Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu kwa kazi njema ya injili
@EMANUELAKSANTIhatunaShakanaMun
Ай бұрын
ubarikiwe baba Mungu akutiye nguvu baba tuko tayari kabisa kwa lolotte Mungu atu wezeshe tusi fanane n'a kizazi hiki ili tufanane n'a Christo yesu wetu aliye ishinda mauti nasisi tuta shinda.
@user-nx9qt3tp5s
2 ай бұрын
MUNGU akubariki mtumishi usichoke kunena ukuu wa muumba mbingu naendelea kubarikiwa AMINA.🇰🇪
@user-rc3ii5qz1p
Ай бұрын
Baba Mungu akutunze, nabarikiwa sana.
@josephnyanje7488
2 ай бұрын
Barikiwa sana baba! Tutakupata vizuri na kujengeka Lungalunga -Kenya
@yustinalegembo901
26 күн бұрын
Ubarikiwe mtumishi
@fredykiluka6606
2 ай бұрын
Mungu akubariki sana ❤❤❤❤❤❤
@happyalbert5089
2 ай бұрын
Asante sana baba
@mahirmohd1931
Ай бұрын
Injiri kama hizi zimekuwa hadim sana.. MUNGU AKUBARIKI SANA MTUMISH akuite nguvu uendelee kufanya kazi yake🙏
@mch.abiudmisholi
Ай бұрын
Ameen
@marymgeji
2 ай бұрын
Amen amen baba MUNGU akubariki sana natamani sana uniambukize na Mimi roho iliyopo ndani yako
@bonfacekenga1074
2 ай бұрын
Nikweli kabsa lazima injili yakweli ihubiriwe barikiwa baba
@user-xd7uj8sz5w
Ай бұрын
MUNGU akubariki Mtumishi Abiudi wewe ni mkweli
@GodfreyMushi-kn3nb
Ай бұрын
Wewe unajihusisha na kweli ya MUNGU kweli mapambo hayakemewi hamna tofaut ya mkristo na mtu wa tamaa malaya
@mariamgaya4206
2 ай бұрын
Injili hii Ni injili halisi isiyoghoshiwa na kwa nyakati hizi za mwisho ndio injili inayotakiwa kuhubiriwa Mtumishi wa MUNGU,MUNGU aishiye aendelee kukutunza na kukuonekania ili watu wake waokolewe kwa wingi kupitia wewe.
@EMANUELAKSANTIhatunaShakanaMun
Ай бұрын
salamu mwenzengu
@EMANUELAKSANTIhatunaShakanaMun
Ай бұрын
salamu kwako mwenzangu
@JuliusKiua
Ай бұрын
Mtu wa MUNGU si upange mkutano mmoja wa inje utuletee uhuo uamsho hapa makueni kenya
@EMANUELAKSANTIhatunaShakanaMun
Ай бұрын
salamu kwako mwenzangu. ata n'a Sisi kongo twa muitaji maana kabisa ana gusiya abari za uamusho kabisa ii ndiyo maubiri inayo itajika Siku izi
Пікірлер: 19