Story yaweza kua kweli kabisa ila huyu jamaa kuna vitu anazidisha badala ya 1 anaweka 5...usimuliaji tu unaonesha
@hassanm.5291
2 ай бұрын
Aibu
@acimamalingano8556
2 жыл бұрын
Pamoja saana Mr everything 💪 I
@Patience.67
2 жыл бұрын
Amen
@ledyamatar3527
2 жыл бұрын
Story nzuri sana
@heritier5119
2 жыл бұрын
Ukipenda wanawake ni lazima uwe mwizi ofisini au mtaani
@joycemuhoja4729
3 ай бұрын
Alta Wine naziuza dukani kwangu Pamoja Sana
@annkim2690
2 жыл бұрын
Mmm Yani huyo babako na mpa pongezi kweli Yani alikuvumilia kweli
@annkim2690
2 жыл бұрын
Maskini Bibi wawatu amejiwekea pesa zake huku anaibiwa nahana nguvu zakutafuta zingine
@latifajabil1707
2 жыл бұрын
🤝🙏
@Patience.67
2 жыл бұрын
Enyewe mungu ni mzuri kama alikuokoa waaa mungu ni mkuu
@josephmusagasa5566
2 жыл бұрын
Huyu jamaa ni noma,ngono na waumini wote halafu madhabahuni,dah!
@annkim2690
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣Mungu nisamehe Kwa kucheka
@alhaddajmohammed4768
2 жыл бұрын
Inabidi awaombe msamaha wote alowakosea kisha amuombe msamaha Mungu na atubu kikwelikweli na amtafute Mungu Mola (Allah) Muumba wa kweli na haki; amsome, muaelewe na spate kumuabudu. Hapo alipo Shetani bado anamchezea kwa kum'badilishia mbinu za kumpoteza lakini yupo palepale tu. Ausome Uislamu kwa lengo la kujuwa imaan/Dini uya kweli na haki sio kwa malengo ya kubeza/kupinga au kuamini tu bila ya utafiti.
@shizaarfred4059
2 жыл бұрын
Mshije wetu hongera kwa kazi but nikuulize ile ndoa ulitangaza kufunga kipindi kile cha cha Danel mbona hata hauna Pete au ndo tuko hapa tuna kuzoom tu hapa
@annkim2690
2 жыл бұрын
Sialieleza yalio mkuta hapa hapa ama ulikua huna simu
@@annkim2690 aki naona hapa palinipita aiseeeeeeeeeee duh !
@stejasatv7349
2 жыл бұрын
Noma sana hahaha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 aaaahhhhha
@johnshirima6176
2 жыл бұрын
Wa piliii leo
@edithaeugeni9695
2 жыл бұрын
Mhii wacha nisikilize leo nimechelewa lakini syo sana
@leahg2549
3 ай бұрын
Mbona sauti inafanana na yule mchungaji aliye escape kuingizwa kwenye ufrimasoni?
@leahg2549
3 ай бұрын
Ni yeye philipo
@gadafimasoud310
Жыл бұрын
Mayo mayo ...iwe niwe mushaija gendelela bojo kutela katerelo ,sasa hezi otele kimya kimya waulila otabileka sasa hezi mbanula muno
@janetchinga9357
2 жыл бұрын
Amen amen mungu nimwema
@annkim2690
2 жыл бұрын
Jamani khan umempeleka wapi
@bakari-si1pw
2 жыл бұрын
Atari sana 😳
@milley7185
2 жыл бұрын
Mimi ninao ushuhuda wa hao watumishi wakubwa Sana jinsi wanavyotumia makali ya watu
@queeejsamwel176
Жыл бұрын
Makali apo mm sjaelewa vizur
@msolamasolwa7550
2 жыл бұрын
Hakupaswa kuficha sura inampasa afanye Toba ya kwer
@godlovem7139
2 жыл бұрын
unaijua Toba wewe Toba sio kuonesha sura Toba ni moyoni mwako
@kiehbhzh7044
2 жыл бұрын
Duh p0le sn maana roho ya uzinzi usipo ikemea utapata shida sn
@alhaddajmohammed4768
2 жыл бұрын
@@godlovem7139 Toba ya kweli kwanza awatake msamaha wote alowakosea na kisha amtake msamaha Mungu na aweke azma/aazimie kuwa hatorudia tena hayo maasi/atubu. Sio touba za kiujanjaujanja za kujitangaza mitandaoni wakti kuna watu/nafsi amezikosea !
@charlesb.mwaipeta8415
2 жыл бұрын
MR everything unapretend hujui umiseta na umishumta?
@marthangajilo7234
2 жыл бұрын
Weka sura tukuone
@cholokhalian7148
2 жыл бұрын
Lohog jamaa alizichunga
@alexkalonga5323
2 жыл бұрын
Mbona kama Masanja
@suzanadeimamo7726
2 жыл бұрын
Dini zote miyeyusho ndg zangu
@salma-fc4xc
2 жыл бұрын
Sio kweli dini sio mbaya ubaya tunao sisi walimwengu hakuna Dini inayo kufundisha ufanye matendo mabaya.
@kiehbhzh7044
2 жыл бұрын
Kitambo sn na davista🤳
@Mazoea
2 жыл бұрын
Dad's Suzana upo sawa.Dini sio nzuri.na awa wachungaji wanafanya mapenzi na waumini wao ni kafala iyo inatolewa
@alhaddajmohammed4768
2 жыл бұрын
Sio Dini zote. Usiseme Dini zote bila ya kuwa ushahidi/bila kufanya utafiti ! Hebu Usome/utafiti Uislamu kama utasikia/utayaona hayo !
@alhaddajmohammed4768
2 жыл бұрын
@@Mazoea Sio Dini zote, kwanza soma/tafiti na Dini nyengine. Kuna mambo/tabia za kishetani zimeingizwa ktk imaan/Dini zingine za Uwongo ndo hufanyika hayo tunayoyasikia.
@abdallahcharif8252
2 жыл бұрын
Story zury kama na watch porno
@nawandafamito500
2 жыл бұрын
Kkkkkk acha uhuni, MR Abdallah.
@mamananga2849
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@janengaga2928
Жыл бұрын
Mungu akusamehe.yaan wewe🥺
@gadafimasoud310
Жыл бұрын
Shumalamu...owo muka....okagira mayo kutera abakazi Bangi ...keep it up
Пікірлер: 52