Hongera sana mwandishi, umetupa kule manywele bandia ! Sasa unapendeza .
@geitandelwa299
Жыл бұрын
Mmmmh Safi Sana kumbe walokole was siku hizo WABISHI Sana kumbe Ni shetani anawabana wasikubali kutubu dhambI za kujipamba
@m.m.tvmbebamaono
2 жыл бұрын
Tusaidie kusema sisi tukisema tunaonekana hatuna akili tumepotea
@sayunikasimiri509
2 жыл бұрын
Amina mwana wa MUNGU, Asante tunajirekebisha.
@faze_narq6890
Жыл бұрын
Kijana wangu anapende kutafuna kifiniko ya chupa za maji kabisa. Asante sana mtumishi wa bwana kwa hayo maelezo. Sasa nanjua cha kuo ombea. Bwana yesu kristo akubariki sana
@inviolatevedasto4230
2 жыл бұрын
Amen mtumishi wa Mungu , nimejifunza , Mungu naomba Neema ya kuushinda ulimwengu huu
@carendeborah5687
2 жыл бұрын
Very much true..Mungu atufunulie na mengi tusioyajua
@consolatamedard6593
Жыл бұрын
Mungu akubarki sana mtumish
@nanyamasheilah5695
Жыл бұрын
Waaaaaaah nimejua sasa
@annagracezomba5228
2 жыл бұрын
🙏 BARIKIWA hatukujua
@nancyisoyi8164
10 ай бұрын
Mchungaji uliteseka
@miriamshayou8638
Жыл бұрын
Nashukuru sana kwaushuuda mzuri baba mchungaji
@ruciasimeo4431
Жыл бұрын
Mungu akubaiki baba, urembo wote ni kuzimu, nimeokoka lakini atujipambi kwa lolote, tunakubali uhubaji wa Mungu.
@ruciasimeo4431
Жыл бұрын
Mungu akubariki saaana, wambie walokole veki wanao chichubua na kuvaa mawigi twambie baba
Sio wazee tu wapakao piko na vijana wanapaka hata wakaka na mikologo imejaa kanisani mmmh hapa tumeelewana aaaa walokoke mko wapi YESU AMEAMUA KUWALETA WATU WA MUNGU ILI UKWELI UJITENGE YESU HATAKI UJINGA HUU
@verenaisskimambo5783
2 жыл бұрын
Asante mtumishi endelelea kutufundisha
@susanwanyoni249
Жыл бұрын
Mungu nisaindie sikua na ufahamu aki nimepotea
@rashaketsau7015
Жыл бұрын
Mungu tusamahe
@netholuvanga1040
Жыл бұрын
Mungu aturehem
@edinashaurishauri5223
2 жыл бұрын
Mungu tusaidie tutoe kwenye hayo barkiwa sana mtumishi
@winfredmundali5441
2 жыл бұрын
God saved him to save generations from hell
@catherinemutindi5031
2 жыл бұрын
Kwa kifuvi marembo ni dhambi.asante mtumishi na kundi nzima ya ny tv kwa Kazi ya kuelimisha hiki kizazi Cha nyoka.ambacho hakuna masikio ya rohoni
@verenaisskimambo5783
2 жыл бұрын
Basilica sana mtumishi
@oumaoduorydaniel4072
2 жыл бұрын
Karibu huruma ya toba na utakatifu
@sophiamakani6133
Жыл бұрын
Amen and Amen
@marialameck887
2 жыл бұрын
Ahsante kwa ujumbe .Mungu atusamehe,
@naomymose1866
2 жыл бұрын
😂 Yeah is better you hear and change
@maggiesmile8877
2 жыл бұрын
MUNGU ATUSAMEEE
@Damar1987
2 жыл бұрын
Amen,mungu tuhurumie
@maggiesmile8877
2 жыл бұрын
Wanawake Mungu atusame
@rasgwandumikaisi7489
11 ай бұрын
Ndio maana Waafrika ni watumwa
@makindaagrovet8904
2 жыл бұрын
mmmh hatari Sana aisee
@happinessmongare4311
2 жыл бұрын
Asante
@Roseline17ajiambo.
Жыл бұрын
Huwa sijui kwani maimam pia wako na maini
@ngoshajapheth3870
2 жыл бұрын
Duuuh!!!!! Unanikumbusha enzi zile miaka ya 2005 pale shinyanga
@rashaketsau7015
Жыл бұрын
What happened
@consolatamedard6593
Жыл бұрын
Tueleze mtumish tukisema sisi tunaitwa washamba
@ramadhanikimweri1240
Жыл бұрын
Hebuwachungaji acheniuongo Wamasai mbonawanashanga naniwakirisito wa heniungo
@fabianmihale3715
Жыл бұрын
Je,nguo au shati la draft lina maana gani? Athari zake NI zipi?
@trophywilson7211
11 ай бұрын
MBONA WAZUNGU HAWAFUI CHUPI SIKU HIYO HIYO NA SI WACHAWI??
@venicemamba4795
2 жыл бұрын
😳🤭🤭💪🏻✍️😁🙏🙏
@geitandelwa299
Жыл бұрын
Mmmh hatali Sana NDO Mana tumemuacha YESU TUMEHAMIA KUABUDU MAJI NA UDONGO NA MAJIVU
@renatusmtakyawa594
Жыл бұрын
Maimuna ni roho sasa alichuna ngozi gani
@faze_narq6890
Жыл бұрын
Nina swali, mtumishi wa Mungu, hivi Meno za mutu zikin’golewa kiungojwa na zikatolewa zote, akawa ni mapengo mudomo wote, akiwekwa dentures ni vibaya?? Shetani aliziiba meno zake ili amtrse huyu mtu. Without dentures hali. Hivi hayo meno ni majini?
@danielmburu8013
2 жыл бұрын
What is shanga please?
@jaquelinebaumann9957
2 жыл бұрын
Necklace
@Star-bi3gc
2 жыл бұрын
Beads,hizi vitu zenye wakenya wanavaa kwa mkono zimetengenezwa bendera,wengine wako nazo kwa viuno.
@carendeborah5687
2 жыл бұрын
Bracelets, Necklaces na zile za kiuno
@annngeche2398
2 жыл бұрын
Necklace
@EK-kp2np
2 жыл бұрын
Beads, just google it and you will see
@edsonkumenya5626
Жыл бұрын
Hayo unayosema ni Mungu amekufunulia au mtazamo wako?
@yakobomkristo872
Жыл бұрын
Kumuonya Muuza Gongo Aache Kuuza Gongo Kutokana Na Madhara Yake Nayo Inahitaji Mungu Akufunulie?
@leahenockmrina5381
Жыл бұрын
Msikilize Astpn Mbaya kny promover tv KZitem na Nabii Boniface kwenye unyakuo TV utaamua mwenyewe
@vivicagreco3195
2 жыл бұрын
Mh,,, sasa sijui tutaiahije,,, jaman Mimi natengeneza CULTURE Na nina Shanga aina zote alizotaja,, ko nifanyaje,,, Na bado neno la MUNGU linasema asie Fanya kaz asile na bado neno linasema ntabariki KAZ ya mikono yenu,, kwa hiyo apo inakuwaje?
@happinescharlesmabeyo9164
Жыл бұрын
Ujumbe umeshaupata,muombe Mungu akupe kazi nyngn inayompendeza Mungu.
@yakobomkristo872
Жыл бұрын
Jiulize Ungekuwa Muuza Gongo Je! Kwakuwa Ni Kazi Ya Mikono, Ungeacha Au Usingeacha?
@leahenockmrina5381
Жыл бұрын
Hata kazi ya salooni nu dhambi hata wanaopaka rangi wenzao hata kuangalia mpira hata deadlock haitakiwi roho ya rastafara wanaabudu miumgu ya mungu wa ethiopia
@maggiesmile8877
2 жыл бұрын
Sasa wenye tulifanya kama hatujui tufanye aje baba tusamee
@marymwapiya1274
2 жыл бұрын
Ni kuomba toba tu ya kweli
@geitandelwa299
Жыл бұрын
Acheni pembeni TU msiludie tena
@faze_narq6890
Жыл бұрын
Swali nyingine akipaka deodorant ya njasho hiyo ni dhambi?
@veronicahadhiambo7545
2 жыл бұрын
Je kushukaaa?
@annthuo8611
2 жыл бұрын
Kushuka pia kuna zile style niza kuzimu.kama rasta,muhok nywele za colour mingi, na pia kunyoa sides na hizi nyongeza zinakaa snails
@veronicahadhiambo7545
2 жыл бұрын
@@annthuo8611 waa vile mimi niko na rasta dreadlocks
@dadaz4653
Жыл бұрын
Jaman hata kusuka mnyoosho nidhambi inatakiwa ubane tu karibu promover tv utajifunza mengi
Пікірлер: 74