Hmm, hii nyimbo hajaimba Sief salim hii ameimba said saleh himid (mbomba) ni moja kati ya nyimbo zangu pendwa allah amrehem huko alipo amsameh makosa yake 🕊️🕊️🕊️ Baba wa mama yangu ❤.
@abdulhamidkificho5768
4 жыл бұрын
Mkiwa na subira,Mola hafanyi hiyana Nimempata alo bora,tunapendana sana Old is gold taarab Zanzibar Asili haipotei Viva Zanzibar taarab
@abdulhamidkificho5768
4 жыл бұрын
Moyo ukiwa na subira,Mola hafanyi khiyana Nimepata alo bora, anaenipendana sana Rabbi kanipa kubwa stara,wewe sikutaki tena Rabbi kanipa kubwa stara,wewe sikutaki tena
@youngbob9761
2 жыл бұрын
Nice song
@salumame4845
4 жыл бұрын
Huyo ni said saleh mbomba hana nyimbo mbaya kwa kweli
@dullyplayer9444
3 ай бұрын
Ni kweli kabisa hujakosea ❤❤❤
@munajomar3218
3 жыл бұрын
Naomba nyimbo ya aziza abdallah
@fallymetoo191
4 жыл бұрын
Nice 👍🏻❣
@rahimaally6471
3 жыл бұрын
Niliambiwa kitambo nikaleta ushindani kua huna lako jambo kweli uzuri si shani pendo lishakwenda kombo fudifudi uso chini
@saadabdulrahman9041
4 жыл бұрын
Yasalaaaaaaam
@MariamMohamed-tx9fx
4 жыл бұрын
Kweli kabisa
@sulaymansulayman4284
3 жыл бұрын
As Salaam Alaykum vipi Sheikh Sayf, swali mkuu kuna nyimbo naitaka sana Inaenda Hata hataikuwa Hata haikuwa wanalalamika Yeye amerowa na mimi kadhalika..... Nitafurahi ukinitajia jina lake au link kuipata
@dullyplayer9444
3 ай бұрын
Ameimba Abdallah issa kama hivyo nakumbuka .
@yan2482
3 жыл бұрын
Napende Musiki hii! Naweza kuwasilina na Seif Salim? labda ni email?
Пікірлер: 14