Kituo cha sayansi cha STEMPARK Jijini Tanga chini ya Projekt Inspire kwa kushirikiana na chuo kikuu cha Hongkong Polytechnic cha nchini China wameendesha mafunzo ya akili bandia kwa wanafunzi wa shule za Msingi na Sekondari pamoja na walimu Jijini Tanga.
- 6 күн бұрын
WACHINA WATOA MAFUNZO YA AKILI BANDIA{AI} KWA WANAFUNZI 70 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
- Рет қаралды 74
Пікірлер