Serikali imezindua mpango jumuishi wa wahudumu wa afya ngazi ya jamii, ambao utatoa ajira 137,294 Tanzania Bara kwa kada hiyo katika kipindi cha miaka mitano kuanzia mwaka huu.
Mpango huo ulizinduliwa na Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango, amesema serikali inatambua umuhimu wa kada hiyo katika jamii na ndio maana imezindua mpango huo jumuishi wa wahudumu wa afya ngazi ya jamii.
Негізгі бет SHAJARA || Mpango jumuishi wa wahudumu wa afya ngazi ya jamii na ufanisi wake
No video
Пікірлер