Mkuu wa mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri ameongoza jopo la kamati ya Ulinzi na Usalama ya mkoa huo kufanya ukaguzi wa mradi wa majengo ya vituo vya afya Kipili na Kitunda wilayani Sikonge ambapo wamebaini harufu ya ubadhirifu mkubwa wa fedha za Serikali uliosababisha kushindwa kukamilisha ujenzi wa vituo hivyo viwili vilivyogharimu zaidi ya shilingi milioni mia nane.
Kufuatia hatua hiyo Mkuu wa mkoa wa Tabora akaamuru Jeshi la Polisi kumkamata Afisa Manunuzi wilaya ya Sikonge Silvanus Ndilabika na kutaka uchunguzi wa kina ufanyike.
Негізгі бет RC Mwanri acharuka baada ya kunusa harufu ya ubadhirifu wa mamilioni
Пікірлер: 87