Waislam hawapendi kusikia habari ya Yesu kisa na maana wengi wao hufunga majini....nayo majini na maroho za kuzimu zote zimeshindwa katika jina la Yesu..semeni Aminaa
@safianamani1375
2 ай бұрын
🤣🤣🤣
@Aminaamina-us5yj
Ай бұрын
AMEN 🙏 🙏 🙏 🙏
@user-th2ks9et2m
24 күн бұрын
Acheni ufala nyieeee mnafuata hela2
@PatricisAmani-ip4pm
9 ай бұрын
Jina la Bwana wetu kristo litukuzwe huyu mtumishi juzi nlimuona Mungu amemkuza sana
@ramadhanmahongole9293
Жыл бұрын
Waislamu wanaumia kweli kuona waislamu wao wanabatizwa na kuokoka kama hawa 😂😂 hongera sana msomali kwa kuuona utukufu wa Mungu wa kweli Jehova
@adamkhamis1973
Жыл бұрын
Yesu yupi? Wa Shakahola Kilifi, Kenya… Waislamu wanamuamini yesu, wanamuenzi na kumuheshimu…. Soma Quran… kuna chapter nzima ya kumsifu yesu kama nabii Quran chapter 19 (chapter mary)… ukifuata maandiko…Torati,Zaburi,Injili na Quran hutadanganywa kama hao mafala wa shakahola. Vipi unakaa njaa wewe na watoto wako mpaka unakufa. Mnarambwa pesa kila siku na wakora kanisani… hakuna miujiza yeyote wako nayo theyre just taking advantage of your ignorance,stress, depression and desperation . Kama kweli wanaponya watu mbona HAWAENDI MA HOSPITALI KUTIBU WAGONJWA. Wake up… YOU CAN FOOL SOME PEOPLE SOMETIME BUT YOU CANT FOOL ALL THE PEOPLE ALL THE TIME. Na huyo Adan Wario Jirmo anaejiita Adam Hajj MBONA HAKUWEZA KUJITIBU ALIPOEKEWA SUMU NA WAKRISTO WENZAKE KAMA ANAVYODAI…ALIKIMBIA HOSPITALI… roho mtakatifu na maombi yalikua wapi… wacheni kudanganywa kama watu wa shakahola
@user-zi1go8mp5w
Жыл бұрын
Asante Yesu kwa kuondoa kuokoa watu,tunawaombea na wengi wasioamini wapate neema hii ya wokovu.
@adamkhamis1973
Жыл бұрын
Yesu yupi? Wa Shakahola Kilifi, Kenya… Waislamu wanamuamini yesu, wanamuenzi na kumuheshimu…. Soma Quran… kuna chapter nzima ya kumsifu yesu kama nabii Quran chapter 19 (chapter mary)… ukifuata maandiko…Torati,Zaburi,Injili na Quran hutadanganywa kama hao mafala wa shakahola. Vipi unakaa njaa wewe na watoto wako mpaka unakufa. Mnarambwa pesa kila siku na wakora kanisani… hakuna miujiza yeyote wako nayo theyre just taking advantage of your ignorance,stress, depression and desperation . Kama kweli wanaponya watu mbona HAWAENDI MA HOSPITALI KUTIBU WAGONJWA. Wake up… YOU CAN FOOL SOME PEOPLE SOMETIME BUT YOU CANT FOOL ALL THE PEOPLE ALL THE TIME. Na huyo Adan Wario Jirmo anaejiita Adam Hajj MBONA HAKUWEZA KUJITIBU ALIPOEKEWA SUMU NA WAKRISTO WENZAKE KAMA ANAVYODAI…ALIKIMBIA HOSPITALI… roho mtakatifu na maombi yalikua wapi… wacheni kudanganywa kama watu wa shakahola
@Aminaamina-us5yj
Ай бұрын
@@adamkhamis1973kama muna mu enzi na kumjua mbona wakristo wakihubiri juu ya matendo yake mbona hunachukia kisa ni nini? Kila wakati oh ukristo ni uongo na munasema munamjua yes wanafik nyinyi
@agnesmangale3163
Жыл бұрын
Kwa Yesu ni Rahaa❤❤
@VeronicaNyambu
9 күн бұрын
Amen Amen Amen 🙏 Yesu ni mzuri
@IbrahimMatofali
Жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi
@charlesmakuri792
Жыл бұрын
Huyumtu anavitu hadimu ukijulisha na ndacha niwatu muhimu sana ingawa watuwenyeuwezo hawawapi support
@shalomkind4575
Жыл бұрын
Great man of GOD !Hata wakupinge wewe ni mteule !
@adamkhamis1973
Жыл бұрын
Yesu yupi? Wa Shakahola Kilifi, Kenya… Waislamu wanamuamini yesu, wanamuenzi na kumuheshimu…. Soma Quran… kuna chapter nzima ya kumsifu yesu kama nabii Quran chapter 19 (chapter mary)… ukifuata maandiko…Torati,Zaburi,Injili na Quran hutadanganywa kama hao mafala wa shakahola. Vipi unakaa njaa wewe na watoto wako mpaka unakufa. Mnarambwa pesa kila siku na wakora kanisani… hakuna miujiza yeyote wako nayo theyre just taking advantage of your ignorance,stress, depression and desperation . Kama kweli wanaponya watu mbona HAWAENDI MA HOSPITALI KUTIBU WAGONJWA. Wake up… YOU CAN FOOL SOME PEOPLE SOMETIME BUT YOU CANT FOOL ALL THE PEOPLE ALL THE TIME. Na huyo Adan Wario Jirmo anaejiita Adam Hajj MBONA HAKUWEZA KUJITIBU ALIPOEKEWA SUMU NA WAKRISTO WENZAKE KAMA ANAVYODAI…ALIKIMBIA HOSPITALI… roho mtakatifu na maombi yalikua wapi… wacheni kudanganywa kama watu wa shakahola
@VeronicaNazareth
11 күн бұрын
Barikiwa
@apostledebora999
20 күн бұрын
Be blesst servant of God
@davidwainaina3899
Жыл бұрын
This man was sent by God,huyu man of God has special blissing from Jesus
@ahmaduun6523
Жыл бұрын
idiots christians beleves everything, someone comes and said that he sent by god, you take it easy and beleive it.
@adamkhamis1973
Жыл бұрын
Yesu yupi? Wa Shakahola Kilifi, Kenya… Waislamu wanamuamini yesu, wanamuenzi na kumuheshimu…. Soma Quran… kuna chapter nzima ya kumsifu yesu kama nabii Quran chapter 19 (chapter mary)… ukifuata maandiko…Torati,Zaburi,Injili na Quran hutadanganywa kama hao mafala wa shakahola. Vipi unakaa njaa wewe na watoto wako mpaka unakufa. Mnarambwa pesa kila siku na wakora kanisani… hakuna miujiza yeyote wako nayo theyre just taking advantage of your ignorance,stress, depression and desperation . Kama kweli wanaponya watu mbona HAWAENDI MA HOSPITALI KUTIBU WAGONJWA. Wake up… YOU CAN FOOL SOME PEOPLE SOMETIME BUT YOU CANT FOOL ALL THE PEOPLE ALL THE TIME. Na huyo Adan Wario Jirmo anaejiita Adam Hajj MBONA HAKUWEZA KUJITIBU ALIPOEKEWA SUMU NA WAKRISTO WENZAKE KAMA ANAVYODAI…ALIKIMBIA HOSPITALI… roho mtakatifu na maombi yalikua wapi… wacheni kudanganywa kama watu wa shakahola
@emmanuelyambo4143
11 ай бұрын
@@adamkhamis1973huyo Issa kwenye quaran yenyu sio Yesu bali ni upumbavu maanake Yesu alisulubiwa kufa na kufufuka!!! Nyie hamu mpendi Yesu!? Uislamu ni ushetani
@shabbymakapane
9 ай бұрын
@@emmanuelyambo4143Mh ??!
@agnesmangale3163
Жыл бұрын
Amen❤❤1 God Bless u
@JohnBalyowabo
Жыл бұрын
Mungu anaokoa amtakaye
@christabeldorothy8023
Жыл бұрын
Halleluya! Utukufu Kwa Mungu. Nabarikiwa kweli
@faza4023
Жыл бұрын
Waislamu sijui kwann wanaumiaga sana kusikia hivi ..Yesu ni Mungu, unabisha leo kesho utakubali kama huyu .
@adamkhamis1973
Жыл бұрын
Yesu yupi? Wa Shakahola Kilifi, Kenya… Waislamu wanamuamini yesu, wanamuenzi na kumuheshimu…. Soma Quran… kuna chapter nzima ya kumsifu yesu kama nabii Quran chapter 19 (chapter mary)… ukifuata maandiko…Torati,Zaburi,Injili na Quran hutadanganywa kama hao mafala wa shakahola. Vipi unakaa njaa wewe na watoto wako mpaka unakufa. Mnarambwa pesa kila siku na wakora kanisani… hakuna miujiza yeyote wako nayo theyre just taking advantage of your ignorance,stress, depression and desperation . Kama kweli wanaponya watu mbona HAWAENDI MA HOSPITALI KUTIBU WAGONJWA. Wake up… YOU CAN FOOL SOME PEOPLE SOMETIME BUT YOU CANT FOOL ALL THE PEOPLE ALL THE TIME. Na huyo Adan Wario Jirmo anaejiita Adam Hajj MBONA HAKUWEZA KUJITIBU ALIPOEKEWA SUMU NA WAKRISTO WENZAKE KAMA ANAVYODAI…ALIKIMBIA HOSPITALI… roho mtakatifu na maombi yalikua wapi… wacheni kudanganywa kama watu wa shakahola
@richardbwire4747
Жыл бұрын
God is great
@kissahjackobmwakatobe-re3kg
2 ай бұрын
YESU NI RAFIKI MWEMA JAMANI 😊
@laurentraphael5470
Жыл бұрын
Yesu wewe rafiki mwema, have mercy on us.
@KutosiJulius-mv3yn
Жыл бұрын
Mungu nimweme
@ibrahimalwafa1738
10 ай бұрын
Afadhali ungekufuru na unyamaze the problem umeamua kupiga dini vita nataka ufahamu hii dini imepigwa maqarne na imezidi na itazidi na ujue Allah ndie anae ihifadhi dini yake kwa hivo vita vyako ni wewe na Allah langu nakuombea Allah akuongoze
@lilianluhasi311
2 ай бұрын
Wasomali wengi wamatokewa na Yesu huko Somalia. Jamani amkeni, Yesu anarudi, kiama
@MchwauRukas
Ай бұрын
Kwa. Yesu Raha wapendwa
@devothamichael636
Жыл бұрын
Hata wakasilike ukweli utabaki palepale
@adrophinawilliam9196
Жыл бұрын
Mbona bado avaa mavazi hayo kama ni mkrito
@magretjohnas8105
Жыл бұрын
Huu ushuda utasikia waislam wanamsema ni muongo mala ooh kwanza haujui kutaja yaan hapend kuambiwa ukweli
@florencekasambula6497
2 ай бұрын
😂
@salimsaid3292
Жыл бұрын
Mungu Akuhidi
@jansenezekiel5329
2 ай бұрын
waislam tulieni msipaniki sikilize habari za yesu muokoke
@raphaelmwamakimbula9642
Жыл бұрын
♥️👏
@Baromoz
Жыл бұрын
What am wondering is y r muslims hurt when they see there brother becoming a Christian while as we see our brothers n sisters becoming muslims n we have no hate at all.kwani dini ya kislamu inafunza watu kua na chuki.lord have mercy upon them
@rachelsamwel5359
9 ай бұрын
Sijasikia kuhusu familia ya Mama je ana mume na watoto wangapi
@fadumoabdullahi8409
Жыл бұрын
Shaiadani
@mariamomar1572
2 ай бұрын
Heeeeheee😂 Natamani apeleke watu hiyo sehemu alikuwa Imam heeehee
@DanKanu-ox4hx
2 ай бұрын
Akuna mtu anaumia 😂😂😂tunajua ni uongo to😂
@ziyadanyandwi2908
Жыл бұрын
Yesu ni njia ya uzima
@abdulbari5573
Жыл бұрын
Naalatulah aleyk
@onyaluoma848
Жыл бұрын
mnafik
@irenekaluse3213
Жыл бұрын
Kuliko ww ndo keshatoka nduki hivyoooo
@safianamani1375
Жыл бұрын
A comedian. Actions plus talking😂😂😂😂😂😂
@frankbella4271
2 ай бұрын
mtarud wotee huku
@safianamani1375
2 ай бұрын
@@frankbella4271 🤣🤣🤣
@safianamani1375
2 ай бұрын
@@frankbella4271 funny... Real comedian...ur..
@MohamedKhamis-mi8lp
2 ай бұрын
Huyu Jamaa anasema ni msomali ila lafudhi yake ni ya kenya
@NasiboBonaya
3 ай бұрын
Innallilahi waina ilehyi rajiuun 😢
@jeremiahkariuki3639
Жыл бұрын
Mungu ni mkubwa na mtu wa mungu hapotei na ana sababu ya Kila mtu
@hanifatanzania7258
Жыл бұрын
Subuhanallah. Pote hilo naiyazu billah
@dani72130
Жыл бұрын
wanaobatizwa mara nyingi ni wa kweli, lkn wale wa mamdogo ni feki wote.
@jumanjaidi6921
Жыл бұрын
Danganya watu ila IPO cku yako utafika mbele ya Allah alafu ndio utajua adhabu za Allah....then unavaa mavazi yetu yenye heshima katka uislam ili mladi watu wakupigie makofi na vigelegele endelea kuongopea watu ila IPO cku utaingia kwenye imaya ya Allah ao watu wote wanaokuchekea awatakuwepo utakuwa wewe kama wewe endelea kuongopea watu
@gadielshedaffa3333
Жыл бұрын
Usimchukie hata wewe Yesu alikufia msalabani! Anakupenda pia
@Ba63828
Жыл бұрын
Uongo uongo tu
@msemakweli243
2 ай бұрын
Upo sahihi yesu alisema yoyote anae taka kumfata aikane nafis yake
@mudhakirmwarabu2088
Жыл бұрын
Waikristo mnatapatapa mpk mnakodisha uongo na utapeli.....
@ngendakumanalewis1472
10 ай бұрын
Hata mpinge kiasi Gani , YESU Atahubiriwa
@mudhakirmwarabu2088
10 ай бұрын
@@ngendakumanalewis1472 hakuna anayepinga Yesu kuhubiriwa.. kinachopingwa ni kuhubiriwa kibubusa na kiupogo na kupewa mambo ambayo asiyostahiki...
@ngendakumanalewis1472
10 ай бұрын
Hakuna kitu kinacho skitisha kama kuona vitu ambavyo vinaimarisha wamoja kwako Wewe hunaona havistahili , haya ulitaka iweje Sasa ?
@mudhakirmwarabu2088
10 ай бұрын
@@ngendakumanalewis1472 Si suala la kutaka mimi bro.... Bali ni uhalisia kuwa Yesu si mwana wa mungu wala mungu ktk utatu unaosemwa mtakatifu... Bali ni nabii kama manabii wengine mfano Musa, Ibrahim, Nuhu, Yakobo, Yohana (Yahya), Suleyman n.k.... wote hao wamekuja kumtangaza Mungu mmoja na wa mwisho wao ni Mtume Muhammad.
@ReenRehema
Жыл бұрын
Waislam wanampga vita, uyu ametoka kwa mungu sio rahc
@venacyibrahim5056
Жыл бұрын
Hiyo ni ushuhuda wake sawa unatujenga kwa kiasi fulani. Lakini kwa majira tuliyo nayo anatakiwa atuambie Lipi au yapi yatupaso kufanya ili Yesu akirudi tuwe na neno la kusema na kuita. Inatakiwa atwambie Yesu anasemaje kuhusu maisha yetu. Maana ushuhuda wake hauwezi kutufanya tukaacha dhambi😢
@dani72130
Жыл бұрын
@@venacyibrahim5056 wew ndo unatakiwa uache dhambi kwa amri ya mwenyezi Mungu, usisubiri ushuhuda wa mtu, ili uokoke fata amri kumi, Quran 3:195
@adamkhamis1973
Жыл бұрын
Yesu yupi? Wa Shakahola Kilifi, Kenya… Waislamu wanamuamini yesu, wanamuenzi na kumuheshimu…. Soma Quran… kuna chapter nzima ya kumsifu yesu kama nabii Quran chapter 19 (chapter mary)… ukifuata maandiko…Torati,Zaburi,Injili na Quran hutadanganywa kama hao mafala wa shakahola. Vipi unakaa njaa wewe na watoto wako mpaka unakufa. Mnarambwa pesa kila siku na wakora kanisani… hakuna miujiza yeyote wako nayo theyre just taking advantage of your ignorance,stress, depression and desperation . Kama kweli wanaponya watu mbona HAWAENDI MA HOSPITALI KUTIBU WAGONJWA. Wake up… YOU CAN FOOL SOME PEOPLE SOMETIME BUT YOU CANT FOOL ALL THE PEOPLE ALL THE TIME. Na huyo Adan Wario Jirmo anaejiita Adam Hajj MBONA HAKUWEZA KUJITIBU ALIPOEKEWA SUMU NA WAKRISTO WENZAKE KAMA ANAVYODAI…ALIKIMBIA HOSPITALI… roho mtakatifu na maombi yalikua wapi… wacheni kudanganywa kama watu wa shakahola
@habicigombacabdikarim6543
Жыл бұрын
Huyo sio msomalia
@shalomkind4575
Жыл бұрын
Ni msomali haswa !
@irenekaluse3213
Жыл бұрын
Shida iko wp alikuwa Akimswalia allah sasa kaingia kumuabudu Mungu
Huyu ni muongo na hajawai ona Somalia ni mkenya kutoka isiolo.
@54plus41
Жыл бұрын
Sijui sana lakini Kuran imeongea sana kuhusu yesu,mamake na babake. Huyu alikuwa mwalimu wa dini gani jameni!!
@Baromoz
Жыл бұрын
Jiulize iyo swali vizuri koz anajua dini ya kislamu yote na yesu alimuonekania ata wewe ukitaka akuonekanie lmba utashuhudia na ujue ukweli yeye ni mfalme wa wafalme yeye ni njia ya uzima
@fatmathomas9698
Жыл бұрын
Naomba kuuliza swali moja unamvunja mtoto wa mtu mkono kisa hajakusalimia halafu wazazi wake wasije kwanza hapa umetupiga
@goodboy6139
Жыл бұрын
Wazimu ambaye amepatiwa pesa .......wacha awadaganye huyu....
@abdulgadiralahdal901
Жыл бұрын
Kisha nawaambia waafrika mujue uislam unavamia kploni zilizo watawala na kuwatumia pesa
@criminalminds7723
Жыл бұрын
Haka kajamaa ni kaongo sana yani,hahaha Somalia hatuna mambo ya falaq bana,ww ni Somalia njaa kabisa
@lilianluhasi311
2 ай бұрын
Wasomali wengi wamatokewa na Yesu, kazi kwako kuamini na kuokoka
@bintialichaga-qn5hr
Жыл бұрын
Shetani yuko na mbinu nyingi
@abdallakahuria93
Ай бұрын
Huyu ni mwenda wazimu.mudir wa wapi?
@mohammedamour4930
Жыл бұрын
Akimaliza msimsahau mapambio ndio alichoijia
@ngowibeatrice1701
Жыл бұрын
Ampendi ukweli
@florarog548
Жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/mbBm2qOksZWIoIY
@jumanjaidi6921
Жыл бұрын
Endelea kutafuta umaalufu katka huu ulimwengu kwa kumkashifu Allah na kumtukana Allah ila utakuja kujua cku moja mbele za allah
@laurentraphael5470
Жыл бұрын
Allah yule pepo mwenye mguu mmoja atakayetumbukizwa kuzimu kwanza. Yupo Mungu mbinguni ambaye aliupenda ulimwengu hata akautoa mwanawe wa pekee ili kila mtu amwaminiye asipotee
@gadielshedaffa3333
Жыл бұрын
Usimchukie Baba huyu.Hata wewe Yesu anakupenda uokoke!
@fatmathomas9698
Жыл бұрын
Wakristo mnapokuwa mnasikiliza hizi story jaribu uwe unajiuliza kichwan usishabikie kwanza
@adamkausy871
2 ай бұрын
Huyu jama ni muongo kweli
@bakarbakarali-cw3gc
11 ай бұрын
Kumamayo muongo muislam hana kiswahili kibovu
@rashbash645
Жыл бұрын
Huyu ni comedian tu hana lolote.
@mohammedamour4930
Жыл бұрын
Jamaa liongo hili kiboko
@benisobenjamin1373
Жыл бұрын
Uongo wake ukoapi?
@zawadilutufyo8771
Жыл бұрын
Danganya na wew
@shukulutumaini
Жыл бұрын
Lazima useme ni muongo
@florarog548
Жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/mbBm2qOksZWIoIY
@lilianluhasi311
2 ай бұрын
Kweli siyo uongo. Wasomali wengi wamatokewa na Yesu. Mpokee Yesu Leo ili ufike mbinguni kwa mwenyezi Mungu, peponi
@mbarakbinzoo
Жыл бұрын
Ufukara mtihani ikiwa imani ndogo. Mbinu alotumia kwa hawa jamaa msomali hapo atatoka
@mwassamwassa7264
Жыл бұрын
Waislam hawapendi kusikia shuhuda kama hizi
@husseingabo5497
Жыл бұрын
tusipende nini kila mtu ana haki ya kuchagua kwenda peponi au motoni
@salumjumaruhaga2513
Жыл бұрын
Iyo hiari yenu dini ya kiislam imesimama haina mbamba
@evaristamwinuka6494
Жыл бұрын
Watazipenda tuu kwasababu nizakweli
@shabanihugo8332
Жыл бұрын
Kweli gani hapo
@adaboychibu1659
Жыл бұрын
@@evaristamwinuka6494 Njaa ina msumbua huyo hana lolote
@shabanihugo8332
Жыл бұрын
Ila wakristo mnapigwa pesa ,Acha jamaa akuibien pesa
@dani72130
Жыл бұрын
hakuna pesa inapigwa hapo, wakristo sio kama wengine wanaotengeza fitnah kwa kuwanunua watu waongee uongo kama kina mwaipopo na mazinge.
@alzawahirabdallah2299
Жыл бұрын
@@dani72130 mimi naomba tuanze kusoma maandiko nataka andiko ukristo ni dini km huna sema huna je unalo andiko ukristo dini
@gadielshedaffa3333
Жыл бұрын
Kivipi!? Unafikiri damu ya Yesu msalabani haina nguvu ya kuokoa mwanadamu yeyote
@alzawahirabdallah2299
Жыл бұрын
@@gadielshedaffa3333 unalo andiko damu ya yesu salabani imewaokowa
@alzawahirabdallah2299
Жыл бұрын
@@gadielshedaffa3333 hiyo damu ya yesu mpaka leo ipo mnakunywa alikuwa na pipa zima aw
@veronicahkhaikwa4929
Жыл бұрын
Jamani kuna fununu kua anaugua yeyote anaye contacts zake share please tumsaidie na chochote
@ahmaduun6523
Жыл бұрын
karibu atakufa na anaenda jehannam
@bakarbakarali-cw3gc
11 ай бұрын
Acha kudangawanya wenzio chukua sadaka zao
@MohamedKhamis-mi8lp
2 ай бұрын
Huyu Jamaa muongo Tena anatafuta matatzo na alishababa somaliya hakuna vitu kama hivyo
@halimaa9367
Жыл бұрын
washez nyie shida yote hiyo
@abdulgadiralahdal901
Жыл бұрын
Muftah ndio nini?. Maskini hata uislam huujui. Kisha kweli mudir ni cheo katika dini?. Dah hivi mtu mjinga kama hiyu katika dini ndie anae toa ni ushahidi?.
@lilianluhasi311
2 ай бұрын
Siku ya hukumu utamkumbuka huyu na utakuwa umechelewa, amua sasa
@tocaworld7864
Жыл бұрын
Mimi ni muislamu nafurahi sana wakristo wakidanganywa na kutoa sadaka kumpa huyu jamaa mrongo ati alimuona yesu daah 😅😅😅.
@bonifacemutua6968
Жыл бұрын
Wee vipi,Kama haikuhusu shida yako Nini?
@richardbwire4747
Жыл бұрын
Acts 9:5, wasn't that Jesus? Jesus your great and merciful
@salehesalehe2967
Жыл бұрын
Umekutana na iblis
@dani72130
Жыл бұрын
ibilisi hafundishi mema bali anafundisha mabaya. kule somalia ni waislam asilimia 99.99% lakini uchawi uliopo ni kama jehanam ndogo, sasa unajiuliza dini ya haki inakuwa na wachawi na washirikina na ni seshemu ya maisha yao. lakini hakuna anaesema hilo anaogopa kukatwa kichwa, tunajua hayo yote, wao wanajifanya hawajui. Iran na saudi Arabia wanapigana kule Yemen, hizo ni nchi za kiislama, lakini utasikia uislam ni dini ya amani na haki. lkn wanaruhusiwa kuuwa watu wasio nahatia katika nchi ya waislam wenzao. sasa najiuliza sana sipati jibu. lkn uislam ni siasa za waarabu sio dini, kitabu chao kimekuja kupinga Bible, sio kwajili ya Mungu Mwenyezi. someni Bible muendelee kutengeza fitnah za kuwapoteza wakristo wasiojua kusoma Bible, Quran 3:199 hamjamaliza kuwafundisha waislam, mtu kuwa mwuislam au Mkristo haina maana utaingia peponi ila kwa kufuata maagizo ya Mwenyezi Mungu ,amri kumi (wakristo).
@abdallahrenatus6677
Жыл бұрын
Badili na mavazi sasa.....
@georgekimasaofficial1629
Жыл бұрын
Kwani hayo ni mavazi ya Waislam
@hafidhiomar3768
Жыл бұрын
Wewe kafiri acha kupindisha ulimi mnafki mkubwa wewe unaropokwa tu hujui chochote
@abdulbari5573
Жыл бұрын
Huyo ni borana not somali
@Baromoz
Жыл бұрын
I want to ask all muslims a question y is it that mohamed has never appeared to them and has never performed any miracle and Jesus appears to both christian n muslims n He still performes many miracles to all of us.Muslims i pray that the lord almighty to reveal the truth to you koz Jesus is lord n saviour n without Him theres no salvation.u better ask Allah the truth abt ur religion
@HassanAli-lb6wy
Жыл бұрын
Msanii sana huyu ......LA IORAA FI DDIN
@amyassyassin7909
11 ай бұрын
Huyu jamaa muongo wa kimataifa, anapotosha watu
@ngendakumanalewis1472
10 ай бұрын
Hata mpinge kiasi Gani, YESU Atahubiriwa tu
@zuberkasim7150
Жыл бұрын
Njàa mbaya
@abdulbari5573
Жыл бұрын
Murtad towa kanzu
@zawadilutufyo8771
Жыл бұрын
Kanzu ni vazi halina dini broo
@irenekaluse3213
Жыл бұрын
Munauelewa mdogo sana nyie watu knzu ndio nn c gauni km magauni mengine tu
@dani72130
Жыл бұрын
@@irenekaluse3213 hawa jamaa wakiambiwa wana ibada za sananmu wanakataa, kanzu sio dini ni vazi la kiarabu, na vazi la mashariki ya kati, ni vazi la utamaduni wa mashariki ya kati, israel, urabuni na asia. sio vazi la dini, uislam ni utamaduni wa kiarabu . utajiuliza vp mtu akivaa kanzu ni muislam, hapana, hata padre, mchungaji , winjilist wanavaa kanzu, je ni waislam?
@majondejohali5259
Жыл бұрын
Wapige pesa mafala hao
@florenceronoh2904
10 ай бұрын
This is the true grace of God
@issamanirakiza-rx6dl
Жыл бұрын
Nakushangaa sana kwa kuchukua njia yaupotovu haliyakuwa unajua. Hapo unasikia raha ukisema maneno hayo nakushangiliwa nawatu munaochangia upotovu, lakini ujue mwisho utakuwa mbaya, eti umeokoka kwakuwa hivi uko katika watu wenye wako na mke mmoja. Je wewe nimchaMungu kushinda hata Nabii wa Mungu Ibrahim na Dawuudi na Sulayman ambao walikuwa na wake zaidi ya mmoja? Unataka imani au unataka dunia? Mwenyezi mungu anasema katika sura ya 11 aya ya 15_16 (Wale wanaotaka maisha ya dunia tutawalipa vitendo vyao kamili humo, na wao humo hawatopunjwa. Hao niwale ambao hawatakuwa nakitu akhera isipokuwa moto, yameharibika waliotenda humo na yamepotea bure yale waliokuwa wakiyatenda.) Sasa wewe unachotaka utapata lakini ujue kwamba havitakusaidia chochote isipokuwa kupata mwisho mubaya wa kuondoka ukiwa kafiri ikiwa hautatubia kwa Mwenyezi Mungu kwa uliyoyasema ukitaka kusifiwa na wanadamu au kupatata chochote kutoka kwao ukaamua kukufuru. Hiyo ndiyo nasaha yangu kwako
@neemamarko176
Жыл бұрын
Yesu anakupenda karibu kwa Yesu Kristo wa Nazareth
@agnesmangale3163
Жыл бұрын
KARIBU KWA YESU KRISTO MWOKOZI WA ULIMWENGU...
@Baromoz
Жыл бұрын
May Jesus reveal Himself to you brother.Akuna ata siku moja mohamed amewai tokea Muslims.ukitaka kujua ukweli ongea ns unlike mungu ukweli utajua Jesus Is the only way the truth n the life
@bernadethajoseph
10 ай бұрын
@@Baromoz .
@EmmanuelMenza-ek8rk
7 ай бұрын
Kuoa mke mmoja au zaidi inatafautishwa na agano la kale na agano jipya...
@alzawahirabdallah2299
Жыл бұрын
Kama kuna kafiri yeyote anaye sema ukristo dini anipe andiko ukristo ni dini
@georgekimasaofficial1629
Жыл бұрын
Hiyo maada siyo mda wake msingi ni haji kutoka kwenye DINi ya Nabii wa uongo mwenye dhambi aliyekufa akiwa na dhambi na kila siku mnamuombea 🤣🤣
@alzawahirabdallah2299
Жыл бұрын
@@georgekimasaofficial1629 asante kwa kujijua km huna dini na haitatokea ukiristo kuwa dini mungu hadanganyi wala hasemi uwongo
@alzawahirabdallah2299
Жыл бұрын
@George Kimasa Official manabi wote walikuwa binaadamu na binaadamu hajakamilika hukosea husahau husikia njaa na huenda haja km yesu alivyo sikia njaa Akaenda kuomba samaki na ilivyo fika mda wakamtahiri govi
@yakobomkristo872
2 ай бұрын
@alzawahirabdallah2299 Hakuna Cha Manabii Wote Wala Nini, Wewe Unatakiwa Umtetee Mtume Wako Kwamba Kwanini Mnamswalia Kila Siku? Hiyo Midhambi Yake Haiishi Tu?!
@alzawahirabdallah2299
2 ай бұрын
@@yakobomkristo872 Mathayo 12 7 Lakini kama mngalijua maana yake maneno haya, Nataka rehema, wala si sadaka, msingaliwalaumu wasio na hatia. Yesu huyo anataka rehem ndio ile unayo ona rehma na amani iwe juu yake tatizo lenu makafiri hamsomi biblia yenu yesu mwenyewe anataka muswalie mumuombe remember
@rashidsalim3272
Жыл бұрын
Huyu jamaa mjinga sana na tapeli, unawatajia watu Sheikh Abdulkader Jailan na hata hawajamsikia wala hawamjui. Vua kangu hio na kilemba muongo mkubwa....
@irenekaluse3213
Жыл бұрын
Kwani ww ndo umemnunulia?c vazi km vazi jingine
@alzawahirabdallah2299
Жыл бұрын
@@irenekaluse3213 we dini gani mwenzangu
@georgekimasaofficial1629
Жыл бұрын
Waislam nyie kilakitu ni kupinga tu coz mnajisikia hovyo kuumbuliwa na Waislam wenzenu walio shitukia Iman yenu ya uongo.
@alzawahirabdallah2299
Жыл бұрын
@@georgekimasaofficial1629 sisi tunaishahidi wa maandiko hatupingi bila kujua ukitudanganya tutakwambia unatudanganya wewe nimekuuliza unao ushahidi katika biblia yako ukristo ni dini umeshindwa kujibu kwa sababu ukiristo sio dini
@alzawahirabdallah2299
Жыл бұрын
@@georgekimasaofficial1629 nipe andiko linalo seme ukristo dini ili nami niwe mkristo nijue kama ukristo dini kuwa muislamu ndugi yangu ukristo sio dini ni biashara tu ya wachungaji
@meshackmasehe5634
Жыл бұрын
Good seminar but pastor don't cover your head before God . please 🙏
@trophywilson7211
Жыл бұрын
Bado ni muislamu,Anaruhusiwa
@simioneliufoo4517
Жыл бұрын
@@trophywilson7211 Bado ni muislamu kivipi ndugu
@simioneliufoo4517
Жыл бұрын
May I know how is that wrong please.
@abdumgungulo715
Жыл бұрын
Haawezi kuwauislammu huyu
@moseschege4491
Жыл бұрын
Am born again Christian but can you kindly explain why,,
@sumbamkali8435
Жыл бұрын
Acha uongo toa andiko ukristo ni dini Kwa bibilia utaenda aje Kwa dini ata bibilia ijataja Acha upuzi ww murtad
@yusafbayu7016
Жыл бұрын
Nina swali kwa nin hata mki sema wame okoka mavazi ya kiislam mpaka Kanisani kwani ange vaa suti msinge amini kama ali kuwa muisalam
@gadielshedaffa3333
Жыл бұрын
Mavazi ni utambulisho tu wa nje!
@saiddester9819
Жыл бұрын
mtoto kutoka kenya akasema samahani big lai kenya akuna kitu kama samahani lies
@hassanadam3007
Жыл бұрын
Wacha uwongo unchekesha sana
@dani72130
Жыл бұрын
utawaona tu wakisema huyu ni muongo kwa sababu kule wanajenga na kutengeza fitnah sana, halafu utawasikia wakisema wanamjua Yesu Kristo zaidi ya Wakristo wenyewe.
@abuuhafsin2224
Жыл бұрын
Unaweza kuwa muislam na ukawa Bado Mjinga, na Unaweza kuwa Mkristo na Bado ukawa Mjinga vile vile. Kama huyu kwenye Uislam Bado ni Mjinga sana, hicho kiarabu sio hoja, Uislam ni Nuru, dini ambayo imefundisha KILA KITU katika aspect ya maisha ya mwanadamu hata kukidhi haja haikuachwa. Na Quran ndio kitabu pekee huwezi tia mkono wako, Lau utabadili walau herufi au hata alama ,mtoto mdogo kabisa wa miaka9 atakwambia hapa sio sawa, pamebadilishwa. Wakristo ndio mnahangaika kuuongelea Uislam ,waislam wako wanahangaika kutafuta radhi za Allah. Nyinyi endeleeni kutapeliwa, sisi Ujinga Ujinga kama huu mara sijui nimefika mbinguni, mara nipaa Nina mbaya, mara nimemuona Mungu ,huu Ujinga huu hauna nafasi. Hizo ndoto za abunuasi bakini nazo nyinyi.
@dani72130
Жыл бұрын
kama wewe ni muislam lakini ni maamuma. subuhannalah!
@mosesmsimbe5756
Жыл бұрын
Yesu nakupenda ndugu
@ZwahirShaban
23 күн бұрын
Huyo ni qaafir tuu allah humlaani na. Ujanja wake ndio upuuzi wake naata enda motoni akifa na hiyo hali hakika hakuna dini inaye mjua yesu zaidi ya uislam wala uislam hauwakatai manabiii bali unakataa uongo kama huo wa adm haji
Пікірлер: 280