Simba ni mseleleko sanaaa.. Yaani nawatakia mafanikio simba
@reinfridlipili5666
2 күн бұрын
Simba itashinda mechi 1 tu!
@fidelismwakanyamale6787
2 күн бұрын
Mbona msemaji macho mekundu ana wasiwasi
@Kabeya410
2 күн бұрын
Thubutuuu timu hazina majina lakini ni kali msibweteke Coast tu imewahenyesha itakua hao 😅
@jumamuhidini
2 күн бұрын
@@Kabeya410Zimwi likujualo halikuli ,,,,sisi na kosto ni watanzania wote ,unataka kusema coasto angeweza kupenya kwa tripol,,,😂😂😂
@MwajumaNgaruma
2 күн бұрын
@@jumamuhidiniachana nao wasikuumize kichwa
@IssackKalim
2 күн бұрын
Ubaya ubwegeeeee
@PineTree-n9y
2 күн бұрын
Mbona kama msemaji kijasho chembamba kinamtoka hofu au😢😢😢
@KidumeRashid
2 күн бұрын
Nikweli waataandika historia lakini je itawafurahisha kwani ndio mwaka ambao hamtafanya kitu kwani hadi mwisho wa hatua ya mwisho mtavuna alama tatu ambazo mtapata sare hapa lupaso
@ArabianDivaAyesha
2 күн бұрын
Msemaji Wa Simba Ila Ma Utopolo Yamejaa Hapa makenge kwel yan😂
@YangaNews
2 күн бұрын
Semaji jasho la nn
@Mhabeshi.Madayi
2 күн бұрын
😂😂..Kila mwaka unawatia madole panya rodi wenzio mpira usitembelee nyota zilizopita mzee mpira umebadilika sanaaa usichukulia kwepesi japo kombe dogo sanaa ukilinganisha na klab bingwa
@AlexsandarNgalya
2 күн бұрын
sisi ndo simba robo tunaenda ubaya ubwela
@ommymsangi9182
2 күн бұрын
Tatizo la Ally kila anapota kauli mambo hugeuka,ngoja tusubiri.
@stevensosipita
2 күн бұрын
MPIRA WENU UKO MDOMONI UWANJANI MAVI POLE SANA
@simonndunguru1629
2 күн бұрын
Tatizo la Huyu Kiumbe anapenda kuongelea Timu ya YANGA. Kila Timu imejipanga ndio maana Iko hapo Jiulize Kwanini Uko Shirikisho?
@AlexSilvester-n6m
2 күн бұрын
Jisemesh tuuh usiku waden haukawih kukucha
@HappyEel-wg4qx
2 күн бұрын
Ulifungwa
@revocatusmalimi4525
2 күн бұрын
Msemaji anatupa taarifa sisi mashabiki wa mnyama sasa vyura mliojaa humu mnatafuta nini si muende kuongelea ya timu yenu huko alikopelekwa kuzikwa.Bila kuiongelea Simba na kujaribu kututoa mchezoni hamsikii raha.Tuacheni na Simba yetu tuende nayo hadi kieleweke. Kaeni kando musubiri tuwaletee kombe hili ambalo ninyi liliwashind
@kessysenga8700
2 күн бұрын
Mcpo fika final bas mjue hamna timu Tena
@LugoyeCharles
2 күн бұрын
Kuongea kaka umejaliwa mate ndo sisimizi
@mtalemwadenis1500
2 күн бұрын
Unatokwa jasho kabla ya merch Subili uone mziki wake
@GadafSalum
2 күн бұрын
Hanalolote
@deven.oauditx7547
2 күн бұрын
Bado ni Kombe la wanawake?
@StanleyEmmajose-fs8th
2 күн бұрын
Ubaya ubwela
@OsakiKt
2 күн бұрын
Apo amna msemaji akuna kijua
@fedrickmwailinga7819
2 күн бұрын
too much talk
@dannywillson5874
2 күн бұрын
Ogopa sana mtu anaongea kasweti
@NeverGiveup-u1l
2 күн бұрын
😂😂😂😂
@LinusKyando
2 күн бұрын
YANGA KUNDI JEPESI,KENGE WEWE
@AllyHussein-u1m
2 күн бұрын
Wepes wa yanga uko wap
@kirapadiherbalstv9953
2 күн бұрын
Hilo kundi limekaa kimtego Saana😂😂😂😅
@MartinWekesa-c2x
2 күн бұрын
Huyu wa wapi?
@reginaldiUmbu
2 күн бұрын
Labda w
@ba_yu72
2 күн бұрын
Huyu mgonjwa nini, maneno yake ya kigonjwa, hasomi Alama za nyakati.
Пікірлер: 44