн бұрын
Yesu ndiye njia na kweli na uzima, mtu haendi mbinguni ila kwa njia ya Yesu. OKOKA LEO UWE SALAMA
@zainabumartin9520
4 күн бұрын
Onahili nalo linalopoka tu hujui anachokiogerea
@BilalMuhammad-jt6sq
3 күн бұрын
@zainabujinga ajitambuimartin9520
@BilalMuhammad-jt6sq
3 күн бұрын
Mpumbavu
@amanimwambipile6768
6 күн бұрын
Nakuelewa sana
@Riamaproduct
9 күн бұрын
Kweli kabisa kama humkubali D. sule basi ww ni mmoja wa rafiki wa p didy mwenye mambo ya kupididiwa na kupididi
@jaffarmohamed6859
10 күн бұрын
Mashallah ❤❤
@YohanaPeter-r1y
5 күн бұрын
Mungu shusha mafuliko 2fewote dunia imealibika ushoga kutekwa bola mafuliko yajae 2fe wote
@HamisimohamediiddyHamisimohame
5 күн бұрын
Shekh dj sule ujena morogoro vijijini tafadhal
@ilovejesuschrist5089
9 күн бұрын
Make Jesus Christ your Lord and Personal saviour Jesus loves you
@berry4726
9 күн бұрын
Jesus Peace be upon him is not God. He is a prophet of God.
@bashirmahero7021
9 күн бұрын
Huyu anatoka wapi Sasa
@fredrickchisanyo6663
8 күн бұрын
@@berry4726 wee kenge bring us the scriptures to him is prophet
@ilovejesuschrist5089
7 күн бұрын
@@berry4726 holy bible john 3:16
@servantofgod4340
7 күн бұрын
Amen. JESUS IS LORD❤
@SophiaSimba-uq8ct
5 күн бұрын
Kwan sule mungu mtu mpk kubashiri kifo
@OmariIsumail
7 күн бұрын
innalillah waina ilayhi rajiuun
@HalimaOmar-n8t
8 күн бұрын
Kama uwa wamuelewa..dokta sule...oho my😂😂
@JumaMtuli-m5n
9 күн бұрын
Ya Allah nusra Yako TU maana SI kwa uwezo wetu😢😢
@halimandune7317
6 күн бұрын
Innalillahi wa Inna ilihi rajion.
@dorothysamwel2648
6 күн бұрын
Akifanyacho Dr ni kuelimisha dunia wewe unaeanza kuleta mambo ya dini ya kweli na ya uongo yanatoka wapi? Msikilize vizuri Dr upone.
@IbuniKilapaya
6 күн бұрын
Sawasawa🎉🎉🎉
@SalimPazia
10 күн бұрын
Kweli shekhe kaongea ukweli
@kimsamir965
7 күн бұрын
Good
@barkanassir2528
Күн бұрын
Walaykumsalam
@jumahamad3723
9 күн бұрын
Yarabbi tunusuru na majanga haya yaliopo dunia imeharubiwa na masheitwani
@JasminHassan-j4o
8 күн бұрын
Allahuma aamin atulinde Sisi pa1 na vizaz vyetu
@omaryissa1821
10 күн бұрын
Mtu wa Mungu unaongeza maneno mazito kiasi hicho
@Sal.0
9 күн бұрын
Huyu SIO mtu 'wa mungu' MTAPELI hutu Sulle!
@jumahamad3723
9 күн бұрын
@@Sal.0 Alikutapeli mbona mnakua na comment upumbavu
@JasminHassan-j4o
8 күн бұрын
Kipi kigeni kwako na jee acngeweka bayana watu wangeelewa nn
@JasminHassan-j4o
8 күн бұрын
@@Sal.0na wew je
@Sal.0
8 күн бұрын
@@JasminHassan-j4o Ah, mimi ni daktari wa MaTapeli kama Sulle, PAMOJA na WaFuasi wake walio hapa kwa Chanel hii!
@ErickGodfrey-g1o
7 күн бұрын
Astgfirullah , inna Lillah wainna ilaihi rajiu'un
@FragrancesTom
8 күн бұрын
Ninacho kisikia mimi sio kigeni coz yote yame tabiliwa na nabii danieli katika kitabu cha Daniel na ufunuo lkn mbali na yote MUNGU anatupa faraja kwamba sio mbali yu karibu
@nancybungei9113
5 күн бұрын
Unaongea ukweli mkuuu ,nimesubscribe mbio sana 🇰🇪
@machindafadhili3186
9 күн бұрын
Uislamu hauna elimu yoyote ya Mungu ila hongera sana kwa kuelimisha vizuri na nusu ya ukweli 75%
@hassanjonas1491
9 күн бұрын
Maansha allah
@RastaSuma
9 күн бұрын
Ungesoma Uislam ambayo ndo dini ya haki na kuacha propaganda za watu mtaani zinazopotosha ukweli ungepata faida kubwa sana ya kumjua Mungu wa kweli anayestahiki kuabudiwa na viumbe vyote.
@mohamedimohamedi8933
9 күн бұрын
Mungu yupi unamuadu aliefia msalabani?
@FakiSuleiman-hj1zv
9 күн бұрын
Soma Kwanza bas
@JasminHassan-j4o
8 күн бұрын
Nenda kasome ujitambue ndo uchangie mada
@MoinaminaAmina-qh1jb
10 сағат бұрын
Hâta vatikani pape anaibariki ndoa ya njisia
@JumaJuma-g5e
5 күн бұрын
Kama. Yupo. ??
@RehemaSalamba
8 күн бұрын
Kweli kabisa
@RahmaIddi-s2s
9 күн бұрын
Dr,sule lazima atowe elimu..kwa wale wasio jielewa.. na kuwa na tamaa za kiduniya..sasa km unabisha au unaumia... Dr sule kutoa elim hii ya ushoga... itakuwa inakuhusu...
@Agentoftchauta
2 күн бұрын
Kweri unacho sema ni kweri kabisa kwasababu mpaka bíblia hinasema mbeleni shetani atakuwa na nguvu na ndo hivyo nyakati zime Wadia😥😭😭😭😭jamani tusarini sana
@nurumohammed1310
6 күн бұрын
Maneno yako mazima ndo maana diamond anasema yy anataka kuwa tajili nambar moja hapa duniani kumbeee innaliilah waina ilahi rajuuni
@mwinyiswaleh8388
6 күн бұрын
DIDDY aliingia mikataba na shetan afanye uchafu huo atajirike lakini alienda kinyume na maagizo wkahiyo hawamutak tena.lazima ataanguka na mwengine atachukua nafasi yake.haya mambo hayawezi kuisha.
@BahatiJohn-xl3fn
2 күн бұрын
RC njooni hapa
@salimumbwali2607
8 күн бұрын
Sheikh tupo pamoja sana tunakubaliana na wewe
@stevensosipita
6 күн бұрын
WEWE UTAISHI MILELE DAIMA
@MaryAmaiza-th2fo
9 күн бұрын
Nakubaliana na shek kabisa
@SylsylClassic
5 күн бұрын
Utagongwa😂😂😂...makubwa
@EvaristoMwasenga
6 күн бұрын
MDA MWINGINE UNAONGEAGA YAMANA LEO UMENENA HUPENDEREI DIN MOJA
Пікірлер: 400