MNAOTUKATISHA TAMAA AYA MMEFANIKIWA KUANZIA LEO HATUTAIGIZA TENA NGOJA TU TUKAKIME 😢😢😢😢 ila mngejua nguvu , malengo na mazingira tunayofanya kazi wala msingeinuka na matusi yenu 🙌🏻 SIO LAZIMA SISI KUANGAIKA KUWAPA BURUDANI KILA MTU AISHI MAISHA YAKE SWALA LA FILAMU SIO LAZIMA 🫵
@muxfilmproduct
2 ай бұрын
Mr mwanya movie mzuri MashaAllah na wala usikate tamaa
@AbdulYussuf-se8ot
2 ай бұрын
Broo so kimatusi me ni mmoja kati ya mashabiki wako nafatiliya sana kazi zako na nakukubali sana ila in case of this film you just need to be serrious in some actions ni hivyoo film ni nzuri endelea kutupa burudani achana na wanao kutusi
@barnabasmarsel3876
2 ай бұрын
@@AbdulYussuf-se8otexactly 💯
@user-di1bl3dm3j
2 ай бұрын
Kaka mwanya hii movie kali tena utafanya vizuri siokoni mungu yuko nawe atabaliki
@LukasPaskali-cw4fm
2 ай бұрын
Story mbovu alaf inakera ad mtu unakosa sababu ya kuangalia we weka comedy tyu watu tuangalie movie imekushinda
@user-nk4me5jc4c
2 ай бұрын
Respect kwao cram vevo na kicheche heshimu kwenu maana hapa ujinga umetawala
@elisbegaelias163
2 ай бұрын
Kumbe wewe unaona kama mimi
@MussaAbdallah-nw9bx
2 ай бұрын
Kazi nzuri mwamba. Achana na wachawi wanaowanga mchana
@StarringVivaSmart
2 ай бұрын
Usikonde. Kazi ni nzuri. Waache waponde tu. Wewe jitume, watakukubali baadaye.
@ikrahtune
2 ай бұрын
Nilicho gundua mr mwanya unapenda sana kudakezwa
@user-jf9sx1cq3r
2 ай бұрын
Comedy nying sanaa unaharibu movie mwanya
@user-tn8kw5jq7c
2 ай бұрын
Yaah
@nickdemitychanell
2 ай бұрын
Mwige @clam vevo kuna mda wa kuwa comedian na kuna mda wa kuwa serious unaznguwa mwanya Ila Kwakuwa ndo unaanza Sawa next time lekebisha🎉🎉🎉
@assymayaprod2039
2 ай бұрын
Acheni kusema ivi mimi napenda mwanya sana watuhawafananani endeleya mista mwanya kazi njema
@BarakaNYTz
2 ай бұрын
Himove ni nzuri na Kwa ushari tu Kuna baadhi ya vitu inatakiwa uimarishe katika kutengeneza Kwa waigizaji wako wote tengenezeni ubize wa Kila muigizaji
@BraysonFrancis-gl2ry
2 ай бұрын
Kaka we endelea tyu! so wote wataikubali mbn wengine tunaish nayo afu safi!..
@dicksonyohana4344
2 ай бұрын
Movie kali sana 😅😅😅
@ZidoJr
2 ай бұрын
Mwanangu nakuelewa kichizi 😅😅😅 big up
@somaliantz_phones_arena
2 ай бұрын
Bibichala msenge sanaaaa 😂😂😂 katembea na geti😂😂😂
@GregoryKimaro
2 ай бұрын
Mzaaa mwingi kaaribu sahemu ya tatu
@HAWAMAULIDI-zl5xd
2 ай бұрын
Mara paap irene ambaye nimtoto wa boss ashavaa kofia ya mwanya wakati hajuwi ata ni nani (apo kwenye mgogoro)
@DominickKanyata
2 ай бұрын
Bado hawajasema 😂😂endelea kuwaburuza kaka mwanya🙌
@user-bk6kt8cu5i
2 ай бұрын
Kazi nzuri kabisa kk
@emmanuelibrahim4556
2 ай бұрын
Mr mwanya umekuna ki vingine sana any umeuwa sana😅😂😂
@YohanaSimion
2 ай бұрын
Afande Mwanya hahah aisee
@muxfilmproduct
2 ай бұрын
Mm namkubal sana mwanya
@pwiziBarbarecia
2 ай бұрын
Courage mr mwanya usisikilize maneno yawat wameumbw jil yakukatisha tama wenzao ww kazi kazi kama ulipvy panga fanya hivo hibo wao walikuwa wapi wakati unaanda movie yako waje kuku saidiya leo waende zao uko courage mwanya utafeli sana ukipa na fasi maneno yawasio pend maendeleo yamtuuu
@user-jw8oh8vi3n
2 ай бұрын
big up mr mtaro au mwanya😂
@_Wayiva_mukuta_jean
2 ай бұрын
Nipo mpaka mwisho 🇨🇩🇨🇩🇨🇩❤❤❤
@director_lavvy
2 ай бұрын
Noma sana hiii😂😂😂😂
@khadijatanzania8040
2 ай бұрын
Hujui kuigiza siriasi kabisa una utoto mwingi we endelea na comedy zako tu
@barnabasmarsel3876
2 ай бұрын
Na hataki kukosolewa
@user-jc9xy5xm4x
2 ай бұрын
STORY NI MZURI ILA KUNA SEHEMU ZINGINE UMETIA SANA U COMEDY SEHEMU AMBAZO KWA SS WATAZAMAJ TUNAONA HAZITAKIWI KWAHYO TUJITAHID KUPUNGUZ U COMEDY SEHEMU AMBAZO HAZITAKIWI NI MAONI YANGU TU 👍
@RichadGeorge-ww3ep
2 ай бұрын
Hii movie mwanya ingekuwa mpole ingekuwa tam sn
@user-vx3ub9ck6h
2 ай бұрын
I ni move ya hakili ukitaka kuielewa tuliza kichwa 🎉
@NEYNER555
2 ай бұрын
Nomaa✅❤️
@AugustinhoManyangaunitedboetz3
2 ай бұрын
Me si mwigizaji ila kusema kweli brother story nzuri na nimeikubali sana sema tu kwenye movie kuna baadhi ya makosa kidogo unatakiwa uyarekebishe kwenye sehemu ya tatu kuna mda unakuta ni usiku na upande mwingine ni mchana alafu kingine kwenye movie unafanya sana comedy kuliko serious movie ungerekebisha hapo movie kali story nzuri sana my brother 💪💪
@EdsonLifath
2 ай бұрын
Tumetisha hap
@k.o.n.g8925
2 ай бұрын
Mwanya hujui ku act lakini watoto wazuri kama wote 🤣🤣🤣
@Twilumba
2 ай бұрын
Hakuna kitu apa mwanya kazingua anazan kila kitu shubamiti m ata sielew ap
@fasajitv228
2 ай бұрын
Let's go 🔥🔥🔥🔥
@mazambilucien
2 ай бұрын
Kaka kwakweli jifunze kupitiya wasani wenzio Bado saaana
@user-dy9ht1on7y
2 ай бұрын
Tuonyeshe sasa iyo siku mbaya bado tu
@officialyoungxure
2 ай бұрын
😂😂😂
@EspoirMumbere-lg2xh
2 ай бұрын
Hamuweze😅😅😅😅
@tayk4745
2 ай бұрын
TANGU NIZALIWE MOVIE MBAYA ZILIKUWA ZA KINA SARADINI NA SHUMILETA ILA HII NDO NAMBA MOJA UBAYA TANGU DUNIA IUMBWE
@user-jw8oh8vi3n
2 ай бұрын
una kosea it depend on time zilifanya vizur tena zaid kulingana na teknlojia but now they normally creates better also due to advanced techonology available
@nickdemitychanell
2 ай бұрын
😂😂😂
@user-um2xe9qs3r
2 ай бұрын
Huyu ni comedian tofautisha bwege ww
@tayk4745
2 ай бұрын
@@user-um2xe9qs3r Ko kama comedian aachane na movie za serious sasa anafundisha nini sasa ukienda kuomba kazi uwakoromee wanaokupa kazi
@user-um2xe9qs3r
2 ай бұрын
Kwel we jamaa huna akili unaelewa comedian…character yake nd ipo hvy huna kazi mjini kula kona
@user-rn4jn2bh8y
2 ай бұрын
Baki kwenye ukomedi tuh,ujui kuigiza
@MsebengiJuma-eu8wz
2 ай бұрын
Movie kali sana😮😮😮
@user-fv3og6cj8n
2 ай бұрын
Shabil8 yk sn lakini sio nzur kwali mwanz mgumu Nevers Give up
@user-vh7gw3we5z
2 ай бұрын
awo wtt na mama lika moja
@salumuwembo-fo5rr365
2 ай бұрын
Naipenda Saaana Tangu kongo 🇨🇩🇨🇩 iyi kweli ni ngoma 😆😆😂😂😂😂🤣🤣🥰🥰🥰💯💯💯🙏🙏🙏
@ZawadiNyemba
2 ай бұрын
🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@salumuwembo-fo5rr365
2 ай бұрын
🎉🎉🥰🥰
@NiyonkuruJuma-pq2nw
2 ай бұрын
Mwanya analeya comedy 😃 😀 sana
@MussaJuma-sd4jc
2 ай бұрын
Tatizo comedy nyingii sana mwanya punguza unaharibu movie 😅😅
@user-tn8kw5jq7c
2 ай бұрын
Kweli😂
@Spagles
2 ай бұрын
Oya Ivo Ivo ipeleke movie ndo unakuwa tofaut na wengine Kwan lazima uwe serious 😂😂😂😂
@khalidjmfaume
2 ай бұрын
Umeiona ee😂😂
@user-il5jn5jm3r
2 ай бұрын
Mwanya we fanya komed2 movie huziwez waachie wa kina clam vev kichech na bailam
@hamisitours_tz8834
2 ай бұрын
Mwanyaaaaa
@user-sn8tp9gq5r
2 ай бұрын
Movie kali kaka malekebisho kidogo tuu jitahidi iko poah tu ila weka uhalisia tuu
@user-gf3og1qc9l
2 ай бұрын
Mwanya punguza mza kwenye kazi ndugu yangu lakini naipenda sasa utoto ni mwingi
@BAbulaotv-r8l
2 ай бұрын
Good 🎉🎉🎉🎉
@godey_tz
2 ай бұрын
Noma sana mshua😂😂
@user-vh7gw3we5z
2 ай бұрын
bibi kashika nafas yake vizur 🎉🎉🎉
@AziziRajabu-mv8jz
2 ай бұрын
Mwanya wew ni mbwa
@user-rn1jh4fe2u
2 ай бұрын
mov ina rocection moja kwel hakuna movi hapa blood 😂😂
@trixjanja1526
2 ай бұрын
sorry mkuu rocection ni nin au ni kikabila gan nielekezenii apo embu 😂😂
@edyicoyigombeye5120
2 ай бұрын
Kweli kabisa
@AugustinhoManyangaunitedboetz3
2 ай бұрын
Rocection Yes, what is it?
@Mtituboy
2 ай бұрын
Wewe hujui kuigiza ,Haina uhalisia hata kidogo
@isayabryson8857
2 ай бұрын
Movie mbaya kwel jmn
@AliyAliy-zn3to
2 ай бұрын
Azibe na uo uchochoro babaaa 😅
@_Wayiva_mukuta_jean
2 ай бұрын
Je me souviens que j’arbitrais un match de foot, tout à coup je me retrouve à l’hôpital, alors qui sont ces gens là ?😂😂😂🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@user-qv2xh5cp3c
2 ай бұрын
Movie kaikosea sana achezi na uhalisia
@bahatilucas4129
2 ай бұрын
😂😂😂😂Geti hiloooo
@rozeyousef9823
2 ай бұрын
Ila ukuwe siriasr punguza comedy brother ❤️
@HusseinBizzy
2 ай бұрын
Hupo sirous babu usiambiwe kwan ushwh kuambiwwa kama una kazi mbaya ispokuwa hii apa sisi ndo mashbk zako makosa mingi Karib ya yote tunaona sis so tuna haki ya kukrekebsh unapokosea sw mwanya kwa vile hii ushzinguwa achana nayo hem lt kt chengine alaf kuwa sirous mm ni shbk yk no.1
@AbdulYussuf-se8ot
2 ай бұрын
Mwanya ww comedy sana huwezi kuwa serrious movie hahitaji hivi be serrious broo otherwise back in comedy
@SaleheMauya
2 ай бұрын
Kaka muendelezo lini
@jtiger6521
2 ай бұрын
We jamaaa unaboa sana badilika tunashindwa kukuelewa bhana ni comedy ama ni movie
@MbwiloYoely
2 ай бұрын
Ayupo siliaz uyo Amna kitu apo
@abduli_karimkhamadi1730
2 ай бұрын
Yani Mzee hupo sirias kabsa
@Ibraa__22
2 ай бұрын
Mwanya punguza masyara utafanikiwa movie hii ni nzuri lakini mzaha wako mwanya unahalibu
Katoka usiku nayeye anazunguka usiku tuuu mmh director
@DanielGilong-hj5gz
2 ай бұрын
kama mnaona movie ni mbaya si muache tutaangalia sisis tunayoipenda nakuielewa.
@barnabasmarsel3876
2 ай бұрын
Amna lazma mtu aelekezwee bhnaa hii cyo movie ni comedy
@dullysalah4483
2 ай бұрын
Dah mwanang kama kuigiz hamujui kwel hamna hata mmoja uigizaji unatak uhalisia wa maisha asa wewe yan dah tafut tu chengin cha kufany
@reddysanois
2 ай бұрын
Big up Saana
@nicholausmwinuka7640
2 ай бұрын
Movie ni kali sanaaaa ayo ya mbaya ya kwenu
@barnabasmarsel3876
2 ай бұрын
Unaogopa kukosoa😂😂😂pole sana
@marynyota6146
2 ай бұрын
Good🎉🎉🎉🎉
@Nasibu.kiboko.yawarembo
2 ай бұрын
Mbn unatowa fupi hivi mwanya unatutania
@ginimbifamily3995
2 ай бұрын
Mr Mwanya naomba nikushauri kitu..kiukweli una wazo nzuri kwenye Movie yako ila Shida yako Unaingiza UTOTO mwingi sana Yan aupo serious kiukweli..unacho kifanya ni Utoto tu
@BensonMpomo
2 ай бұрын
mwanyaa we piga kazi achana na awa wakujitolea kufatilia kazi za watu yao yamewashinda wazowee tz kawaida kukatishana tamaaa
@user-vq2sv9hc4q
2 ай бұрын
Kaka kaza2 una ki2 kwanza ndo unaanza siyo wote ndo wataokupenda hata ufanye vipi kazi
@user-gv6uo6sb9p
2 ай бұрын
Hamna uhalisia wowote ule jalibu kuwa Sirius
@ChristianAman-qb9ns
2 ай бұрын
Amna mwigizaji hapa
@YunnusAhmed-vy3cw
2 ай бұрын
KUMANINA MWANYA MBONA WOTE HAMNA ATAMMOJA MWENYE AFADHALI😂😂
@flaviusflavius3979
2 ай бұрын
Xhubamiti 😂😂
@dullymsomaly3782
2 ай бұрын
Apaaa broo bado kuhus movie....jitahidi usiriaz na kuwafanya wengine wawe serias
@isayabryson8857
2 ай бұрын
SIKU MBAYA KAZIN KAZI YENYEWE HUNA ILA UNA TULETEA UTOTO SISI
@rozeyousef9823
2 ай бұрын
Kwani wanao igiza wapoje au wanaigiza maisha yao😢
@AjuwaeTz
2 ай бұрын
Mwanya kwenye ubala tamsiria
@nelsonbisi6499
2 ай бұрын
Mmm kwakweli mimi nmeshindwa hata kuielewa hii movie
@helinasubila987
2 ай бұрын
Huyu apana Hana kitu Ata makilele tu
@user-he7wg2ng1b
2 ай бұрын
Mwaga nyingine unyama
@Sensible_01
2 ай бұрын
Waigizaji amna kitu,hakuna usirious,kimsingi @mrmwanya movie yako mbaya sana ebu try to modify
@user-ci5is1tx4p
2 ай бұрын
Hii ni movie ni uchafu Anafanya mwanya yaan Lina masiara yakijinga
@mgishaobadia-kz9bo
2 ай бұрын
Imetisha kaka unyama San
@JumaAus-py9zt
2 ай бұрын
Ninavyojua mimi mfanyakazi anae tafuta kaz hawag hiv muv imepoteza mvuto siangalii tena samahani 🙏
@cristaezekiel1036
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂Movie mbaya ,hayuko serious ajifunze kwa clam
@user-jf9sx1cq3r
2 ай бұрын
Hahah
@SellemaniJapheti
2 ай бұрын
Ni kweli utaombaje kazi unakuwa unakuwa unachangua Kazi
@khadijatanzania8040
2 ай бұрын
Halafu huyo mama na watoto wake umri sawa😅😅😅
@dullymsomaly3782
2 ай бұрын
Yaan apo tuu kaharib movie yte.....piaa mtu anaetoka kijijn kufika mjin lazima atakuwa mpole kwanz ili afanikishe lengo..sasa ata kaz hujapewa unagombeza nyumba mzima jamn hahaha
Пікірлер: 179