Hata yeye atakufa tu,licha ya kuwatanguliza wenzake, , maendeleo hakuna nchi ni ufisadi tu kila kona,
@florencemeza6540
3 ай бұрын
Waliomuua JPM Ndo wameua wote ila wanajijua na mioyo yao inawahukumu
@samuelmuthui4699
2 ай бұрын
Coronavirus ndio imeua... Acheni ufala.
@florencemeza6540
2 ай бұрын
@@samuelmuthui4699 fala wewe unaijua corona stupped
@perrymagitta7783
3 ай бұрын
Mwenyezi Mungu warehemu wote hao.
@gaspeldaniel1140
3 ай бұрын
Huu ulikua ni mpango uliosukwa vizuri sana.. mimi nilikuja kushituka baada ya kuona mkapa kafa nikajua kuna jambo lipo chini chini
@user-qk2wu5wm1f
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂nimecheka sana
@abdullynasry2205
3 ай бұрын
Uyo ndo alikua baba wa magufuli ndo maana alivyoenda tu wamemfata na magufuli kwisha kaz
@vanessajames2192
3 ай бұрын
Yani balaa lilianzia pale yule mzee alikua yuko poa kwenye uzinduzi wa ujenzi wa Ikulu yani ilikua huzuni kwakweli
@abdallahibrahim280
3 ай бұрын
Nilikuwa nikifuatilia sana taarifa hizi kuanzia kifo cha mwamba mahiga lkn kilipofikia cha kijaz baaas niliishiwa nguvu kabisa baada ya kujiuliza hivi naye rais nusra yake iko wapi? lkn sikuyatoa ulimini kwa yeyote
@aloyceiluminata3650
3 ай бұрын
Magufuri mwenyewe baada ya kifo cha mkapa alianza kushtuka Ila alikosa support..yule jamaa alikuwa na akili ya ziada
@jeanmusamba8448
3 ай бұрын
wote wameuwawa na mabeberu,kwa mbinu za juu za kijasusi,afrika haiwezi endelea,hatujitabui,hawa wote wameondolewa kwa kuwa wanajitambua
@CharlesSimkoma
3 ай бұрын
Kifo ni lazima
@MiriamAbdallah
3 ай бұрын
Na mabeberu hupitia kwa mwafrika mwenzie na liko wazi waliiwawa💔😭😭😭😭😭
@mohamedsheikh6618
3 ай бұрын
Mhh neno zito
@leonardchoma3765
3 ай бұрын
Wapo mabeberu wa ndani ya nchi.Tusisahau hilo pia.
@jeanmusamba8448
3 ай бұрын
@@leonardchoma3765 uko sawa kabisa kaka Choma,me siamini kama TZ itakuja piga maendeleo aliyokuwa anayataka Mwalimu Nyerere na Magu,viwanda na kuendelea kwa juu haiwezekani,wezi wengi kuliko wanao ibiwa
@jenyyusuph4973
3 ай бұрын
Lazima tu jiulize kwanini Taifa ilikua linafululiza vifo vya vigogo wa serikali tu kwanini baada ya Kufa magufuli ule mfululizo ukaanza kupungua pole pole na kanyamaza hadi Sasa? Ujanja wa wanadamu ni wa Muda MUNGU NI WA MILELE
@hassanmfaume4522
3 ай бұрын
Corona sasa hivi watu xlwamepata chanjo. !
@martinmwasubila8762
3 ай бұрын
Swali na mawzo yako ni mazuri sana. Bahati mbaya sana hatupendi kujiuliza wala kufanya uchunguzi pengine hata kushtuka na kuchukulia kwa uzito. Hapa kuna jambo la kujiuliza mbali na uwepo wa korona na hata chanjo kuja. Ukweli utajulikana tu hata kwa kuchelewa
@abdullynasry2205
3 ай бұрын
Huna akil sawa sawa unaongea kwa chuki lkn kwa kusikilza habar
@chomasongidion6047
3 ай бұрын
Unaakili nyingi ila njia yetu sote,
@ezekielmburu3418
3 ай бұрын
Corona, magufuli was ignorant
@marymkamwa3779
2 ай бұрын
Unasimulia vizuri sana
@isaacmakori3645
3 ай бұрын
Watanzania wenyewe ndio wamewaua wakombozi wa inchi yao 😭😭
@saidbakar-qo6ri
3 ай бұрын
Una matatizo ubishi wa magufuli ndio umesababisha vifo vyote hivyo awaue nani kwa lipi ogopa kiongozi mbishi asieshaurika kama magufuli anaependa kujisifu mwenyewe
@samuelmuthui4699
2 ай бұрын
Mliambiwa mvae barakoa mkasema mmelindwa na damu ya yesu...
@awadhially
2 ай бұрын
😮
@sonnyr1899
3 ай бұрын
Hiyi makala naifungua tu gafla naanza kusisimka.😢😢😢 sijuwi ni mie mwenyewe?
@user-ki6mk5xx5g
3 ай бұрын
Kigogo mwingine ni baada ya Raisi Magufuri ni Mzee Mfugale aliyekua Mtendaji mkuu wa Tanroad
@anacletferuz4954
3 ай бұрын
Watu hamuelewi. Amesema aliokufa kabla ya kifo cha Magufuli siku chache
@paulchagonja
3 ай бұрын
Bravo Mr ZUNGU.MSIMULIZI MWENYE SAUTI NZURI NA HUCHOKI KUMSIKILIZA.
@vanessajames2192
3 ай бұрын
Acha tuteseke tu hawa walioondoka walikua watetezi wa Taifa 😭😭😭😭
@ananiamaganga786
3 ай бұрын
Wananchi wote tunajua mchezo ulofanyika
@user-kf6tz1px6f
3 ай бұрын
Hata hivyo uchunguzi unapaswa kufanywa Hata kama si leo
@noelmarapachi1808
3 ай бұрын
Ndugu mtangazaji una sauti nzi sana na Lafudhi nzuri sana ya LUGHA YETU ADHIMU YA KISWAHILI, Matamshi sahihi kabisa, keep it up, tuna pungukiwa sana na watangazaji wenye matamshi sahihi ya Kiswahili, pia wanao penda Lugha hii
@anacletferuz4954
3 ай бұрын
Huyu jamaa ni noma tena saaaana
@dikakimishawasumbwahalisit7596
3 ай бұрын
Da! Jamaa hatali sana Kama bbc vile
@sonnyr1899
3 ай бұрын
Kwa lugha la Kiswahili na ipenda sana na najivuniya kuitwa mswahili.
@user-bx1ji5he9j
3 ай бұрын
Umemsahau mfugale
@ramadhaniathumani1025
3 ай бұрын
Hicho kipindi sitokisahau maishani mwangu!!nilimsoma kigogo -2014 sana hadi usiku wa maneno!
@user-te1gg8uj7j
3 ай бұрын
Hakuna lolote ,,,,kama ni covid ina maana inachagua watendaji bora wa magufuli t????
@abdullynasry2205
3 ай бұрын
Yeah yan magufuli safu yake yote ndo ilikufaa
@elfacechongera6648
3 ай бұрын
Na covid ikaisha kwani nchi zingine jirani walikufa namna hii? Mungu tenda jambo please.
@joshuakasemelo1675
3 ай бұрын
Viongozi wa Nchi zingine walitumiaakili kujikinga wakwetu waliburuzwa na mkuu wao kwa kuamini shwaushilikina wakapiga nyungu hadi wakapeleka mhimbili wakapuuza kinga za kisayansi matokeo yake ndiyo hayo ndipo wengine wakasituka wakaanza kufuata sayansi ndiyomaana vifo vya viongozi kufa mfululizo vikakoma
@jworld1480
3 ай бұрын
unasaut nzuri sana kaka kelvin
@user-qk2wu5wm1f
3 ай бұрын
Asante
@HansJotham-ht1ul
3 ай бұрын
Bwana Alitoa na Bwana ametwaa jina LA BWANA lihimidiwe. Amen
@juliussuleiman3999
3 ай бұрын
Umemsahau Mahiga
@aboubakarayoub4004
2 ай бұрын
Yah kwel amemsahau
@user-ql7rm2zw4d
3 ай бұрын
Umenisahau Balozi Augustine Mahiga
@charleskombe
3 ай бұрын
Wapi makofi ya Day2. Watu wamaana kabisa!
@AwadhiKanyawana-ve2cp
3 ай бұрын
Ata wananchi wasio na hatia walifariki mno wengne waliokotwa baharini tumuachie mungu ndio anajua zaid
@user-kf6tz1px6f
3 ай бұрын
Nakukubali sana nimeelewa
@SmilingCityMap-xb9md
3 ай бұрын
Histolia haidanganyi na hata baada ya maisha haya ukweli hautasitilika kamwe
@peterjoseph4771
3 ай бұрын
Walisingizia Covid
@johnmalale3860
3 ай бұрын
AGUSTINO MAHIGA ilikuwa mwaka gani!;
@lucaschimba3148
3 ай бұрын
uko vizuri mbona wenyeviti ccm mkoa hujawataja waliofaliki nyuma jpm
@Broken_Beats__23
3 ай бұрын
Mzee Mfugale hivi sio rasmi sana nae maana msiba wake pia uliitikisa Tanzania
@user-tl1nz7qx2l
3 ай бұрын
Acha watese na watoto wao Kwa kujipachikia madaraka mungu yupo Kwani wataenda wapo?
@awadhally1052
2 ай бұрын
Kwel
@immaculathangalison5595
3 ай бұрын
Mileleee uwape ee bwana na lahaa ya milele uwangazìe wapumzike kwa amani amina
@abelmbega3707
2 ай бұрын
Hatariiiii sana Jamani
@batrumbeziks5946
3 ай бұрын
Itakuwa vizuri ukijifundisha Kiswahili kwanza kabla hujaendelea na matangazo mengine. Nenda Zanzibar ujue maneno ya Kiswahili yanavyotumika na kutamkwa.
@MrishoMzelela-xb9bb
3 ай бұрын
Mkapa hujamtaja
@PetrolBhulugu
3 ай бұрын
Sawa
@samuelmuthui4699
2 ай бұрын
Watanzania waliuzwa na Magufuli. Ukweli ni kwamba barakoa zingevaliwa,mambo yangekuwa tofauti. Mungu ameweka sababu katika kifo. Ulizeni madaktari watawaambia ukweli. Pia fanyeni juhudi ya kwenda shule,sio kutegemea ushirikina....
@agnessangawe3844
11 күн бұрын
Bado Profesa Ngowi na wasimi wengine wengi walikufa
@gasparkamiliusbutama6487
3 ай бұрын
Hii taarifa ukiunganisha na ripoti ya cdf mstaafu inatoa taswira kamili ya nini kilikuwa kimeamliwa kwa serikali ya awamu ya tano kwa maana baada tu ya kufariki kwa jpm na kuundwa serikali ya awamu ya Sita utitiri Wa vifo kwa viongozi wa juu katika nchi ulipungua na kuisha kabisa ni nini maana yake historia haisemi uongo Bali kweli utawekwa hadharani Bila shaka
@abdullynasry2205
3 ай бұрын
Wamemuua yule jamaa na team yake ndo maana mzee mkapa alivyokufa tu awakutaka kusubl maana mkapa alikua baba mlezi wa magu
@user-kd5fy5ln5t
3 ай бұрын
Asante sana❤❤🎉 unakipaji
@user-kw5pb9dd7p
3 ай бұрын
Polen
@user-qm4lg4yh7y
3 ай бұрын
Kifo cha bakari mwapachu na sio juma mwapachu kwahio ungetoa picha za juma mwapachu..
@aminaomary5567
3 ай бұрын
Zungu huko vizuri kutuabalisha'lakini umesahau mtu mmoja yule En.wa ujenzi yule wa Magufuli Mfugare ambaye amejenga hizo barabara za Kisasa
@samuelmuchiri7587
3 ай бұрын
Tz mismanaged the Covid pandemic
@frankmwinuka3413
3 ай бұрын
Umeongea vuzuri sana. Kipindi hicho si vigogo tu waliofariki dunia. Wananchi wengi hasa wenye umri zaidi ya miaka hamsini walipoteza maishi. Tatizo mojawapo ilikuwa matatizo ya upumuaji. Mimi nyumba yangu inapakana na kanisa la KKKT. Kipindi hicho kulikuwa na ibada za mazishi kila siku. Wakati mwingine zaidi ya moja.
@SmilingCityMap-xb9md
3 ай бұрын
NI kweli maana sasa hivi watu wenye umli zaidi ya miaka 50 hawapo na vifo vimepungua sana
@JumaBakari-eb3ft
3 ай бұрын
na mzee mahiga
@uwezotv
3 ай бұрын
Hivi vyama vya siasa ni hatari sana watubwanapaswa kuwa makinisana naa viongozi wao wanaposafiri nnje huko wanaenda kusuka mipango gani? Kisha wanarudi baada ya matukio kukamilika hii ni hatari sananini kiliwaondoa nchini na nini kimewarudisha wakati selikali ni ileile hii ni hatari sana
@uwezotv
3 ай бұрын
Umemsahau eng mfugale
@KayongoOba-ht2rf
3 ай бұрын
Shida iko ccm
@georgemedeye3469
3 ай бұрын
Leo ndio nalifahamu jina lako
@charlesolomi9514
3 ай бұрын
Baada ya chuma Vifo viliacha
@abdullynasry2205
3 ай бұрын
Hawo waliokufa ndo watu wake magufuli yan ukisema team magu mdo hao 😂😂😂😂 ujuw kitu utachekwa na wamekufa kwa vifo vya kijinga ndo maana umeekewa uwelewe kuwa magu kaondoka na team yake inshort wameuwawa
@kinademello
3 ай бұрын
Jamani huyo sio Bakari Mwapachu. Juma yupo hai
@alexibrahim2517
3 ай бұрын
Kazi nzuri Sana kiongozi, keep going up
@samsonkaboko5137
2 ай бұрын
Waliwahua hao kwasababu ndio waliokuwa na uwezo wa kuhoji hadhalani kuwa Magufuli kafaje
@johnmbugani6532
2 ай бұрын
Na baada ya JPM
@spantonsamba6191
3 ай бұрын
Umechanganya picha kati ya bakari Mwapachu na Juma Mwapachu....aliyekuwa waziri wa katiba wa mkapa ni bakari Mwapachu...umezitumia picha za Juma Mwapachu (mdogo wake) pamoja na picha ya bakari Mwapachu
@vanessajames2192
3 ай бұрын
Tunyamaze tu ila kuna kitu 😭😭😭
@ObeidkilalikaRubuye
2 ай бұрын
Hata rais samia atakufa tu kwani hakuna Mjaja mbele ya kifo
@jumannepaskary3182
3 ай бұрын
John kijazi
@francislumeya7020
3 ай бұрын
Hivi Jaji Agustine Ramadhani, na Agustino Mahiga hawakufa kipindi hiki?
@marcokaroje8980
3 ай бұрын
Augustin Mahiga hajatajwa
@chriss6321
2 ай бұрын
Zungu napenda kiswahili chako. Starehe kukusikiza. BBC watakunasa tu. Hujambo
Acheni ushirikina! Magufuli alipingana na uwepo wa Covid na akawalazimisha watu waliokiwa karibu naye wasichukue tahadhari yeyote kujikinga. Sasa ukitegemea nini? Kwani wao siyo binadamu mpaka wasife.
@hamisijuma3276
3 ай бұрын
Mbona hamkutaja mwenyekiti wa Board ya bandari mwana harakakati mzarendo mahiri
@jacksonfeleshi3044
3 ай бұрын
P. Wa.
@anacletferuz4954
3 ай бұрын
Zungu ee wewe unajuwa kusoma kwa weledi
@saidyatabu6375
3 ай бұрын
Mbona hakumtaja Agostino Mahiga.
@EMANUELMUSHI-kk4df
2 ай бұрын
Walitumia fursa ya covid kwa ufasaha usio kua na tija kwa nchi yetu zaidi ya kutengeneza nafasi wanazo taka wao
@user-mq9im1wd4x
3 ай бұрын
Sio kwamba umesahau na mzee Agostino mahiga
@Booking247
2 ай бұрын
Mkapa umemsahau kigogo
@lucaschimba3148
3 ай бұрын
hata leo viongozi ambao wataisumbua ccm 2025 wameondolewa ili uchaguzi usiwe mgumu tumefundishwa ujasusi tumeizidi hata urusi
@alipomwamahonje
3 ай бұрын
Hakika wapumnzike kwa amani😢
@patriciamaganga3891
2 ай бұрын
Mbona picha ya JV Mwapachu?
@owdengodfrey771
3 ай бұрын
Mbona hujamtaja Agustene mahige??
@ezekielmburu3418
3 ай бұрын
Corona
@magomakabanja480
3 ай бұрын
Siwezi Kusema Kityu Halafu Ututajie Walio Potea Mpaka Sasa na Walio Jeruhiwa Wakati Huo wa Awam ya 5
@MabulaLeonard
3 ай бұрын
Tutakufa wote 20100
@stephenruvuga7
3 ай бұрын
Kumbukumbu yenye machungu; mwandaaji hakiki na ujiridhishe kuhusu habari ulizotoa na picha ulizotumia za Mwapachu; unazumzungumzia Juma Mwapachu au Bakari Mwapachu? Kuna mkanganyiko!!
@drsumatz7539
3 ай бұрын
Mfugale muhandisi umesahau
@mwanagwakyala3213
3 ай бұрын
watu muhimu tu ????????
@MACHOYATAI-jk6fu
2 ай бұрын
Walikuwa wanauwawa na kikwete
@ernestkatyega5781
2 ай бұрын
Litakukuta jambo
@engelbertmkindi5648
2 ай бұрын
Huyu ni Juma Mwapachu mnakosea sana.
@samuelmwamkinga751
2 ай бұрын
Hakika, Wengi wanawachanganya
@ashachitemo7816
3 ай бұрын
Ni vifo vya mkakati!!
@davidbinna1202
3 ай бұрын
Hamna baya wakuu
@ObeidkilalikaRubuye
2 ай бұрын
Hakuna mjadala mbele ya kifo
@zahirallyzorro3940
3 ай бұрын
Umemsahau Mfwigale
@hassanmfaume4522
3 ай бұрын
Kama wakati wa mama kakimbia kuhojiwa juu ya upigaji mkubwa uliofanyika wakati wa mwendazake sekta ya barabara😅😅😅
@user-te1gg8uj7j
3 ай бұрын
@@hassanmfaume4522upigaji gani alioufanya mfugale???uzushi TU!huu upigaji wa Sasa huuoni??au kwasababu ya kufanana faith!?
@joshuakasemelo1675
3 ай бұрын
Tatizo magufuli colona aliichukulia ni ushilikina wakaanza kupiga nyungu hayo yakawa matokeo ya kupuuza colona
@yohanamagehematictok
3 ай бұрын
Kwa hiyo na yeye ni cirona ilimuondoa, na hiyo corona ilikuwa inawatafuta vigogo
@ananiamaganga786
3 ай бұрын
Tulia wewe hakuna Cha korona Wala nini hivi kwani nawewe ni mtanzania na hujui Mambo yaliyofanyika
@BongoSihami
3 ай бұрын
Kiburi cha mtu mmoja kilileta maafa kwa taifa na familia nyingi ...Mungu akaingilia kati, taifa likapona
@obedkiswaga2790
2 ай бұрын
Wewe ni fala sana
@user-rk2sb2lb1q
2 ай бұрын
We jamaa hutokaa ujitambue milele
@HamisMghuna-fj3vz
3 ай бұрын
Ufisadi upi mbona CAG Asad,alitolewa baada kusema trion 1:5hazionekani,na ya Logola,+mkurungenz,Geita,acheni upendeleo,sahiv,kutekwa,wajulikana,pia,hakuna,wawekazaji,hawaporwi,mali,zao,matajiri wa merudi Dare salaam,akiwemo MANJI,DANGOTE,MBOWE,LISSU,Dangote,alifunga kiwanda,cha sumenti,acha mzee baba,fact ndoo hiyo,
Пікірлер: 146