Motra the future kaingilia battle....team dizasta vina gonga like hap tujuane
@byronbornventure3957
Жыл бұрын
Mwamba Dizasta vina anatisha najivunia kulala na mkeo nimevumilia sana leo nmeamua kuweka wazi siogopi km utanikata koromeo we vina anatisha..🤙🏿
@Mbeyaconscious
Жыл бұрын
Hapo Mimi Kama Shabiki Wa Bongo Hip Hop Ninaamini Mziki Utachangamka Sasa! Sababu Dizasta Yeye Alielezea Tu! Na Wala Sio Dis Kwa Maelezo Yake 😅😅😅 Sasa Tunasubiri Dis Kutoka Kwake Ili Mashabiki Tuamue Nani Mkali Kushinda Mwenzie 🙌🙌🙌🙌 Mimi Nawakubali Wote Kwakweli 😅
@ibrahimusuphian454
Жыл бұрын
Humjui dizasta
@Ng_muscat
Жыл бұрын
Huwezi kusema ni ajasema diss wakati analinyoosha diss
@Mbeyaconscious
Жыл бұрын
@@Ng_muscat 😅😅😅 Wacha Moto Uwake
@Mbeyaconscious
Жыл бұрын
@@ibrahimusuphian454 Mimi Simjui Namfahamu! Na Ninawakubali Wote Sababu Kila Mtu Ana Ubunifu Tofauti Na Mwenzie
@innocentmakoba4863
Жыл бұрын
Kabisa
@sevystaronedancer1785
Жыл бұрын
Duuu kweli mmi na mkubali Rapcha kwa kizazi cha sasa ,ila mkali atabaki kuwa Dizasta vina ngoja tusubiri comeback ya Dizasta vina ✌️✌️✌️✌️✌️
@zulfaom6381
Жыл бұрын
Timu rapcha hebu weka like hapa tujuane
@pinotv1004
Жыл бұрын
Rapch ni noumaaaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@isaacmafole2136
Жыл бұрын
Rapcha hana mistari ya kushindana na dizasta vina ,,. Rapcha mtoto mdgo sana kumfananisha na dizasta ni zambi
@erastorukoka
Жыл бұрын
Dizasta mnyama mwingine sio level za rapcha
@mastaplan
Жыл бұрын
Dizasta Vina bado ipo juu kwenye hii CYCLE yao sisi wazee wa kilinge tunaelewa
@TheMint_tz
Жыл бұрын
Hii ndo game ya music tunayoitaka more love team Rapcha 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@maxmilianmexades6684
Жыл бұрын
Dogo rapcha anaimba taarabu tu mimi naona afroo yani ngoma yake hiyo hata demu anaweza akacheza na akakatika kabisa ila Dizasta ni another level pia ni mwandishi mkali sio dogo huyo anaandika upuuzi tu
@afyandogo
Жыл бұрын
Rafiki yangu aliniambia nyimbo zangu mbovu Eti sauti yangu chovu Ndugu yangu wa damu alisema vision yangu pofu Na bado tunaongea so unamind kisa like bob I wonder where your manner be Miaka 3 umeanza kushiba upuuzi wa hawa madrama kings Shukuru leo kakaako nipo so the school's free Skills ka’ Albert Mangwair ama Bruce lee....... 🔥🙌🏽 DIZASTA VINA✍️
@godwillmawere5533
Жыл бұрын
Dogo hawezi moto huu
@buruanisaidi2411
Жыл бұрын
Jamaa kaua vibaya
@Secondborn_
Жыл бұрын
Af dogo anapiga kelele tu ....hakajui hata maana ya Diss track ni lyrics sio style za kurap....lyrics kwanza then flow baaadae vilyrics vyake vya nuclear hata mm naviandika lisaa limoja tu mumble rappers sema dizasta akapotezee tu haka katoto anajishushia heshima.
@yakoboesenga5754
Жыл бұрын
Kwani ni siri sauti bovu ajui kuchana ni uandisha2 ndo anajua
@afyandogo
Жыл бұрын
@@yakoboesenga5754 nenda kamsikilize tena
@alexmwakasape3452
Жыл бұрын
Kwny Nobody is safe 4 Disaster alisema jamii imejaa ujinga that's why he is not famous....kuptia hii analysis yko nmeamin Disaster is genius aise na yupo sahih kabsa🙌
@bish_daddiyao
Жыл бұрын
I Love The Kid Of 1999 still Hard On Dezasta Damn That's The HardCore❤️🎶🎧I love HipHop🙌🏾❤️🎧Let It Follow Guyz
@sadakati
Жыл бұрын
Dizasta recording Tale left Lunya typing Vaniskaka reacting
@barakastephan9425
Жыл бұрын
Sasa Rapcha mbona kama kakurupuka kuRespond to this one🤣🤣. Tulishajua who's the best even before all these. I think 99 anahisi hii ni freestyle bado🤣. Bado best friend ndio ngoma kali zaidi .
@mwasokambingela9312
Жыл бұрын
Kaka mkubwa Sky Asante saana kwa uchambuzi,ni kwasababu tunahitaji game ichangamke lakini kiukweli kabisa ukweli unajulikana kwamba huyo dogo Rapcha hamuwezi hata kidogo DIZASTA,Dizasta ni level nyingine aisee kwa kila kitu,rhymes, content,story telling,IQ, hata freestyle,shule kichwani,hata maisha Dizasta anaishi Hip hop,huyo dogo yaani hamuwezi Dizasta kwa chochote ,,yeye rapcha ndiye anayebenifit na hii anayoiita beef / diss lakini ukweli ni kwamba there is no competition between them, hapa tutakua tuna mu underrate Na kumkosea heshima na adabu Dizasta ni 🔥 ,rapcha ana kipaji Lakini sio kama Dizasta ni GENIOUS ,,huyo dogo apambane na kina lunya,msodoki na kina young D labda ndio size yake tena rapcha amshukuru P FUNK MAJANI kwa kumleta mjini vinginevyo angeishia shinyanga na watoto wenzake wa 1999..Dogo Arudi shule coz the school fees is free kwa Dizasta.dogo ajifunze ku appreciate sio Dhambi .asante ni hayo tu 👊 🙏
@daudngatunga5024
Жыл бұрын
Hakuna haja ya ku judge historia... Acha ngoma hizi za diss ziongee....to me mpaka sasa ngoma ni moja moja ....nasubir comeback
@SUNDAYMRGAMINGTZ
Жыл бұрын
Kama ya dizasta sio dis lakni Ina dakika 8..... Nazamani kituo kinachofata ni EP dis track 😆😆😆😆 hata ivyo hapa wanatofautiana mmoja mkali wa mashairi mwingne mkali wa mistari.... Wachache watanielewa..... 💚💚
@ewardnestory258
Жыл бұрын
Bonge la point na hicho ndio Mimi nilichkiona but all in all nawakubali wote
@messaabbas739
Жыл бұрын
Best friend iko vizur,,,,Dizasta vina 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@DJMtes
Жыл бұрын
Still Dizasta is a BEAST 👑👑👑
@ammyskills5588
Жыл бұрын
Ila SNS unastaili kuachiwa uchambuzi wa kila inshu inayohusiana na mambo ya muziki, maana unajua kuchambua hadi unakera 🔥🙌🙌🙌
@africanlempe8604
Жыл бұрын
Hii Diss ya Rapcha haijatumia akili kama Diss ya Dizasta na hata mistari mingi ya Rapcha ameisha iongea Dizasta so hapo ni KELELE vs AKILI
@lechavictor3258
Жыл бұрын
Best friend is the best till now
@greycomposer8089
Жыл бұрын
kuna baadhi ya wasanii nje ya battle wanaaanza kuingia taratibu, what about consistency Motra the future, on his truck, just explain it✊, hili battle ni kubwa wafanye liisogeze hiphop ya bongo japo Africa nzima, Especial ikazungumziwa Southern and Western.
@stevemwachi254
Жыл бұрын
Montra anadandia man,namuunga mkono anahypy game but pia amejaribu kuwaingilia wote wawili ndio wakimjibu awe kwenye ring rasmi
@mrab7895
Жыл бұрын
Dizasta is the Beast, on this one. Dizasta never disappointed, Rapcha akasome.
@R10_Rajab
Жыл бұрын
Msikilize vizuri mchambuzi utapata kitu ambacho kitasifisha bongo yako
@mtasma1994
Жыл бұрын
@@R10_Rajab kwa mtu anayeelewa hip hop hawezi kufananisha Dizasta na Rapcha kwasababu Rapcha flow zake za kitoto sifa nyingi halafu content ndogo na umaarufu sio sababu ya kujiona unajua kila kitu
@godwillmawere5533
Жыл бұрын
Hapo Sky umeonesha ushabiki wako kwa Rapcha ila moyoni unajuwa kuwa Best friend ni far best than Rapcha's dis tracks, #BEST_FRIEND nomaaa! Game ipo salama mikononi mwa Dizasta_vina
@moziidavchonchi3338
Жыл бұрын
Bro Sasa motraathefuture nae kaingilia vp😂😂 na sissi sio marafiki🙌 but DIZASTA MTAANI TUNAMUITA T'TCHAAAAA🔥🔥
@rebeccaselemani9597
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@Teacher_01
Жыл бұрын
Motraa moshiii unampelekaa resi
@kefasonmahenga2917
Жыл бұрын
Hiyo ni fursa anajaribu kuongelewa
@lampadshigonko3006
Жыл бұрын
😂😂😂montra anapenda ugomv
@Marcsites
Жыл бұрын
Dizasta killed it
@davidwalalason7630
Жыл бұрын
On just how you explaining this song it just sounds how tough this kid is
@onesmoshayo7880
Жыл бұрын
mennn this kid ni nomaaa
@abdulmohd6880
Жыл бұрын
Uyu mtoto (Rapcha) anajidanganya sn au kuna watu wanamjaza ujinga, ivi anamjua vizuri Dizasta uyu lkn? Aloo Dizasta n level zingine bro
@yasirally2352
Жыл бұрын
Rapcha anajua ila dizasta vina tumuache tu anaulimwengu wake kwenye rap na uandish kwaujumla🤯
@potimgodi5735
Жыл бұрын
Wew unaakil timam Kam mm big ap sanaaa
@snaidertv1857
Жыл бұрын
@@potimgodi5735noma
@davidwalalason7630
Жыл бұрын
Tapcha he's like NBA youngboy, respond asap no delay, he believes in himself..bigup..rapcha..💪
@boysondeniclousTv
Жыл бұрын
NBA YoungBoy yule genius wengi wanamuogopa
@danielngove
Жыл бұрын
Best friends was my best man...
@Teacher_01
Жыл бұрын
Hapa ni *HIGH IQ BRAIN VS BIG MOUTH* ALAFU NYIMBO ZIMA IMEJAA MATUSI HAKUNA CONTENT Unaliaa kwa sababu ya like inachekesha Sanaa... Acha ushuulikiwe na genius
@godwillmawere5533
Жыл бұрын
Watu tunalike hadi info za misiba na siyo habar afu ndo itakuwa hyo like kwa post ilomdiss Atulize wenge siyo kila maji yakuchamb** Atapata mimb*
@yasirally2352
Жыл бұрын
Fact 🤯
@johnshimba5258
Жыл бұрын
@@cayzzertech humjui wewe
@josephmatembo1938
Жыл бұрын
You definitely don't know the meaning of dis, Go back to school manina
@mtasma1994
Жыл бұрын
@@cayzzertech shabiki wa taarabu hawezi kuelewa hip hop
@shaphyvuai6805
Жыл бұрын
Mi napenda Sana uchambuzi wako brother sky upo deep sanaa
@classicmido88
Жыл бұрын
Dozaster aliuwa kwenye distrack yakee ilikuwa noma sanaaa
@Muu95BaristaTz
Жыл бұрын
Rapcha nifundi sana aisee,we need massages and midondoko ya ngoma katika hili rapcha ninampa 100%
@giftgibson4544
Жыл бұрын
Huyu mwamba ni team ni dizastaa kabsaaa
@yakoboesenga5754
Жыл бұрын
Rapcha ali mdiss kwa sekunde 3 jama katoa wimbo wa dakika8 sasa katoa wimbo wa dakika4 jama atatoa album jezea Rapcha 🙌 adi mtu avuje dam ata jua aju Rapcha Rapcha Rapcha dg akijibu mpe tena adi afe namawazo
@pesaspy_tv
Жыл бұрын
Hana akili yule dizasta 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 atatoa EP
@derrikdesertman4564
Жыл бұрын
Ni ujinga kufikiria Rapcha atamfunika Dizasta. DIZASTA atamkanyaga Rapcha vibaya sana. Nyie muambieni Rapcha awe makini kabla hajayakanyaga
@bantonbreaking693
Жыл бұрын
Dizasta ni Beast kabisa....
@jumajsauly9216
Жыл бұрын
Rapcha ni next level
@shwaibukhatibu2838
Жыл бұрын
Twend mbele turudi nyuma rapcha is onother level
@kingcole60
Жыл бұрын
Ile ilikuwa warning ngoja tusubiri diss track sasa ya Dizasta
@gallodecor2773
Жыл бұрын
Team Dizasta💥
@PrincePaul6573-r9d
Жыл бұрын
wanangu99 tisha sana👏👏
@donatusdavido9577
Жыл бұрын
Rapcha killed it, Amemkejeli saaana aisee daaaahhh😅😅😅😅99 wat's up
@beatsbankmusic
Жыл бұрын
Sema nini! Ile beat ya Best friend Ringle kaua kinyama, beat kali kinyama
@silasmathew9728
Жыл бұрын
Sky akae chini atuambie ukwel anafungana na upande wa rapcha😂😂
@vicentkanyuka3470
Жыл бұрын
Dizasta vina 💪
@maxhauridaniel9298
Жыл бұрын
Rapcha ametisha uyo bro bado sana
@hamiyofficial3114
Жыл бұрын
Unajua sana kuchambua sky ni mwalimu bila shaka ww ni hip hop
@festocharles1855
Жыл бұрын
Duuuuuh rapcha katisha
@alimwinyi5996
Жыл бұрын
Best friend had content, BARSSSSSS that's what that counts...
@terminal_tz
Жыл бұрын
Before Like ya Dizasta Kuna kitu ambacho kipo behind hatukijui nenda kasklize No body is safe 4 ya Dizasta dakika ya 2:40-3:00 Kuna kitu dizaster kakisema ambacho kina onesha kwamba hii haijaanzia kWenye like ya Twitter...Let's enjoy the good vibe of hiphop
@amAlexGeorge
Жыл бұрын
Kaka Ile kitu imetoka na bado waliendelea kuwa washikaji Af n kwel Dizasta kamu inspire rapcha in terms of Story telling and how to deliver Mfatilie vzur Vina most of his songs n Narration so dogo kawa inspired that is obviously
@terminal_tz
Жыл бұрын
@@amAlexGeorge skupingi mzazi
@laurentrueta9625
Жыл бұрын
dizasta naomba umlipe uyu dogo #oldskool hommies
@jaybee3429
Жыл бұрын
uyu rapcha ni mkate ila DISASTER ni jiweeee
@jseventz
Жыл бұрын
rapcha unajua sana kazaaa
@emmanuelodunga5021
Жыл бұрын
Tribulation mwamba kajibu mashambulizi yooooote kafunga na kutia doti. Yani kiplooo❤️❤️❤️❤️ disaster remains master
@boniphacemapembe6857
Жыл бұрын
Dizasta ni nouma Sana,,,Rapcha akasome upya then arudi kumface ✊
@TravelTanzania2024
Жыл бұрын
Best Friend bado upo juu sana ata cjaona maajabu ya hii ngoma ya rapcha anaeelewa mziki kabisa basi atajua kuwa Best Friend ipo juu kwanza ina maneno ya akili sana
@fzlcomrajabu9514
Жыл бұрын
Rapcha never disappointed 🐐🤴
@stevemwachi254
Жыл бұрын
Mtoto wa juzi kwenye game hawezi kuwa GOAT....Sio kwamba simkubali ila kwa DIZASTA anachezea 🔥🔥 na utamuunguza..
@fzlcomrajabu9514
Жыл бұрын
Bro, Dizasta auwezi mziki wa king of freestyle, I know that Dizasta is legend but rapcha is another level 🤴🐐 brother.
@stevemwachi254
Жыл бұрын
@@fzlcomrajabu9514 Hizo anaziita freestyle but anarap vitu ameandika,kile najua free style muachie kado kitengo,chidi benz,nikki mbishi,zila,mangwea hawa wangeni wanakariri walichoandika na kwauandishi hawezi mfikia Dizasta hata afnye nini
@allenbenard9003
Жыл бұрын
@@stevemwachi254 dizasta kamkosea dogo then anakuja juu hakupaswa kujibu angemtafuta rapcha amuombe msamaha kwa hili nipo kwa rapcha nyu'clear kudadeq dg ka flow sana
@wilsonwidudupfikiwilson1723
Жыл бұрын
@@allenbenard9003 unaweza kurudia tena ulicho kisema hapa nenda ukasikie bomo la dizasta sasa yaani utajua kwamba ume papara kuandika
@RamazaniMulongeca
Жыл бұрын
Am really entertained with this battle...
@dadtrezat
Жыл бұрын
We msimuliaji boya, unaonyesha kabisa upo upande wa Rapucha, hiyo haitakiwi ilibidi ubaki nalo moyoni
@mkarawizemtasher4897
Жыл бұрын
Mtangazaji unaonyesha uko upande wa wamarekani na NATO Yao si ndio?, Ila Sisi ambao tipo pamoja na PUTIN ngoja tuone na hatutokaa kimya Kwa hili, mwanzo yalikuwa ni mukhtasari kabla ya habari sasa ndio tunaleta habari yenyewe mzito. Mi Niko Kule nawacheki
@yakoboesenga5754
Жыл бұрын
Dizastar wimbo wake wote ana mlazimisha Rapcha wawe marafiki chezea Rapcha 🙌🙌🙌
@muntazironuronuro1710
Жыл бұрын
Kaka mpaka sasa mnaludia ludia Sana 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@danielngove
Жыл бұрын
Making sense is on what you flo...dizasta killed it
@andrewmweusi7984
Жыл бұрын
Best Friend 🔥🔥🔥🔥
@lambertbwanga4099
Жыл бұрын
Yes apo djo Safi sasa kazi ipo wa pambane visuri tu !!!! Na kweli mimi sikuwa na mjuwa kabisa Dizastha
@edwinikhanje5153
Жыл бұрын
Dizasta hawezi Julikana na watu ambao hip hop mmeanza kuifuatiliaa Jana..ila kubali kwamba dizasta ni nomaaa mfwatilie halfu uje umfananishe na huyo dogo anaejiita rapcha hmn anachoimba Zaid ya matusi
@shadiidinyo1657
Жыл бұрын
Bestfriend ni noma
@MshanJoshua
2 ай бұрын
Best friend ni bonge la ngoma
@muksinjuma4685
Жыл бұрын
Dizasta ni 🔥🔥🔥
@Abmusiqq
Жыл бұрын
Rapcha needs to sit down and leave Dizasta alone. you can't compare the two. Rpacha is like a child that know how to play with words while Dizasta is the one that came up with those words.. there is no way a guy who's hurt by a like should want anything to do with someone who seemingly studies rap for fun
@JeronimoSimon65
Жыл бұрын
Rapcha ni mnoma kwenye hiz free styles. He's so damn good rapper
@emilyvicent1969
Жыл бұрын
Dizasta usikuu yupo studio 🎙️ kesho tunakutana na majibu
@niyongendakosamuel858
Жыл бұрын
Bongo hip hop inaenda kuwa tam jama mashabiki tunaomba hio bif isishe iendelee
@adamsengo1869
Жыл бұрын
USISEME KWAMBA UDHANI KAMA DIZ ANAWEZA TENA KULUDISHA HAPANA, HAKIWEZI KUKOSEKANA CHA KUZUNGUMZA (MANENO YAPO MENGI) INATEGEMEA IQ YA MC IKO VIPI SO WACHA TUENDELEE KUSHUHUDIA MAJABU, SAFI SANA GAME INACHANGAMKA KIDOGO 🙌🏽
@VivianGerald-oz7oj
9 ай бұрын
Uliongea point kuliko wote...
@mpendwalove4390
Жыл бұрын
So far Dizasta 5 Rapcha 1🤷♂️ i can't listen this song twice coz ina vitu vingi havina maana and not on line. Anafoka sana and mada nyingi kwenye ngoma hujui ushike lip uache lip..honestly Rapcha is way way down kwa Dizasta.
@gb-one6435
Жыл бұрын
Bado na cheki hii mechi mpaka dk90 ndio nitajua nani mshindi 😃 Maana ndio kwanza tupo dk ya 20 na matokeo ni 1- 1
@jadendax2040
Жыл бұрын
Adi saii tuko Sabu tu
@reubenbaraka6869
Жыл бұрын
Apana dizasta ni 2-1 hii rapcha amepiga kelele tu
@allykisulila7639
Жыл бұрын
My brother is very nice because we make money that two guys and it's very nice because hip-hop is not same like RMB so we have to do that and we can trending we can be on trending for social media for Instagram for KZitem Facebook so it's very nice 🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦
@nancyzale
Жыл бұрын
Inahitajika Rapcha kama tisaini na Tisa kupata Dizasta mmoja
@dadtrezat
Жыл бұрын
Msimuliaji simulia fafanua pita hivi... Mambo yakusema umependa hivi mara umependa vile unazingua
@BigZhumbe
Жыл бұрын
Rapcha amempa kiki Dizasta mwamba kumdis Rapcha tu ametrend for the first time...... Rapcha yuko vizuri na Dizasta yuko vizuri kazi iendelee mvua iendelee kunyesha
@salashbooben5563
Жыл бұрын
RAPCHAAAA THE LAST KING OF NINETEEN'S 🔥🔥🔥 DIZASTA VINA aangalie anaelekea kwenye ugalagazwaji😆😆
@petersakwa9311
Жыл бұрын
Am rapcha in blood
@timoliiisaya3824
Жыл бұрын
Sywalker ukiwa unaelezea hii habar yaonesha kwamba kweli unapena hip-hop
@Relis_talkswisdom.
Жыл бұрын
Keep battling keep battling Life is battling,nimefurahi kuona rapcha hajaogopa hajaamua kukaa kimya lakini ninafurahi pia simulizi na sauti wanaendelea kufuatilia battling.rapcha,we know industry needs flow and swagga you'r 99 nigga happy to hear ulivyomchana at your Angle Hivyo tunasubiri lyrically mc the verteller akujibu usichoke kusikiliza mashairi.
@jadendax2040
Жыл бұрын
Rapcha ninoma sana wanangu WA Hip hop tunaerewana tuna lguga yetu tujuwane hapa
@godwillmawere5533
Жыл бұрын
Hiphop gani hyo unayoisemea wewe Dizasta ni master kabisa
@jofreymfugale4752
Жыл бұрын
Real hip hop huwez muelewa rapcha zaid ya dizasta
@yakoboesenga5754
Жыл бұрын
Bro yena rapcha ni mkali sana kwanza uki angalia ndo sasa dizastar ana anza kusikika amshukuru sana rapcha
@pinotv1004
Жыл бұрын
Rapch ni hatari San 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@erickdioniz8277
Жыл бұрын
@@yakoboesenga5754 unaanza wewe kumsikia
@totojinga2795
Жыл бұрын
Rapcha nimkali ..sawa lakini ukali wake hauwezi mfikia Dizasta .. ..sema Dizasta...vijana wengi wasasahivi hawamuelewi...maana anatumia akilinyingi...kwa uandishi ila dogo (Rapcha) yuko shallow sana.....
@moziidavchonchi3338
Жыл бұрын
Dizasta ni Zaid ya DNA ata akifa tunaona madogo rapcha wakitumia style ake
@abdulmohd6880
Жыл бұрын
Bro (SnS) tunaelewa vzr kua ww n team Rapcha (wasuka nywele na wavaa vipuri) ila bro honestly n kwmb diss ya Dizasta hakuna mtu wa kuifikia zaidi ya ileeee futi 6 ya Mawenge ila huyu bishoo hamna kitu hawezi kuifikia "best friend" kabisa yan...
@NiraSaire
Жыл бұрын
MSD ni medica store department.. hawa wanazalisha madawa, wanatunza madawa na ndo wanahusika na usambazaji wa madawa mahospitalini
@bigdaddy_faustinjumong4427
Жыл бұрын
#Like za Team #DizastaVina🔥💪
@allyabdallah1147
Жыл бұрын
Rapcha ni mkali lakin disasta ni moto wakuotea mbali
@hamzacedricole3673
Жыл бұрын
Rapcha hajui maana ya diss song yeye katukana matusi na sio diss song ila disast ni rap mzur zaid kuliko Uyo rapcha
@abedymtore2707
Жыл бұрын
Asante rapcha kwakumsadia msan Wang kujulkana kwa uwaz zaid
@wilsonkasyupa604
Жыл бұрын
Team dizasta like zenu
@Zaidiyanusumedia
Жыл бұрын
🔥🔥🔥Vita ya nne ya Dunia
@abdillahkitwana5974
Жыл бұрын
Honestly Rapcha htr xna...unajua Dizasta anatunga mashairi xna ila hana muondoko mzuri na pia ni km anaongea 2 hana flow na beat..ila Rapcha ana flow kali na ana ubunifu xna tna xna...anaflow na beat 100% yan...kiukwl Rapcha hatar kabxa yan💯
Пікірлер: 399