Kikwete Mungu Akulinde sana. Yaani bashasha lako, haiba yako haifi katika nyoyo za watanzania. Ulikuwa Raisi wa kutegemewa. Tulikupenda, tunakupenda , tutakupenda. Muongoze vizuri Mama Samia atuvushe salama. Naamini anaweza na kwako hapatoharibika kitu
@swaburyrwamlaza1479
7 жыл бұрын
nilitamani kikwete kuwa rais wa kudumu ila basi tu Allah hakilipe kila Jema inshallah!
@KUTOKA-ep2fk
4 жыл бұрын
Sasa si ungemteua awe Rais wako wa kudumu na ukoo wako wote?
@saidyathumani5379
7 жыл бұрын
jamani mwenzio atuambia serikali haina Shamba, Mara serikali haijaomba tetemeko litokee.tunateseka jamani mungu akupe kheri baba yetu
@fahadfahmy
7 жыл бұрын
Raisi wakudumu hawezi kua
@marysusuma3837
7 жыл бұрын
huyu nibaba wataifa jamani hivi Hawez kugombea tena? jamani huyu ni mtu wa watu na nimźaźì wa wana.najivunia rais mwenye kujali kama huyu. Rudi tena baba.
@rahmaafrica896
4 жыл бұрын
Rais wa hekina na busala lkn ndo kaishamlz ivyo
@yohanamhondelo1334
3 жыл бұрын
Wewe ulikuwa Rais
@renaldakamugishazeramulake940
7 жыл бұрын
msukuma n.a. models haya sasa mbavu zako kikwete vheka sans
@saidymtima4701
7 жыл бұрын
huyu rais namkumbuka san kwakuwa na moyo wa horuma kwan ni rais wa mfano wa kuigwa kweny maafa sio rais wa awamu ya tano
@johnwaitara9681
4 жыл бұрын
Mngu akulnde MH jk akupe maixha mareeefu by John waitara kutoka dar sala sala
Пікірлер: 12