Barabara za morogoro kuelekea station ni mbaya sana. Tanroad wanafanya kazi kwa mazoea.
@starjay3052
11 күн бұрын
😁😁🤣🤣 hii ndio bongo kaka
@starjay3052
11 күн бұрын
unataka vitu vizuli kwani upo uraya
@jabirikilagilile9799
11 күн бұрын
Sanaaaa
@Kabwela776
12 күн бұрын
Watanzania hawana utamaduni wa kupanga foleni yaani tabia za vijiweni wafundisheni kupanga foleni Na tengenezeni matangazo ya kuwaonya abiria kuhusu uhabiribifu wa miundo mbinu ya ndani ya train
@kwisa4899
11 күн бұрын
wazo zuri sana
@kiatu
10 күн бұрын
Ustaarabu kwetu ni changamoto
@vt-kn6qf
9 күн бұрын
Please TRC mkajifunze Airport mifumo ya habiria kuweka foleni kuhelekea kwenye mabehewa Please 🙏 icho sio kituo cha daladala please
@user-sj3wf5vz7l
12 күн бұрын
Shirika lilikuwa limekufa. Namkumbuka magufuli kwa kufufua hili shirika. Hongera mama samia kwa kumaliza kazi ipasavyo. 5 tena kwako mama❤
@rahmaomary5134
10 күн бұрын
Mradi wa SGR ulizinduliwa kipindi cha raisi wanne
@sundaystanley5322
10 күн бұрын
@@rahmaomary5134unafikiri nani atakuelewa na maneno yako,hata kama ulikuwa humpend jpm,tutamkumbuka tu
@deven.oauditx7547
9 күн бұрын
@@rahmaomary5134Pro-Magufuli hawataki kukubali kuwa mradi ulibuniwa na mchakato ulianzishwa na Kikwete.
@herodiduma9906
8 күн бұрын
Mipango yote ni awamu ya 3 utekekezaji awamu wa 5
@fadhilisecha4268
12 күн бұрын
kikubwa mradi uwe na mwendelezo. ni project nzur sana KIUCHUMI
@user-fl3fb5gh6b
12 күн бұрын
Rip jpm
@UnitedAfrica-uw9ct
12 күн бұрын
USAFI WATANZANIA USAFI CHONDE CHONDE.......! , msije na mizigo ya mihogo na ndizi humo sio mahala pake.....
@selemankishema5780
12 күн бұрын
Wenye mabasi mjipange msihujumu tu 😂😂😂
@kwisa4899
11 күн бұрын
Hawawezi kwasababu usafiri huo ni single railway truck labda ingekua Doubled truck railway
@kwisa4899
12 күн бұрын
Muwafunze wa TANZANIA KUPANGA FOLENI MAANA HAWANA ADABU TOFAUTI NA NCHI ZINGINE NA HIYO NDIO INDICATOR YA KUJUA NI MTANZANIA JITAHIDI KUWAPIGIA KELELE KUHUSU HILO NI TABIA INAYO CHUKIZA SANA
@beaugosseadam6831
12 күн бұрын
Kila kitu hutona na Malezi pamoja na Tabia njema ya kujifunza. Wabongo wengi Malezi na Tabia zao ni za vijiweni. Hata Wasomi au Viongozi ukiwaangalia utaona dalili za ushamba tuuu
@kwisa4899
12 күн бұрын
hii tabia kwa wa Tanzania imekuwa ni kero sana ilitakiwe iwe kaulimbiu ya kitaifa kwa sababu hii tambia inaambatana na rushwa unakuta mtu kakukuta Dukani anataka audumiwe yeye kwanza inachukiza sana
@atkentravelafrica4361
12 күн бұрын
Jambo jema na la kupendeza sana, Lakini kuna jambo moja la muhimu nalo ni mizogo ya abiri. Handleling ya mizigo ya abiria bado utaratibu wake haujazingatiwa vizuri na trc. Mzigo yote inapaswa kuwekwa lable na kuwa rapped na kuhifadhiwa katika behewa la mizigo. Sasa hapa naona tusha Beba na box zenye kuku katika behewa za abiria.
@kwisa4899
11 күн бұрын
@@atkentravelafrica4361TRC ingebakia kwene ku deal na usafiri hudumu zingine wangeachia Private sector ,itakufa na uchafu utakuwa kama walivyo shindwa kuendesha uwanja wa Taifa na Mwendo kasi wanajua kuazisha miradi tu lakini kuendeleza na kusimamia ni 000000000000000000
@iddrashid7054
12 күн бұрын
Mikoa ifungue vituo vya mabasi karibu na stedheni za SGR ilikusaidia wasafiri watakao kuwa wanashuka kuunganisha na safari barabara pia za kuenda stesheni ziboreshwe isije kuwa mtu unasafiri Dar Dodoma 4hrs halafu stesheni mpaka stendi ya mabasi 2hrs
@alexifunya7548
12 күн бұрын
Twende na wakati tukate tiketi online
@HABIBHASSAN-wf5mr
8 күн бұрын
Hongera SANA mama SAMIA KWA KUKAMILISHA ULICHO WAAHIDI WA TZ KWAMBA KAZI IENDELEE NA KWELI
@rashdiyange7758
11 күн бұрын
Daaaa kiukwer mimi izo ofice zao kama irport daa bonge la dude seeeeeee mpka laaa 🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗
Online ipo Kwa maboresho, tunaenda Na physical kwanza.
@kisutabora5914
12 күн бұрын
@@shaban6644 muwafikirie watalii wa nchi za nje iwe rahisi pia kwao kujiandikisha mtandaoni. Sasa hivi haiwezekani hata akiweka email
@mcback4384
11 күн бұрын
@@shaban6644miaka yote mnafanya majaribio ya nini? Incompetence kabisa
@kwisa4899
11 күн бұрын
ulitegemea itafanya kazi 😂😂😂😂
@Beauthoms
12 күн бұрын
Keep it up trc
@Kim19onlinetv
12 күн бұрын
Mwalim Humphrey siku nyingi sana MWALIMU wangu uko wapi?
@fredyjunior6961
12 күн бұрын
SAFI SANA. NCHI INAPAA
@ambokilemussa3518
6 сағат бұрын
sisi wa Mbeya lringa na Njombe ngosha alitutenga😢
@user-pi8ln3fe3n
12 күн бұрын
ongereni sana maendereo mazuri lakini mngefanya vitumike vitambulisho hata vyakupigia kura sio nida peke yake kunawengine hawana nida
@IkoUwasi-it6qy
11 күн бұрын
sasa hujui kuwa NIDA ndio cha kupigia kura ndio maana kimebeba vitu vingi
@mcback4384
11 күн бұрын
Hapakuwa hata na haja ya NIDA, wangesema number yako tu ya simu, hakuna number ya simu isio na NIDA
@jamalimussa4928
12 күн бұрын
Jitahidini kutumia technology watu waweze kukata online na kupata ticket kabisa kusiwepo mwingiliano na watu, inasaidia kuweka mazingira mazuruli ya kuepuka msongamano
@kisutabora5914
12 күн бұрын
Pia wawafikirie abiria waliopo nchi za nje kufanya booking kirahisi. Sasa hivi haiwezekani, lazima kujiandikisha, ila abiria wa nje mtandao inawagomea, hauruhusu, si nzuri kwa watalii
@magorymara5515
11 күн бұрын
Hili shirika wasipouzingatia usafi basi itakuwa ni kwa mapenzi yao wenyewe make kila kitu wamerahisishiwa ni sheria tu ndo wanatakiwa kuziweka kwa pande zote kwa abiria mpaka wafanyakazi ili tusijeonekana wa hovyo kama nchi
Hongera sana Raisi wetu kwa kazi nzuri. Mungu ibariki Tanzania 🙏
@MashakaMagesa
3 күн бұрын
Kazi ya JPM ungesema Rip Jpm
@FredyVincent951753852456
11 күн бұрын
Ili kuboresha ustaarabu TRC watengeneze mabehewa yenye sehemu za mizigo ya Watanzania . Hatuwezi kuacha asili watanzania hupewa zawadi za chakula na kadhalika( yawepo mabehewa maalum ya kubebea zawadi zao)
@Kabwela776
12 күн бұрын
Haya mabox mngezuia abiria kuingia nayo ndani ya train mngeruhusu mabegi tu
@tanzcanmediatv4473
4 күн бұрын
Mifumobya card vipi hongereni
@majatamsafiri5
7 күн бұрын
Watanzania ni vema kushirikiana katika kutunza miondombinu ya reli yetu ili endelee kuwa bora
@kisutabora5914
12 күн бұрын
Siti la watu 3, linasimama kila kituo
@mwajumabandula6122
3 күн бұрын
Sasa km huna NIDA huendi 😢😢
@mahamudumbaruku5237
8 күн бұрын
Kwaiyo kama auna namba ya nida autaweza pata tiketi.
@MashakaMagesa
3 күн бұрын
Itunzeni hiyo miundombinu idumu Rip Jpm
@alfredmhana235
12 күн бұрын
Wamiliki wa mabasi wapunguze vurungu zawo kwa baraba.hiyo Haina foleni au eti kumsubiki kiwete Apite kwanza.
@Prishnakdrama
11 күн бұрын
kwn watu wasikate online????
@tezuramziray8700
11 күн бұрын
Inapendeza ila tunaomba teknolojia ichukue nafasi yake. Online tunakataje
@allymganga3223
4 күн бұрын
Ruti ziko 2 moja ndio hii ya saa 10 ya asubui inakuwa saa ngapi
@joevang4685
12 күн бұрын
r.i.p jpm
@ahmedronga7583
11 күн бұрын
Km huna nida uwezi safir?
@user-ze6lx9ng6s
9 күн бұрын
Shida ni ufisadi tu nchi hii, RIP JPM
@tanzcanmediatv4473
4 күн бұрын
Rip magu dah
@samsonmweta5040
9 күн бұрын
Tunaomba ratiba iwe wazi tujipange kufanya utalii 😂
@exaverysimon1064
12 күн бұрын
SAF SANA ...... MITANO TENA
@Japanese-lz1or
12 күн бұрын
Dahhh sasa mabsi yangu niamishe ruti sasa
@filamupictures9349
12 күн бұрын
subiri nikutajie sababu kadhaa za mabasi kuendelea kuwepo hiyo route ya dar moro, 1. mabasi yanatoka mapema kuliko hiyo treni, baai la kwanza la moro dar ni saa kumi na moja kamili asubuhi linatoka na giza, na hadi saa tatu upo Dar, wakati treni ya moro dar ni saa mbili, 2. stesheni ya Dar ipo mbali na maeneo mengi mji, maeneo mengi watu wataamua kupanda basi, kwasababu foleni za kwenda posta zitaendelea kupoteza muda vilevile. 3. mabasi hayana ratiba, sasa hivi basi la dar moro dar linaondoka linapojaa yani kama daladala, na tiketi unakatia mlangoni mwa basi, mambo ya kusafiri kwa muda maalum kutakuwa na watu ambao wana safari za ghafla, na wengine wataona usumbufu , wataendelea kupanda basi,
@salumalriyamy
12 күн бұрын
@@filamupictures9349Pia usisahau kuwa Kuna factor ya convenience, kwa mfano mtu anataka ashuke kimara Moja kwa Moja badala ya kushuka town then achukue taxi, Pia Kuna wakati ambapo treni haipo kwenye ratiba, imejaa, au umekimbiwa.. Yani kuwaza kuwa treni inaua mabasi ni kujinyima ufikiri
@mcback4384
11 күн бұрын
@@filamupictures9349hata hivyo hakungetokea mabasi yasiwepo kabisa lakini huwezi pinga kwamba hawa abiria wote unaowaona hapa walikua ni wa mabasi kabla SGR haijaanza operation
@HassaniMzee
12 күн бұрын
Naomba maelekezo jinsi ya kukata tiketi mtandaoni
@nsajimwasege68
10 күн бұрын
NIDA inahusikaje na mtz kusafiri Dar Moro?
@user-fb5tj5zy4z
12 күн бұрын
Daraja la walalahoi likoje, tuonesheni jinsi watu wanavyokaa kwenye daraja la chini
@rashidmsuya5721
12 күн бұрын
Si ndo ilo uchumi
@nicolausminja689
12 күн бұрын
🤔TRC kumenoga!
@sunguraally2456
11 күн бұрын
Kwa Mteja ambae hana kitambulisho cha NIDA ila NAMBA ya NIDA anayo,anaruhusiwa kukata TIKET?
@jerryjohn8030
11 күн бұрын
Hii ni kuipa mda kama mwendokasi 😂😂
@mcback4384
11 күн бұрын
Ubovu wa huduma ya mwendokasi ni basi chache, hii mzee trains sio chache, kuna ambazo ni doubldeck zenyewe hata mzigoni bado hazijaingia
@karyori69
12 күн бұрын
Mbona online booking hamna nyie vp?
@kisutabora5914
12 күн бұрын
Upon. Ingia/tafuta/google sgrticket.trc.co.tz
@godlistenmnkeni2454
12 күн бұрын
Online booking ipo
@shedrackmutalemwa7310
11 күн бұрын
Mtandaoni unakataje ticket
@straitnews3441
12 күн бұрын
Kwa ticket online zipo au hazipo
@UnitedAfrica-uw9ct
12 күн бұрын
Hakuna ticket online ndio kwanza wanapambana kufanya tovuti ifanye kazi
@iathumani
12 күн бұрын
Tickets online zipo acha kujibu usichojua. Nimekata online two times.
@UnitedAfrica-uw9ct
12 күн бұрын
@@iathumani juzi imebidi niende pale station kukata ticket kwa hiyo najua ninacho kisema , na nimeongea na mtu wa ICT TRC ame confirm bado site yao haiko tayari usitete ujinga...kila mtu anataka huduma nzuri....kama ATCL wana mfumo mzuri wa Ticket wao TRC kwanini wanachelewa kuanzisha jambo ambalo linawaletea pesa kirahisi...i wasted one hour trying to get a ticket.
@iddrashid7054
12 күн бұрын
Usafiri uwe 24hrs
@kwisa4899
11 күн бұрын
Hakuna kitu kama hicho Duniani
@fidelfidel-jz4iw
10 күн бұрын
Hizo electronic mbona kuna mtu kasimama wakati ni machine yenyewe inafunguka au ni mhovu hizo machine!!!!?
Пікірлер: 94