JPM alikuwa na maono makubwa sana alithubutu kwa namna yake no matter what keep resting in peace
@khamissaleh921
15 күн бұрын
Hii ilikuwa ni East African Community strategy iliobuniwa na Marais wa Nchi za Africa Mashariki kujenga Reli katika Nchi zao ,kipindi hicho kilikuwa Kati ya Marais Mussoveni,Uhuru Kenyatta na Jakaya kikwete na Manifesto ya CCM iliinguzwa 2014 na mradi ukaaza Rasmi 2015-2016 ,
@charlesmtesigwa2923
13 күн бұрын
Z@@khamissaleh921😂😂😂😂 unaongea porojo kubuni na kufanya ni tofauti acha porojo
@rahmaomary5134
13 күн бұрын
@@khamissaleh921 Facts
@rahmaomary5134
13 күн бұрын
@@charlesmtesigwa2923 waweza vipi kufanya bila kubuni?
@charlesmtesigwa2923
13 күн бұрын
@@rahmaomary5134 kama mtu kafanya kitu apewe maua yake sio kutafuta kuindoa uhalali kwa mtu kwa kigezo cha kutaja taja majina ya mtu ambae hajafanya kikwete katawala wote ni mashahidi miradi haikuwa kipaumbele chake hata ungemuongeza miaka mitano husingeona sgr,bwawa la umeme wala nini maana hivyo havikuwa kipaumbele chake
Dr. Kadogosa hongera ila Tanroad wametuangusha...barabara za kufika station morogoro ni mbovu. Kwa nini hawakujenga barabara, wakaweka lami, wakafunga taa. Kwanini Tanroad mmelala hivi?
@noelswai2660
15 күн бұрын
Kazi nzuri kwa serikali yetu, MUNGU ibariki Tanzania 🇹🇿🙏
@hanifamziray277
8 күн бұрын
Safiii sn nchi yangu tanzania
@michaelrweyemamu1068
15 күн бұрын
We are blessed 🇹🇿
@nasibugunda7927
15 күн бұрын
Nchi zetu za kiafrica zina wakashifu wengi wanaojificha kwenye kivuli cha ukosoaji hili lilionekana mwanzo hasa pale mradi huu wa reli ulipo husisha umeme na tanesco yetu hatimae treni ya umeme imeanza kazi na ila mjue wana subiri mambo yaharibike ili warudi kwa kasi huduma basi ziwe bora kila siku ili waendelee kujificha huko huko 😂😂
@athumaniamiri880
15 күн бұрын
Nikweli
@lazarombuze9776
15 күн бұрын
Hapa kodi zetu zimeenda halali kabisa,. hongereni kwa usimamizi mzuri,.
@Manjalino
15 күн бұрын
❤❤❤❤ tanzania nchi yangu
@maleojoseph5272
14 күн бұрын
Ndo yetu na ndo tunayo ipenda.. Tunamshukuru Mungu kwa hii treni
@HalimaHamisi-j4m
20 сағат бұрын
BWANA Masanja Kadogosa tunakuomba utuwekee sehemu rafiki sisi bodaboda wa Dar es salaam wanaposhuka abiria wawe na usalama wao na Mali zao
@kambamazig02024
15 күн бұрын
Watanzania mpaka muwafunge hao wanaopita juu ya fence. Bila kuwasomesha darasa hawataacha. Wachukulieni mfano na wafungwe, hutaona mtu anafanya hivyo tena!
@fredyjunior6961
15 күн бұрын
GOOOD
@noelngowitechnicalsolution
13 күн бұрын
Kazi nzuri
@abdulvinthemogo4036
15 күн бұрын
Baada ya wiki kadhaa wataanza kutuongopea Makusanyo, Baada ya Miezi Kadhaa Wataanza kusema Vichwa vimepelekwa Kwenye Matengenezo
@ruhindacostantine2092
12 күн бұрын
Mawazo mabaya utoka kwenye roho mbaya
@davisfrank7932
14 күн бұрын
kazi nzuri ila kwanini station za sgr ziko mbali na vituo vyamabasi mfano magufuli na nane nane?
@mussamussa8181
13 күн бұрын
Tena cjui alie dsnganya nan cha dodoma kupeleka mbal vile..wakat wangekijenga TAMBUKA RELI PALE PALE TU NJI YA UDOM ILE BASI..
@user-ys3gt8lp5h
13 күн бұрын
Sio wameitikia walikuwa wanasubria mda mrefu mpk hamu ikaisha kabsa
@ericmoramagige3407
15 күн бұрын
Issue mizigo mikubwa kama ,Mabegi makubwa , yange wekwa kama kwenye ndege, kuwe na behewa la mizigo tuu. Watu wasiingie na Mabegi makubwa . Sehemu za kukalia
@AlexChilla
12 күн бұрын
Route ya dar to dodoma itaanza lini?
@exaverysimon1064
15 күн бұрын
SAF sana❤❤❤
@user-bz5ti6op6z
15 күн бұрын
Nikitoka mkoani nitakua naishia morogoro kwenda dar nitapanda tren
@255kwetu8
15 күн бұрын
Hahaha kama mimi
@albertmaneno
15 күн бұрын
Safi sana
@husseinally6699
15 күн бұрын
Root ya jioni ingeanza saa 12 kamilli ama saa 1 usiku saa 10 mapema mno kama unafuatilia jambo la kiofisi huo muda bado upo ofisini bado hujatoka Saa 10 kamili kama mchana tu Jioni iwe jioni kweli Hususani kama mkoa wa morogoro ina wilaya zingine zipo mbali Hivyo itatoa fursa pia wanokaa wilaya za mbali kuja kupanda treni bila presha za kuachwa
@typhonesapali9054
15 күн бұрын
Tiketi kwa mtandao zinapatiknaje? Elekezeni basi tuelewe
@TwalibuAlbaamiryShoka
15 күн бұрын
Tunaomba mutuwekee mfumo wa card kama pale ferry kigamboni
@user-cm9hc1fu4h
14 күн бұрын
Hao wadada wahudumu wenye mabegi ni lazima wawe na mabegi
@omarybakunda2554
15 күн бұрын
Watanzania tuko tayari kulipa kodi
@hassanlikwenangu8471
15 күн бұрын
Kadogosa pisha basi ushaongea sana
@TwalibuAlbaamiryShoka
15 күн бұрын
Tunahitaji Card za kugusa
@MasterOil-qm6vw
15 күн бұрын
Hii tren ama ni gari mosh
@YasiniMkakile
15 күн бұрын
Mbona treni ya kizamani
@MeenaHassan-fd9vv
15 күн бұрын
Nunua Yako
@Kabwela776
15 күн бұрын
Nilisema watanzania ni watu wa ovyo ovyo wameshaanza uharibifu wataanza kuingilia madirishani watafunja vyoo wataiba masink kila kitu , mngeanza kucharaza viboko hadharani
@user-wd2vt3fc9k
15 күн бұрын
Usitukane watu tafadhali mimi ni mtanzania ni sio wa hovyo. Na kama kuna kitu ulichomaanisha kwa watanzania watu wa ain't hizo wapo duniani kote na kila nchi. Naongea kwa uzoefu.
@selemankishema5780
15 күн бұрын
Kila siku kuongea na waandishi wa habari fanyeni kazi bwana mmekuwa kero
@ndukulusudikucho_
15 күн бұрын
Tanzania Ni Nchi mchanganyiko wa Kabila na madhehebu tofauti kwanini wale wadada wanaopenda kuvaa hijjab nao hawakupewa nafasi??? Au hawapendezi wakiwa wanahudumia? Mbona hata Rais anaivaa je nae hapendezi? Tuache kukariri
Пікірлер: 51