MashaAllah...mawaidha mazuri sana Mwenyezi Mungu Akiziidishie ilm uzidi kutufaidisha. Uhibbuka liajlillah
@hasniaa3575
3 жыл бұрын
Amini yalabi lalamina. Allah alijalie mume mwenye kuijua Dini YA Allah namutume wake Mohamadi
@user-ht1qz3dy9u
2 ай бұрын
MashAllah sheikh maisha mwema Allah 🏠
@joharykhery6808
5 жыл бұрын
Mashaalah mungu anipe kizazi chenye kusimamisha bendera ya Lailah Illah Muhammad rasul Lilah kama wewe. Mungu akulipe zaid niombee
@fatimadidadida9633
4 жыл бұрын
Johary Khery amen Ameen Ameen ya raab mjaliye
@reyathumyan5666
3 жыл бұрын
Masha Allah sheikh mngu akupe umri
@RuqayaHamza
18 күн бұрын
Namuomba tu allah anijalie niweze tu kutimiza ndondoyangu ya kujenga madurasa kijijin kwetu maan bd tupo nyuma upande wa madrsa ajali kazi ya mikono yangu na afya njema
@husseinhure795
3 жыл бұрын
Alhamdullilaah mweyezi Allah atupe ilmi na ambariki sheikh kishki
@user-gl4gd6kx2j
4 ай бұрын
ما شاء الله هذا عظيم، الله يعطينا فهم دينه آمين
@shwaibuathumani5656
5 жыл бұрын
Mashaallah mkono kwa mkono hadi peponi
@fatushariff234
5 жыл бұрын
Maa shaa Allah
@zaymaramra2679
4 жыл бұрын
Mashallah Mungu anijaalie mume wa aina yko na kizaz kilchobora zaid mbele ya Allah
@rahmashukri9944
5 жыл бұрын
Nakupenda kwa ajili ya Allah,,,,mungu akuzidishie umri, afya na unachokitaka duniani na akhira
@shakilahamsin5743
5 жыл бұрын
Nakupenda kwa ajili ya Allah,,,,mungu tuongoze ummaty Muhammad
@yussufmohamed5996
4 жыл бұрын
Masha allah shekh nurdin kishki allah akuzidishie umri ya kutangaza dini ya allah na mungu akuepushe mahasidi
@sleemhamoud4394
2 жыл бұрын
@@shakilahamsin5743 kzitem.info/news/bejne/xIuKwJ5ropGYf4I 👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*,
@sleemhamoud4394
2 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/xIuKwJ5ropGYf4I 👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*,
@user-ih8yq8dp4z
3 жыл бұрын
Allahuakbar
@bahatihadijabahati7456
4 жыл бұрын
Masha Allah nakupenda sana sheikh kishki Allah akupe afya na umri mrefu in shaa Allah
@husseinyhassany5696
5 жыл бұрын
Mashallah sheikh wangu nakupenda kwa ajili ya allah aza wajal
@alihamdanali6820
4 жыл бұрын
Shekhe nurdin niombee dua tafadhal kwahisani yako mm ni mwanamke
@fatmaswaleh7004
5 жыл бұрын
ALLAHU AKBAR MashaAllah tabarakallah mola akuhifadhi sheikh wetu nakupenda kwa ajili ya Allah
@ibugharib389
3 жыл бұрын
MASHAALLAH, jazzakallah kher sheikh na waandaaji na wote walioshiriki
@fatimadidadida9633
4 жыл бұрын
Mashallah hatuna ya kukulipa ila nakuombea Allah usiku na Mchana akujaliye kheri dunia na kesho akhera 🙏🙏🙏nifanyieni ndua nipate mume mzuri Bali sio mzuri to akue anajua Allah mengine yatafwata inshallah
@hasinahboranda5577
4 жыл бұрын
Mashallah
@saidkhadija7557
4 жыл бұрын
In sha Allah utapata
@frankjuma1854
3 жыл бұрын
Mimi nipo nipigie apa0702094631ama whatsapp
@alimatambwe3402
5 жыл бұрын
MashaAllah Jazakhallahu khaira Allah atupe ujasiri wa kuwa pamoja naye Yaaa Rabie
@sewakilimila7839
3 жыл бұрын
Mashaallah mwenyezi mungu akujalie khekma na subra ktk dini yetu ya kiislam ili huendelee kuipigania din yetu!na mwenyezi mungu akujalie mwisho mwema!
@abdikadirmaareeye1236
4 жыл бұрын
kazi bora dunia ndio haya malipo yake ipo kua mungu masha allh mungu akupe maisha nzuri na mambo aliyo bor
@elizachemba112
5 жыл бұрын
Asante shekh tujifunze kushukuru kwakwel
@MohammedAlhabsi-ji4ux
Жыл бұрын
Mashaallah mashaallah jamani naomba namba ya cimu ya shekhe nurdin kishk
@rahmaally1775
5 жыл бұрын
Masha Allah twawapend Sheikh kwa ajili ya Allah
@halimahbwelele694
Жыл бұрын
MashaAllah ❤
@hadijayusuf115
2 жыл бұрын
Masha Allah Allah bless you
@yasenkontee4718
Жыл бұрын
Maashallah sheikh Kishk
@hasniaa3575
3 жыл бұрын
Amini yalabi lalamina
@agustinommassi2443
4 жыл бұрын
AMINA namimi najifunza sana kupitia mafundisho aya kaka
@nimcoabdullahi3560
2 жыл бұрын
Mansha Allah
@user-zv3ux3ul3y
5 жыл бұрын
Maan shaallah shekhe wetu
@maida2710
4 жыл бұрын
Mashaallah mawaidha mazuri alla akuzidishie kher zake nas tuwe miongoni mwako
@samiralisamir7594
5 жыл бұрын
Jazakal llahu kher
@maryamoman5926
4 жыл бұрын
Mashallah
@user-cg4uq5nz8t
9 ай бұрын
GOD bless you sheq
@hamadisere6011
4 жыл бұрын
2012 nilipata Mtoto wa pili kwa sasa ni mama wa watoto wawili safar yakwanza nilisafir mwaka 2016 mwez wa 6 tr11 kwenda abudhab
Great mawaidha...can I get contacts of sheikh Nurdin Kishk
@hamadisere6011
4 жыл бұрын
Kwa jina naitwa ZAINABU RAJABU naitaj msaada wa maombi ilinirud kwenye uhalisia wangu
@anishakemisa8806
4 жыл бұрын
Maa sha Allah
@hamadisere6011
4 жыл бұрын
Nilikaa miez 4 nilienda Oman mwez watisa nilirud mwez wa 12 Nina watoto wawil wakike wakiume
@yusuphmashimila4127
3 жыл бұрын
Allah akibal
@mwanaidishabani6411
2 жыл бұрын
Mashaallah
@user-ht1qz3dy9u
2 ай бұрын
Allah only in the world
@hamadisere6011
4 жыл бұрын
Nilianza kulishuulikia kabla ya safar lakin halikutoka nilipo rid safarin nikaanza tens matibabu sikuwa vizur nilikuwa kama tahira lakin lilelilokuwa likijitokeza kama jin mait lilitoka kwasasa bado nasumbuliwa nahayo nilio toka nayo oman
@hamadisere6011
4 жыл бұрын
Walitumia jina langu
@hamadisere6011
4 жыл бұрын
Baada ya miaka 2 nilianza kupata shweetan lilikuwa linanitokea pond nigombanapo namume wangu au nikipata mshtuko wataarifa mbaya ugojwa au umaut kwa MTU nimjuae
@abdikadirmaalim6809
5 жыл бұрын
MashaAllah sheikh lakin hii ni mambo ya diini so utufanyie offline hii video ili sisi sote tufaidike
@abdikadirmaalim6809
5 жыл бұрын
Why video is not off line???
@hamadisere6011
4 жыл бұрын
Miez mitatu wa 6 had watisa
@thurayaalriyamyal2068
4 жыл бұрын
Wenzangu ktk iman kuna yoyote anayeweza kunipa nambari ya sheikh au whatsapp yake
@hamadisere6011
4 жыл бұрын
Huyu mume nilianza kujuana nae anzia 2006 tulifunga ndoa 2007 tulibahatika kupata Mtoto wa kwanza 2008 matatizo ya kuvurugika kwa aman ilianza anzia mimba yamwanangu wa kwanza nilikuwa napata njoz za vitisho lakini mungu alinisaidia nilibahatika kupata Mtoto wa kiume
@adinanabas7616
4 жыл бұрын
Pole sana Dada angu
@sarahabdulatif7391
5 жыл бұрын
Kishki nakuomba acha kwanza hiyo kazi kaitafut kweli muwawaelwz waisilamu nakam unaijuwa Bali unataka tu sifa zahap duniau kweli itazihiri tu yusufu diwani awasomee majini kuruani nawew ukushane wanadamu uwasomee kuruani kuruani niyawanadamu au yamajin namsiwadanganye waisilamu mkawambia yesu ndie isa huo niuongo ulio dhahir yesu kwakiarabu yasua nawala sio isa ala subuhana wataala ana majina 99 lamia mmeambiwa analijuwa mwenyew nayale sio majina zile nisifa ikiwa jina ikiwa sifa kuruani limo jina lamia jina lamia anaitwa isa namaana yaisa nidajali namaana yadajali nimuongo sifa yamia yamungu wenu nimuongo waisilamu mnatumikia ibilisi na kwajina lamia nasubuhana wataala l inasibitisha kuwa yesu nimungu wakweli naisa mungu wauwongo isa anapokea mpaka majini waliosilimishwa namuhammad uisilamu ninjia nyepes yamotoni kazi kuwangamiza watu mpaka Leo hamuwambii kuwa maana yasu nimuokozi namaana wamasihi nimpakwa mafuta ukisema masihi isa unasema mpakwa mafuta wauongo kwanini mnaendelea kuwatumikisha watu naibada yadajali watu wanafurahiy wanapokuj viongozo wasaudua hiyo ndio mishetani faida gani anaipata muisilamu juhifadhi kuruani zaid yakuwafurahisha majini ndio mana waisilamu wapingaji sababu wana mtumikia shetani kazi kubadilisha majina navisa vyamitume ndio mana mungu lung yakiarabu akainyim heruf wanatafautisha kwavidoto kishiki ikiwa umekuja kuchukuwa kundi lamotoni utaaiabika
@fatuma_amour
5 жыл бұрын
Allah akuongoze, akuondolee udhalili
@alhabibismail3031
4 жыл бұрын
Inalilahi,May Allah guide you,,
@bahatihadijabahati7456
4 жыл бұрын
Hivi we uko na nn jaman mbona usiende kusikiz mapastor huko
@rashidramathanwanjiku71
4 жыл бұрын
Sarah abduratif.atuhitaji mawaitha yako wewe unaimani yako sisi tuna imani yetu sasa tuache na imani yetu wewe baki na imani yako Mungu umuongoza amtakae
@kassamruzuru4913
4 жыл бұрын
Nakupenda kwa ajili ya Allah
@joharykhery6808
5 жыл бұрын
Mashaalah mungu anipe kizazi chenye kusimamisha bendera ya Lailah Illah Muhammad rasul Lilah kama wewe. Mungu akulipe zaid niombee
Пікірлер: 95