Taasisi isiyo ya kiserikali ya Tanzania Health Promoth Support chini ya mradi wa Afya Hatua imetoa elimu kwa Wahariri na waandishi wa vyombo vya Habari mbalimbali nchini ya kutambua umuhimu wa kupima na kujikinga na maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi.
Wakiwa katika mafunzo hayo waandishi wameweza kutembelea maeneo yanayotoa elimu na Tiba kwa watu wanaoishi na virusi vya ukimwi ikiwa ni moja ya sehemu ya kujifunza .
Негізгі бет THPS YATOA ELIMU YA UELEWA JUU YA KUJIKINGA NA VIRUSI VYA UKIMWI KWA VYOMBO VYA HABARI.
Пікірлер