Mtangazajinwakati mwingine punguza maswali katikati ya ushuhuda inaboa hivi au muulize anapomalizia ushuhuda!barikiwa sana.
@user-fu6fx8if6w
4 ай бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji, Mwenyezi Mungu aendelee kukulinda,simama kabisa na Yesu.❤naomba promover wapate ushuhuda wa mzee huyu.
@selinafissoo5110
2 жыл бұрын
Yesu ni Moto ulao
@ibrahimmsengi4344
5 ай бұрын
Mwandishi hapo ulipo unasifa za kuzimu kwa7bu ya manywele bandia.
@user-fu6fx8if6w
4 ай бұрын
Ameen,God bless everyone.🙏
@maryandason1815
2 жыл бұрын
Barikiwa Sana Nytv.kwa shuhuda za kuniiinua kiimani.YESU awazidishiee Zaid n zaid
@ermichaelqnic3595O
Жыл бұрын
UBARIKIWE MTUMISHI
@tatianamnyiamba6416
Жыл бұрын
Nimevua,Asante sana
@myself4128
2 жыл бұрын
Mtangazaji unaboa!! muache atiririke na stori unamtoa kabisa nje ya mtiririko
@ezramhanje1283
2 жыл бұрын
Weka part 2
@vincentyohanachakupewa2219
2 жыл бұрын
Mbarikiwe
@joycekunyanja1027
2 жыл бұрын
Kwaker umetufundisha sana,watu wanaambiwa hapo lakin hawasikii miwig,mirangi mdomon midawa ya nywele.mishanga watu wanaona sifa mim nimwanamke lakin huo uchafu siupendi kabisa
@maryjoviny6991
2 жыл бұрын
YESU azidi kukutunza umtumikie
@martinpatrice9936
2 жыл бұрын
Barikiwa kwa kutujuza
@pericykiko6198
2 жыл бұрын
Na wewe mtangazaji km umeokoka achana na mahereni na kusuka japo watakuambia umependeza lkn lango la mbinguni hivyo huingii
@azizaaziza9113
2 жыл бұрын
Nenda kwenye point
@joshuakabasi170
2 жыл бұрын
Da tunabarikiwa sana
@ruciasimeo4431
Жыл бұрын
Mtangazaji na wewe badilika nakuona umepaka midomo badilika
@trophywilson7211
2 жыл бұрын
kumbe tanga yale mapaka ni kweli ni ya kichawi
@myself4128
2 жыл бұрын
stori ya huyo mama nimesimuliwa nikkiwa na mtoto Ni ya ukweli...ila nilikuwa sijui Aloitoa ni nani? nahisi wale watu walompeleka sababu huyu jamaa alikuwa hajaokkoka!!!
@sarasimfukwe8328
2 жыл бұрын
Mbona unaongea wewe
@johnmboma771
2 жыл бұрын
Halishakuja kanisani kwetu kutoka ushuuda hanautapelindani yake achelewikusema hamefiwa hiliapatechangizo kueninae makini bado hajapona vizuri
@pericykiko6198
2 жыл бұрын
Mhurumie sababu mtu anapotoka huko anahitaji support kubwa ya maombi sio tapeli ila anapotoa siri za kuzimu hua wanatafutwa sana km umeshafuatilia ushuhuda wa Katekella utamuelewa
@user-fu6fx8if6w
4 ай бұрын
Acha kumjudge Kwa sababu ni Mwenyezi Mungu amemwokoa, Mwenyezi Mungu akuokoe,jina lako John hautapotea kamwe.
Пікірлер: 26