Natokea Kenya na ni shabiki wa filamu za chumvinnyingi gang. Pokeeni rambirambi zangu na poleni sana ndugu zangu. Mungu awape uwezo na nguvu za kustahimili huu msiba. RIP Palaga 😭😭😢😢
@TerianNzembe
20 күн бұрын
Mwenyezi Mungu Aieke Roho Yake Pema pepon 😭😭😭😭
@user-ch7bn2nn2c
3 ай бұрын
Mm n mkenya lakini kifo cha palaga kimeniumiza mungu ailaze roho yake mahali pema 😢😢😢😭😭😭😭mungu awafariji wana chumvi nyingi ngang
@FrankJoseph-fb2rh
3 ай бұрын
Polen Sana chumvi nyingi gang nahuzunika sanaa
@AgnessImanuel
2 ай бұрын
Poleni sana jamani mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu
@user-mm4wu8cp8s
3 ай бұрын
Inauma sana Zaid mungu muekee mahar pema
@emmanuelbundala7456
19 күн бұрын
😢😢😢 iv nikweli mwamba rasi kaondoka au kama masiara
@Luciana-ed6jj
3 ай бұрын
Rest easy palaga😢
@puritysyombua-yc5zw
2 ай бұрын
Poleni sana wana familia pia team chumvi nyingi poleni sana Mungu awatie nguvu
@MarimGodifrey
2 ай бұрын
Pole sana palaga upumzike kwa amani pole chumvinyingi kwa kumpoteza mpendwa we2
@rashidgona1808
2 ай бұрын
Poleni sana wanafamilia ya chumvi gung inauma kumpoteza mtu wa karibu lakin ni njia ya kila mmoja fumbo ni kwamba nani atakaetangulia😭😭😭😭😭
@DicksonJofrey-vo6js
3 ай бұрын
Umetisha sana danny vee
@yusramwinjuma4721
3 ай бұрын
Nyie jaman daah innalilah waina illah rajiun
@user-cr8cs2qc8f
3 ай бұрын
Mi nmkenya ila kusema ukwl palaga aliniliza sana😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭.sikuamni kifo chake.ila ewe mwnyez mngu ilaze royo ya palaga mahl pema🙏🙏🙏🙏
@user-kn9is9cu2b
3 ай бұрын
Poleni sana
@ernestmwakalambo3938
3 ай бұрын
Rest in peace Palaga 😭😭
@user-pl6wk1vg1x
3 ай бұрын
Jamani kwani alikua anaumwa
@BensonPatrick-gu7vx
3 ай бұрын
Pumzika kwa amani
@AntonyMwongera
2 ай бұрын
Siamini kama palaga ameaga dunia aki, lakini pole sana madugu zangu,nna hofu sana.
@AminaKhalfani-ib7sh
Ай бұрын
Kama utan jaman
@user-sc7sn6ux2v
3 ай бұрын
rest easy palaga 💐💐
@Kengadimbenjecompany
3 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭
@saumucharo3239
3 ай бұрын
Kama ndoto palaga😭😭
@user-dp8un2uk2c
3 ай бұрын
Hatuta kusaau palaga pumzika kwa amani
@BenardAnthon
2 ай бұрын
Polen San chumvi nyingi gang daaah inauma sana sijaaamini kwakwel R I p
@user-wy7eu6hi8r
2 ай бұрын
Pole Sanaa wanachumvi nyingi gang😂😂😂😂😂
@ShabaniKamaliza
3 ай бұрын
Pumzika kwa Amani palaga
@vvipdnamahaja5901
3 ай бұрын
So pain
@BensonPatrick-gu7vx
3 ай бұрын
Amen
@IslamPeto-fd6wr
2 ай бұрын
Rest in peace bro pagala umetuumiza sanaa
@kharmxowrashid707
3 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭 inauma sana Palaga lala salama kaka
@EsterNgolo
2 ай бұрын
Feast in peas paraga
@theopisterjovent3483
2 ай бұрын
Rest in peace kaka Paraga😭😭😭😭 tulikupenda sana ila Mungu kakupenda zaidi😢 Pole sana team Chumvinying Gang
@user-ew2hm1qb7p
3 ай бұрын
😢😢😢
@yustahyera4288
3 ай бұрын
😢😢😢R.I.P PARAGA taonana Mungu ailaze pema peponi roho yako
@fatimafl8238
3 ай бұрын
Natokea kenya nilitaman kufika hata kwa mazishi yake palaga lkn siko karbu so naomba kama kunauwezekani wakuleta mazishi yake hap 🙏🙏🙏
Пікірлер: 58