Wakwanza hapa munipe mauwa yanguu ❤napenda sana simulizi yasauti hakuna kipindi chochote mutatowa niyache kukifatiliya
@OnesmoEphrata
4 күн бұрын
Napenda sana huu ushindani sjui Huwa nachelewa wap had NAMI nakosa no1 aloooh INABIDI nijitukane kwanza pumbavu zangu Kila siku nakosa no1 👍👍👍👍
@chachajulius4481
5 ай бұрын
Safi Sana sky unazidi kwenda vailo ongeza bidii zaidi
@Joshuajereman
5 ай бұрын
Sky uko very smart ok take %100 nawapa ninyiii sns
@RamadhanRamdhan-i2c
5 ай бұрын
Iran upo vizuri huyo myaudi atafute pakwenda kuishi hapo alikaribishwa tuu
@KilimbikeHaji-iy2fm
5 ай бұрын
Ewe mwenyezi mungu azidi kuwangamiza waiziraili na washilika waoo pamoja sana kila aduwi waisilam amiiiiiiiiin yarrabana takabali duwaaa zetu
@MuhamadJuma-l8h
9 күн бұрын
Kwa huruma za Wapalestina waliwakaribisha kumbe ni maadui zao masikini Mungu wape uvumilivu Wapalestina kwenye nchi yao wanateseka
@jumamussantuiche
5 ай бұрын
Irani super power
@tommorara8031
5 ай бұрын
wewe hivi unaelewa maana ya superpower
@fatumambaruku963
5 ай бұрын
Jamn😂😂😂@@tommorara8031
@GeraldElias-s7j
2 күн бұрын
@@tommorara8031aelewe wapi ushabiki plus udin ndo vimemjaa😅😅😅😅
@geoufo2858
5 ай бұрын
Nimefrah Sana kuona iinchi ya kiislam Ina tecnolojia kubwa namna hii
@godfreypaul251
5 ай бұрын
Huu udini ni tatizo kubwa sana ..mara uislam mara ukristo ni ujinga mtupu ndo maana vita haviishi
@homeboybeyondtheborders4935
5 ай бұрын
Mimi ni muislam ila Saudi Arabia ndo kibaraka mkubwa wa unyonyaji,nchi zinazojiita za kiislam ndo nchi katili zaidi.Tofautisha uislam na nchi zenye waislam,Iran ni sect ya uislam baada ya mapinduzi yani ni nchi ambayo inaingozwa na "Shia" tukija kwenye "Sunni"Iran sio nchi ya kiislam. Jifunzi au soma kabla hujatia hoja,kwenye mambo makini kua makini.
@YOUSUFHUGUGU
5 ай бұрын
@@homeboybeyondtheborders4935hujielew ww
@wechemakambo2182
5 ай бұрын
Iran ni Waislamu mashia wanaoruhusu Wanawake kulawitiwa.
@georgekimasaofficial1629
10 күн бұрын
Hata iweje mwarabu hataweza kumzidi mzungu 😂😂😂😂 pia subiri Israel iamuwe kupiga ndiyo mtaelewa huu mfumo uko sawa au hauko sawa.
@PatrickKagiraneza-ok8cw
5 ай бұрын
Habari nzuri kwa irane.ila nami nafurahiya hiyo kujitaidi ya techilogies ya iran...
@mkande
5 ай бұрын
Hii nihatari Israel watajuta
@sarahgaula2220
4 ай бұрын
Nani anajuta sasa?
@IshipalemyPasko
9 күн бұрын
@@sarahgaula2220wewe shoga utajuta
@TeacherBoda
5 ай бұрын
Sisi bhana huku kwetu tunalindwa na mungu
@imamuhamisi4421
5 ай бұрын
😂sure
@MariaDaniel-qj1eu
5 ай бұрын
😂😂kwakweli
@YOUSUFHUGUGU
5 ай бұрын
Ulinzi wa Mungu kwa waja wake ni Bora na hakuna wa kuufikia ndiyomana tuma amani zaid yao. Tujifunze kumshukuru MWENYEZI MUNGU MTUKUFU kwa neema kubwa ya maisha yenye amani na furaha anayotuj
@YOUSUFHUGUGU
5 ай бұрын
Anayotujalia katika nchi zetu
@AbdallahHassan-vq9wq
Ай бұрын
safi sana Iran kama ulusi mpige uyo myaudi
@archbordygodfrey2614
5 ай бұрын
Iran ndo nchi yenye wanasanyansi bora zaidi duniani.Afrika tumefumbwa snaa na washirika wetu wa ulaya na Marekani,Iran ni miongoni mwa nchi 5 hatari sana ktk Medani za kivita.Yaani Iran inaingia top 5 kwa nchi zenye uwezo mkubwa wa kivita duniani.
@MustafaChinanda
5 ай бұрын
N🎉🎉🎉 🎉🎉 🎉 i
@tinejuxfrancis729
5 ай бұрын
Haiwezi kua ya 5 Kaka.. namba 1 marekani 2 Russia Ila Kati ya marekani na Russia hapo sijajua kwa sasa Nani anakamata namba moja 3. China 4. Korea kaskazini 5. France 6. England 7. Germany ko huku na kuendelea ndo anaweza ingia Iran
@IshipalemyPasko
9 күн бұрын
@@tinejuxfrancis729siku nyingi Russia ni namba moja. SEMA marekani ana bajeti kubwa sana kwa sbb kambi anazo nyingi sana duniani kwa hio ni lazima azihudumie
@mussawaziri4702
5 ай бұрын
Huyu mwamba yupo vizuri zaidi kwenye kuelezea mada, hana michambo😅😅😅
@hamzermahundu6371
5 ай бұрын
😢❤
@hamywaya3732
5 ай бұрын
🔥🔥
@nakalikyumile3234
5 ай бұрын
Wenzetu wako mbele sana,sie huku muda wote "mama,mama aendelee,mama,mara ufisadi,wenzetu kila siku wanafanya vitu vya maana,dah sie ni hovyo sana
@MuasitiAboBakri-ew5mu
5 ай бұрын
Yani hata silaha hatuna
@IshipalemyPasko
9 күн бұрын
@@MuasitiAboBakri-ew5muachana na siraha maji umeme barabara na matibabu ni shida
@idanysedrc1200
12 күн бұрын
Mrusi yuko nyuma ya hili na mfumo huu unayeyusha kila kitu!!
@hashimjumahassani5268
9 күн бұрын
iran amwekeza kwenye viwanda vya silaha tangu 1979...urusi anatumia drone alizouziw na Iran ukrain na Iran ndo nchi yenye best drone dunian...Iran Yuko vzr kaka, Israel mwenyewe anamjua
@kingcole60
5 ай бұрын
Sawa endeleeni kumjaza yetu macho
@yusuphswai6851
5 ай бұрын
Ok tuongelee kwetu na sisi
@chamyfx9377
5 ай бұрын
Hayaaaaa
@chapuztv3040
5 ай бұрын
.l
@Supershopdubai-ck8td
5 ай бұрын
From Bujumbura to ponanyi
@King_Of_Everything
5 ай бұрын
👍👊✌️.
@MuasitiAboBakri-ew5mu
5 ай бұрын
Jamani sis afrika hatuna silaha yeyote
@KassimAlly-xp4dz
5 ай бұрын
Silaha ye2 sisi ni Mangi Kimambi anatosha
@AhmedAli-x8w9e
5 ай бұрын
Sns Sina mpya
@frankrowland2884
5 ай бұрын
Km 75 ni sawa na miles 46.6 embu rekebisha hapo
@sirpaza8513
6 күн бұрын
Wanapiga mkwara hamna kitu.
@omarylukindo5306
3 күн бұрын
Marekan mwenyew anamuhofia Iran,maana nyuma ya Iran Kuna urusi na Korea kusini.hivyo marekan anashindwa jinsi ya kumsadia Israeli kuipiga Iran maana anajua Iran washirika wake ni wababe pia
@JeannetteManirambona-o6m
5 ай бұрын
Israel ngoja tuone sasa
@MfalancaMomade
5 ай бұрын
Poa sana
@saidymbagalla6622
5 ай бұрын
We mzee Acha uongo km75 zinakuaje mile200? Mile ni kubwa kuliko km
@paschalmusa1721
9 күн бұрын
hujaelewa hajamanisha hvyo sikiliza vzr.
@tsitingilembombo9995
5 ай бұрын
Israel ni taifa la Mungu, hao Iran wataangamia.
@josepheriah5977
5 ай бұрын
Umelipuliwa
@anuarymyekakimolo4785
5 ай бұрын
Convert ya Km Mile haiku ivo mkuuKm 75 haiwez kuw saw na mail 200 duh umetupiga hapo Mile zilitakiwa zines chin ya 75 bana
@rajabhamis3494
5 ай бұрын
Wewe kwani mjeda rudi Tz
@imamuhamisi4421
5 ай бұрын
Zinatakiw ziwe 46 miles
@paschalmusa1721
9 күн бұрын
hakumaansha hvyo msikilize vzr utaelewa
@tsitingilembombo9995
12 күн бұрын
Huwezi kupambana na Israel
@IshipalemyPasko
9 күн бұрын
Nyakati zimeshafika na hata Uwe mbabe vipi IPO ck utapigika tu
@jafaryahmad4224
4 күн бұрын
ISRAEL
@OnesmoEphrata
4 күн бұрын
Mosad wata uzima wakati wa mashambulizi ya IDF
@mbogelabairo4722
5 ай бұрын
Naitaji kuuliza hii mifumo ya kuzuia inapokuwa imetoa kombola kwenda kuzuia mashambulizi ya adui inazuia angazi yan kulipuka? Sasa baada ya kulipuka yake makombola siyanashuka chin ya Ardhini kwamba ayalete madhara kama chuma chakavu baada ya kulipuliwa kudongokea watu au makazi?
@MuasitiAboBakri-ew5mu
5 ай бұрын
Kombola linayeyushwa juu angani
@EzekiaMyila
5 ай бұрын
Ulinzi wa uongo kaeni kimya ushabiki bila kujitasimini amepigwa amili jeshi haminei watu nikushangilia achen ujinga wapingwa iran watanza wameonewa acheni utani hakuna chochote
@abdalahgunda1319
5 ай бұрын
Iran airbase yake zipo chini ya arizi ktk milima ndioko lran lnayokoficha ndege zake za kivita
@jamilaathumani5481
5 ай бұрын
Sio teknolojia bali Iyo inaitwa uchawi wa kidhungu
@suleim505
5 ай бұрын
😳
@Muddy11mudMuddy
10 күн бұрын
Wewe nimzushi nanimuongo na chaneli yako
@HassanBashir-qn5jh
5 ай бұрын
Dunia ime badilika wale wanajuita police wa Dunia mambo yanaenda ku chenche
@homeboybeyondtheborders4935
5 ай бұрын
Iran sio waarabu hakuna nchi ya kiarabu zote ni wanafki,iran ni waajemi(Persians).wana historia ya elimu duniani kuna Dola iliitwa "Mesapotamia" teknologia nyingi sana na hesabu zilianzia Iran,kwa hiyo kahiyo kama ilivyo Israel ambayo sio waarabu hata Iran sio waarabu vilevile,waarabu kwa mashariki ya kati hawana historia ya tekinologia.
@NoelNjementi
12 күн бұрын
Waongo irani ngojea wangojee kichapo kutoka kwa wajukuu wa Ibrahim
@MuhamadJuma-l8h
9 күн бұрын
Hapana hawa sio wale waisraeli wa enzi zile,hawa ni wajerumani walioletwa na umoja wa mataifa baada ya holocaust mauaji ya waisraeli yaliyo fanya Adolph Hitler
@kwisa4899
5 ай бұрын
let wait and see maana mimi ninacho jua IRAN analeta siasa
@EmmyRowland-ir5gh
5 ай бұрын
True kabisa Iran inadanganywa na urusi 😅
@kwisa4899
5 ай бұрын
@@EmmyRowland-ir5gh USA kachezeshwa na USA ili apunguze kasi ya kuuza sirahaa URUSI na ndio maana kambi za iran zimepigwa na Israel kwa kushirikiana na USA ,na USA kaongeza Budget kwa Ukraine huu mchezo autaki hasira
@AlexGwiha
11 күн бұрын
Ila nimeamin afric tuna akir ndogo sana. Kwahiyo hapo ninyi munaona tayar iran amepata ubav wa kusimama na islael.
@shafiismaily9223
4 күн бұрын
Ungesema ubavu wa kusimama USA!!
@BeatusKLeon
5 ай бұрын
Mwaka 1991 tulisikia Iraq ikisifiwa hivihivi na makombora yake ya scud, kwamba Iraq ina uwezo mkubwa na askari wake Republican Guards eti walikuwa hodari kuliko jeshi lolote. Lakini walipoingia medani tulipata habari zote za kilichotokea, wakaufyata wakaondoka Kuwait. Mwaka 2003 Saddam akaja tena na propaganda zake tukasikia sifa nyingi za jeshi lake na silaha, lakini pale ndio akazimishwa kabisa. Vita ni mbaya. Ni bora wazungumze wayamalize. Lakini mazungumzo yakishindikana hakuna kiasi cha sifa kinachowezesha kushinda vita, meenye nguvu atashinda yatabakia madhara.
@cosmasjoshua1973
5 ай бұрын
Sasa nchi moja inapigana na marekani na ulaya nzima we kuweza?Iraq lazima ishindwe .Silaha kubwa ya wazungu vitani wanaungana
@iroohassan8361
5 ай бұрын
Waiziraely watengwe Dunia nzima kw ukatily wanavyofa nya
@shabanimgaya5621
5 ай бұрын
Awa jamaa ni hatar ila ngoja tuone matukio yajayo...
@murtalla2826
5 ай бұрын
Tanzania makomando wetu wanabeba kilo 70😅😅😅
@HaulSidney
5 ай бұрын
Be blessed Israel
@MansorJr-z3i
5 ай бұрын
Hahahah
@AliNassor-qt6fm
5 ай бұрын
😂😂😂kitawaramba taifa teule mtaacha kuua raia
@charlesboniphace2249
5 ай бұрын
Mnagundua kitu ambacho wenzenu washavuka iyo level
@peteremmanuelymatwimatwiem3258
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@RobertBitambaOfficial
12 күн бұрын
Israel wamesha rusha
@DafiMohamed-dz8xk
5 ай бұрын
Kwani Iran hana technology? Sisi waafrika tumeanishwa kila kitu ni mzungu ndio maana mnatia shaka kwa Iran lkn Iran ipo juu sana kwa technology kwa sababu wao hawana propaganda za media kama magharibi
@BakariZaid
5 ай бұрын
Bro we unaelewa vizuri mjinga ni mjinga they don't understand we ..Iran ni moto bwana
@DafiMohamed-dz8xk
5 ай бұрын
@@BakariZaid unajua bro mambo mengi sisi tunaangalia juu juu tu kumbuka Iran wanatengeneza hata drones hatari sana duniani lkn hawasemi...siku hizi uongo umebadilika kuwa ukweli lkn ukweli kuwa uongo...Lkn kwa mtu mwenye akili anaona nani ni mkweli na nani ni muongo kila siku propaganda heti Israel ina mifumo ya kivita kuliko yote duniani kwa kuwa media zao ndio zinatusemea bila hata uhakika na pia tunaaminishwa sisi ni maskini wakati sio kweli mwisho wao ndio huo sasa
@kkhalifairumba2932
5 ай бұрын
Ww unaona hao wa iran wanaongeaga uwongo
@Michael-nl5nq
5 ай бұрын
Hakuna mfumo hapo ni.mabpmba tu.
@MOSESIMCHUNGUZI
5 ай бұрын
Hakuna mfumo Bora hapa duniani zaidi ya iron dome,acheni upuuzi
@ZeitunAbdi-jk2tw
5 ай бұрын
haifiki Kwa patriot na s.400
@peteremmanuelymatwimatwiem3258
5 ай бұрын
😂😂😂😂Myahudi wew na kuona
@SaidKawela-qy5wv
5 ай бұрын
Wewe umelala endelea kulala hivohivo
@AliNassor-qt6fm
5 ай бұрын
Ohooo upo Dunia gani ww ,
@mohamedimachuru9465
5 ай бұрын
Hizo ni propaganda
@BarakaAkech-r9q
5 ай бұрын
Uongo tupu juzi ndo kapigua na israeli na awakijinu na walisema wakipigua watajibu kimya kimezidi
@yusuphmashallah3732
5 ай бұрын
Jifunze kuandika ndo uje tena kwa ground
@dannywillson5874
5 ай бұрын
Sio kaboresha kapewa na urusi
@rajabhamis3494
5 ай бұрын
Na China 🇨🇳 mkuu usisahau
@johannesssamsonambogo4125
5 ай бұрын
IRAN AMNA KITU APO, NA URUSI SHOGA YAKE JUZI WAPEGWA BOMU KWENYE MAFUTA NA MFUMO UPO, WENYEWE WAKAE KWA KUTULIA KIPIGO KIPO PALE PALE
@MachinjaShabani-c2f
5 ай бұрын
Kajifunze kuandika vizuri kwanza
@johannesssamsonambogo4125
5 ай бұрын
@@MachinjaShabani-c2f Nilichokiabdika kina maana sana ndomaana umekosa cha kujibu, Ukaingia kwenye makosa ya kuandika, Sawa nitajifunza ila ukweli utabakia ivo uwezi kusema unauwezo wa vita na ujawai kupigana vita, Ndo kinampoza Iran Baba yenu Wa Duniani
@California9451
5 ай бұрын
Hauna maajabu
@Zenny89
5 ай бұрын
Wabongo ni mashabiki maandazi kwenye hizi comments 😆😆.. na sisi Tanzania tuna mfumo gani??? Sababu tunachoka kushangaa ya watu.
@JumaLulanje-i2o
5 ай бұрын
Sumbawanga watu wanalindwa nandumba
@tolbartkishamba3772
5 ай бұрын
Laminitis nanyie mnatudanganya sana katika Musiala ya kijeshi ni arepa I pekeyake ndo imebobea na nibajeti kubwa sana tusidanganyane wewe f35 umesikia lini imetumika katika mashambulizi maana ni Ndebele amblyopia haina Munda mrefu
@noelnjementi8511
5 ай бұрын
Naurusi ilipo ingia kwenye mtego wakuiingia urken ndio nikajuwa ndio mwanzo namwisho waukreni akuna misheni yoyote ambayo uingereza ilishawai kuikomaria ikashindikana maurusi imeingia kwenye 18 zafree mason uingereza na kitoto chake marekani ufaransa maujerumani Sasa apo razima urusi isambaratike TU ngojea mtaone wenyew
@wolinet1
5 ай бұрын
Hamna kitu kama hicho
@nizarrama225
5 ай бұрын
unaishi dunia ya zamani sana, Dunia hiyo ilishapita haipo tena, huoni afrika wanavyowatimua wamagharibi ..? Israel kuua raia mpaka leo hii miezi 7 kashindwa kukomboa mateka..😅
@MuasitiAboBakri-ew5mu
5 ай бұрын
Unacheza na urusi wabaya kama jina lao wananyuklias hatari ya kuharibu dunia
@TygaBusiness
5 ай бұрын
WaIran bhn sas ilikuaje waka ingiliwa ile majuzi😅 wanambwembwe kinoma
@jumamussantuiche
5 ай бұрын
Aujulizi idf yani jeshi la israel kudanganya dunia wawao wakubwa vita miezi kazaa tu msaada.
@TygaBusiness
5 ай бұрын
@@jumamussantuiche wa Palestine wanapigwa na hakuna msada unahisi nikwanini hakuna ane saidia😂 watoto wanavyouliwa kule gaza
@annassuleiman4508
5 ай бұрын
Kwani mmarekani mwenyewe hakuwahi kuingiliwa na magorofa yakaporomoshwa? Urusi Mwenyewe hakuwahi kuingiliwa Nyumbani kwake? Huyo muisrael hajawahi kuingiliwa na kikundi kidogo cha Palestina bila kukamatwa hadi Leo? Wewe amini wanayosema acha mbwa mbwa mbwaa
@TygaBusiness
5 ай бұрын
@@annassuleiman4508 mbona km umepanik hivi hata huelewek unaongea nn😂
@adamkibiego779
5 күн бұрын
@raymrash
5 ай бұрын
Iran anajitekenya. Yeye kapiga makombora yake zaidi ya miatatu yakawa neutralized kwa asilimia 99. Israel kapiga drones hazizidi 10 na zimehit ground tena Karibu na maeneo nyeti ya nyukilia. Iran aliahidi angejibu mashambulizi haraka kama Israel angeshambulia. Sasa mpaka saivi kimya Irani amesanda 😂😂😂😂
@JamesJastin-bg1rx
5 ай бұрын
Wew itakuwa hujielewi
@raymrash
5 ай бұрын
@@JamesJastin-bg1rx tulia hivyo hivyo na kujielewa kwako
@JumaNgeni-ld5yb
5 ай бұрын
wasema 99% wameyazuia sasa unalipiza kisasi cha nini wakat hujapigwa
@raymrash
5 ай бұрын
@@JumaNgeni-ld5yb hela imetumika kuzuia hayo mabomu
@kingcole60
5 ай бұрын
@@JumaNgeni-ld5ybakikuosa mmalize ndo wanachokifanya Israel
@LastdayJesu4153
5 ай бұрын
Iran inanunua technology wkt Yaudi anatengeneza hapo ndo tofauti na utaona nani yupo na kujiamini na Yaudi amezuia na kupiga kirahisi na Iran amepata hasara haelewi ilivyokuwa
@sanoureyaliwadoakaroyo1696
5 ай бұрын
Ndugu Yngu Umesahau Ata Makombora Ya Iran Kwenda Israel Ukuona Israel Imepata Hasara Viwanja Ndege Za Kijeshi Na Miundo Mbinu Yake Pamoja Na Kambi Za Kijeshi Zinapata Hasara Kwa makombora Ya Iran Ama Ukuuona Wacha Kutetea Mahayahudi Ili Hali Mayahaudi Ni Mpinga Kiristo AMA Ujui😂😂😂 Na Ata Makombora Ya Israel Yakisababisha Hasara Hakuna Anae Bisha Ilo Japo Kila Mmoja Hakupata Hasara Kubwa Ni Hasara Ndogo Ndogo Tu
@ayoubali-x6n
5 ай бұрын
Iran silaha zake nyingi wanazalisha wenyewe tofauti na Israel fatilia vzr kwa umkini
@hansiselemani8025
5 ай бұрын
@@ayoubali-x6n Hajui sisi tunaona ana vinu vya kizalisha ila anafany Siri sana
@RamadhaniJumanne-ox3pr
5 ай бұрын
Ukiweza kukopi technology Kwa mtu yeyote jua una uwezo mkubwa sana. Note that
@salumabdallah2990
5 ай бұрын
Israil kama si marekani na jordan na uwengereza na ufaransa na ujerumani aaaa wewe acha kudanganya watu juzi hapa alisaidiwa na tena juzi iran alitowa stork ya zamani makombora ya kizamani 😂 na makombora matano yaliiingia
@noelnjementi8511
5 ай бұрын
Izi Irani cjui china nakorea izi kwamarekani nitaka takata TU cc hii urusi atuiachii ngo Tena ngo tukiisambaratisha izi punje punje nivitu vyakupangusa tu
@swalehemusa4546
5 ай бұрын
Sawa ngja nikuone ww na mashoga wenzako ila ni ivi the end of America and Israel and UN
@AlexChonanga
5 ай бұрын
Usijidanganye hata siku Moja urusi sio Libya Wala sio Iraq sawa wale ni hatar kwa kutengeneza silaha na pia ni wataalamu wa vita sio kama hao mashoga wenzio na wewe unaounga mkono uchoko
@EmmyRowland-ir5gh
5 ай бұрын
Iran ni drama tu unawasifu bure hawana lolote, vitisho huwa vingi all those ballistic missiles, 5 countries wali targets Israel na waka fails wtf 😒🤣🤣🤣
@omondiowino7875
5 ай бұрын
Iran kwa Israeli ni kama mkojo tu....
@zedekiahjulius6
5 ай бұрын
Hakuna mifumo ilio testiwa kama za israel
@salumabdallah2990
5 ай бұрын
Mifumo ya israil inatunguwa makombora local ya akina hamas😂
@kunuzaljannah506
5 ай бұрын
Kumalamamako wewe na Israel wako wauaji watoto kenge wewe
@zedekiahjulius6
5 ай бұрын
@@kunuzaljannah506 nenda shule kwanza mmejaa mashetani nyie na mtapigwa tu kazi kuandamana na kupiga kelele kama mijinga
@papamukulu1045
5 ай бұрын
Iran hamna kitu hapo izo na f 16 hazioni kitu
@Michael-nl5nq
5 ай бұрын
Iran kelele wataendelea kupigwa kila siku na magaidi wake F.35, F.22 NA B2 Haziweziangushwa ma makopo hayo kwani s 300 ya urusi imefeli hata s 400 haiweziangusha us na israel made f 35 Stealth bomber..
@DaudPius-e8y
5 ай бұрын
Hakuna kitu hapo mifumo yote ya ilani analetewa na urusi na ndiyo maana anakuwa jeuli mwache Irani ajitutumue ila siku akikung"utwa msianze kulalamika kuwa anaonewa nyie twendeni tu
Пікірлер: 162