Yupo vizuri mzee huyu namkubali sana........IMAGINE MTU MTAKATIFU KAMA HUYU AWE RAIS AMA PM DAAAAA MAY GOD BE WITH U
@edkawago2907
5 жыл бұрын
wanao ponea stress zao hapa tujuane mapema.....hapa oklahama
@omarjuma5257
5 жыл бұрын
Yaani nakukubali Sana ww mzee unaongea point wapo waso jielewa wanakuona komed lkn uko sawa heshima kwako.
@abednego3876
5 жыл бұрын
Watu wanachukulia kituko.lakini Mwanri huwa anatoaga meseji nzito sana.
@shaabanramadhan6770
5 жыл бұрын
Yes true
@zaibonge7867
5 жыл бұрын
Wakwanza kukoment 😂😂😂somaaa hyoooo anameremeta
@josephinekwaselema5566
5 жыл бұрын
zaituni rajabu445 😀😀😀😀
@bahatisamwel1147
5 жыл бұрын
Huyu mzee kwanini asirudi darasani afundishe, maana ni mwl mzuri hadi raha, atafaulisha sana, ila tu wasimpe kazi ya kuandika leson plan atachukia kazi tena hrk.
@neemaonesmo1086
5 жыл бұрын
hahahaaaaaa, no lesson plan
@davidchengula8244
5 жыл бұрын
mh mwanri safi Sanaa😁😁😁😁🙌🙌🙌🙌
@naybakari3490
5 жыл бұрын
Uyu mzee baba ninouma walay bonge la kichwa yaani big up dady
@selemanibididas6734
5 жыл бұрын
Wa kaliua tuna like hapa via Abeid busalama
@betrecmkwasa9891
5 жыл бұрын
Daaah we jamaa ulikuaga wapi muda wote huo unanipa rahaa Sana
Millard Ayo, you are doing so well on publicising such educative videos, but the headings you writte are too dissapointing, they just define how you are and not even the Regional Comissioner himself., Please try to be Professional on your headings, dont mislead, be Smart Bro
@bonifacejohn7395
4 жыл бұрын
big up sana mkuu nakukubali sana
@hamzarumela1784
5 жыл бұрын
Dah kiongozi wa kweli na shupavu
@bakarimashi8711
5 жыл бұрын
😅😅 huyu mzee ni shida eti popopopo pompo pompooo
@josephkimboka1394
5 жыл бұрын
Namkubali sana Mzee bora awe waziri
@moseswanjara3408
5 жыл бұрын
Joseph Kimboka amekua waziri kipindi kirefu
@josephkimboka1394
5 жыл бұрын
@@moseswanjara3408 nazungumzia kwa serikali hii ya tano
@raymondherberth1323
5 жыл бұрын
LIWALOOOOO NA LIWEEEEEEEEE
@saidylikangasimba3243
5 жыл бұрын
Magufuli please lete huyu mwanry hapa dar makonda peleka tabora huku huyu jamaa yuko safi
Ati nongambila Stupid mbele ya my wife...wahaya oyeee em like hii kitu...
@maombimimi9014
5 жыл бұрын
Hahahahaha hiyo kitu wahaya hawapendi balaaa
@adilinanduguze2464
5 жыл бұрын
Nimeipenda
@alexjosephat9030
5 жыл бұрын
Aiseee anapoint sanaa
@jumannemfaume
5 жыл бұрын
Wote tuna ponea hapa😁😁😁
@riwabantukinabo5352
5 жыл бұрын
😃😃😃 jembe
@tongenimnzava4766
5 жыл бұрын
Kwa kweli Huyu Mkuu wa Mkoa Kwangu amekuwa Mwalimu,anaongoza watu na kuwafundisha,Ukiyafuatilia mafundisho hayo kama ni mkulima utavuna,kama ni kupanda miti utapanda na uwe tajiri,kama ni mzazi,mtoto wako ataenda shule kama ni mfanyakazi wa umma utasimamia sehemu yako vizuri,kwa ujumla anajua kulisha maendeleo watu wake,Ubarikiwe sana Mwalimu,Nafikiri ipo siku wasomi au vyuo vione na wakupe PHD,
@cathbertmbacho6457
5 жыл бұрын
Daaaah hatari sana mh.
@komanyomaduhu6123
5 жыл бұрын
Tanzania yote imeponea hapo
@saidmoh7505
5 жыл бұрын
Njoo huku dar tuongoze Mzee baba
@augustinokileo7076
5 жыл бұрын
Hahahahaahahahahhahahaha asante sanaaaa Mr mwandy
@edmark1507
5 жыл бұрын
Ahhahaha mbavu zangu jamani 😂😂🤣🤣🤣
@hoseamligula8092
5 жыл бұрын
Kituko hiki khaaaa😂😂😂
@manassehleonard2879
5 жыл бұрын
Tanzania yote tunaponea hapo 😁😁
@feluzedonfelu7293
5 жыл бұрын
tanzania nzima imeponea hapo
@yusuphamani72
4 жыл бұрын
Wapare oyoooooooo
@mudhihirumikidadi6066
4 жыл бұрын
Waaacha waolewee wacha habalizako
@kilasaelisha6349
5 жыл бұрын
zaidi ya comedy
@wilsonwaziri7969
5 жыл бұрын
Huyu mzee anajitambua kweli
@maliselinapetro4168
5 жыл бұрын
Duh wahayaa wanasemaje??? Nan amesikiaaa
@kelvinwilliam5145
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 mm
@adinanijackobo1328
5 жыл бұрын
DJ summer chukua hiyooo anamelemeta na pompo mpopopo
@swabrinyawale8126
5 жыл бұрын
Hamia huko waliopo hamia
@karimmtengai6159
5 жыл бұрын
mIMI NAMUELEWA SANA HUYU FAZA,
@ashiraally527
5 жыл бұрын
😀😀😀
@jaliabahati7905
5 жыл бұрын
Hahahahaha yaani
@gabrielkapungu8920
5 жыл бұрын
Nimeona Mwanry akiwa Raisi bora zaidi kuliko mawe
@mnazaretinemi4203
5 жыл бұрын
Hamia walipo hamia
@mwidu8774
5 жыл бұрын
Hamia waliko hamia!! Dunia yote ikaponea hapo
@mussatv2423
5 жыл бұрын
Soma hiyoooooo😂😂😂
@radhiasalum7156
5 жыл бұрын
nakuelewa mkuu
@imeldabamba3779
5 жыл бұрын
Nani kamuona Neema Ndepanya
@samwelimoshi5614
5 жыл бұрын
kaponea hapo haha
@husseinmukhtary6710
5 жыл бұрын
duuuuuh so poa sukuma ndaaniii nakukubali na kaz zako
@painetomsilanga8359
5 жыл бұрын
Hahahahah wewe jembe sana aiseeee
@gesusgegangphray7689
5 жыл бұрын
Izo ambulance mnataka kuuwa wagonjwa .haya madalaka ya mizizi na waganga noma
@kassimjuma8713
5 жыл бұрын
Katika watu na viongozi ninaowapenda namba moja wewe. wapili mbowe. tatu. zito. mwisho. magufuri
@eluzaberthkarugaba6375
5 жыл бұрын
Oklahoma hahahaaaa
@mwimbajinamwalimujaphetgeo1718
5 жыл бұрын
Akigombea uraisi huyu jamaa lazima atashinda kwa 100% Maana jamaa anapendwa na watu wa vyama vyote
@radhiasalum7156
5 жыл бұрын
nakueleqa mkuu
@tituskimario832
5 жыл бұрын
Watu wa Tabora mtumieni huyu mzee!
@stephenpaul8679
4 жыл бұрын
Ujumbe umefika
@carolinesalakana1090
5 жыл бұрын
hahaha iyo tarumbeta sasa
@T_Darius
5 жыл бұрын
😂😂😂
@charlzzesonconsciousness6685
5 жыл бұрын
😄😄😄😄🤣🤣🤣
@laurianwencheslaus6567
5 жыл бұрын
We mzee umeona wahaya ndo wanafaa kwa wanyamwez !haaaaaaa!
@ruthwalter1647
5 жыл бұрын
Hahahahahahahahahaha mbavu zangu mie!!!!!
@maryamhusain3627
5 жыл бұрын
Mtarajiwa president
@jacklynchim8617
5 жыл бұрын
😁😁😁😁
@shilebuyo5857
5 жыл бұрын
Ana meremeta a
@bahatisamwel1147
5 жыл бұрын
Tumpe kura 2020 ya Urais huyu hata kama haongezi mishahara bado vile alivo tu ni tumaini la maisha mazuri. Kwanza atasaidia kuongeza umuri wa kuishi wa nguvu kazi ya Tz, anashawishi, mzalendo, anmaanisha anachosema kutoka moyoni, anaelewa na anabadilika kulinga mazngra. Ila sharti abadili chama sio hiyo LA kijani.
@teddykassinde4608
5 жыл бұрын
hahahaha upo sawa ila shart hilo unatafuta ugomvi na wasiopenda ukweli
@stephenwambagae4638
5 жыл бұрын
Sukuma Ndani
@amanimnyanga2002
5 жыл бұрын
100
@pascalprince4408
5 жыл бұрын
Oopopopopopopoooo popoooopopoooopoppooo😀😁😁😁😁
@stevenlugo8195
5 жыл бұрын
😂😂
@petermarco9559
5 жыл бұрын
unaweza jua ni comedy kumbe ndio kamaliza hivyo hotuba yake
@ramadhancheguli9245
5 жыл бұрын
shida yake watengeneze nyimbo tena kumbeana penda
@clementmathias9512
5 жыл бұрын
Mawazo yako hayo Lakini mzee anafikisha ujumbe kwa njia safi kabisa
@joramnunu1449
5 жыл бұрын
😂😂
@ramadhancheguli9245
5 жыл бұрын
Joram Nunu oy nicheki kwenye hi no 0672736618 Nashida na wew acha tu
Пікірлер: 91