Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@saidramadhan71
2 ай бұрын
Mama tunakuomba tusikilize na sisi watu wako wapiga kula wako mama silaa mrudishe aridhi mama
@safiaothman5175
2 ай бұрын
Kweli kabisa Jerry Slaa anafaa kuendelea kuwa Waziri wa Ardhi,Nyumba ma maendeleo ya makazi kwani ni mtetezi wa wantonge na kwa muda mfupi ametatua migogoro mbalimbali ya ardhi.
@johnmbise8996
2 ай бұрын
Slaa hapa alikua sawa kabisa
@salomewandya7257
2 ай бұрын
Kabisaa 😢😢
@hafsalucky1088
2 ай бұрын
Kweli Kabisa Silaa arudishwe Aridh, Please mama yetu
@ShortyShorty-mr3jb
2 ай бұрын
Ni kweli kabisa ndg yangu
@PrinceHendry-hp8vv
2 ай бұрын
Bro nape hongera umetumbuliwa kishujaa huku umetudokeza nini mnafanyaga kwenye kuiba kura mkisaidiana na mtaalam wa it January mk asante broo
@kamikazineema1957
2 ай бұрын
Slaa alisimama kwenye kazi yake vizuri👏👏👏mungu akumbuke kazi alio ifanya🙏🙏🙏from 🇷🇼
@usembiphonedar5632
2 ай бұрын
Ni kweli amejitashidi kuwajibika vizuri kwenye wizara ya ardhi lakini serikali ya ccm ni janga kwa Taifa hili! Nakumbuka huyo Slaa ndiyo wale mawaziri waliyopewa uwaziri wa shukrani kwa kupigia kampeni mkataba wa bandari IGA na kuupitisha kuuza bandari za Tanganyika kwa mkataba wa milele! Bado kuna mawaziri na viongozi mizigo wengi kwenye serikali hii ya ccm! Dawa ni wananchi kujitambua na kuikataa ccm uchaguzi huu 2024/2025 kuanzia wenyeviti wa vitongoji, mitaa, vijiji, madiwani, wabunge na Rais msiwachague hao wauza rasilimali zetu! Mtajutia baadae! Ikatae ccm sasa!
@majidimussa8678
2 ай бұрын
Asante sana mama kwa kutuondoleo mwenye dharau kwa maboss wake walipa kodi pamoja na mpambe wake,ila kwa siraa Anafiti sana Ardhi
@monicasimpilu6257
2 ай бұрын
Kwanza nianze kwa kumshukuru Mungu Muumba Mbinguna Ardhi. Ubarikiwe sana mpendwa raisi wetu kwa kuyaona hayo. Ila kwa upande wa Silaa kijana muadilifu alifaa sana ardhi. Mungu aeendelee kukupa maono yake Ubarikiwe sana❤
@nicolausngindo6712
2 ай бұрын
Hongera sana Rais wetu kwa kazi nzuri sana
@ndukulusudikucho_
2 ай бұрын
Mungu ibarik Tanzania 🇹🇿, Mwenyezi mpe afya na umri mrefu Rais wetu
@KaburuKimath-eu5nf
2 ай бұрын
Bado wizara ya pesa
@joycemmassi5046
2 ай бұрын
Big up mama Yetu umeona mbali sana na sasa bado Bodi ya Mazao huko Korosho/Ufuta n k
@FatnaMfinanga
2 ай бұрын
Mama umefanyavizuri kuwatenguwa nape namakamba ila kwasila kubadilisha wizara hapo hujawatendea watanzania haki sila alifiti ktk wizara hiyo alikuwa matumaini yawatanzania wengi kupata haki Yao waliyo zulumiwa alifiti sana ktk wizara Ile watanzania wameumia sana ila ww ndiye mkuu wanachi unajuwa unachokifanya kazi iyendelee mweshimiwa
@giovannir.restone182
2 ай бұрын
Slaa alifanya vizuri sana kwnye Wizara ya Ardhi
@DeusdeditMichael
2 ай бұрын
Alianza kulemewa.
@AidaniJohnKomba
2 ай бұрын
Mama mtoe Ridhiwani pls hana ufanisi, atoke haijarishi uchawa sio ishu
@salehesalehe2967
2 ай бұрын
Anakula kwenu acha chuki nae anahaki ya kuchaguliwa
@LatifaJuma-z5w
2 ай бұрын
Mama Samia tunakuomba mama mrudishe silaha kwenye kazi yake ana fanya vizuri sana mama 😢😢
@baghabaghaingwengwe1750
2 ай бұрын
Slaa imefanya vizuri mno kwenye wizari yake sasa ckikizeni wizara ya ardhi dhulma itarudi kama wamati wa yule mama
@DavidJosia
2 ай бұрын
HAPA MAMA BADO WAWILI HUYO WA SUKARI NA WA NOTI WANATUNYONYA SANA MAMA
@mohamedkazema6381
2 ай бұрын
Apparently taking Slaa from Ardhi is a big mistake .
@FahadAbubakari
2 ай бұрын
I saw it coming in tz good people are not wanted who ever trying to do good is taken away , they use Nape mayhem to soften his Transfer ,
@MejjatScott-mf2vi
2 ай бұрын
Mama umechelewa sana! Nape na Makamba ni poison kwako
@stevenjackson4985
2 ай бұрын
Sio kwake bali ni kwa nchi
@nicodemashaggite8429
2 ай бұрын
Mwigulu hatufai Tz, mama ukitaka kujua fanya kama kuuliza waziri gani atoke!! Hana kibali kwa watu ila kwako tu mama
@mungunipemwishomwema6737
2 ай бұрын
Big up my mommy ❤ U more and ever ,God be with u, I beg U 2 be my roll model
@christinadominic980
2 ай бұрын
Hongera sana kaka Longo mungu akusimamie kwa kazi yako mpya
@ME-kb8rk
2 ай бұрын
Mama hongera kwa kuwatumbua Makamba na Nape, Maua yako kama yote!🌺🥀🌼🌷🏵🌸🌹 Jerry Silaa tafadhali mrudishe Ardhi Mama.... Mama vipi yule wa "ukishindwa maisha uhamie Burundi" siku yake lini Mama? Tunangoja kwa hamu!
@zulekhanassor6323
2 ай бұрын
Ass Aleykum Wapiga kura hao wamefurahi saana inafaa wasikilizwe maahauri yao shukran Mh
@gkanyanda1173
2 ай бұрын
Uko sawa mh rais ...waropokaji.hao vilaza
@RabihuHussein
2 ай бұрын
watu watammiss sana Mh Slaa! dah nape na makamba kutenguliwa si bure kuna donge nono linawajia kwaajili ya maandalizi muhimu huko mbele.
@EmmanuelSimion-d3e
2 ай бұрын
Umenena!!!
@raymondngajagu66
2 ай бұрын
Kauli zake alizotoa haukusikia Yanga ilichukua nafasi
@usembiphonedar5632
2 ай бұрын
Umeongea neno nimekuelewa vizuri sana ndugu! Hawa wanawezakuwa wametolewa uwaziri lakini chini ya kapeti kuna yaliyojificha mengi! kadiri siku zinaenda yatajulikana tu! Hawa watu wamelalamikiwa sana na wananchi tangu mwanzo kuteuliwa kwao lakini wameachwa wamekula kwa urefu wa kamba kwanza wameshajilimbikizia vya kutosha ndiyo wanatolewa! Hapo bado siyo mwisho wa upigaji! Hawa mashetani nakumbuka hata jpm aliona hawafai akawatumbua! Bado kuna na wengine mizigo ndani ya serikali hii! Naamini kadiri muda unaenda Mungu atawaadhibu kadiri ya matendo yao! Ccm siyo ya kuendelea kuongoza Taifa hili tena!
@boaziamos1224
2 ай бұрын
Safi
@AnaniaMhoja
2 ай бұрын
Mama mimi ni mtanzania mwadilifu kabisa, kwanza nikupongeze kwa kazi nzuri ya kuiongoza nchi yetu pili nikupe pole kwani kuna watu waliokuzunguka hawakupi ushirikiano sio kwa bahati mbaya ila ni kwa makusudi,mfano huwezi kuwa kiongozi halafu ukawa na kauli mbovu kiasi cha kuwafanya wananchi waichukie serikali,Mwigulu hafai,Chalamila hafai,Bashe hafai, hawa uliowatengua hakika umefanya matamanio ya watanzania wengi. Mungu akubariki Raisi wetu.
@DeusdeditMichael
2 ай бұрын
BASHE ANAFAA SANA. NA ANAIJUA KAZI YAKE VIZURI.
@ME-kb8rk
2 ай бұрын
BASHE ANAFAA SANA!!! SANA!!! ANAIJUA KAZI YAKE!
@monicamwita7865
2 ай бұрын
Huyu wa sukari?? Anafaa kwa lipi?@@DeusdeditMichael
@greenwellnsyukwe4729
2 ай бұрын
Mungu unisamehe Mm, Mwigulu simpendi kabisa kwa sababu anafanya mambo mengine haangalii khari halisi ya watanzania.
@salehesalehe2967
2 ай бұрын
Anakula kwenu
@anthonymgina3893
2 ай бұрын
Mama OYEEE!!, Mama OYEEEEE!!, Nasema tena Mama OYEEEEEEE!!!, Hongera sana mama na KAZI IENDELEE.
@saidalhinai1131
2 ай бұрын
Rais umekosea kumtoa slaa kwenye waziri wa ardhi sasa masikini watalia hawana mtetezi bora mrudishe mimi maoni yangu
@abubakarimussa9131
2 ай бұрын
Mwigulu kwanini bado unamuaacha ama lenu moja
@abdul-rahimkadhi766
2 ай бұрын
Amekukosea nini!?
@raymondngajagu66
2 ай бұрын
@@abdul-rahimkadhi766alitwambia tuhamia Burundi kauli hiyo sio ya kiongozi mwadilifu
@tato8979
2 ай бұрын
😂😂😂@@raymondngajagu66
@elizabethismile6827
2 ай бұрын
😂😂😂😂
@stevenjackson4985
2 ай бұрын
Hiyo ni chuki binafsi. Mwigulu hana shida
@Fundi12345
2 ай бұрын
Hapo sawa rais wangu bado mwigiru nnnnn
@suleimansultan3333
2 ай бұрын
Kazi iendelee
@toniomega3890
2 ай бұрын
Well done Mama, i expect this from you, juu sii kwa kashifa zile. Mtu huwezi ongea kama umeibiwa kinywa,hiyo ni kujisahau nakuzoea kazi. Position aliyokuwa nayo na maeneno aliyoongea ni kukidhalilisha wana chama. you get what you deserved. Once again hongera MAMA kwa maamuzi yako ya busara. LIVE LONG
@lucylyuki4852
2 ай бұрын
Mamaaaa wakae mbali na siasa vijana wazurii wapooo
@MussaMakukulu
2 ай бұрын
Mama ahsante kwa kuliona hili.
@dorahmushi-we6ts
2 ай бұрын
Silaaaaaa,😢 wenye kujua kudhulumiwa tunampenda ,na bado tulimuhitaji huku kwny ardhi, alimudu, dhuluma inauma sana jamani!!
@EnockFumbuka
2 ай бұрын
Mwigulu uuuuuuu Toa .
@YusufLubangula-yn6tq
2 ай бұрын
Bado tuna mawazo na mtetezi wetu wa Wanyonge Mh Slaa Anaechapakazi Hadi USIKU! Sijui atarudi lini kwenye wizara ya Aridh🤔 Hakika Alitusaidia sana Wanyonge 😟🤔
@maikoyona-cm5xu
2 ай бұрын
💥💥
@johnkmjema9727
2 ай бұрын
Bado Mmoja!!!
@venancemwanya4212
2 ай бұрын
Hapo Samia sasa nimekuelewamo. Yaani kumtengua Nape umefanya kazi nzuri na inayo tukuka. Samia sasa umeweza kujitenga na viongozi wa hovyo. Ila napata shida sana na Makamba cjui ana shida gani kila mara lazima atenguliwe ama kubadilishwa position kila awamu. Mama wewe ndio unajua anyway. Kwa nape umefanya vyema.
@philipongenzatv
2 ай бұрын
Hujui tu kilichofanyika
@nicodemashaggite8429
2 ай бұрын
Hata mm sijaelewa ila kama ndivyo hivyo mama kaanua kutumikia wananchi Sasa rasmi But time will tell the truth@@philipongenzatv
@AMENMUSHI-wt4li
2 ай бұрын
Mama Mungu kakuonyesha mwiba mwiba mwiba wa kutaka urais 2030 urais unatafutwa uondoke washike Bors umeshutuka kikulacho ki unguo mwako Cheka nao c wema kwako
@GoodluckTarimo-u3j
2 ай бұрын
Nape na makamba hao wameandaliwa kwaajili ya uchaguzi hapo Kuna sniper na IT
@JosephJon-wk6il
2 ай бұрын
Mama kazi nzuli sana napeakasomee shelia mtama mwehu huyo
@lucylyuki4852
2 ай бұрын
Huyo Nape na makamba wakalimeeeee waone tinavyoteseka walijisahau mnooo hapa sasa sawa
@NardhisMhagama-sy3eq
2 ай бұрын
Umechelewa anakumbuka shuka asubuhi
@JesusJesus-ny1sm
2 ай бұрын
Alishachemka zamani, alitudharau WaTanzania mda mrefu sana leo hakuna mtu anaona la maana kuwaondowa hao, Rais mwanamke Tanzania hawezi kwa sasa labda baadae.
@hawahussein137
2 ай бұрын
Slaa alijitahidi wizara ya ardhi
@saidabdillahi8107
2 ай бұрын
Best decision ever kwa kumuondoa Makamba nasikia alikopa mabilioni utawala wa kikwete au Magufuli kumpa uongozi mdaiwa wa mabilioni nikumlazimisha kuiba alipe madeni
@paschaljoh5729
2 ай бұрын
Huyu Mama miyeyusho tu, Utenguzi wa Nape na Makamba hayo ni mambo y kisiasa tu kwasababu tunakaribia uchaguz mbona tangu wanapiga pesa mbona hakufanya hivyo anatuzingua tu huyo Mwanamke
@lucylyuki4852
2 ай бұрын
Niambie ndugu yangu Ili tupige juraaa ehh
@SophiaKamgunda
2 ай бұрын
Kumtengua Slaa umeniumiza kama ulvomtengua Makonda akiwa Muenez Taifa
@margarethsolomon9823
2 ай бұрын
Rais Samia umeanza kukubali maana GenZ wa Kenya wameonyesha mfano. Bora uanze mapema. ILA hujafanya VIZURI kumtoa JERRY SLAA kwenye kitengo cha Ardhi. Bado pia hujamtoa mtu mmoja anayetuumiza na TOZO, mwenye kutuambia tukishindwa maisha tuhamie Burundi. Kwa haya machache nimekupa UA moja 🌹✔️
@nicodemashaggite8429
2 ай бұрын
Mama Slaa slaa Slaa Slaa Slaa bring back Jerry Slaa Ardhi
@SmilingCityMap-xb9md
2 ай бұрын
Kwa kweli nitakuwa mnafki nisipompongeza nape kwa kutujulisha halamu na nusu halamu na halali wengine tuliijui halali pekee
@amotvtz1302
2 ай бұрын
Hapo kwa nape umecheza kama Pele rais wangu nape Hana sita ya uongozi akalime tu😊
@annamwakibinga527
2 ай бұрын
Yaani kuna mawaziri wengine utadhani cheo cha mpaka kufa wanajisahau sana sana wanajiona wao Mungu watu.
@josephgalandu128
2 ай бұрын
South Africa and Kenya😮😮😮😮😮
@hamidabarraball3162
2 ай бұрын
Umeenda haki kumtumbua nape mnauya, huyu ni mhuni na mwizi wa kura zetu,
@britoMdemeka-eg6xj
2 ай бұрын
Kuna mchezo hapo siyo utumbuzi huo
@Nick16697
2 ай бұрын
Wanaandaliwa hao 2925
@MartiniEnock-e2e
2 ай бұрын
Huyo nnape atarudishwa kwa kazi yake
@naqiahmad26
2 ай бұрын
Dr Slaa ni silaha, natoa amri Slaa arudishwe
@MaryamKhawar-h3j
2 ай бұрын
Tunakuomba rais wetu kipenzi arudi silaha kwenye ofis ya ardh aliwatetea sana waliodhulumiwa tunakuomba sana mama yetu mpendwa
@aminaomary5567
2 ай бұрын
MAMA huko juu. Safi sana.❤❤❤
@JaneChissawilo-dr7nn
2 ай бұрын
MH. Rais Doctor Samia Suluhu Ninakushauri sana umuache Slaa kwenye ardhi aliyekushauri kumtoa Slaa kwenye ardhi ukakubali hujatenda haki kwa watanzania. Tunaomba umrudishe ndiyo itakuwa salama. Maana ndiyo kwanza alikuwa amechora ramani ya utendaji. Vinginevyo utaharibu sana kwa hapo.Mrudishe Slaa
@bakarimakalo7128
2 ай бұрын
Please Mama, Jerry Slaa has Done the Best in Minustry of Land. We still need this Guy there. But where is Mwigullu?
@Frankgamanuel
2 ай бұрын
Jambo lakwanza mh.Slaa binafsi naomba kwanza hushughulike na service za mitandao Naisi kuna mambo sio sawa kabisa Exemple garama wanazo tucharge sio rafiki nikama wanatuibia . Makamba na Nape Naisi wanatayarishwa kupewa nafasi nyungine muhimu zaidi ndivyo inavyo honekana sio kwamba wamepigwa chini Hii Nchi bwana mi Naipenda sana the way stlye ya maisha na viongozi wetu tunavyo hishi.
@georgematiko1732
2 ай бұрын
Mama,wapiga kura wako tunaamini kuwa wewe no msikivu sana! Mama,chonde chonde Silaa mama Silaa alitufaa sana ardhi
@Worldunite
2 ай бұрын
..ila kuhusu mheshimiwa Slaa, hapana, ni heri angebaki kuwa waziri wa ardhi
@MikaMolell
2 ай бұрын
Mama uko sawa tumbuwa waraimbifu wachama rasiwagu
@RajabuMkonje
2 ай бұрын
Tupo july january ishapitwa na wakati
@meryshekoloa961
2 ай бұрын
Barikiwa
@dignakanje4508
2 ай бұрын
Mama mpole raisi unaetafakari vzr nakugumdua wananchi wanatamani nn.Nakupongeza nakuombea,uteuzi nimzuri sana,ila mama mweshimiwa muigulu kitngo ulichomweka hkimfai kbisa,nikilio chawengi watanzania tunaojali amani yanchi hii.Mpe kitengo kingine.Wanapewa madaraka wanakuwa nadharau namajibu yasiopendeza watanzania.Mungu akupe hkma mama najicho lakuona nakusikiliza.Hongera kwakujua watanzania wako wanatekwa bila sababu,tumekuwa waoga kwakuogopa wasiojukikana.Tulinde raisi tulinde mama Samia suluu hsani.🎉🎉
@hawaelymaricca7602
2 ай бұрын
Mama yangu mpendwa hongera sana kwa kumtoa NAPE Na MAKAMBA ,hongera sana ila SILAA AKAE MIEZ MITATU HUKO THEN UMRUDISHE ARDHI
@KarimHussain-z5i
2 ай бұрын
Mama anajielewa kisawasawa.Huyo ndy SAMIA SULUHU BWANA.Hapo bado moja tu.
@ME-kb8rk
2 ай бұрын
Wawili
@GilbertCheyo
2 ай бұрын
Mama!!!!!
@simonchristian6319
2 ай бұрын
Silaa Bora uje huku,mitandao wezi sana
@EzekielChalomhola
2 ай бұрын
Nafikir watajufunza
@saiditasher8362
2 ай бұрын
Watanzania wanzangu wala msifulaishwe kwa kutenguliwa nape na makamba uyu mama samia mtu wao kunajambo lao wanalo lipanga mtakujakuona mama samia apindui kwa timu msonga dawa tuwapeni nafasi ata wapinzani japokuwa awanasela yakutosha tujalibuni uwenda tukawa afueni😅😬🇹🇿
@ROZITHOMAS-y4q
2 ай бұрын
Upinzani sikubaliani nao. Kama mbowe tangu msichana mpaka sasa yeye ni mwenyekiti wa chama. Inavyoelekea hicho chama hakijui kupika viongozi . Ccm ni chama kinChojua kupika viongozi. Hapo kenya unaona ruto chama pinzani jinsi anavyopata tabu. Wacha tubaki na zee let ccm .
@PetroSilas-bm2ic
2 ай бұрын
Hata kwenye familia ukiwa Huna pesa thamani yako ni bure.Muacheni mbowe ana kazi kubwa kwenye chama.kukijenga chama wakati mwingine unaweza kutumia pesa binafsi ili jambo fulani liende kuhakikisha kinakua.vyama vingine vimekufa kwa nini?nguvu ya pesa haipo.Binadamu hakosi kasoro.lakini zisizidi.tumuache kwanza.
@ROZITHOMAS-y4q
2 ай бұрын
Mama silaa kafanyaje tena. Labda waziri slaa ameomba apumzishwe maana hii wizara unaweza kufa mapema.
@wanguwangu34
2 ай бұрын
Mhii no comments about Jerry Silaa but...
@princeteu973
2 ай бұрын
Makonda has won😊
@jumakapilima7295
2 ай бұрын
What has he won?
@zablonmlazi4415
2 ай бұрын
Mama kajielewa kabisa. Nape na January mzee magu aliwakataa kabisa hao watu
@rehemashabaniameen
2 ай бұрын
Wali lambishwa tena kuona kama watabidilika ila tabia nikama ngozi kuibadili haiwezeni
@restitutalucian78
2 ай бұрын
Kwa mh silaa mama umefeliiiii
@brezhnevthadey7368
2 ай бұрын
Ila kwa silaha dah sijui itakuaje
@BUDIDACHOYA
2 ай бұрын
Mwigulu aka! Huyu kimeo!
@MagrethMallya-we8ui
2 ай бұрын
Mkubwa Huwa akosei ila kwa SLAA Umechemka.
@Lusindehalima-si3ej
2 ай бұрын
Mama kwanza pole na majukumu Rais wetu mpendwa, mama upo vizuri ila slaa aliitendea haki wizara ya aridhi haki ya mungu chonde mrudishe jamani amerudisha imani ya watu wengi kwenye ccm utazoa kura nyingi sana kwa utendaji kazi wa slaa ila bado umemuacha mwigulu ungembadilisha pale sio kabisa
@DeusdeditMichael
2 ай бұрын
Slaa alilemewa. Na siku za hapa karibuni alikuwa amechoshwa sana. Hivyo ni bora amempa mapumziko, ni kwa faida ya Slaa.
@gloriamichael7935
2 ай бұрын
Uwiiii silaa
@anicetminde3362
2 ай бұрын
Silaa umeenda spidi mno hongera kwa kutetea haki😢
@PetroSilas-bm2ic
2 ай бұрын
Mama ukisikia mtu fulani hafai .basi chukua hatua .watanzania wanataka kauli zako .wakati huu ni mgumu kwako kupitia viongozi uliowateua .wanaharibu taifa.kwa mtendo yao na kauli zao.mbona wapo watu wenye hofu ya Mungu na watendaji wazuri tu.ushauri wangu .achana na watoto wa kifalme waibue wengine watakusaida.kazi njema mama.
@PetroSilas-bm2ic
2 ай бұрын
Umesha wajaro has vijana watano na wazee wawili waio achwa na mzee magu.matokeo yake wanakuangusha mapema kabla 2025.kuwa makini.ila nashauri mrudishe slaa.ardhi anafiti.labda kama kuna lililojificha watanzania hatulijui..
@lucylyuki4852
2 ай бұрын
Yasooo kwailingalinga
@SwaumuMohammed-w2l
2 ай бұрын
Apo kwa siraha ametuangusha😢😢😢😢
@mpefu_4936
2 ай бұрын
Mwigiru naona ni nguvu za Giza anatumia
@gerowadamwandika669
2 ай бұрын
Mama mrudishe Slaa Ardhi kafanya kazi iliyotukuka kumsaidia wanyonge kurudishiwa Ardhi zao walizokiwa wamepokonywa na wenye pesa kwa Hila. Mama mama plse. Tumrudishie Slaa wetu.
@nantaembanusurupia5674
2 ай бұрын
Rizi wani tena! Nipo paleee
@ElibarikiMshana
2 ай бұрын
Mimi sijafurahia silaa kuondolewa Aridhi kwani anafiti hiyo wizara na Anatetea wanyonge , why this,?
@josephgalandu128
2 ай бұрын
Heeeeeeheeeee eee Mungu
@RobertBitambaOfficial
2 ай бұрын
Mtoe mwinguli hatuna Imani naye
@gladistaemanueliy6336
2 ай бұрын
Mama mama mama kwa slaa umetuonea, ila kwa nape na makamba umechelewa kuwafukuza bado mwigulu aondoke
@husseinkarim7663
2 ай бұрын
Mheshmiwa Jerry Slaa alikuwa anafanya uzuri kwenye Ardhi kutoa haki kwa wanyonge.
@ommimg2467
2 ай бұрын
Hao wanatafutiwa donge kubwa kaeni hapo mkidhania hawapo tn
@EnockFumbuka
2 ай бұрын
Slaa no experience.
@charlessentiyongo8484
2 ай бұрын
Dr.slaa alifit kwenye ardhi,na alitenda haki sana, alikuwa na msimamo mkubwa sana, kiongozi inatakiwa kuwa hivyo na si vinginevyo
@BeatusKLeon
2 ай бұрын
Angemuacha Silaa abaki pale Ardhi, alipamudu sana.
@dorahmushi-we6ts
2 ай бұрын
Silaa ardhi aliitendea haki na alijitoa sana, angalau dhuluma zingepungua zaidi kama sio kuisha, lkn rais na jopo lake naamini wanamuamini pia waliyemleta ktk hii wizara ngumu na iliyojaa kesi.
@FransisLaurenti
2 ай бұрын
Nc
@paulmabena5684
2 ай бұрын
Kwa Slasa duuuu tumkumbuka ardhi
@madamloveness7274
2 ай бұрын
Ni sawa Ila kumtoa silaa kwenye ardhi ni dhuluma na majonzi kwa wananchi
Пікірлер: 373