Yanga hongereni sana nawatakieni mafanikio makubwa big up
@STELAMBALE-sy3vj
11 ай бұрын
Asante yanga daima mbele nyuma mwiko.
@patridabernard9148
Жыл бұрын
Hongera sana timu ya WATAALAMU wananchi na so wanaofurahia eti kufungwa na usm mmetupwa kama mbwa midomo kimyaaaaaa dadadeki!! Na badooooo big up sana yanga
@mapusaadam4084
Жыл бұрын
Kwa kazi waliyofanya na mabadiliko waliyoyafanya wanastahili hizo sifa na Rank walizopanda kidunia, Afrika na Afrika mashariki na ya kati. Hongera sana timu ya wananchi💪
@williammagese9489
Жыл бұрын
Usikariri, Kila chombo kina vigezo vyake vya kupata ubora caf ina vipimo vyake na fifa ina vipimo vyake ndo anavyoongelea huyo.
Yanga wanastahili hizi nafasi wanajituma sana na umoja wao kwa pamoja kama timu Hongereni sana Yangu
@MsafiriMsaghaa-xv5oe
10 ай бұрын
Jamani kwa yanga hii,wa upande wa pili mtusamehe mwaka huu
@elihosemtango7708
Жыл бұрын
Ahmed Aly Kama kiongozi was timu hafai kuiongoza Simba .Yangu hongereni .hongera Tz.watani igeni wekeni tunguli zenu kando huu ni wakati soka la kisasa.
@user-wn6fj1pt3b
9 ай бұрын
Hongera yanga pamoja na uwongo z wote wa yanga
@stanleymiyeji
Жыл бұрын
Hongela yanga kwakufanya vzr
@hoseakatunge9313
Жыл бұрын
Asante FIFA kwa kukuona hilo
@user-wn6fj1pt3b
9 ай бұрын
Asante yanga daima mbele nyuma mwiko
@user-sj1mh7od8i
8 ай бұрын
Mungu ibaliki yanga ifanikiwa kombela mabingwa🎉🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@VirejiaNgingo-zs1ef
Жыл бұрын
Hongereni Yanga
@sarahmgalama3503
Жыл бұрын
Majirani wanachanganyikiwa tu ,,hawatakiii😂😂
@dicksonjia844
Жыл бұрын
Congratulations all members of Young African's and all fans
@Sssqw12Aaaq-ck8up
Жыл бұрын
❤❤ niachi eni yanga yangu🎉 atakama atujapata kombe rakini ndio tusha kuwatishio arafu wanamchi iviamuoni kama ubinafsi uriotendeka japowenyewe ndio wanasema katibayao ndio inavyosema kwaza wametufanyia fujo piri wameingia na mafataki uwanjani irasio kesi kikubwa wachezaji wetu waposarama tunashukuru 😢 ukija upandewa nduguzetu iriobaki mcheke nyiesio wakupewa pore hehehehehe unanini day 🎉😂
@victornyese9009
9 ай бұрын
Hongera yanga wenzetu hawajielewi kila ikicheza mechi wanazidi kubeza tu sisi tunasubir vitendo tu
@swalehebilally1714
Жыл бұрын
naamini kabisa timu ya yanga leo inabeba kombe ktk ardhi ya ALGERIA INSHAA-ALLWAAH
@shukurulazaro8688
Жыл бұрын
Safi sana
@yusuphjilala846
Жыл бұрын
Yanga itazidikuwa imaraaaa😃😂😃😂😂😂
@dotoStan-xe7he
11 ай бұрын
Hiyo ni kweli
@auxbiussyliro
Жыл бұрын
Yanga ni noma
@MuhetaKikonga
4 ай бұрын
Jamani Mamenlod All ajali Waidad huwezikuwaweka na kinyago hicho pamoja
@salmamlokela1987
Жыл бұрын
Yaani wengine wana makasiriko sijui yanatokea wapi..,kila kitu kizur mnataka kiwe kwenu tu,simba muache roho za ubinafi
@erksumary1994
Жыл бұрын
Yanga timu kubwa
@peterherisina8700
10 ай бұрын
Sisi ndio YAANGA. aka WANANCHI
@rosemerrymasalakulangwa4456
Жыл бұрын
Yanga inatisha
@yusuphjilala846
Жыл бұрын
Yangaaaaa
@roberttendewa1753
9 ай бұрын
Yanga chama kubwa simba msijikwaze kuwa ninyi ndio mnao fanya nchi ijulikane no mbumbu fc Yanga ndiyo inafanya Dunia ishtuke kuhusu Tz.
@kibwanahuseni9517
Жыл бұрын
Yanga raha
@elizabethmgassa7243
4 ай бұрын
Mwambieni Ahmed Ally aache udada
@suleimanbadru819
9 ай бұрын
JITEKENYENI ,Tutajie mtandao msenge wee 4:04
@kamgishaisaya4763
Жыл бұрын
WANA MIKIA KUWENI MAKINI MAANA NAONA TUNAKO ELEKEA MTAKUWA WAGONJWA WA MOYO PRESHA YA KUPANDA NA KUSHUKA KWA SASA HAMNA CHENU KACHEZENI MCHANGANI WALAU MPATE KOMBE LA MBUZI
@simeonmandegele9242
9 ай бұрын
Ukishindwa kupanga;umepanga kushindwa!!
@lemakonassarifamily1091
5 ай бұрын
Msio elewa mtabaki hivyo hivyo uwezi ukawa. Na point 12 alafu ukampita mwenye point 35. Yanga wanashika nafisi ya 23 acheni kuwaongopea watu
@sosthenesmaemba
Жыл бұрын
Pamoja na hayo, msituletee zengwe, tunaitaji heshima na haki uwanjani kutokana na vite do vilivyofanyika uwanjani, Kwa timu zote kuwa na usawa wawapo uwanjani,
@user-hj5zd4qs3t
3 ай бұрын
Itakua vyema yanga ikipita
@mariammrisho3279
Жыл бұрын
Simba inaalama 35 ya 15 mpaka sasa wakichukuwa ubingwa inakuwa na alama 20
@IdrisKhamis
Жыл бұрын
yanga anatakiwa awe nafasi ya nne
@kanyeshahigirimana5686
Жыл бұрын
kabisa
@victornyese9009
9 ай бұрын
Sasahivi yamebaki maneno ooh yanga wachawi wanatuloga ndio maneno yao
@LamaSichone-nt3wg
Жыл бұрын
yanga
@aishafranco1055
9 ай бұрын
YANGA HII NAIONA IKIFIKA FAINALI
@user-vj9pu3rr8q
7 ай бұрын
Hatuna mpinzani
@akidajulius1581
Жыл бұрын
BASI WALE JAMAA WANAO PENDA KUFANANA WAKISIKIA HII TAKWIMU,utasikia nawa walisha fikaga mwaka fulan hivi
@francisphilipo5749
Жыл бұрын
Hizo takwimu ni za kampuni binadsi zimeangalia klabu zilifanya vizura 2223 na SI za caf caf watatoa zakwao mwezi wa SITA mwisho I hamjitambu/mjitafakali bekane alibeba kombe 2122 shilikisho je yupo kumi Bora afrika mjitafakali sana
@kanyeshahigirimana5686
Жыл бұрын
wivu wa nini francis phiipo 5749
@prosperdabulu2618
Жыл бұрын
Sasa wana thimba mnaongea tu mnakataa ukweli, sawa tusiongelee nje huko tuongee ndani tu yaani ndani tu, mpo wapi kwa ligi za ndani wana thimba???😅😅😅, Ushabiki mwingi mnaona yanga hawawezi huku hata ndani tu yanga imewashindwa inachukua kila kitu na haiachi hata kimojaaaa😅😅😅😅
@leonardluhende4473
4 ай бұрын
Tuje kwenye car rank yanga wa ngapi?
@hiltonmziray3730
Жыл бұрын
Simba inapoint 35 na Yanga point 30 Afrika hata mwanafunzi wa chekechea anajua nani mkubwa.
@jumamnumbwa9483
Жыл бұрын
Mmh!!
@kamgishaisaya4763
Жыл бұрын
KUNA WACHANGIAJI WENGINE NI MASHABIKI NA KUNA WAKEREKETWA KAWAIYO USIONE AJABU KUNA MTUANAUMIA KWAKUIONA YANGAAFRIKA IMEKUWA KATIKA NAFASI IYO, NA ANESEMA SIVIONGOZI WA YANGAAFRIKA BARI NI RAIS WA FIFA
@francisphilipo5749
Жыл бұрын
Mnajitekenya huku mnacheka yanga bado ni 20 afrika Simba ni Saba na caf bado hawajatoa takwimu nyingine muache wehu
@DeogratiusmalimaBurilo-wc2dz
Жыл бұрын
Tinawapatia maua ya kongole
@simonkazibure1628
Жыл бұрын
Mnaoionea gere Yanga mkumbuke tuliwaambia kuwa kwa kadiri mmavyoisimanga ndivyo mnavyoikomaza na ikiisha kukomaa mtaishangaa itakavyokuwa inafanya vizuri. Na sasa tumefika hapo.
@sylivestermachemba5776
9 ай бұрын
Mange mbaya
@marcokaroje8980
Жыл бұрын
Kinachowasmbua makolo ni nini? Wakati hata ligi ya ndani hata kombe la kunywea mbege hawapati?
@tabithaemmanuel639
Жыл бұрын
Hahahahahaaaaaaaa kazi wanayo mwaka huu moo wao kimyaaaaa kama haoni na kusikia vileeee
@francisphilipo5749
Жыл бұрын
Wydad amebeba u ingea wa afrika je ni kwanini ajamshusha aliary ya misri jibu pointi alizonazo wydad haziwrzi kuwa namba Moja afrika msubiri be ca ft watoe takwimu zao
@CostansiaMtwigu-xh8li
Жыл бұрын
Lakini madunduka hayaelewi
@yusuphjilala846
Жыл бұрын
Wananchiiiiii
@irenemwanandenje2185
Жыл бұрын
Kazi kuwamalizia bando watu
@sulyshaaban9392
Жыл бұрын
Sio waliee tu bali walieeeee hadi keshokutwa na hawawezi kubadilisha lolote..ulopo ulopo ndo..
Kwa Tanzania Bado sana sio Simba wala yanga kiukweli waongo sana
@barbiepixie92
Жыл бұрын
😂😂😂😂 ila yanga ni hamnazo
@kanyeshahigirimana5686
Жыл бұрын
kama kilivyo kichwa chako kisivyo na akili
@TemwaJilaha-vw9md
Жыл бұрын
Wanaochukia mafanikio ya yanga wajinga hawana akili pumbavu hawa
@francisphilipo5749
Жыл бұрын
Hamjitambu nafasi za juu zinamuweka mtu mwenye point nyingi alizovuna na SI vingine Simba ana point I 36 caf yanga mpaka xaxa ana pointy 16 je anaweza kumshusha Simba
@kibokoyaotz4509
Жыл бұрын
Ww sio mzma yanga amevuka 16 kitambo
@robertmwakihwele279
Жыл бұрын
Francis hapa umeteleza, currently Simba ana point 35, yanga 20, na Namungo 1.5, ambazo zote zinatengeneza point za nchi kuwa 56.5, sasa hiyo 36 na 16 siyo sahihi.
@erastoantony1232
Жыл бұрын
We kweli kimeo kama hujui si utulie tu
@emariusrush3285
Жыл бұрын
@@kibokoyaotz4509 yanga ana point 20 mpaka Sasa Simba 38
@issaselemani491
Жыл бұрын
Takwimu hizi zimetolewa kimataifa,sasa sisi Yanga hatujitambui kwa lipi?Acha wivu wa kijinga.
@hasanikijuju-3369
Жыл бұрын
usiwapotoshe Wana michezo viwango vya timu vinapandishwa na vilabu clab bingwa afrika wewe msenge sana bas waambie wacheze super cup hanis wa kike.
@abdultsndega3411
Жыл бұрын
Humjui hakujui acha matusi yanakurudia mwenyewe kisport hakunaga hizo utauza ili kufidia kuwa mwangalifu akianza kukujua atakuita halafu ukishindwa?
@CostansiaMtwigu-xh8li
Жыл бұрын
Et klabu bingwa kwan shirikisho sio caf wew unaumwa so bure
@CostansiaMtwigu-xh8li
Жыл бұрын
@@abdultsndega3411 wamevurugwa hawa nafasi ya 6 sio mchezo
Hassan ukiona huwezi kisport acha si lazima uandike bando lako angalia cinema nakutahadharisha tena itakula kwako matusi hayo mtandaoni c ujanja itakugharimu.
@omaryrjohn65
Жыл бұрын
Inauma eee mwenye nacho mpeee
@CostansiaMtwigu-xh8li
Жыл бұрын
Hawa makolo wametupwa mbali toka 105 had 127 nabado watakufa presha acha wananchi tufurahi
@user-it6sp2qe7c
Жыл бұрын
Kama Yanga ni ya sita Afrika njooni mnichinje,nipo pale
@ahmadahamo6627
Жыл бұрын
Hatua ya fainari kombe ya Aflika wameshiliki. 😂😂😂😂
@khalifasaidi7001
Жыл бұрын
Good job,,,,safi sana! Yanga wana umoja wapo pamoja,, tatizo la timu ya simba ni mabwenyenye ile shoo ya mtummoja inawaharibia
@twalibmgagi1652
Жыл бұрын
Sisi tunachokataa hapo kusema Yanga amekuwa namba 1 Africa, hapo ametuongopea takwimu zipo wazi kwa Africa kwa mwaka huu namba 1 ni Al-Ahly ya Misri.
@user-iq9ww6ku4o
Жыл бұрын
Ikiwa ya sita mniite mbwa hata kumi Bora hawapo mtuacheeee
Пікірлер: 115