Asante Sana kaka davistar kwakutukumbuka tulikua tumekumiss Sana sisi shabiki zako umetuletea story mpya🎉chukua maua yako mungu akubariki uendele kutupa story nzuri za kutufundisha🌹❤️
@DavistarMataMediaDM
Ай бұрын
Amen ahsante tupo pamoja
@sophiebanga9533
Ай бұрын
Welcome back umenona saana mtu makini
@jumayusuph9609
Ай бұрын
@@DavistarMataMediaDMasate sana tumekumic kaka mpka tumekonda ukipotea uwe unatuambia tusiwe na wasi wasi
@josephmulli37
Ай бұрын
@@DavistarMataMediaDM28:04
@maureenmwende3515
29 күн бұрын
Davister hii Chanel izidi kupokewa na wengi ikona mafudisho mazuri
@saidabdalla8996
Ай бұрын
Mzee wa kazi anaonekana kuna mambo anapitia ambayo magumu sana kwasababu na hisi tangu anze ichi kipindi kunavitu vingi vibaya anavijuwa na pia na watu wanao fanya ivyo vitu vibaya pia anawajuwa kwahiyo watu wana muinda sana tumombeeni wadau
@LamaribamJumbe
15 күн бұрын
Upo sahihi ndugu
@osmundmtavangu
Ай бұрын
Davista kanyong'onyea sana. I fell something bad had been going through him. Mungu akutie nguvu tuko pamoja.
@dianawilliam6443
13 күн бұрын
Hayupo sawa kbs kwa muonekano tuu
@edithaeugeni9695
Ай бұрын
Karibu sana Mtu makini ulitugaya ila ulipo tuacha hatujasogea tumekusubri kwa uaminifu mkubwa❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@nalandayusuf641
Ай бұрын
karibu sana Davimastar kazi zako tuli kuwa tumesha zi kumbuka
@mwami_the_don_
Ай бұрын
Jamani tumchangieni davista tujiongeze kaaah mpak aseme wakat katutoa mbal na katoa sana matongo tongo juu ya hii dunia
@mwakilamwaki1718
Ай бұрын
Awake namba tumsapoti davista ata elfu 5 to kwa kazi nzuri anayo fanya
@paustephano
Ай бұрын
Tunaanzia wap Sasa?
@paustephano
Ай бұрын
Mnaonaje tukatengeneza group whatsup na tutume humu link anataka atajiunga na mwenyew davista awepo then tuanze michango hapo
Пікірлер: 91