Shida nyingine ni kwamba kujifanya mjuaji kwenye kundi la wanaojua
@pamamaganza9468
Ай бұрын
@@lettygirl08😂
@PetyJonas
3 ай бұрын
We dad unapoteza point za msingi anazoanza kizitoa nanauka unauliza vijiswali vya kishenzi shenzi tu, adi umeniboa sijue presenters wengine hua wanasomea wapi aise
@barakazabron5202
2 ай бұрын
Daaah hili lidada linaongea mpka unaboa aisee
@nicodemustemu3312
3 ай бұрын
Hi brother Joel nashukuru sana I wish to have like 15 minutes with you face to face .
@trophywilson7211
Ай бұрын
just Travel to His place
@monicakatega4488
2 ай бұрын
Mmmh kweli Ila watangazaje hapo mmezingua jitahidini kubadilika na kuwa na utaratibu mzurii wa kuuliza maswali hapo kelele zimezidi mmetuchanganya wasikilizaji.
@AndersonLeheni
2 ай бұрын
Brother leo nimekuskiliza kwa umakni sana ila naomba namba zako
@michaelmsazi9722
28 күн бұрын
Apo kwenye marafiki ndo point kuu Na ni vema zaidi kuchagua rafiki ataeendana na maendeleo. Tafuta Transparency and accountability partner Ambae atakuajibisha Kwa namna yoyote ile Cha kuzingatia apa ni kuwa na nidhamu na pesa
@shadrackmijjinga9793
3 ай бұрын
Wahojaji tumieni professional skills yauhojaji.. Hoji kwa kumpa nafasi unaemhoji akujibu.... otherwise kipindi nikizuri but moderator wakike .mmmhhh ajinoe zaidi
@JohnMburu-k5q
Ай бұрын
Apo kwa marafiki ,Nina swali Kama n mke anakuangusha kimaelewano akuna unapanga akipangua Apo vpi
@ThomasMmary-r7w
12 күн бұрын
Yani ni points kubwa mzee 👍
@mosesfrancis8495
24 күн бұрын
✌️
@IbrahimuSenge
13 күн бұрын
Huyu mdada ametuharibia pending letu asee
@izackmtega9407
14 күн бұрын
dada msenge huyu daaaah
@rehemahomange7204
3 ай бұрын
Ila Joel akuna kazi ngumu km kudelete mtu nifanyaje
@HamisRamadhan-v5e
Ай бұрын
Hako kadem kana mdomo san tatzo
@jacksonzezetv114
2 ай бұрын
Habali kikoba nataka kujiuga nakikoba
@lusilusi8687
5 күн бұрын
Yaani wanifunza kiukweli
@HamisRamadhan-v5e
Ай бұрын
Hako kaliko simama walikagusa maan kameshashindw ata kukaa
@neemaskayo3047
Ай бұрын
😂😂🤐
@Jofreyjulius391
2 ай бұрын
Uyu mama anaongea ongea tu
@akilipeter1660
2 ай бұрын
huyo dada aisee hawezi kuwa host
@faustinejustine6816
2 ай бұрын
Mnashindwa kumpa mlengwa nafasi ya ku explain,😢
@mofatunes1432
2 ай бұрын
Huyo mdada mseng3 sana
@ibrahimkishegena640
Ай бұрын
Watangazaji unprofessional kabisa muachen jamaa siku ingine ateme nondo amalize ndo muulize mambo yenu
@jonathanjohn7698
2 ай бұрын
❤ww dada acha kihelehele acha Joel atupe elim
@MzeeMkoloni
4 ай бұрын
Uko vizuri kiongozi
@SalmaSalum-d8b
3 ай бұрын
Uyu dada anaongea Sana sana
@mahambagislain9618
4 ай бұрын
✍️💝🎉🎉🎉🎉🎉🎉🙏🇨🇩
@rehemahomange7204
3 ай бұрын
Dada upo vzr sna mekuelewa
@GERLARDJAPHETH-zn5yg
2 ай бұрын
Dada unaboa sanaa
@maribaisack2097
4 ай бұрын
Points
@SalamaKillian-ge8sr
9 күн бұрын
Fact
@DoctorEvarist
4 ай бұрын
Good lesson But I still have question🤔🤔 Kwanini uhachane na marafiki zako kisa wewe ndie ulie bora zaidi kuliko wote eiza kifedha au kielimu then huende uhambatane na aliye bora zaidi yako ? Je,nisawa kutenda usicho penda kutendewa ? Maana mda huo umeachana na rafiki yako kisa yupo down (under level) ili ukaambatane na up level …!! Naomba ufafanuzi please ✍🏾
@joshuajackson3827
4 ай бұрын
Swali zuri, lkn nahisi ni ndio kanuni ya kukufanya wewe ukue zaidi
@oneboytzoneboytz6789
2 ай бұрын
Broo hilo shwali NAOMBA nili jibu kwanza malafiki WASIO na malengo mda mwingi mtaongea na kushauliana na visivyo vya msingi ila siyo una achana nao daireck hapana ila mabadiliko Yana KUJA unapo amua KUWA na rafiki alie kuzidi kimaisha ukiwa na naye NAWEWE utatamanitu KUWA kama yeye ukiwa na LAFIKI tajili basi jandae KUWA kama yeye au zaidi
@HalimaMuhammad-w1l
2 ай бұрын
Marafiki wengine ni wabaya.waeza wakakushusha na ww
@NeemaMango-k7j
3 ай бұрын
Uko vizur kaka
@robertokasike4824
3 ай бұрын
Daah sasa mmemwita huyo mtaalamu wa nini simngemtumia huyo dada maana yeye anajua Kila kitu
@barakazabron5202
2 ай бұрын
Daaah hili lidada linaongea mpka unaboa aisee
@shamimsianga1852
3 ай бұрын
Dada punguza kiherehere basi
@claracalvin5055
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@SaidMsuya-hb7to
Ай бұрын
Joel wewe fundi sana heshima kwako kaka
@rehemaedson5732
3 ай бұрын
Exactly 💯
@StephanoKibona-m6e
3 ай бұрын
Umenifungua Akili yangu🔓 thanks
@WilliamSospeter
4 ай бұрын
Absolutely 💯
@IgnaseTalaboe
14 күн бұрын
Safi sana
@wilisonmikate1652
Ай бұрын
Ndg nisaidie mimi sina rafiki kabisa niko peke yangu napesa napata vp nifanyeje na nini nifanye
@trophywilson7211
Ай бұрын
huna rafiki na huwezi kutunza hela ??kuna pepo linakula
@kuruthumukondo7149
Ай бұрын
Shukrani kaka ❤❤
@ezekiamandele3772
3 ай бұрын
Dada anachosha bwana
@AkmosZacharia
3 ай бұрын
Nakukubali sana mr Joel
@astonleonard5122
3 ай бұрын
Huyo dada anaboa
@barakambise1970
2 ай бұрын
Watangazaji hovyo sana kidem kinaongea hicho ukimuoa teyari n hat hatack
Пікірлер: 65