Baba Askofu Ngalalekumtwa, umekuwa alama ya utumishi uliotukuka kwa kanisa na kwa kuwatumikia wananchi katika mahitaji ya kimwili. Nakuombea afya njema ili uzidi kututumikia. Kwa namna ya pekee umetuwakilisha wana Iringa katika kuwatumikia watu kwa hofu ya Mungu. Barikiwa.
@drgeofreymdede3952
Жыл бұрын
Asante sana baba Askofu. Nimemsikiliza mara tatu hadi sasa. Katika maisha yangu wewe ni askofu bora sana kwangu. Sijawahi kuchoka kusikiliza mahuburi yako.
@greysonmatogo4662
Жыл бұрын
Babu Ngalalekumtwa kwa watu wa iringa ni zaidi ya kiongozi wa kidini, ni baba na babu kwa kila mtu, amekua baraka na chemichemi ya furaha kwa watu wa dini zote na rika, hakika mzee huyu ni nyota inayong'ara.... Mwenyezi Mungu amweke salama amalize vyema mda wake wa utumishi na kukabidhi kijiti kwa mwandamizi wake, kazi ya Mungu isonge mbele. Hongera baba askofu na Wana iringa wote.
@paulmnyeti7027
Жыл бұрын
Mungu mtakatifu wa mbinguni akubariki mzee wetu, babu yetu, mchungaji wetu Mtumishi Wa Mungu Mhashamu Tarcisius Ngalalekumtwa, Askofu Wa Iringa.
@deogratiusdonald5123
Жыл бұрын
Mwenyezi mungu akujalie afya njema nayenye baraka teleee wewe pamojaaa na kanisa katholic loteee
@leticiamlandali3022
Жыл бұрын
Hongera sana Baba Askofu,Mungu mwema aendelee kukubariki kwa utume wa miaka 50.
@EzekianaMlawa
Жыл бұрын
Ásante Mungu Kwa zawadi ya baba yetu, Askofu wetu, Mjomba wetu . Ásante Kwa ukarim wako, upendo, uchaji wa Mungu na Imani kubwa kwa. Mungu. Ubarikiwe sana Baba. Nikutakie majukumu mema yanayoendelea ili ulimwengu uzidi kumjua , kumpenda na kumtumikia Mungu.
@felixmtuya6351
6 ай бұрын
Hongera Babu,Baba,mjomba Ngalale wa Joseph.Mungu akubarki na kukujalia afya njema!!!
@erastoMnyonzi
Жыл бұрын
Hongera Baba Askofu kwa jubilei yako ya miaka 50 ya utume.Mungu akubariki sana
@AgnessMsola
Жыл бұрын
Baba yetu hongera kwa kazi kubwa hakika mungu anajivunia mteule wake
@RoseMlowe-j5s
10 ай бұрын
Hongera baba yetu tunakukuombea utume mwema Asante mungu kwakutuletea askofu wetu wajimbo lairinga mungu akubaliki🙏
@visensiakadege6608
Жыл бұрын
BABA ASKOFU MUNGU AKUBARIKI SANA. TUNAMSHUKURU MUNGU KUTUPATIA WEWE BABA NA BABU YETU
@MbambuAnnah
7 ай бұрын
I connected my self and my family to the mass🙏🙏
@FransiscoKivamba-zu8gc
Жыл бұрын
Mungu akulinde
@katunzimutalemwa3366
Жыл бұрын
Mungu azidi kukubariki
@joshuachuwa5695
Жыл бұрын
Jamani inguluvi yatupelye baba askofu huyu.Asandi sana baba.
@petercharles1819
Жыл бұрын
Ilikuwa njema sanaaaaa
@nyerere1259
Жыл бұрын
Askofu wangu ❤
@jaspermtuya228
Жыл бұрын
Mungu awe nae siku zote
@francismigongwa4146
3 ай бұрын
Utume mwema Baba Askofu Ngalalekumutwa
@paulrwechungura4284
Жыл бұрын
Amina
@MwanahamisiNguga
6 ай бұрын
Baba angu wakipaimara mungu akuweke miaka mingi
@robbyman6213
Жыл бұрын
Amen
@machiyakalemela135
Жыл бұрын
I miss you askofu toka umenipa kipaimara sijakuona tena
@aishamsemwa-zu3eo
6 ай бұрын
Askofu aliyenipa sakrament ya kipaimara 🎉🎉🎉 , ila ndo hivo sai niko 🕌
@exprodigitaltechtv5571
4 ай бұрын
Hazina kubwa sana kwa kanisa la Tanzania
@EliotMbogo
Жыл бұрын
Nishangwe na nderemo sisi wanairinga kukua kiimani pamoja na baba yetu ngalalekumtwa kutimiza miaka 50 ya upadre
@JapharyMsella-zm9sb
Жыл бұрын
Nikiwa mwanza leo nakumbuka niliulinzwa swali mwaka 1999 nikiwa nasoma mafundisho kigango cha sadani parokia ya kaning'ombe,nani askofu mkuu wa jimbo la iringa nilimtaja huyu! Mungu akubariki ,ulupembe lwelu hatari sana
@josephsiwila2397
Жыл бұрын
Na ukakosa
@hamisijuma8124
Жыл бұрын
Kumbe Yesu Ana Moyo sasa Anakuwaje Mungu
@michaelvincentmhagama337
11 ай бұрын
Metaphorical, but metaphysical heart too. Hiyo ni lugha yakiteolojia, lugha ya ya kiroho na ni lugha ya Kanisa pia. Siyo rahisi wote kabisa kuielewa vizuri, bali kwa moyo wakawaida na kujinyenyekeza na imani, mmoja aweza kuielewa vizuri sana.
@francismigongwa4146
11 ай бұрын
Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza.Asante Mungu Kwa zawadi ya Imani katoriki
@gamgangweesechota3589
10 ай бұрын
vingine ukubali vikupite tukielewa wenye dini yetu inatosha who are you????
@francismigongwa4146
11 күн бұрын
Swala la imani ni la mtu binafs fata imani yako
@MauritiusMwapili
9 ай бұрын
Wanaporokia ya veronika magu jimbo kuu mwanza tunamtakia heri na baraka tunakukumbuka toka kaingesa seminary
@ROBERTMGOGOSI
Жыл бұрын
Huyu mzee namkubali kuliko Biden wa amerika hakiyamungu😁😁😁😁
@AgnessMsola
Жыл бұрын
Hakika mbarikiwe wamisionari
@paulrwechungura4284
Жыл бұрын
Amina
@emanuelmatinya1110
Жыл бұрын
Hongera sana baba askofu NGALALEKUMTWA..kuhani hakika utume wako umetukuka nasi tunakuombea MUNGU akupe maisha marefu yenye amani na furaha
Пікірлер: 39