Katika kuhakisha kila Mtanzania anapata huduma ya umeme na kuivusha nchi kuwa ya kipato cha kati, Rais Magufuli amewataka Tanesco kushusha bei ya umeme. Agizo hilo limepokewa kwa mikono miwili na wananchi kama taarifa hii ya Upendo Michael inavyoangaza;
- Күн бұрын
Rais Magufuli: Tanesco punguzeni bei ya umeme
- Рет қаралды 2,473
Пікірлер: 4