GARI YA POLISI KITONGOJI CHAO MUIMU KIONGOZI MAKONDA ❤
@lunangabenjamin3121
Ай бұрын
Kuzeeka ni mumbile nimeamini sasa watoto 11 nabado unavutiya nilikuwa nafikiri mwanamke akizaa sana ndo uzeeka mapema kumbe niogo wawanawake wengi,sio taka kuzaa.
@user-gx4gt2pe4w
Ай бұрын
Jamani mh makonda kongole sanah yaani unavyoweza kuwabana kwa maswali wanaishia kutetemeka na kushindwa kujieleza kwa sababu wenyewe hawako vizuri kiutendaji
@ElneySheddy-is1dv
Ай бұрын
Hivi makonda kwann tusimuite raisi japo nimkuu wamkoa jamani kama kunamtu mwenyemaono yakuona makonda anafaa kuitwa raisiwetu kabra gonga raiki👊💪🙏🤝
@alzawahirabdallah2299
22 күн бұрын
Labda awe padri tumpe kanisa
@patrickmathiasnsalanga3401
Ай бұрын
Makonda ni kiongozi
@JuliusHatari
Ай бұрын
Duh miaka 30 watoto 11 , aiseee ,sema ni mbaraka hongera dada MUNGU atakusaidia
@eliamwankenja7087
Ай бұрын
Nakupenda sana
@davidmalisa8043
Ай бұрын
Makonda unaona majibu ya huyo mkuria ndio tunavyotishiwa anasema mm naerewa unataka kunifundisha Kaz
@AnnaMinja-zp7ti
Ай бұрын
Makonda mtetezi wetu wanyonge
@mohamedomari6129
Ай бұрын
Askari msaidizi wa wezi
@glorymungure7740
Ай бұрын
Police wana siasa sana
@khamisali5978
Ай бұрын
Hii nchi watendajii wengi hawafanyi kz ipasavyo,ndo mn akitokea mtu km Mh Makonda ndo unaliona hilo.
@user-tr9wd5kf7i
Ай бұрын
Bigup mh makonda
@sandalakabalo5442
Ай бұрын
Safi sana kadada
@kutailass6671
Ай бұрын
😂😂😂😂😂sijui ata kilicho nichekesha, sijui kutoa mimba najua kuzaa Duu na kweli
@mohamedomari6129
Ай бұрын
IGP bado kama nchi haina.
@user-yl2br2ts3i
Ай бұрын
5/10 paka 20
@stefanomasolwa8979
25 күн бұрын
Makonda ni Magufuli kabisa 100%❤❤❤
@khamisswalehe
Ай бұрын
weww tutakupa kura gombea tu
@thomastemu3332
Ай бұрын
Hao polisi waondoke hapo
@davidmalisa8043
Ай бұрын
Hao jamaa wanatuonea Sana police we acha tu
@OmanOman-dn6dj
Ай бұрын
Afande kajichanganya😂😂😂
@Jal210
Ай бұрын
IGP haupo sawa kama siro
@mcgabby
Ай бұрын
Hivi ni yupiii mbona simjui hata😂😂😂
@BOYKAJONATHAN243
Ай бұрын
Makonda I love you 💞 kutoka congo DRC
@user-yk5gm5qj4u
Ай бұрын
Huyo askari zero
@stefanomasolwa8979
25 күн бұрын
Askari mla Rushwa huyu Askari hana lolote
@alexjackson5960
Ай бұрын
Makonda hiyo Sasa sio spana ni vise 😅😅😅😅
@user-jx9xc6vo9x
27 күн бұрын
Pole
@philemornmutta1597
Ай бұрын
Nawapongeza wanchi wastaarabu vinginevyo angekuwa amebadilishiwa jina
@temuramadhani5134
Ай бұрын
Polisi wars rushwa
@RashidaRashida-sy9kp
25 күн бұрын
Asimwi
@davidmalisa8043
Ай бұрын
Mwananchiii hoyeee
@subo2667
28 күн бұрын
"mengine sio ya kwenye mic" Nimeelewa sana hii kauli
@zidinayusuphyusuph
Ай бұрын
Tungepata makonda 7 nchi Tanzania ingenyookaj
@alzawahirabdallah2299
22 күн бұрын
Samia 2 tu nchi ingenyooka
@user-ew7xd1xu3s
15 күн бұрын
Hatawatatu tu wangetunyoshea
@lawrencegwerino1656
Ай бұрын
Huyo asikali hafai fukuza kazi..
@kwzjkwz3532
Ай бұрын
Exactly
@kwzjkwz3532
Ай бұрын
exactly
@khamisswalehe
Ай бұрын
Allah anatutetea sana wanadamu wake lakin sisi ni bure kabisa
@OscarRabison
Ай бұрын
Huyo wocd amejificha,atafichuliwa tu
@haronbakora7156
Ай бұрын
Huyo mwizi kumalisana naye ni rahisi, maalizia yeye Kwa kumtia moto na tyres na petrol case finished
@ErnestNgaire
28 күн бұрын
Eeer kama Kule kenya😅😅😅
@haronbakora7156
27 күн бұрын
@@ErnestNgaire kabisa
@user-qo6qv6mc5p
25 күн бұрын
Rais wa wanyonge
@user-xg5xs7rb2y
Ай бұрын
Nakonda nakupa nafasi ya rais kbc
@JUU-lw2je
Ай бұрын
Ila jaman kesi nyingine hata sio za kuleta kwa makonda eti hadi kesi za wizi mnashindwa kusolve hadi mzilete kwa makonda lack of seriousness!!!!
@moimojamojanakupacongolera7257
Ай бұрын
Bro mwenye watoto natoa 200000
@happymrema7487
Ай бұрын
Naomba hiyo laki mbil mimi nao Tisa sin mume
@barikimollel7890
Ай бұрын
Barikiwa
@AishaHussein-en3wf
Ай бұрын
Makonda hawa walinzi shirikishi,wasimamiwe juu ya mishahara yao,wanateseka juu ya malipo yao,wanalinda mwezi ukifika kulipwa iyo laki ni shuhuli,naomba siku muamue kila mkoa mufanye vikao na walinzi shirikishi akiamungu wakuu mtalia tunaona mitaani naomba msilipuuzie muwatafute muwasikikilize awana pa kusemea
@OmanOman-dn6dj
Ай бұрын
Makonda Anatakiwa Kuwa WAZIRI WA ULINZI NA USALAMA
@alumonkisinda4574
Ай бұрын
piga spana hao bila kujali shingoni humo
@user-yk5gm5qj4u
Ай бұрын
Hamna polisi hapo
@nyerere1259
Ай бұрын
Kuanzia sekunde 12:52 kama umeelewa ww ni mcuba kabisaa wengine endelezeni blabla uyo mwizi kwisha habar yake.
@angellomarcel5677
Ай бұрын
Duh huyu Dada...asee watoto 11 in 30 yrs..? Hivi hao Police wanajielewa kweli..? RC PIGA CHINI hamna ASKARI hapo..Mmeishapata Information..alafu mnambwela tu.
@camilomassao8971
27 күн бұрын
39
@kwzjkwz3532
Ай бұрын
huyu police wa kwanza huyu
@imeldasamwel539
Ай бұрын
😂😂😂😂😂police oyee
@godfreybeatus8396
Ай бұрын
Baraka huna bahati round hii hutoboi
@esterswai9454
Ай бұрын
Hiv watu hapo ni usiku au
@user-qt8vu1zk1t
Ай бұрын
Tumekaa hapo adi saambili
@esterswai9454
Ай бұрын
@@user-qt8vu1zk1t polen
@alexrwezaula8857
Ай бұрын
Uyo dogo kafa awaulize alivo kua mkuu wa mkoa dar vishandu waliisha uyo dogo mzee wake andae sehemu ya kuzika
@geey7893
Ай бұрын
😂😂😂Hajui, huyo wamuandae Mchungaji kama ni mkiristo😂
@kwzjkwz3532
Ай бұрын
hata mimi ningeagiza apotezwe
@ilynpayne7491
Ай бұрын
Watanzania maskini sana😢😢 1:06 ame zaa vipi watoto 11😂😂
@mwizaluchiba6264
Ай бұрын
hajui kutoa ndomaana amezaa hao 11😅
@temuramadhani5134
Ай бұрын
Anafakua raisi
@RachelMgimba-ge4jh
Ай бұрын
shida ni baraka na cio ulinzishilikishi
@onesmolwambano9349
Ай бұрын
Mpaka hapo baraka kasha .......... malizia😂😂😂😂
@aminielimushi8709
Ай бұрын
Atakuwa mirongo kwa mbele na mia
@YusuphMwangobola
Ай бұрын
Toa pereka vijijini leta wengine hapo.
@loner_wolf
25 күн бұрын
Kiongozi wa polisi hamna kitu , unaongea habari ya shirikishi wakati wewe ni polisi 😅...... inamaana polisi hawatoshi na jeshi la polisi ni dhaifu ? Ni ujinga sana kutoa visababu vingine vya kijinga.
@davidmalisa8043
Ай бұрын
Mi naerewa
@sabatoelia312
25 күн бұрын
😅
@BarakaWaziri-oj3uc
24 күн бұрын
Makonda ni mwamba Tena endeleza kaxi yako mwamba we ni noma mzee
@user-xk7vy4gb6g
Ай бұрын
@angellomarce hujasikia vizur wamesema ana miaka 39
Пікірлер: 80