Carola Kinasha ni jina la muda mrefu kwenye sanaa ya Muziki nchini tanzania,amekua katika kiwango cha juu cha uimbaji kwa zaidi ya miaka 30 kwenye muzki,The classic imepata nafasi ya kukaa nae na kuzungumza mambo megi yanayomhusu na mengine mengi,hakika utafurahia interview hii.
usiache kusubscribe kwa mahojiano mengine zaidi
Негізгі бет THE CLASSIC Carola Kinasha : MIONGO MITATU KWENYE GAME /REMMY ALINIIMBA MIMI/USHINDI MKUBWA AFRICA
Пікірлер: 17