Steve hukupaswa kuongea chochote juu ya hili,Mana ww ni mteuliwa na shutuma zile hazikuletwa kwako km Steve bali zimepelekwa Kwa uongozi uliokuweka madarakani,
@neemanziku5403
2 жыл бұрын
Kweli kabisa mwa f a kweli katoa kejeli nyingi Sana
@gibsonjosephat6352
2 жыл бұрын
Ameshaferi mapema kabisa. Bongo flavor wananguvu Sana na ndio wenye fedha hapa Tanzania.
@scholasticakalimba2828
2 жыл бұрын
Steve una gundu kila wajumbe wanakukataa 😂😂😂😂😂😂
@brunokimaro1053
2 жыл бұрын
Naungana na Mondi,FA na wote wasiokuitaji
@janiaoma7093
2 жыл бұрын
huyo Stevan anaonesha. siyo mzima kiakili
@mwitajoseph8315
2 жыл бұрын
Jamani Steve Nyerere afungiwe speed governer mdomoni kajisahau kua Hamna kesho. Leo natambua why ata Kura za ubunge alipata 2 tu kumbe walijua utumbo wake
@hanifatanzania7258
2 жыл бұрын
Mnalilia hata vyeo vya motoni kwwri binaadam tunajisahau tunaelekeawapi moto una uangaikia
@awadhrajabu1403
2 жыл бұрын
Sasa Mbona Anavimba Na Kujiona Matawi Uyu Jamaa Vipi Anaona Kapaa Ewani We Vipi Wewe Nenda Kawasemee Nyani Polini
@sabihaibrahim143
2 жыл бұрын
Hahahaaa mhmm banana hapo hapo uwe nao sambamba
@ashuuuaisha9122
2 жыл бұрын
Safi sana tive ake muache huyo wa mdomo mwekundu abwabwaje
@sabinaonline6575
2 жыл бұрын
Safi sana Nyerere🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@gracekagoma3231
2 жыл бұрын
Tuko nyuma yako Steve.Kumbuka kuwa ukweli unauma ndiyo maana wabaya wanakupiga vita.Songa mbele Steve tunakuamini
@fordnzowah3716
2 жыл бұрын
Msemaji hawagi ivo kama unaongoza ni watoto sawa
@khadejarajab8007
2 жыл бұрын
Mnatakakuharibu mkate wake hahahaha
@mauricempinga935
2 жыл бұрын
Ndiomaana diamond hataki uo ujinga
@magidalenarauya4286
2 жыл бұрын
Mbona hii ni komed,msemaji husema yahusuyo kazi yake,sasa stiiv anakua haki mu mpaka anatisha eti patachimbika,anakua mwenyekiti ,anasema yanayo mhusu yeye na sio shirikisho,anaposema hatoki mtu hapa kajiweka mwenyewe hapo? Je waliomuweka hawewezi mtoa, msemaji ni fani watu husomea sio zawadi ,anapata wapi nguvu za kutukana na kutema watu mate hadharani,atawasemeaje hao,uongozi utafakari upya hiyo nafasi
@awadhrajabu1403
2 жыл бұрын
Taharabu Miaka Kibao Awajavuka Mipaka Bongo Fulevya Ndio Kavunja Mipaka We Vipi Wewe
@bozbun3994
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣kunawatu pumbavu sana
@eboumg7061
2 жыл бұрын
Senge kwel ili ati linacheka km nyelele kabisa
@Atb300
2 жыл бұрын
Eti tivu ake😅😅😅😅😅
@yahyahamad1802
2 жыл бұрын
Wewe ni komed sio msemaji
@CheMataka_official
2 жыл бұрын
Unazingua sana stive Huna subra,Wala huna sifa ya uongozi Sifa ya kiongozi lazima hwe tayari kuvumilia mambo yasiyo kufurahisha Kiukweli hapo umetuonesha huna subra kabisa kiongozi mwenye weredi awezi kupaniki kiasi hicho bhana take care! Iyo ni ajira lkn kumbuka unao wasemea ndio hawakutaki
@noonelike6382
2 жыл бұрын
Zumaridi 😆😆😆😆😆
@chanchubasammy4562
2 жыл бұрын
Steve anaupiga mwingi mpka unamwagikaa😂😂😂
@Pango-ul2pb
2 жыл бұрын
Stivu unazengua kaka
@abdalahmhunga8296
2 жыл бұрын
Sa mbona unafanya Kama bifu mzee ndo Mana ufai kweri
@yoramdogezah8000
2 жыл бұрын
Steve hufai kuwa kiongozi Endelea na uchekeshaji tu...
@goodhelpnolland6792
2 жыл бұрын
Steve kazi unayoiweza wewe ni kuhamasisha michango ya msiba basi
SASA MSEMAJI ANAMAAMUZI GANI YA KUTOA AMRI NAWAKATI KAZI HIYO NI YA KATIBU AU MWENYEKITI AU RAIS YEYE NI NANI?
@boniphacerweyemamu2118
2 жыл бұрын
Nipe like😀😀😀
@janiaoma7093
2 жыл бұрын
Stevan nyerere akapimwe zio mzima wewe unakazania cheo siulize jama I kosalagunini Ana taka kuleta mambo ya makoda mulize makoda youkowapi
@nixonjohnson6346
2 жыл бұрын
huyu ni mjinga mchekesgsji huyu
@husseinhumudy1463
2 жыл бұрын
Qaswida sijaisikia hapo
@denismassawe9255
2 жыл бұрын
Comedy ndio ishaanza. Kweli ipo kazi
@adammbarouk4379
2 жыл бұрын
Kumbuka ktk mazungumzo yale ww hukuwepo,unapojitetea mwenyewe wkt waliokuweka wapo hii ni dalili kwamba shutuma zinzopelekwa kwa waliokuweka madarakani zina ukweli kwa 100%...kwann unapata pressure wkt ww umewekwa kwa vigezo?
@yahyahamad1802
2 жыл бұрын
Nasibu alikujua na mapema ndio mana kakukataaa mhhhh
@samsonmathew6468
2 жыл бұрын
Ukisikia siasa ndio zimeanza katika upuuzi wa hali ya juu mavi kunuka
Cheo cha kutengenezewa,halafu makelele mengi.... Steve hatoshi,ila kuna ulaji kuna kitu nyuma ya pazia,kwa nini ameingiza habari siasa kwanza huyu sijui ACT,huyu CUF...... Wasanii walikuwa clear kuhusu competency ya Steve sio masuala ya siasa.
@abasayoo5934
2 жыл бұрын
Hunauwezo wa kubeba tasnia ya mziki bhana wala hili si swala la ki siasa. Uligombea ubunge na form ulilipia na chini uka pigwa sasa leo unataka usemaji wa wana sanaa bila kuchaguliwa upewe kimazingaombwe bhana. Kweli ukimuona kobe juu ya mti mmh?!! Malizia mwenyewe tuu steev🤣🤣 huu so wakti ulie pita wakti wa kuteuateua tuu.
@edstoner4424
2 жыл бұрын
Wivu unakutesa
@peternkonjera261
2 жыл бұрын
Jamaa nae kakomaa kwenye kiti
@sportsbezi6690
2 жыл бұрын
Usemaji ni tasisi wewe unazungumza ulio hitaji kuzungumza wewe kama ww apo tuna taka kuskia shirikisho lina sema nini? Unatoa masaa 48 wew kama nani? Usemaji ni taaluma inge takiwa utuletee kile ambacho shirikisho kime amuwa na sio wewe Inshort bado utosho
@edwinaugustine6836
2 жыл бұрын
safiii chapa kaz
@Burner_Acc
2 жыл бұрын
Tivu ake hajui hata utamshi wa maneno indast=industry, lazi=radhi. Huyu bwana ni kichekesho ana aibisha tasnia nzima kwakweli.
@toptenglobalentertainment2981
2 жыл бұрын
Kabsa
@toptenglobalentertainment2981
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@romaravincent730
2 жыл бұрын
🤪
@karyori69
2 жыл бұрын
nenda kasome wewe na uache kujifananisha na CEO wa Simba Gonzalez! Management inahitaji shule!
@peninacharles9757
2 жыл бұрын
STEVE ZUMARIDI
@ntegrity277
2 жыл бұрын
Huwezi kuwasemea watu ambao hawakutaki! Tunataka uchaguzi sio endorsement
@rithadonatus8110
2 жыл бұрын
Yaani sura yake jamani😁😁😁😭😁
@charlessalimu5875
2 жыл бұрын
Mbona kama vituko, kumbe msemaji wa muziki😱😱😱😱
@aishaally4831
2 жыл бұрын
Bongo hiii jamani,🤣🤣🤣🤣
@nassorbinfundi1196
2 жыл бұрын
Kwanza nashindwa muelewa steve, hajui kuigiza, hajui kuimba, sasa anakuwaje kiongozi yeye nani jama au mganga
@naija6679
2 жыл бұрын
MAAJABU YA SIKU YA JUMANNE *#*# m.kzitem.info/news/bejne/uW55mp19i5yciI4
@edwinaugustine6836
2 жыл бұрын
zumarid
@manbrapakamli8958
2 жыл бұрын
Jaman huyu mtu aliyemuweka anahakili kweriii daaah mbn kuna wasomi wengi wenye uerewaa jaman wp nikk mbishiii wp Ay jamn daaah hii nchiii jmn kwr vtukoo ney sema babaaaaa yagaaaa mimi nikija pata nafasiii ktk kusikikaa kwenye hii nchi mtanipiga risasi ma pema tuuuu wajnga nyinyi
@jumakateme4511
2 жыл бұрын
Hivi uyu Ana nn? Kila kitu kinaitaji shule hii dunia nyingine kijana ujui lolote kasome kwanza kazi ya ubahamedi ndio aiitaji shule utateseka Sana endelea kusimamia michango ya misiba tyu ndio inakufahaa
@diti4899
2 жыл бұрын
Kwani kuitwa Rasta Ni kukosa nidhamu. Unajua heshima ya kuitwa Rasta. Huyu kweli 0
@bahatinassor9980
2 жыл бұрын
Kisenge hichi
@unknownsasha8383
2 жыл бұрын
Alie pewa kapewa tu achane wivu na mwanzo wa uongozi watu huwa hawakubaliani na matokeo lakini badae itabidi watiii tu amri vinginevyo utaishia jela
@ankolsimba7838
2 жыл бұрын
kibaya ni kupewa usimamie watu wanaojua wanachokitaka na wew hujui nini wanataka.....FA na wenzie wako sahihi huyo akibakia ni sawa na hakuna tuuu
@ntegrity277
2 жыл бұрын
Steve unaongea na mamlaka mno! Utadhani umechaghuliwa
@estermassawe1687
2 жыл бұрын
Ndomana WCB ndo mana wamejitoa kweye huu upumbavu
@ramayahaya1562
2 жыл бұрын
Ww punguza akil ndg kwan wote hawakuuzuria ni wcb
@ramayahaya1562
2 жыл бұрын
Ww punguza akil ndg kwan wote hawakuuzuria ni wcb
@mdta8161
2 жыл бұрын
Acha makasiriko akibahatika mwenzio mpongeze Ili neema ikugeukie
@daytonantwale8175
2 жыл бұрын
We kuma tu wewe ndiyo utajua hujui msenge
@naija6679
2 жыл бұрын
MAAJABU YA SIKU YA JUMANNE *#*# m.kzitem.info/news/bejne/uW55mp19i5yciI4
Пікірлер: 87