Wewe ni namba moja ktk marais bora kupata kutokea Africa.... nitakuchagua tena..!!! 👏👏👏👏👏👏👏
@pillkassimwakike2474
3 жыл бұрын
duuh mm chadema damu lkn kula yangu ya ulaisi nampa magu tu akuna kingine napenda sna baba yangu mungu akuzedishe sna kila lakheli
@m.mmarckus6298
3 жыл бұрын
Wakikuskia watakununia
@masoudsalum9514
3 жыл бұрын
ww muongo kwann usingesema ww ni cuf au chadema inawachoma moyo tu
@J4UPro
3 жыл бұрын
Upo vizuri sana
@selector728
3 жыл бұрын
Siyo kula sema kura
@yasinshaban4933
3 жыл бұрын
JPM teenaaa✅✅✅🤸🤸🤸
@husnahassan6289
3 жыл бұрын
Nakupigia debe baba yetu rais wetu kipenzi kura zetu uzipate kwa wingi nakishindo chako cha ushindi kiwe cha kimataifa MUNGU TUSAIDIE NIMETOKA MBALI NA WATU WANGU ILI TUKUPE KURA ZETU KISHA TURUDI TULIPOTOKA KURA YANGU NA NDUGU ZANGU NA MARAFIKI ZANGU NI ZAKO BABA KIPENZI DR JONH JOSEPH POMBE MAGUFULI MUNGU AKUSAIDIE AMEEN AMEEN AMEEN
@nurualamoody4305
3 жыл бұрын
Keshapita huyo toka alipofungua kampeni. Wenye shida hao wabunge wasiojua wajibu wao km bona kaluwa wa segerea . Leo tunaogerea madimbwi SBB ya kutotimiza wajibu wake. Lkn hawa wabunge wangekuwa km magu tungekuwa mbali sana
@nurualamoody4305
3 жыл бұрын
@@shariffaki8836 lkn uislam aukatazi asiye muislam kuingia masjid. Wakaribisheni wajue uislam wenu Kwa maneno na vitendo
@husnahassan6289
3 жыл бұрын
Sharif Faki dini yetu kaka nzuri Alhamdulillah
@shariffaki8836
3 жыл бұрын
@@husnahassan6289 kumbuka hao masheikh wote ao ni wanafiq cos serikali ukisimamia ukweli tu utskia unaitwa gaidi
@shariffaki8836
3 жыл бұрын
@@nurualamoody4305 Hakuna urafiki kati ya muislam na kafiri unajua ilo
@capitainrogers4990
3 жыл бұрын
M.Mungu akujaalie Misho Mwema ufe hali yakua umeshahidilia Insha Allah
@mwalimumbukuzi7273
3 жыл бұрын
Aaamin
@eddy4998
3 жыл бұрын
Ameen
@jumakasim8784
3 жыл бұрын
Gonga like kama na wewe ni miongoni mwetu tukao mpa kula ya ndio jembe letu Magufuli
@shariffaki8836
3 жыл бұрын
Atakae kupa like uyo hajui nin anafanya kam ni muislam
@ramamtetu2327
3 жыл бұрын
Huyu ni Mtu wa Mungu JPM
@omarialfaaruuq6643
3 жыл бұрын
Wagonge like makafiri wenzenu was dini mseto dini aliyoicha Muhammad sio ya kampeni
@bfsgsvfweshdbfh3353
3 жыл бұрын
@@omarialfaaruuq6643 ata we unnaweza kuwa kafiri
@bfsgsvfweshdbfh3353
3 жыл бұрын
@@omarialfaaruuq6643 usihukumu watu kuita makafiri
@ramadhaninyari9525
3 жыл бұрын
Alhamdullilah ya karim. Ya Allah umesema. Niite nami nitakuitikia, niombe msaada nami nitakusaidia, niombe ulinzi nami ntakulinda, wapende ndugu na jamaa zako nami nikupa siha njem na ndefu. Eee Mola mtukufu. kw ukarim wako, kwa ruhusa yako, kwa uwezo wako, kw rehma zako, nakuomb utulinde ndhidi ya wasiyo wema. Na umjalie raisi wetu mpendwa siha ndefu na iliyo njema. Amen.
@zakiahussein9764
3 жыл бұрын
Inaonekana at a Qur'an ujasoma
@ramadhaninyari9525
3 жыл бұрын
@@zakiahussein9764 hongera na mungu akubariki wewe uliyesoma
@siafuvideo2541
3 жыл бұрын
JPM FOR LIFE 👊🇹🇿🙏💪 MITANO 🖐️ TENA 👊 KAZI IENDELEE
@rojamancaxter8387
3 жыл бұрын
MUNGU akurinde Raisi wetu JPM akukinge na maadui na akupe kheri daima InshaAllah
@salmaathuman9156
3 жыл бұрын
Ahsante mungu na umlinde rais wetu magufuli ashinde kwa kishindo huyu rais kwakweli mungu umejua kutupa rais tunajivunia na uendelee kumpa nguvu 💪💪💪🙏🤲
@haithamalharthy68
3 жыл бұрын
M Linde ya ALLAH. kiumbe chacko mkweli Mpe Afya. Nguvu. Umri. Mjaliwe awe kipenzi chakila binadam. Ndani na inje ya Tzd. Mimi siyo mtzd. Lakini nampenda Sana Magu. Nimuwazi. Mpenda nchiyake.usalama NamaEndeleyo. Yuko tayari kutowa maisha. Yake. Ajili ya maendeleyo ya waNainchi wake.waliyedhulumiwa. Myaka. Mingi. Maraisi. Kama yeye. Ni umoja katika million. Hawapatikani. Mlindeni. waNainchi watz. These kind of people are rare to find. Tanzania Oyè. Oman oyè
@abdulrahmansalim9773
3 жыл бұрын
Mashehe wapo ndani miaka minane watoto na wajane aliovyo wafanya pumbavu magufuli 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥Finar jahanam 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@salmaathuman9156
3 жыл бұрын
@@abdulrahmansalim9773 nenda kawatoe usitupigie kelele mitandaoni wewe ndo mungu unaetoa hukumu kwa nn wakae jela mpaka sasa hivi mungu anawahukumu hapahapa duniani kwani magufuli ndo aliyewafunga au wamefungwa kisheria we vp MBONA unaropoka Kama mlevi
@tatuhongeranurushaus485
3 жыл бұрын
@@haithamalharthy68 😏😏😏😏😏😏😏hujitambui ww mtu hawez kufungwa bila kosa
@khamisrajabu6082
3 жыл бұрын
@@abdulrahmansalim9773 huyu nimiongo mwa wale wanaharakati hata ulitakiwa uwe ndani maana nyinyi ndio mnaechafua uisilam harafu Leo unajifanya kuwatetea mbona ww hujakamatwa kwahiyo ukiwa shekhe ndio ukiuke maadili ya nchi nakatiba wakuache dini imetualisha tuheshimu mamlaka ya vingozi Wa nchi Leo unakiauka kwahiyo unapingana namaneno ya Allah unakuja kubwabwaja kwenye mtandao chunga ulimi wako unapopinga serikali umempinga allah
@rehemaaithumani3076
3 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Raisi wetu 💪💪Allah akuongoze kila kona uendayo pamoja na family yako yote 🙏
@azizamohamed7692
3 жыл бұрын
Mungu mlinde Raisi wetu asiekuwa na ubaguzi akupe afya njema miaka 10 mingine sio mitano
@ahmeddarweysh3158
3 жыл бұрын
God bless you mr president magufuli
@muhammadabdi8023
3 жыл бұрын
Nani Kama magu mungu akuongoze mahala pa hali insha Allah 👌🇹🇿
@muhammadabdi8023
3 жыл бұрын
Akuongoze mahala pa haki insha Allah**
@zaituniswai6390
3 жыл бұрын
Ndoma Maana hata corona iliogopa Tz Rais wetu ana Mungu kwakweli
@ayshakayeko2043
3 жыл бұрын
Kwa amani tuliyonayo hatunabudi kukushukuru kwa upendo mengine tumuachie mungu amina
@engzuberir.akilenza1764
3 жыл бұрын
@@muhammadabdi8023 hili litakuwa siyo jina lako.
@zakiahussein9764
3 жыл бұрын
Ujinga mtupu
@aishamussa7246
3 жыл бұрын
Allah akupe afya njema na mwisho wako uwe mwema hapa dunian!!!🤲🤲🤲🙏
@husnahassan6289
3 жыл бұрын
Kura zetu tunakupa baba yetu kipenzi rais wetu ambae huna ubaguzi rais wa wanyonge kura zetu unazo zote baba na kishindo chako kitakuwa cha kimataifa duniani kote MUNGU atusaidie Tupo baba kwa kukupigia tena ili utuongoze tena kipenzi chetu nimetoka mbali mzee wangu ili nikupigie kura tuu then nirudi nilipotoka lnshaallah MUNGU atuwezeshe tufike salama siku hiyo Allahumma Ameen
@hawakitoi6840
3 жыл бұрын
Amina
@abubakarisadikshoo4693
3 жыл бұрын
Amini
@adidjarams5196
3 жыл бұрын
Allah amuongezee umri mreeeefu Magufuli, vous êtes un président unique de son genre, mpaka Congo tunakupenda baba wa wanyonge, eee ya Allah Congo tumekwama wapi ? Tujalie one day insha Allah tupate Raïs kama wa Tanzania
@chikuluchidodokochiitingan340
3 жыл бұрын
Kwanzaa RAIS WETU WEE UNGEBAKI HATAA CHATOO UPUMZIKEE NA KULAA ZA NDIO NI ZAKWAKOO.HAOO WENGINGINEE NI MIJUSII TUU
@mariamuseifu3065
3 жыл бұрын
Allah akupe maisha marefu Rais wetu Inshallah 🙏🙏
@ramadhaniadammakange3639
3 жыл бұрын
This is how it means to be a leader.
@alimaadhiinofficial6451
3 жыл бұрын
No one like magufuli walahi nawaambia tujitokeze kumpigia kura ya magufuli mtampata wp raisi kama magufuli
@salimliemba3458
3 жыл бұрын
Lisu at asubiri Sana Kw a huyu rais wetu na atashidna kwa 85%
@ammarsalah5693
3 жыл бұрын
This was big May Allah show you the right way to pass JOHN POMBE MAGUFULI....and all other humans ....love you all my lovely brothers and sisters....May Allah bless us with a beautiful life in this world and in other life too.....Thank you♥️♥️♥️🥰🥰🥰
@dorothychusi7643
3 жыл бұрын
Magufuli you are blessed. May God cover you in every area of you are life.
@salamakaloloma1098
3 жыл бұрын
Wallah uyu mwamba huyu ana nifanya nimpende kilazima wallah mungu akuhifadhi MAGUFURI my president
@wazirikhamisi4828
3 жыл бұрын
UKO SAHIHI NA ALLAH AMUONGOZE KTK HAKI
@mytelecom2019
3 жыл бұрын
msipo mchagua Tena tutampaa urai wa Congo, na ma trilioni ya pesa Juu
@@maryamabdallah3140 mchagueni kwa kishinda na ongeara kwakumpenda anastaili kupewa mapenzi
@rashidalshaid445
3 жыл бұрын
Yaani ungeturuhusu na sie tulioko nje ya nchi tungekuchagua kwa kishindo. Lkn hata hivo amini ushashinda kwa dua zetu tu
@obedkiswaga2790
3 жыл бұрын
Usijali, tulioko huku tutakuwakilisha
@hashimabdallah673
3 жыл бұрын
Rashid aishaid tunakuombea kwa uzalendo wako
@lovenessgodson1075
3 жыл бұрын
Kabisa naunga mkono hoja
@gloriamichael3698
3 жыл бұрын
Asante sana jpm atapata kura za tetemeko siyo kishindo tena
@obedkiswaga2790
3 жыл бұрын
@@gloriamichael3698 Umeonaee, makelele kelele ya Lisu yamenifanya nipate hasira ya kwenda kupiga kura
@peterideka3479
3 жыл бұрын
JPK!God bless you and honour you in this election 2020
@tilisho1960
3 жыл бұрын
Ukweli naamini Magufuli katumwa na Mungu! Hongera Sana Rais wetu, Mungu aendelee kukulinda!
@zakiahussein9764
3 жыл бұрын
We mpiuzi unamjua alie tumwa na Mungu?
@tilisho1960
3 жыл бұрын
@@zakiahussein9764 Kwan wewe unamjua ambaye hajatumwa na Mungu?
@zakiahussein9764
3 жыл бұрын
@@tilisho1960 ndio namjua c mwenyekuwaua watu wara kuwa nyima huru wao
@zakiahussein9764
3 жыл бұрын
@@tilisho1960 sasa uyo baba yko pombe katumwa na jini shetani takadamu ndio lililo mtuma uyo pombe wenu
@zakiahussein9764
3 жыл бұрын
@@tilisho1960 na kumbukab mtu we mwisho kutumwa n nani?
@YusufAli-ib6xu
3 жыл бұрын
Blessed president Tanzania 🇹🇿 we have
@ArarsoAli
3 жыл бұрын
Masha Allah 🔥🔥🔥🔥😘🥰❤❤❤ JPM MUNGU AKU PATIYE LONG LIFE NAKUOMBEYA ALLAH AKUFANYE MU ISLAAMU AUFAI KUINGIYA JAHANAM .BABA YA WANYOGE IM NOT FROM TANZANIA BUT I LOVE JPM 🇭🇲🇰🇪🇭🇲🇰🇪 CCM HOYEEEEEE
@ashasaidi1895
3 жыл бұрын
Kwa hili mheshimiwa umeweza cna ubishi mungu akuongoze ufanye mengi zaidi ya haya ktk uislam
@deogratiaslukoo5163
3 жыл бұрын
Mungu akulinde Raisi wetu na wabaya wote akufunike na ubawa wake siku zote za maisha yako,kiukweli unafanya mambo makubwa
@omarisjuma3198
3 жыл бұрын
Barakallah fii mzee Magu afya njema
@alhajikipingu1661
3 жыл бұрын
Mungu akubaliki raisi wetu
@germanomuanga3153
3 жыл бұрын
Mungu Akupeni nini tena wa Tanzania Mozambique Tunakutamani Magufuli. Rais Bora wa Africa.
@user-un3df1sl2h
3 жыл бұрын
Tunafurai sana kuwa na raisi jasili namwenye upendo
@solangeandjelani4913
3 жыл бұрын
Hata congo tunamuhitaji rahisi kama huyu wataanzania munahichezea amani chaguweni huyu baba jamani kama munaipenda amani misidanganywe
@user-un3df1sl2h
3 жыл бұрын
Uyu kashapita tayali
@rashidalihamad7228
3 жыл бұрын
adhabu ya kaburi aijuaye maiti, taman tu ila usiombe kabisa tuulize sisi huku ndio utajua
@idrissatuppa3997
3 жыл бұрын
Ukimpinga huyu mzee uwe na sababu za Msingi.JPM mi 5 Tena Wale wengine ✌🏿 Tunaomba watupishe.
@michaelndilima6210
3 жыл бұрын
Safi sana
@bernardoleonard7331
3 жыл бұрын
Mimi Act lakn kura yangu kwako mzee wangu na kwa bwege🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@khalidballeth5957
3 жыл бұрын
Taqbiiirrrrr🙏🙏🙏🙏 Allah Akbar🙏 Mh rais mi 5 tena💪
@chikuluchidodokochiitingan340
3 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏
@dorothychusi7643
3 жыл бұрын
Machizi waongee sasa Yani hapa keshaweka agano na mungu hamumuwezi jamani muache ni magu wa watu! Acha kabisa magu kanistua Kura yake hata iweje😀
@dengeman4814
3 жыл бұрын
Rais wetu kipenz cha watanzania kula yangu umeipat cjui wenzang
@maryambarayan7599
3 жыл бұрын
Wallahi nawaapia 🇹🇿 mkimbwaga jpm nyinyi ni wazembe na mafala. Mtapata wapi a leader who is honest and fair nowadays like him
@sagayefamily5149
3 жыл бұрын
Sio tu tutkuwa mafara,,,,bari hata shetani atatucheka
@andulilemwakihabha2048
3 жыл бұрын
Mungu akupe afya njema raisi wetu Magufuri
@zainabmkomwa2064
3 жыл бұрын
Allah akulinde Rais wetu n husda shari n akujaalie umri mrefu ww nibaraka kwetu
@aishasmoni5881
3 жыл бұрын
Masha Allah
@mrfix6596
3 жыл бұрын
Kwa Zanzibar sisemi kitu, ila kwa bara Mjomba magu nakupa 100000%
@fdhjffdhjfsjdjfjfi9477
3 жыл бұрын
Mungu akuongoze uiyone njia ya haki inshaallah
@yasinshaban4933
3 жыл бұрын
JPM teenaaa ✅✅✅🤸🤸🤸
@nabsgilo4896
3 жыл бұрын
Beautiful through it represents the spirit of togetherness regurdless of the religion #we ar all one blood #lots of love #I see in President Magufuli alot that No other President in East Africa has the seem long liv East African President #leave along the dictators #I see no use for them to keep visiting ur country #love from augandan who is not in uganda now
@rwandaafrika6173
3 жыл бұрын
Amen baba wawanyonge RAIS Magufuli ni mustarabu kwakweli
@errydeo8865
3 жыл бұрын
rais wa Tanzania!
@samsungj7pro64gb5
3 жыл бұрын
Allah akudhidishie moyo wa imani insha'Allah
@dicksonmatulile1523
3 жыл бұрын
Hongereni sana ndugu zetu waisilam
@engzuberir.akilenza1764
3 жыл бұрын
Hawa mashehe wengine mimi hata siwaelewi. Kwenye misimamo waroma wapo vzr.
@emanuelmtura5087
3 жыл бұрын
Magu5tena👊👊👊
@abdallahbakari6154
3 жыл бұрын
Jamani watanzania tumepewa zawadi na mungu wetu magu tumpend jaman
@abdallahmohammed7225
3 жыл бұрын
Watoweni masheikh wetu
@hashimabdallah673
3 жыл бұрын
Tunampenda na mungu atatuongoza
@omariswafuru9399
3 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akulinde Raïsi le plus aimé de l'Afrique.Vive la Tanzanie ,vive l'Afrique.JPM unaleta furaha sana.......Aksanti.
@paulmrema3559
3 жыл бұрын
🌟HURUMA YA MUNGU🌟 play.google.com/store/apps/details?id=com.tanzania.hurumayamungu
@abelkazil589
3 жыл бұрын
kama Tanzania hamtaki magufuri Tunamwomba Kenya sis Tunaona anatufaa Zaidi maana. naona Hamna shukrani wakati watu wanamlilia mungu wapate rais kama wenu
@abelkazil589
3 жыл бұрын
@@dicksonsisya349 yaani Tanzania tunawatamni kwa Amani mliyonayo afu mnaichezea mnataka kuongozwa na MTU katoka nje huko
@prettyh7509
3 жыл бұрын
Mim ni mwislam lkn naona bora kuwa na rais mkiristo siyo mwislam anaetafta kuwaridhisha???? Penda maguuu🥰
@mulokozikatanga3430
3 жыл бұрын
Raisi ni wa watu wote asichaguliwe kwasababu ya Dini yake au kabila lake ...bali ni kwasifa na uwezo wake wa kuongoza ....tafadhali hii kauli yako ni ya kibaguzi futa iyo dhana kichwan kwako ...tushatoka huko
@fatumachagudadui3138
3 жыл бұрын
@@mulokozikatanga3430 hujamwelewa soma ujumbe wake upya pole lkn
@prettyh7509
3 жыл бұрын
@@mulokozikatanga3430 hapana wala sifuti yaani kila nikiangalia tangu mwanzo angalau naona hvoo, we uliona wap rais anaamuru raia wake kudek barabara et rais wa nchi tajir anakuja na kubemb omba omba woote kwny gar bila kusahau wafanya biashara wdg wdg kuharibiwa mali zao et maisha boora
@hildabatromayo7518
3 жыл бұрын
Sana hata mm hivyo hvyo
@farisytanzania6566
3 жыл бұрын
Huna akiri, hujitambu, pole sana Muislamu jina.
@azizabdallah585
3 жыл бұрын
Kila mtu kuanzia Mfalme wa Morocco, Rais JPM na wengine wote waliohusika katika kufanikisha ujenzi wa Msikiti huu Mwenyezi Mungu Mtukufu anajua atawalipa kwa malipo kiasi gani baada ya safari ya kuondoka duniani....akhera na siku ya Qiyama.
@jumaswalehe907
2 жыл бұрын
Umesoma historia ya masjid madhara enzi ya mtume?
@daslamonline4665
3 жыл бұрын
Huyu mwamba hana mfano ndio maana ntampa kura. Siasa za uchonganishi wa dini ubaguzi hana.
@safiyatheonlything7848
3 жыл бұрын
Mashallha alhamdullha Asante Mungu kwa hii zawadi rais anaongea kwa unyenyekezu mashallha jamani mpige kula kwa wingi kwa rais wetu lnshallha mm siko tz lakini naona maendeleo ya nyumbani yalivyo rami nasikia adi mtaani nafarijika sana
@agiasaidi5294
3 жыл бұрын
MASHAALLAH
@erodeshayo8672
3 жыл бұрын
Mwenyewe waislam nawapenda Sana Co Siri Mung akujalie Jpm uzidi kuwakumbuka wacje wakasema unabagua tunakupenda sana
@CizaDangote
3 жыл бұрын
Balozi ana elewa kiswahili. mbona Rais akisema Nampongeza balozi na Mfalme yeye hutingisha kichwa .
@marcodaud1005
3 жыл бұрын
Waarabu wengi hasa wa omani wanajua kiswahili vizur kabisa
@Hottatto816
3 жыл бұрын
cfa ya balozi ya kwanza nikujifunza rugha ya eneo husika,hivyo kiswahil anakijua tena mpaka chamtaani
@naimasaid7763
3 жыл бұрын
Magufuli ana moyo sana, mungu akubariki ww baba, naamini mungu atakujaalia tena katika uchaguzi huu
@budahboss3300
3 жыл бұрын
the best prezo in the world😍😍😍
@hawakitoi6840
3 жыл бұрын
Umetufanyia kitu kikubwa waisilamu nasi hatu budi kukupenda na kukushukuru.tarehe 28 tukamalize kazi.asante sana rais wetu
@georgeisdory9998
3 жыл бұрын
Huyu ndie Rais Magufuli 👍👍👍 hoyeeee
@thomasnchama1892
3 жыл бұрын
chuma
@vumbakingvumbaking9571
3 жыл бұрын
Magufuli mungu akulinde na husda akupe maisha marefu hii ni Alama ume tuachia (legers)🙏
@temkezatv4381
3 жыл бұрын
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
@swalehfarid5466
3 жыл бұрын
ALLAH Akupe Hidaya Uingie Katika Dini Ya ALLAH 🖑🖐
@tumainiumbe6313
3 жыл бұрын
Ndugu wote tunamuamini Mungu mmoja, huo ubaguzi wa kidini sio mzuri, muheshimu kila MTU na dini yake, huwezi ukatoa hukumu au ukajiona wewe ni zaidi ya wengine
@swalehfarid5466
3 жыл бұрын
Sijabagua ndugu Yangu Na Sijakashif Dini Ya Mtu,Hata Wewe Pia Unaweza Kuniombea Nije Kwa Yesu Kristo.Mbona Nyinyi Ni Ndugu Zetu Wa Karibu! Tungekuwa Na Ubaguzi Rais Wetu Mpendwa Asingeweza Kuingia Ndani Ya Msikiti
@swalehfarid5466
3 жыл бұрын
Tumaini Tunatakiwa Tuwe Na Upendo.Na Upendo wa Kweli ni Kuombeana Mema.
@tumainiumbe6313
3 жыл бұрын
@@swalehfarid5466 yaani ulivyosema aingie kwenye Dini ya ALLAH Maana yake Dini zingine za mashetani? Pia watu wengine huwaita wenzao makafiri wakati hakuna aliye muumba mwingine, hakuna kitu kibaya kama ubaguzi wa Dini na ukabila utakufanya umchukie mwingine bila sababu. Tumwombe Mungu atujalie Upendo
@swalehfarid5466
3 жыл бұрын
Hapana Ndugu Yangu Sikumaanisha Hivo,Kwa Maombi Nilioomba Nimetamani Tuwe Tunashinda Nae Msikitini Kwakuwa Tunampenda Rais Wetu.Unachokipenda Unatamani Uwe Nacho Karibu Zaidi.Alafu Uislamu Unatulazimisha Tupendane Sote Na Unatukataza Tena Kwa Makatazo Makali Sana Kubaguana.Sisi Sote Tumeumbwa Na Mungu Mmoja Tu.Kinachotakiwa Nikushikana Na Kupendana Sio Kubaguana Na Kutengana
@hashimabdallah673
3 жыл бұрын
Nakushukuru JPM kwa ubinadamu wako hata wanaokusingizia mungu atawahukumu
@ibrahimismail7591
3 жыл бұрын
Baba magufuli ww ni baba tunayafata maono yako hongera kwa kumtanguliza mungu
@asiaissa976
3 жыл бұрын
Safi sana mh allah akujaaliye nawewe uipate neema yakujiunga na uislam ili ukafanikiwe akhera
@juliusmgoo7735
3 жыл бұрын
Magufuli baba lao
@jenyyusuph4973
3 жыл бұрын
Mungu mbariki jpm na viongozi wetu wote TAZAMA JINSI ILIVYO VEMA NA KUPENDEZA SISI TUKAE PAMOJA KWA UMOJA HAKI AMANI YA TANZANIA NI NZURI SANA SANA SANA HADI MACHOZI YA FURAHA
@mwanakombaabbas93
3 жыл бұрын
Ma shaa Allah namuomba Allah akuonyeshe njia ya haki yaa rabb Allah Akuongoze akupe umri mrefu
@KhalidAli-xx4vk
3 жыл бұрын
Wewe kweli ni kiongozi wa kwali hongera sana na utashina kwa kishindo
@salomeroberto1252
3 жыл бұрын
Safi
@fauzishma8033
3 жыл бұрын
Hiyo ni zawadi tosha kwa waisilam wa Tanzania ahasante yetu kweko ni kupigia kura wingi hatuna vile tunaweza rudisha shukran kwako hii litabadilisha mpaka nyoyo za waliokua wanakuchukia labda mwenye chuki binafsi Shukran shukran sana
@asinatjuma8088
3 жыл бұрын
Mwenyenzi mungu amjaalie umri mrefu rais wetu
@mutomubaya
3 жыл бұрын
Pongezi Raisi, wewe ni kiongozi mwenye hekima sana ya uongozi wa ki siasa. Allah akujaalie oune vyema hekima yake na akujaalie umtambue inavyostahiki na akujaalie kufaulu duniani na akhera.
@ramamtangi7776
3 жыл бұрын
JPM nakukubali Sana raisi wetu mitano tena Kwa kishindo
@iliasaliogopen6505
3 жыл бұрын
Hongera rais hongera saaaana
@ahmedalsalmi6327
3 жыл бұрын
Nakupenda bure magufuli umepita bla.wiv
@sadakhamis6684
3 жыл бұрын
Mashallah Rais wetu
@suhadsultan4670
3 жыл бұрын
Safiiii baba
@mussamwaka7124
3 жыл бұрын
Yan Mimi kwa uy baba kwa kwel asipo shinda mi najiua kabisa
@rajabuathumaninamkoko5672
3 жыл бұрын
Haya si maneno mazuri ujiue kwa lipi kumbuka kila jambo limekadiriwa kwa hiyo chunga sana kauli utakufuru ndugu yangu,
@othumanndege2148
3 жыл бұрын
Kweli kabisa anatakiwa achunge kauli yake kwa mungu humpa amtakae na humnyima amtakae kama lisu ndio raisi huwezi kupinga hivyo kuwa na maneno mazuri kwa maana hujui
@hawakitoi6840
3 жыл бұрын
Atashinda inshaallah.tusiache kwenda kumpigia kura
@kabyjxjrd9874
3 жыл бұрын
UTAKUFA KAFIRI KM MAKAFIRI WENGNE TU NA MASKNI ITAKUA MOTONI. CHUNGA MANENO USIHEMKWE NDUGU
@isacknyaga4265
3 жыл бұрын
Waoooo amaizing president da
@julihanjosephyjs6361
3 жыл бұрын
Jamani magufuli ataanavoongea mpaka anatia huruma yaani kwa unyenyekevu wake mungu awe nawe akupe nguvu rais wetu nakupenda Sana magufuli nakumbuka mbali nikikuona,
@eliaslukumay1661
3 жыл бұрын
Amen umoja ninguvu utengano niuthaifu.Pongezi sana Rais Magufuli Critiano na Msilim nikitu kimoja.
@rukiaaminibwanamkuu1309
3 жыл бұрын
Mjomba magu kura yang inakuja kwako bila gagaziko llte mungu atufikishe salama hiyo sku na utashinda 90%
@peterkailembo4101
3 жыл бұрын
Huyu baba jamani sijui ni zawadi gani kubwa apewe kwa kazi nzito, watu wanabeza tu utafikiri wao wangeweza hata nusu ya kazi ya huyu mzee
@rahimamkumbo3238
3 жыл бұрын
Magufuli akisema itakuwa inakuwa sasa ww unayesema anabagua sijui unakaa nchi gani uliza tukusaidie tulikotoka na hapa tulipo
Msikitini anaruhusiwa kuingia mtu yoyote. Hata akiwa mpagani.
@alimuhamed1830
3 жыл бұрын
Naimba ushahidi japokua mdogo tu wenye mashiko sio wautashi koz nimeuliza nipate mazingatio au nipate elimu
@zulfahussein6784
3 жыл бұрын
MashaAllaah Reis anayejali watu
@sonicaghendewa9886
3 жыл бұрын
Ubarikiwe sanaaa Rais wetu
@habibamhina9075
3 жыл бұрын
Magu mungu akupe khery nyingiiii duniani na ahera pia,🙏
@julihanjosephyjs6361
3 жыл бұрын
Mfalme wa tz magufuli wetu nampenda Sana uhu baba akiongea mwili unasisimka machozi yanalengalenga upendo umepitiliza,mungu akupe afya mfalme wetu,Ila baba mjitahidi kupeleka maji vijijini na umeme Kama wenzetu wa omani ,Dubai,umeme mpaka mstuni mungu atawezesha tunamuitaji raisi anartiza mambomuhimu kea wanainchi wake tz sasaivi hakuna Ile unanijuwa Mimi Nani.
Пікірлер: 398